#TBC1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024
  • Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
    Mtangazaji - Vumilia Mwasha
    Mwongozaji - Neligwa Muggitu
    Mdhamini - AZANIA BANK

Komentáře • 46

  • @SalumuChikoi
    @SalumuChikoi Před 15 dny +16

    Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Před 14 dny +13

    MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 Před 11 dny +4

    Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM

  • @johanesemmanuel4655
    @johanesemmanuel4655 Před 15 dny +7

    Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen

  • @anastazialushika
    @anastazialushika Před 8 dny +1

    Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,

  • @JohanessMarwa
    @JohanessMarwa Před 15 dny +4

    Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍
    Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 8 dny +1

    Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake

  • @zawadimwangupili4518
    @zawadimwangupili4518 Před 8 dny +1

    Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki

  • @shaibchigwere4645
    @shaibchigwere4645 Před 6 dny +1

    Engineer wa power house yuko good kwa kuyelezea

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před 14 dny +3

    Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 Před 14 dny +2

    Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal5454 Před 13 dny

    Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Před 9 dny +1

    ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Před 8 dny +2

    R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Před 15 dny +2

    Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před 15 dny +2

    🇹🇿🇹🇿🌹👏

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 12 dny +1

    Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa

  • @LuckymusykiLuckymusyoki
    @LuckymusykiLuckymusyoki Před 14 dny +3

    Dada unajua kazi yako

  • @YohanaYoramu-nl6bw
    @YohanaYoramu-nl6bw Před 14 dny +2

    Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri

  • @WilliamSamwel-vh5op
    @WilliamSamwel-vh5op Před 5 hodinami

    Nyinyi ni matapeli tu miaka minga yapita mnatengenezatu

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Před 15 dny +3

    Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 Před 2 dny

    Hawa wasemaji sio type ya wanawake wenye mvuto kwa kuleta mvuta wa biashara Nb tafuteni wanawake walio na nguvu ya kumvutia mtu sio hawa hata sauti sio NZURI

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 12 dny

    Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 Před 2 dny

    Jpm ashukuriwe alikubali kuvunja UJINGA WA WAZUNGU NA AKARHIBUTU KUJENGA DAM YA SELOUS .

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 Před 8 dny

    Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 14 dny

    Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 11 dny +1

    Jpm

  • @Madizizi
    @Madizizi Před 15 dny

    Kila siku 98% tumechoka kusubiri

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Před 9 dny +1

    AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před 13 dny +2

    Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure

    • @killy_hoffman2698
      @killy_hoffman2698 Před 12 dny

      mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay Před 11 dny +2

      Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..

    • @user-ub3xh7ug6c
      @user-ub3xh7ug6c Před 5 dny

      Nafuu ip​@@killy_hoffman2698

    • @user-ub3xh7ug6c
      @user-ub3xh7ug6c Před 5 dny

      Nafuu ip​@@killy_hoffman2698

  • @emmanuelmalifedha3391
    @emmanuelmalifedha3391 Před 15 dny +1

    Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo

    • @matheobaha773
      @matheobaha773 Před 15 dny

      Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před 14 dny

      Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 15 dny +1

    Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.