MFANYABIASHARA HUYU ANAVYOWATUMIA MASTAA KUINGIZA PESA / MAK JUICE ATANGAZA KUOA MWAKA HUU 2020

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 03. 2020
  • MFANYABIASHARA wa Juice Dar Makjuice
  • Zábava

Komentáře • 13

  • @agnesgervas8070
    @agnesgervas8070 Před 3 lety +1

    Hongra cku ukija mwanza nialike nij kukuchangia juic tuionj

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Mwenyew kaacha, paka kazi Bank. Wasanii wateja zake

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Vicky juis. Napenda kuwa, mfanya biashara paka batiki nilikuwa natengeneza nauza, kwel

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Kaweka na tishet nzur yani Kuna resya niliyokuwa nafanya, wanatengeneza juis nzur ya tikiti na nanasi mzur hatar watu walikuwa wanazipenda tena sokon nyingi. Karen si anauza, wasiojuwa wanamwambia kafulia kumbe hawaijui ndo ujasilia Mali uwo mimi chuo nilikuwa nauza, sambusa, za, viazi na pili pili nzur wakawa wananunuwa sana walikuwa wanasema, Tamu sana Kuna bibi alikuwa anauza, wakawa hawanunuw paka zangu ziishe kumbe mtu Wa kwanza uyo mtani wangu

  • @juliusmdoe4708
    @juliusmdoe4708 Před 2 lety

    Kaka good sana

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Ndio ladan handsome hata Kuna mdada, mzur naye anauza, na msomi kama mak
    . Wapo kama mimi napenda hizo biashara paka ya chakula ant yangu Ana kefu nyingi naye shapu kwa biashara

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Da hadi raha napendaga biashara za juis na zinapendwa rafiki yangu alikuwa anauzaga

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Ndio Agnes napenda kuwaungisha. Utakuta, paka wazungu wananunuwa😁

  • @abdulkadirali927
    @abdulkadirali927 Před 4 lety

    Kazi nzuri mark hongera sana

  • @msafikazali8523
    @msafikazali8523 Před 4 lety

    Nimekata vzr Sana mak

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 4 lety

    Handsome man

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 4 lety

    Sauti kama Nay wa Mtego