ULIPOFIKIA UJEZI WA UWANJA MPYA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO DODOMA,NAIBU WAZIRI AFIKA KUJIONEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024

Komentáře • 73

  • @sultanhamad4924
    @sultanhamad4924 Před 20 dny +24

    Dakika zote hizo ulizoongea umeshindwa kumtaja magufuli japo mara moja tumpe nae maua yake

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 20 dny

      Watakutukana niko pale 😢

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 Před 20 dny +1

      Wewe utakuwa shoga. Kwani akitajwa huko alipo itamsaidia nini au ataskia? Kama vp mfate

    • @abdulyabdunuru1476
      @abdulyabdunuru1476 Před 20 dny +2

      ​@@letthedeadburythedead2148 shoga wewe na ukoo wako kakosea wapi au ndo unawashwa

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 Před 20 dny

      @@abdulyabdunuru1476 muonekano wako na kaa yako tu kwenye hiyo picha unaonyesha unafirwa kuma dume wewe. Marinda na akili hauna ndo mana unaongelea mkunduni dumejike msenge wewe.

    • @sultanhamad4924
      @sultanhamad4924 Před 20 dny

      @@letthedeadburythedead2148 matusj yako mjibuji ni Allah 🙏

  • @egbertcharles
    @egbertcharles Před 20 dny +17

    Ilikuwa ndoto ya Magufuli kujengwa Uwanja wa Msalato. Viongozi wa taifa letu atakama mnaogopa kutenguliwa vyeo vyenu jaribuni kuwa mnashukuru Jitihada za JPM.

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 Před 20 dny +8

    Aisee biashara ya kila siku tunamshukuru rais tunamshukuru raisi, rais nimtumishi wa umma na si mungu mtu acheni ulimbukeni, ifike mahala mshukulu walipa kodi maana rais analipwa mshahara na anatekeleza majukumu yake acheni uzwazwa

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před 20 dny +19

    The legacy of John Pombe Magufuli

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 Před 18 dny

      Usituleteee usukuma wako na ushamba hyo magufuli ndo kajenga huo uwanja

  • @kassimubilali5259
    @kassimubilali5259 Před 20 dny +11

    Acha unafiki alianzisha magufuli

    • @kassimubilali5259
      @kassimubilali5259 Před 20 dny

      Sema alianzima magufuli mama ameendeleza ndiyo anastahili pongezi ila usiseme selikari zimepita wameshindwa

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Před 20 dny +5

    Jamani badisheni maneno tunamshukuru raisi , raisi,raisi kwani ndiye anatoa pesa mfukoni kwake ci Kodi zetu, washukuruni walipa Kodi ili kutoa hamasa ya kwa waendelee kulipa Kodi ,

  • @elidifridajingu3153
    @elidifridajingu3153 Před 20 dny +2

    Kazi nzuri ya magufuli. Ila kodi zetu hizoooo

  • @rojatv167
    @rojatv167 Před 20 dny +5

    Huyu msenge sana mtu kaaza maguful una mpongeza samia

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Před 18 dny

      Si kweli uwanja ulianza kujengwa baada ya magufuli kufariki

  • @roberttarimo4956
    @roberttarimo4956 Před 20 dny +7

    RIP John Pombe Magufuli, naibu waziri amekosea kuwa late JPM ndo aliamua kufanya hivyo.

    • @veronicalaiser7869
      @veronicalaiser7869 Před 20 dny

      Acha tu waendelee haki ya mtu iko pale pale.

    • @salmanmagwe2612
      @salmanmagwe2612 Před 19 dny +2

      Kwa nn kila mara unasisitiza atajwe Rais magufuli?ni km mmedhamiria ubaya fulani,mbona makao makuu Dodoma ilikuwa ni fikra ya mwalimu Nyerere na ndie alieanzisha ujenzi wake na hatajwi?mbona SGR ni fikra na plani ya Kikwete na hatajwi?
      Hii ni nchi Magufuli alifanya yake na Samia kafanya yake na wote wanatekeleza maamuzi ya wenzao waliotangulia au kuanzisha mengine na asipomalizia mwenzie atakamilisha

    • @christophersamwel8236
      @christophersamwel8236 Před 18 dny

      Shida yetu watanzania Sijuhi tumelogwa na Nani Now currently President ni SSH Pongezi ni kwake lakini Ndoto hizi ni za Mwl jk mwaka 1976

    • @venancemiyeji6804
      @venancemiyeji6804 Před 18 dny

      @@salmanmagwe2612 huo uwanja ni plani ya mwalimu toka zamani kama makoa maku ya nchi Dodoma sisi wenyeji wadodoma tunalijua hili eneo na watu walishazuwiwa miaka mingi sana na baadhi ya wengine walihamishwa kipindi cha mkapa. lakkini wakutimiza ndoto hizo pamoja na kuhamisha serikali dodoma alitafuta na hela za ujenzi wa uwanja tumeona hata kabla marehemu hajafa alimtuma Prof Paramagamba Kabubi na kaenda kufuata kuchukua benki ya afrika aambapo ni mkopo uliounganisha nabarabara za ring road. na hata angekuwa rais mwingine ilikuwa lazima atimize huo mradi lakini sio sifa kwa samia kwani nimuendelezo wa kazi iliyoachwa na uncle JPM.

    • @roberttarimo4956
      @roberttarimo4956 Před 18 dny

      Na yeye anatakiwa aje na ndoto zake, anatimiza tu ndoto za late Julius Nyerere and JPM. Ngoja mpaka atakapouza nchi ndo utaelewa

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 20 dny +2

    Hongera sana serikali na ss walipa kodi.

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před 20 dny +6

    Badala uwasifie watanzania kwa kodi zao nyinyi mnnasifia mama km katoa pesa mfukoni kwake,

    • @user-ji7sy2wi7b
      @user-ji7sy2wi7b Před 20 dny

      Acha makasiriko unadhani kama raisi hana utashi unaweza kujenga hata ukilipa kodi ? Mbona kuna nchi watu wanalipa kodi na zinaliwa au unadhani serkali haina kampuni zingine? Kuna nyanda mbali mbali zinazo ingiza pesa sio kodi yako tu. Huo ni ujinga

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 Před 19 dny +2

      ​@@user-ji7sy2wi7bhizo nyanga gan wew . Serikal Ina biashara gan. Nyanja zilizopo Ni Mali ya watz Kama maziwa , utalii, Bahar vyote Ni Mali ya watz achen kujipendekeza hela zote Ni za kodi mikopo inakopwa atakupa rais ? Mbona hamtumii uelewa vizur

    • @charleskibiki217
      @charleskibiki217 Před 10 dny

      Kama maziwa na vivutio vya utalii ni Mali ya mtz hebu fanya kama unaenda kuzuruA MBUgani ukutana na askàr wàwanyama Poli umwambie nimaliyako kamahujapewa likesi la kuhujumu uchumi

  • @elidifridajingu3153
    @elidifridajingu3153 Před 20 dny +2

    Kazi ya magufuli

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 20 dny +2

    Hongera zako wewe Kwa maelezo mazuri saana, Mwenyezi Mungu mpe Afya njema Rais wetu Kipenzi SSH

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 20 dny +6

    Kwani rais anatoa mshahara wake kujenga uwanja huo?
    Aibuuuu

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Před 20 dny +1

      Lazima wa anze na kushukuru wa bongo nani ame tu loga!!!

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před 20 dny

      Mbona miradi isipojengwa unamlaumu rais ila akijenga hutaki asifiwe wabongo chuki tu ndo zina wasumbua

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Před 20 dny

      Huyo ni wewe​@@mosesnyelo1380

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 Před 19 dny

      Kwanza hela hatoi Yeye ni za ufadhili wa AFDB African development Bank

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před 19 dny

      @@victorjames3730 jibu swali kwanini mnamsifiaga magufuli akijenga kwani pesa alikuwa anatoa kwenye mshahara wake?, n why mirad isipo jengwa mnamlaumu Rais? Kama hahusiki

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 Před 20 dny

    Here we go. Hongera mnoo

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 12 dny

    Tunamshukuru rais Samia kwa pumzi ya uhai sorry Mwenyezi Mungu kwa....hahahaa.

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r Před 20 dny +1

    Nimefurahi ulipoweka kumbukumbu sawa kuwa Ulianzwa kujengwa 2022 mwezi November maana ili tujue umejengwa na rais yupi maana ahadi zilianza tokea 1976

  • @jamesbundala4670
    @jamesbundala4670 Před 17 dny

    Mnamsifia Rais mpaka imekuwa kero sasa. Ataanza kuchukiwa.
    Ongelea utaalam moja kwa moja wote hapa tunafahamu Rais ni nani na anafanya nini

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 Před 19 dny +1

    Kilamtu anajuwa km nimpango wa jpm mama anamalizia programme zenyeamekuta

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 Před 17 dny

      kitu ambacho ni chema hasa ukizingatia Magufuli ndiye alomteua Samia, ingekuwa sio Magufuli hakuna ambaye angemjua Samia kama makamu na kama Rais

  • @kalingaasukile8730
    @kalingaasukile8730 Před 20 dny

    Kazi nzuri ya Rais Samia hii

  • @mwemezieladius5261
    @mwemezieladius5261 Před 20 dny

    😆😆😆😆😆😆 Kwan rais ndo katoa pesa hizo pesa akiacha amezikopa jpm na mkataba ukawa umesainiwa Samia aliweka jiwe la msingi lkn pesa aliikuta na huo mredi ulitakiwa uwe umeisha , eti mataifa kujifunza hv unaujua mji wa serikali wa misri nenda kaone alafu utaondoa hayo maneno 😂😂😂

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 Před 17 dny

    Huu uwanja ni ndoto ya Magufuli. Tusimsahau mapema hivyo!

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 20 dny

    WAOOO❤❤❤❤

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před 17 dny

    😂😂😂 kutoka dodoma kwenda serengeti distance inakuwa fupi zaidi

  • @roberttarimo4956
    @roberttarimo4956 Před 12 dny

    Anatekeleza tu kazi ambayo ilianzishwa na mtu, mwanzilishi ndo mwenyekupewa sifa, Yeye binafsi ameshindwa kuanzisha chochote amefanikiwa tu kupokonya rasilimali za watanzania na kuwapa waarabu kuanzia bandari mpaka maeneo ya mboga za hifadhi.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 18 dny

    SAMIA SULUHU INTENATIONAL AIRPORT DODOMA

  • @richq8678
    @richq8678 Před 20 dny

    Hawa watu wanazingua sana Kila siku wanatuonesha njia tyuu alafu jamani muache unafiki nakujipendekeza

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk Před 20 dny

    sawa tupo kwa kuanhalia halafu maziri tutayaona baada ya samia ajae ataonekana mbay kwasababu ya mazieri yanaoyofanyika ndivyo ilivyo

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Před 12 dny

    Hee jpm bwana ndo kaanzisha

  • @mustafachihepo5343
    @mustafachihepo5343 Před 20 dny

    Ndoto na kutekeleza ni vitu tofauti,kila mtu ana ndoto

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Před 17 dny

    Ring road 🛣️ imefikia wapi

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 Před 10 dny

    JAMANI RAIS NDIO MAGUFULI NA RAIS NDIO SAMIA, WANAPOSEMA MHE. RAIS WANAAMANISHA KITI CHA RAIS HATA KESHO AKIONDOKA SAMIA KWENYE KIT KABLA KUMALIZA MIRADI YAKE ITASEM AHIVYO TU KAZI YA MHE. RAIS MAANA RASI NI KITI NA TAASISI SKIONDOKA WA KUONDOKA KAZI YAKE IMEISHA AWEZI TENA KUTANJWA

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 Před 18 dny

    nyie mawaziri acheni kujipendekeza alie anza mradi huo ni JPM na akiwa na makamu wake samia hivi mkisema hivyo mnapungua nini badala yake hayo maneno yenu yanafamya wananchi wadhani kuwa rais anawatuma kumbe siyo nikujipendekeza tu

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Před 20 dny

    4:44 sio kweli dodoma to serengeti ni karibu zaidi ya Arusha, Mwanza na KIA to serengeti.
    bilioni 360, gharama kubwa sana. halafu uwanja ule wa mjini utakuwaje?

  • @badrimanu2468
    @badrimanu2468 Před 10 dny

    Tanzania?

  • @rizikylaizer1602
    @rizikylaizer1602 Před 20 dny

    Mm hapo siwezi wapongeza kwani ni pesa serikali haina😢 inafaaa wajitahidi zaidi ya hapo watu wapige kazi sasa tunalipa ushuru wa nn

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před 19 dny

    Hivi huo uwanja si unafadhiliwa na bank ya Africa (AFDB)?

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Před 18 dny

    Mradi wa 2022 huu

  • @karimkinwary4668
    @karimkinwary4668 Před 20 dny

    Waambie waongeze spidi upande wa jengo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 18 dny

    Tunahitaji barabara ya kibaha Dodoma itanuliwe

  • @mohamedkhalfan3553
    @mohamedkhalfan3553 Před 20 dny

    Rais bora zaidi Tanzania Mama Samia nchi ilikuwa imeanguka kiuchumi sasa imeanza kuinuka tena

    • @venancemiyeji6804
      @venancemiyeji6804 Před 18 dny

      Kwa kuongeza madeni na kuuza bandari bila kuwa na huruma kwa vizazi vijavyo na kurudisha utawala wa warabu kam a miaka ya 1400 wa utumwa wa mababu zetu na kubeba pembe za ndovu na kufungwa minyororo

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 12 dny +1

      Nchi iliweka rekodi kuwa middle income country ikiwa chini ya serikali ya JPM. So unaposema uchumi kuanguka kwa rekodi sahihi uchumi wa Tanzania ulianguka serikali ya awamu ya pili. Tangu serikali ya Mkapa Hadi hii iliyopo uchumi wa Tanzania haujawahi kuporomoka zaidi ukuaji wake umekuwa wa kujikongoja.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 18 dny +1

    Huo uwanja uitwe SAMIA SULUHU INTENATIONA AIRPORT DODOMA

  • @vincentnzuzu6342
    @vincentnzuzu6342 Před 20 dny +1

    Uwanja wa msalato uitwe Samia Suluhu Kwa heshima na kumbukumbu ya vizazi vijavyo