❤❤ unaelekeza vzr kipenz
Juice ni nzuri saaana we ni mbunifu Hadi karanga na korosho?? Dah amazing
Mama niko kenya naomba kusoma na wewe kutengeza juice za matunda
Hongera sis Kwa kupambana
Naomba kujifunza
Hongera dada
Nimeipenda ,
Being ya glad moja no sh ngapi
Vifungashio tunapata wapi sister? Na bei ya juice?
Dada naomba no yako
Nakushukuru nimejifuza kitu
Bei ikoje
Bei
Dada vifungashio napata wapy
Asante dada Natumain nami cku moja ntakuwa kama wewe
Brenda unazotumia ni kampuni gani
Hongera sana dada Zuzi nimeipeda juice yako mm nipo Omani tukijaaliwa nikirufi Tz nitakuja kujifunza dada hongera sana😊😊