DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024

Komentáře • 11

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 Před 23 dny +3

    Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 22 dny +8

    Gnga LIKE kwa Hayati JPM

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 Před 22 dny +3

    Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?

  • @African511
    @African511 Před 18 dny

    Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm

  • @worldtechlab
    @worldtechlab Před 23 dny

    Wow beautiful 😻

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Před 22 dny

    Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před 22 dny

    Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 22 dny

    Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji

  • @ZeProDJay
    @ZeProDJay Před 22 dny

    Hili daraja halijaishaga tu duuh

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 Před 21 dnem

      Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 17 dny

    Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi