At least Tanzania Kodi zetu Wananchi zinaonesha utekelezaji katika Miradi ya Maendeleo tofauti na wenzetu wa Kenya ufisadi umekithiri. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Izi ndo projects ambazo zinakidhi kuwa VAT free sio uhuni wa mwigulu na bashe kufanya VAT free uagizaj wa sukari zaid ya lak 4..akasemee VAT 510 billions sawa na ela ya kujenga ilo daraja...daaahhh
Hapa kwa manufaa ya Taifa tuseme pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Ujenzi japo ni wajibu wao kuunganisha Wilaya, Mikoa na Nchi za Jirani katika ukuaji wa Uchumi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Mama Samia anaingiaje hapa? Tumwogope Mungu, hapa wa kupongezwa ni hayati JPM. Mama apongezwe kwenye utalii lakini daraja hili, lile la Dar, SGR, bwawa la mwl. Nyerere WA kupongezwa ni kijana wa Chato
Angekuwepo mwamba lingeisha isha siku nyingiiii
Kabisaa
Magufuli continue to rest in peace uncle 💌
Pongezi kwa walipakodi wote cheers to us 🥂
Mmechelewa sana.
JPM: Asante mwamba, pumzika kwa amani. Tutaendelea kukukumbuka daima.
Angekuwepo mwenyewe lingeshapitika.
Jamani jitahidini sana daraja lianze kutumika kabla halijaanza kuchakaa Tena likakarabatiwa bila kutumika maana ni mda mrefu
MUNGU AWAONGOZE MAFUND LIISHE KABSA MAANA TUMECHOKA KIVUKO CHAMKOMBOZI KUNAVUMBI NJIAYAKUINGILIA
R I P JPM 😭😭
R.i.p jpm
Sasa tarehe 30 desember kweli sasa hiyo si 2025😅
RIP Baba yetu Magufuli
Magufuri wewe😢😢😢😢😢😢
At least Tanzania Kodi zetu Wananchi zinaonesha utekelezaji katika Miradi ya Maendeleo tofauti na wenzetu wa Kenya ufisadi umekithiri. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Mscheeew 🙄🙄
Umewahi fika Kenya lkn?
Useless,tafuta dongo kundu bridge hapa CZcams ,lamu lapset corridor all complete projects but hatuna kelele kama nyinyi
million 500 au billion 500? jaman nisaidien wanda sijaelewa yan ilo faraja ndo milion 500 mbona ndogo sana.
Ni Billion 500 (500B) Tsh.
Billion 500 bila Kodi rudia ku play video
Rais Samia tunashukuru kuendeleza mazuri ya Jpm
Kazi iendelee
I am not show, keep my words
Shid ni kweny izo nukta .61 zinafanyaj
from FAST to SLOW
Alafu watu wanasema mama hafanyi kazi jamani hiyo nini aikazi 😊
Kajenga yeye😂😂
Ni mwendslezo wa kazi alizozianza Magufuli 😅
WAOO❤❤❤ SAF SANA SAMIA 5 TENA
Kwan kajenga Samia
Magufuri upo kwenye mioyo ya watanzania daima tutakukumbuka😢
Hapa wa kushukuriwa ni sisi walipa kodi, congore kwetu watanzania woteee tunaolipa kodi
Hongera Serikali Yetu Tanzania kwa Kutekeleza Miradi Mikubwa kwa Manufaa ya Wananchi..Hogera CCM hongera Raisi Wetu Samia Suluhu Hassan 2025.
Mbona sijaelewa apo naona kama kuna ardhi imetoka mwanzo wa had mwisho kwann isingepigwa rami tu apo kwenye ardhi
Hiyo sio ardhi hayo ni magugu maji yametuama hapo hata kama ingekuwepo ardhi ni lazima pangeinuliwa tu.
Izi ndo projects ambazo zinakidhi kuwa VAT free sio uhuni wa mwigulu na bashe kufanya VAT free uagizaj wa sukari zaid ya lak 4..akasemee VAT 510 billions sawa na ela ya kujenga ilo daraja...daaahhh
Samia anaupiga mwingi
mavi
labda anapiga matako yko
@@joshuamsolla7376kama hutaki jinyonge
Hujielewi, kodi yako acha usengee.
Hapa kwa manufaa ya Taifa tuseme pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Ujenzi japo ni wajibu wao kuunganisha Wilaya, Mikoa na Nchi za Jirani katika ukuaji wa Uchumi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Pongez kwa magufuli wew❤❤
Watu wengine ni wapuuzi leo magu mnamsahau mpongezeni mam ila pia usisahau hii miradi ni ya magu
Mama Samia anaingiaje hapa? Tumwogope Mungu, hapa wa kupongezwa ni hayati JPM. Mama apongezwe kwenye utalii lakini daraja hili, lile la Dar, SGR, bwawa la mwl. Nyerere WA kupongezwa ni kijana wa Chato
wee nae ni nyumbu tu
@@fadhililihinda6491Tumia akili pia maana na yy angeiwacha akaja na miradi yake mengine uongozi ni taasisi alipo acha mwenzako wewe ndio una endeleza