HII NDIO SIRI YA KUJENGA DARAJA LA JPM KIGONGO NA BUSISI, RAIS MAGUFULI AWEKA WAZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 08. 2024
  • Dec 28, 2020 Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea nyumabni kwake Chato amekagua maendeleo ya Daraja la JPM Kigongo - Busisi ambalo litakuwa na urefu wa kilometa 3.2 na ndilo Daraja refu Afrika Mashariki na Kati

Komentáře • 418

  • @mamukassim4075
    @mamukassim4075 Před 3 lety +37

    Mnaotaka magufuli. Asiondoke madarakani like ili tujuane

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 Před 3 lety +50

    Nakupenda sana mkuu kwa maongezi yako napia kwa uthubutu wako,hakika tunakoenda panaonekana mkuu hii nchi yetu.Hudumu milele milele mkuu wangu Mhe Rais wetu /wetu John Pombe Joseph Magufuli

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 Před 3 lety +95

    Hadi natamani niombe uraia niwe mtanzania...JPM sio wa kawaida aisee! Mungu akuongoze rais wangu wa Afrika! Mimi mKenya 🇰🇪

    • @bojopa7
      @bojopa7 Před 3 lety +5

      Tuko pa1 sana ndugu yetu cc watanzania tunakupenda sana

    • @jumachilundajr4853
      @jumachilundajr4853 Před 3 lety +6

      @@bojopa7 omba tu uraiya hamna shida fata vigezo tu mwamba

    • @hashimabdallah673
      @hashimabdallah673 Před 3 lety +3

      Ahsante sana uaweza kuomba kwa kigezo hicho karibu tZ

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Před 3 lety +4

      Kwa mkenya kupata uraia Tanzania ni rais sana karibu Sana ndugu yetu

    • @lukandotv8101
      @lukandotv8101 Před 3 lety

      Ingekuwa inawezekana tungebadilisha

  • @sunyareh
    @sunyareh Před 3 lety +17

    Hakuna vyama vingi CCM yatosha. Vyama vingine vyote ni wabinafsi na pia wanatumiwa na wazungu wasio penda kuona maendeleo ya mwana wa afrika. Mugufuli ndio mkombozi wa bara la afrika nzima. Mungu akulinde Mh Raisi wa watu.

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 Před 3 lety +38

    A Successful Tanzania🇹🇿🇹🇿 is Success to East Africa and Africa as a whole... 🇰🇪 🇰🇪.

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 Před 3 lety +15

    Hongera sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM .MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUIPIGANIA NCHI YAKO, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE HERI,AFYA NJEMA NA BARAKA

  • @josephatmwambega2874
    @josephatmwambega2874 Před 3 lety +22

    Hongera mkuu holo ni letu wote niliwahi kupita hapo mars mbili
    Tunashukuru kwa maono yako
    Mungu akubariki sana

  • @maryammohammed5309
    @maryammohammed5309 Před 3 lety +30

    Mungu akubariki mzee inshaallah tupo pamoja tunakupa mkono ntalipa kodi mara mbili kujenga Tanzania

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Před 3 lety +61

    Mungu akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri kwa maono yako kwa watanzania

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Před 3 lety +16

    Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu na afya njema Mtukufu Rais wetu

  • @allystideforever6594
    @allystideforever6594 Před 3 lety +36

    Asanteee muheshimiwa nilpita juz tar 25 /12 aisee Mungu awe nawe

  • @bchikop
    @bchikop Před 3 lety +30

    My presider💪💪 Gonga kazi baba💪💪🤝

  • @makaveliomari7211
    @makaveliomari7211 Před 3 lety +19

    Mimi uwa namuita mfalme wa chato anaefanya tanzania ya watanzania kuwa bora mungu ibariki tanzania mungu ibariki Zanzibar mungu tubariki wote

  • @mrigojohn7326
    @mrigojohn7326 Před 3 lety +46

    Mzalendo wa kweli no hypocrisy in you our president.

  • @simonmuhoja149
    @simonmuhoja149 Před 3 lety +10

    Hongera Sana Mh. Rais tunaomba Mungu akupe maisha Marefu wewe nichaguo la Mungu.

  • @um_185
    @um_185 Před 3 lety +20

    Tanzania is truly thriving. Keep it up Mr president. May God Bless Tanzania and all Tanzanians.

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Před 3 lety +52

    Sina shaka na uongozi wa Raisi JPM. Mungu akulinde Watanzania tunakuhitaji.

  • @elishamkasu5191
    @elishamkasu5191 Před 3 lety +28

    Mungu akubariki Baba(Mweshimiwa Rais Wangu)

  • @ipyanaamos5105
    @ipyanaamos5105 Před 3 lety +45

    Maisha Marefu Muheshimiwa RAIS 🙏🏿

  • @zenj1986
    @zenj1986 Před 3 lety +28

    Mungu akupe maisha marefu ili ushuhudie Tanzania mpya. .

  • @j_gh812
    @j_gh812 Před 3 lety +20

    Mungu azidi kukubariki na kulinda raisi wetu kamanda wetu mkombozi wetu....

  • @petermanda4241
    @petermanda4241 Před 3 lety +16

    Pole sana mh!! Rais kwa yote hayo Mungu akutangulie katika harakati zako

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 3 lety +62

    THIS MAN IS MAKING US PROUD..... JPM MAKE TANZANIA GREAT AGAIN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 Před 3 lety +22

    Congratulations 👏🏽 Tanzania 🇹🇿 of People’s and have love 💗 of his owns people’s citizens populations country ❤️

  • @liliansamson674
    @liliansamson674 Před 3 lety +37

    Mwenyezi Mungu anamakusudi na wewe rais wetu.

    • @hermanshingisha8471
      @hermanshingisha8471 Před 3 lety +3

      MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS WETU MPENDA MAENDELEO. HONGERA SANA KIONGOZI WETU MAKINI

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 Před 3 lety

      @@hermanshingisha8471 hakika Huyu.ndio kiongozi nasiyo kidokozi

  • @enockoward2656
    @enockoward2656 Před 3 lety +9

    Nasemaga huyu jamaa aongezewe Muda aiseee
    Kama na wewe unawaza kama mm gonga like

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia3312 Před 3 lety +20

    Yani nilipoona Lissu anajigamba kuwa kwa vyovyote atangazwe yeye kama Rais alinitia hasira kabisa nikaamua kufunga biashara yangu kwenda kupiga tu kura ya Rais, maana hii nchi ingeuzwa kwa mabeberu, Magufuri Mungu akulinde wewe ni Baba wa Taifa hili, ungefuatia wewe baada ya Nyerere hii nchi tungekuwa mbali

    • @jacobmakono6983
      @jacobmakono6983 Před 3 lety +1

      Hahahaahaha!

    • @bojopa7
      @bojopa7 Před 3 lety +3

      Hongera sana mi niliwakuta kijiweni nikawauliza mmepiga kura wakasema hapana nikasema yess atapitaje

    • @bojopa7
      @bojopa7 Před 3 lety +3

      Atapitaje huyu Tundu wenu na hamkupiga kura

    • @hashimabdallah673
      @hashimabdallah673 Před 3 lety +4

      Aliyepashwa kufuatia baada ya Nyerere walimuua wahujumu uchumi lakini nawao wanateseka kwa sasa Sokoine

  • @faraolion6822
    @faraolion6822 Před 3 lety +38

    Hongera rais wetu

  • @dominicikuja7392
    @dominicikuja7392 Před 3 lety +30

    Hongera sana mhe rais kwa uzalendo huu ulionao

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Před 3 lety +4

    Mwenyezi MUNGU akubariki sana raisi wetu. Hongera sana kwa kutupigania sisi watanzani. Viongozi wa afrika tuige mfano huu wa uzalendo anaouonyesha mh. JPM. Kiukweli, hapa kazi tu.

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Před 3 lety +26

    Kiki toka chuma kinakuja chuma after magu I wish aje majaliwa Kassimu weweeeee Kama ulaya kazikazi safi Sana JPM

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety +10

    Mungu ame kuepusha na kifo miaka hiyo kweli Mungu ni mwema

  • @ramadhaniharuna8110
    @ramadhaniharuna8110 Před 3 lety +15

    Chuma kazini🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 Před 3 lety +30

    Serikali ya mwendo Kazi duo maana ya hapa Kazi tu JPM hoyee

  • @gloriakiria6096
    @gloriakiria6096 Před 3 lety +14

    Pongez sana mh rais mungu akupe nguvu na afya tele

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 Před 3 lety +13

    Congratulations president John Magufuli 👋🏽👍🏽🪐🌍🌏❤️💗🎉🥳💐🌹🥂👏🏽🙏🏽

  • @raymondanthony6207
    @raymondanthony6207 Před 3 lety +27

    Kweli ulikuwa ni mpango wa Mungu

  • @simonjoseph1775
    @simonjoseph1775 Před 3 lety +17

    Sawa kabisa rais mzalendo tunaweza sisi ni matajiri ila ufisadi ulituchelewesha, tawala miaka mingi mpaka roho za kifisadi ziishe.

  • @ashaimohammedi6754
    @ashaimohammedi6754 Před 3 lety +5

    Mungu akubariki raisi wetu akulinde inshaallah

  • @omarymasalu5072
    @omarymasalu5072 Před 3 lety +13

    Raisi wetu mpendwa❤

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 Před 3 lety +18

    Tujenge na ZANZIBAR rais wetu..daraja

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 Před 3 lety +2

      Nadhani atajenga la underground mpka Zanzibar kama la Uk

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x Před 3 lety

      Zanzibar akawajengea Rais wenu huko na sisi huku bara atatujengea MAGUFULI

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 Před 3 lety +11

    Mbeba maono hafiiiiii,.

  • @mushtaqdada9804
    @mushtaqdada9804 Před 3 lety +5

    Tanzania first magufuli beloved President

  • @josephramsonmtukufu3149
    @josephramsonmtukufu3149 Před 3 lety +8

    I'm proud of you mr president

  • @jastinekanjost8073
    @jastinekanjost8073 Před 3 lety +15

    Dream became true 🙏

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 Před 3 lety +37

    Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter3840 Před 3 lety +31

    We subiri siku moja atakuja na wazo la daraja kuunga Zanzibar na bara hii ni type nyingine kama mnategemea mipango ipangwe ulaya hapo mushafeli tunamaliza show wenyewe

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj Před 3 lety +4

      Aaah mzee huyu hashindwi.

    • @stevenfabian2208
      @stevenfabian2208 Před 3 lety +5

      Hilo wazo lipo aliwahi kulisema bado maamuzi tuu ck akiamkaa amepanga kumaliza utata tutaona mengne

    • @mohammedally2289
      @mohammedally2289 Před 3 lety +6

      Kiukweli jemma yuko serious kikazi honestly anamaanisha yale asemayo mungu amuongoze Amin

    • @bojopa7
      @bojopa7 Před 3 lety +1

      Kabisa bro tuko pa1

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj Před 3 lety +2

      @@mohammedally2289 na lazima watakuja kulijenga tu hilo daraja

  • @matukionavichekesho4678
    @matukionavichekesho4678 Před 3 lety +9

    Dah mungu akulinde mzee

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 Před 3 lety +7

    Mzee baba na pikipiki ushagonga uko sawa

  • @gwajiboiboi8664
    @gwajiboiboi8664 Před 3 lety +3

    Sithani Kama Atakujaga Kutokea Raisi Mwenye Maono Makubwa Kama wew Mzee Wangu Upendo wangu kwako Mungu ndio anajua

  • @kenicemkaka2824
    @kenicemkaka2824 Před 3 lety +18

    Dah jamani mungu atupe nini ndotumshukuru, watanzania ebu tumshukuru mungu kwakutupa kiongozi mwenye maona makubwa kama haya, mwenye udhubutu mkibwa kama huyu,aa huyu mtu cyo wakawaida inawezekana duniani hawez kutokea miaka mingi ijayo. binafisi natamani hata uongoze miaka mia aisee tubadishe katiba tusikubali watanzania kumpoteza joni asitafu tutampata nani kama yeye?

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Před 3 lety +1

    Asante sana Rais wetu JPM na Mungu akubariki kwa mawazo mema na akulinde ukamilishe kusudi la utumishi wako kwa Taifa letu Tanzania.❤🇹🇿🙏

  • @marthaleonard2444
    @marthaleonard2444 Před 3 lety +3

    Wewe nakupenda bure !Mungu akubariki sana !Na tumbo lilokuzaa libarikiwe mno !!Nakemea kila mpango ovu juu yako !Malaika wafanye kituo kukulinda!Umenigusa moyo wangu ,naahidi kukuombea !

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Před 3 lety +3

    Raisi hongera Sana unapiga kazi tunaona

  • @kakaziller
    @kakaziller Před 3 lety +13

    nakubali

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter3840 Před 3 lety +14

    Na ukileta mchezo unaliwa kichwa kama mkurugenzi wa igunga

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před 3 lety +7

    Pamoja Ako Magu. Tunakuombea

  • @zakariaalfred3167
    @zakariaalfred3167 Před 3 lety +34

    Mfalme namuona kwenye ubora wake

    • @leverimlaki5667
      @leverimlaki5667 Před 3 lety

      Ni Rais siyo mfalme. Elewa tofauti ya Rais na mfalme.

  • @dullasalim8603
    @dullasalim8603 Před 3 lety +15

    Mzee magu wewe nishida sijui kama tutakuja kumpata mtu kama wewe

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před 3 lety +8

    Asante sana mheshimiwa

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay5296 Před 3 lety +1

    Mwenyezi mungu akulinde, kiongozi kama wewe afrika ajawayi tokeya hata mmoja.
    May Allah protect you all the time our hero.

  • @mussajohn8182
    @mussajohn8182 Před 3 lety +1

    Heshima kwako mtani wangu magufuli mungu akuongoze kazi zako zoooooote ilatu na sisi apo Dodoma mpunguzi tulete maendeleo hata uwanja za ndege weka mahala pazuli sana

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 3 lety +18

    Mzee baba oyee

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 Před 3 lety +4

    MUNGU akupe maisha marefu, 🇹🇿🙌

  • @simonntibaziyaremye5607
    @simonntibaziyaremye5607 Před 3 lety +7

    Wewe Rais Magufuli Mungu akulinde tu sina mengine .wenzako majilani kuliko kutekeleza wanainchi wawo wanawawuwa tu eti sio wanachama au wanapinga chama.Hivyo wenzako kila siku hewani safali kwenda kwa Mabelelo !!!!!

  • @rogatiusscarion726
    @rogatiusscarion726 Před 3 lety +5

    Man of the people ✊

  • @chuwafamily496
    @chuwafamily496 Před 3 lety +4

    Walio kuwa wanasubiri mkoa wao utajwe lakini haijatajwa naombeni like zenu😅😅😅

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 3 lety

      Alisema Watanzania wote wamechangia. Kwahiyo ni mikoa yote.

  • @methuselayusto9708
    @methuselayusto9708 Před 3 lety +3

    Mungu akulinde rais wetu

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 3 lety +3

    "Tanzania ni tajiri" Watanzania tunaweza bila msaada kutoka kokote,isipokuwa kwa Mungu pekee. Salaam kwako Jpm.

  • @salvatorsalvation1455
    @salvatorsalvation1455 Před 3 lety +4

    Goooooooooood

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 3 lety +2

    Mungu akutunze Mh Rais 🙏

  • @dicksoncario3365
    @dicksoncario3365 Před 3 lety +4

    indeed Tanzanians u av the very best prezo ever in the whole world hata natamani awe mkenya wetu lakini tuombeeni tupate kiongozi mwenye kuhudumia wakenya bila tamaa

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc Před 3 lety +1

    Nakupendaga sana, nakuombea sana na Mungu akupe nguvu na hekima utuongoze

  • @dominicponsian4360
    @dominicponsian4360 Před 3 lety +4

    Oooh Rest In Peace Dr Magufuli💔💔🇹🇿✨

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 Před 3 lety +2

    Nimependa sana hii hongera mzee

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 Před 3 lety +2

    Ila we mzee uko karibu sana na mungu, Apo uliponea chupu chupu, na kwenye kupewa sumu, mungu, akusimamie. Maana una nia njema na nchi yako.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 3 lety +1

    Hakika ni kazi kubwa sana unayofanya mh.raisi.asiyekubali ni mfu.

  • @williamlucas238
    @williamlucas238 Před 3 lety +3

    ",DR. JPM ,RAIS WA WATANZANIA HONGERA SANA KWA MOYO WA UZALENDO"

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri4690 Před 3 lety +8

    Nchi inaenda kwa kasi

  • @fatmamatola393
    @fatmamatola393 Před 3 lety +1

    Safi baba yetu Mungu akulinde sana na akuongoze zaidi na zaidi na atawale miaka 20

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Před 3 lety +8

    Duu magu oyeeeeee

  • @deusrobert1343
    @deusrobert1343 Před 3 lety +1

    Asante sana rais wetu kutuongoza kuelekea nchi ya asali na maziwa🇹🇿🦒

  • @exaudvahaye8873
    @exaudvahaye8873 Před 3 lety +1

    Tunakushukuru MUNGU kwa ajili ya Rais huyu Magufuli
    we love u

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 Před 3 lety +2

    Hakika Rais Magufuli Ni mtu mwenye maono ya Hali ya juu Sana. Vyote hufanya kwa hisi za maono ya MUNGU. Ninakuombea kila siku Mungu akupe uhai mrefu.

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Před 3 lety +2

    The of king 👑 of Africa 🌍💪🤔🙏

  • @lisajema743
    @lisajema743 Před 3 lety +5

    Magufuli ni mwanaume asee

  • @michaelmedard5709
    @michaelmedard5709 Před 3 lety +3

    God bless our president abundantly

  • @zaharaniiddy5572
    @zaharaniiddy5572 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki sana raisi wetu mpendwa JPM

  • @mohamedindalo2663
    @mohamedindalo2663 Před 3 lety +3

    TANZANIA RAHA SANA

  • @filbertodilo8035
    @filbertodilo8035 Před 3 lety +2

    😢😢😢 ingekua ridhaa yangu ungeendelea hadi kifo

  • @rubenisaitoti3612
    @rubenisaitoti3612 Před 3 lety +1

    Hongera san mungu akulinde

  • @eliamsigwa1533
    @eliamsigwa1533 Před 3 lety +2

    Make Tanzania great viva JPM

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Před 3 lety +11

    🙏🏼🙏🏼

  • @eliufoowiliam8882
    @eliufoowiliam8882 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki sana na akulinde.

  • @kassimm.kassin5472
    @kassimm.kassin5472 Před 3 lety +3

    Hongera Magu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 3 lety +1

    🔥🇹🇿😜❤️ Mungu akupe maisha maref mkuu

  • @gladynicolaus956
    @gladynicolaus956 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki na akulinde raisi wetu

  • @julianacharles6014
    @julianacharles6014 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki Rais wangu 😢

  • @badmanwilly1784
    @badmanwilly1784 Před 3 lety +7

    Hujawah kosea mheshimiwa

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 Před 3 lety +1

    Mashaallah mungu akuongoze baba etu magufuli