Kaweka na tishet nzur yani Kuna resya niliyokuwa nafanya, wanatengeneza juis nzur ya tikiti na nanasi mzur hatar watu walikuwa wanazipenda tena sokon nyingi. Karen si anauza, wasiojuwa wanamwambia kafulia kumbe hawaijui ndo ujasilia Mali uwo mimi chuo nilikuwa nauza, sambusa, za, viazi na pili pili nzur wakawa wananunuwa sana walikuwa wanasema, Tamu sana Kuna bibi alikuwa anauza, wakawa hawanunuw paka zangu ziishe kumbe mtu Wa kwanza uyo mtani wangu
Ndio ladan handsome hata Kuna mdada, mzur naye anauza, na msomi kama mak . Wapo kama mimi napenda hizo biashara paka ya chakula ant yangu Ana kefu nyingi naye shapu kwa biashara
Hongra cku ukija mwanza nialike nij kukuchangia juic tuionj
Mwenyew kaacha, paka kazi Bank. Wasanii wateja zake
Vicky juis. Napenda kuwa, mfanya biashara paka batiki nilikuwa natengeneza nauza, kwel
Kaweka na tishet nzur yani Kuna resya niliyokuwa nafanya, wanatengeneza juis nzur ya tikiti na nanasi mzur hatar watu walikuwa wanazipenda tena sokon nyingi. Karen si anauza, wasiojuwa wanamwambia kafulia kumbe hawaijui ndo ujasilia Mali uwo mimi chuo nilikuwa nauza, sambusa, za, viazi na pili pili nzur wakawa wananunuwa sana walikuwa wanasema, Tamu sana Kuna bibi alikuwa anauza, wakawa hawanunuw paka zangu ziishe kumbe mtu Wa kwanza uyo mtani wangu
Kaka good sana
Ndio ladan handsome hata Kuna mdada, mzur naye anauza, na msomi kama mak
. Wapo kama mimi napenda hizo biashara paka ya chakula ant yangu Ana kefu nyingi naye shapu kwa biashara
Da hadi raha napendaga biashara za juis na zinapendwa rafiki yangu alikuwa anauzaga
Ndio Agnes napenda kuwaungisha. Utakuta, paka wazungu wananunuwa😁
Kazi nzuri mark hongera sana
Nimekata vzr Sana mak
Handsome man
Sauti kama Nay wa Mtego
Sophie Aden hahaha