Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
Gnga LIKE kwa Hayati JPM
Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?
Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm
Wow beautiful 😻
Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu
Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena
Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji
Hili daraja halijaishaga tu duuh
Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.
Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi
Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
Gnga LIKE kwa Hayati JPM
Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?
Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm
Wow beautiful 😻
Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu
Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena
Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji
Hili daraja halijaishaga tu duuh
Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.
Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi