VIDEO: MUONEKANO WA DARAJA LA MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI), 'KUANZA KUTUMIKA DISEMBA 30 MWAKA HUU'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024

Komentáře • 48

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 8 dny +22

    Angekuwepo mwamba lingeisha isha siku nyingiiii

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před 8 dny +15

    Magufuli continue to rest in peace uncle 💌

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela1409 Před 8 dny +10

    Pongezi kwa walipakodi wote cheers to us 🥂

  • @vellenahfuraha6254
    @vellenahfuraha6254 Před 9 dny +10

    Mmechelewa sana.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 8 dny +7

    JPM: Asante mwamba, pumzika kwa amani. Tutaendelea kukukumbuka daima.

  • @vellenahfuraha6254
    @vellenahfuraha6254 Před 9 dny +14

    Angekuwepo mwenyewe lingeshapitika.

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Před 9 dny +5

    Jamani jitahidini sana daraja lianze kutumika kabla halijaanza kuchakaa Tena likakarabatiwa bila kutumika maana ni mda mrefu

  • @user-rz2dt2cn3p
    @user-rz2dt2cn3p Před 9 dny +4

    MUNGU AWAONGOZE MAFUND LIISHE KABSA MAANA TUMECHOKA KIVUKO CHAMKOMBOZI KUNAVUMBI NJIAYAKUINGILIA

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 Před 8 dny +5

    R I P JPM 😭😭

  • @mwemezieladius5261
    @mwemezieladius5261 Před 8 dny +4

    R.i.p jpm

  • @Madizizi
    @Madizizi Před 9 dny +3

    Sasa tarehe 30 desember kweli sasa hiyo si 2025😅

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 2 dny

    RIP Baba yetu Magufuli

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Před 8 dny +2

    Magufuri wewe😢😢😢😢😢😢

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 9 dny +7

    At least Tanzania Kodi zetu Wananchi zinaonesha utekelezaji katika Miradi ya Maendeleo tofauti na wenzetu wa Kenya ufisadi umekithiri. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

    • @bonvivant3704
      @bonvivant3704 Před 8 dny

      Mscheeew 🙄🙄

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 Před 8 dny +1

      Umewahi fika Kenya lkn?

    • @fififay4558
      @fififay4558 Před dnem

      Useless,tafuta dongo kundu bridge hapa CZcams ,lamu lapset corridor all complete projects but hatuna kelele kama nyinyi

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. Před 9 dny +2

    million 500 au billion 500? jaman nisaidien wanda sijaelewa yan ilo faraja ndo milion 500 mbona ndogo sana.

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk Před 8 dny +4

    Rais Samia tunashukuru kuendeleza mazuri ya Jpm

  • @user-bz7zt8np8m
    @user-bz7zt8np8m Před 8 dny

    Kazi iendelee

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 Před 8 dny +1

    I am not show, keep my words

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Před 8 dny +1

    Shid ni kweny izo nukta .61 zinafanyaj

  • @aminata3702
    @aminata3702 Před 8 dny

    from FAST to SLOW

  • @carolyneogall8967
    @carolyneogall8967 Před 7 dny +1

    Alafu watu wanasema mama hafanyi kazi jamani hiyo nini aikazi 😊

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 9 dny +6

    WAOO❤❤❤ SAF SANA SAMIA 5 TENA

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff Před 8 dny

    Magufuri upo kwenye mioyo ya watanzania daima tutakukumbuka😢

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei Před 5 dny

    Hapa wa kushukuriwa ni sisi walipa kodi, congore kwetu watanzania woteee tunaolipa kodi

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před 8 dny +1

    Hongera Serikali Yetu Tanzania kwa Kutekeleza Miradi Mikubwa kwa Manufaa ya Wananchi..Hogera CCM hongera Raisi Wetu Samia Suluhu Hassan 2025.

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile Před 7 dny

    Mbona sijaelewa apo naona kama kuna ardhi imetoka mwanzo wa had mwisho kwann isingepigwa rami tu apo kwenye ardhi

    • @Bartle20
      @Bartle20 Před 6 dny +1

      Hiyo sio ardhi hayo ni magugu maji yametuama hapo hata kama ingekuwepo ardhi ni lazima pangeinuliwa tu.

  • @m_x2933
    @m_x2933 Před 7 dny

    Izi ndo projects ambazo zinakidhi kuwa VAT free sio uhuni wa mwigulu na bashe kufanya VAT free uagizaj wa sukari zaid ya lak 4..akasemee VAT 510 billions sawa na ela ya kujenga ilo daraja...daaahhh

  • @jumahamadkali4683
    @jumahamadkali4683 Před 8 dny +4

    Samia anaupiga mwingi

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 9 dny +7

    Hapa kwa manufaa ya Taifa tuseme pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Ujenzi japo ni wajibu wao kuunganisha Wilaya, Mikoa na Nchi za Jirani katika ukuaji wa Uchumi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l Před 9 dny +6

      Pongez kwa magufuli wew❤❤

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Před 9 dny +3

      Watu wengine ni wapuuzi leo magu mnamsahau mpongezeni mam ila pia usisahau hii miradi ni ya magu

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 Před 8 dny +2

      Mama Samia anaingiaje hapa? Tumwogope Mungu, hapa wa kupongezwa ni hayati JPM. Mama apongezwe kwenye utalii lakini daraja hili, lile la Dar, SGR, bwawa la mwl. Nyerere WA kupongezwa ni kijana wa Chato

    • @dancerboy2686
      @dancerboy2686 Před 8 dny +1

      wee nae ni nyumbu tu

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před 8 dny

      ​@@fadhililihinda6491Tumia akili pia maana na yy angeiwacha akaja na miradi yake mengine uongozi ni taasisi alipo acha mwenzako wewe ndio una endeleza