Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2023
  • #Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
    Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM. Alipokuwa waziri wa ujenzi na usafirishaji.
    DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM II Jul 19, 2013
    Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https

Komentáře • 48

  • @christophertanu1880
    @christophertanu1880 Před měsícem +21

    Magufuli ulikuwa Rais kweli kweli. Kifo chako ni pigo la maisha kwa nchi yetu. Umetuachia Shida baba😭

  • @nyandaephraim4039
    @nyandaephraim4039 Před měsícem +10

    Rais wangu Magufuli endelea kupumzika kwa Amani ulitupenda sana🌹

  • @MzunguNamungu
    @MzunguNamungu Před měsícem +3

    Ulikua vzr mno father,waliofanya mtandao wa kukuua wametutesa cn watanzania.hakika Leo tunalia

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 Před 10 měsíci +15

    Mzee miss you sanaaa!!!!ulikua na matumizi sahihi ya akili!!!

  • @user-vv6ox9xh9k
    @user-vv6ox9xh9k Před měsícem +12

    Hakika huyu ndie alikua kiongozi mpenda nchi yake, alikua mtu sahihi kwetu

  • @mamboshepea8888
    @mamboshepea8888 Před 10 měsíci +12

    Hatuwezi elewa...unafki mwingi Afrika ukiwa mkweli hupendwi, kwa wenzetu wazungu hakunaga unafki...ndo maana kuna usemi unasema aheri mchawi kuliko mnafki anakuangamiza huku anakuchekea!!

  • @Jumacharlesmadale2958
    @Jumacharlesmadale2958 Před 2 měsíci +12

    Baba ulikuwa kiongozi mzalendo sana siwezi kupingana na mipango ya MUNGU ulikuwa Rais

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 10 měsíci +17

    Huyu Mze hakuwa kuwa fake toka mwanzo wa maisha yake. 😢😢
    Sijuwi kwa nini wa Afrika hatuelewi umuhimu wa hizi hazina😢😢

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840

    kwangu bado n RAIS wangu hadi apatikane wakumzidi

  • @davykisabo875
    @davykisabo875 Před měsícem +6

    Dah huyu ndiye mwana halisi wa Africa, kazi yake mola Haina makosa umelala usingizi wa milele ila vitendo vyako , maneno yako yataishi vizazi na vizazi

  • @joelmnzava
    @joelmnzava Před 10 měsíci +15

    Mzee alikua mtata tangu miaka akiwa wizara ya ujenzi

    • @geey7893
      @geey7893 Před měsícem +2

      Aisee ivi hawakuogopa kumpa uraisi mtu mkorofi hivi😂😂😂😂

    • @ananiachelesi1486
      @ananiachelesi1486 Před měsícem +6

      Na wewe ni miongoni mwa waafrika usiyeelewa ukorofi na ufatiliaji na uwajibikaji ni nini.mwisho umetafusili mkorofi aise pole.

  • @innocent91044
    @innocent91044 Před měsícem +6

    Nnammiss Sana huyu Mzee Kila nikitizama yanayoendelea nnashindwa kuelewa ni kwanini aliondoka mapema hivi.

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před měsícem +5

    Alikuwa mwamba kweli kweli rip jpm

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f Před 14 dny

    Huyu Mzee alikuwa ni mtu wa kutekeleza angepewa uraisi akiwa kijana tungeshafika mbali sana Tanzania na Africa kwa ujumla✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 Před dnem

    yaani hyu mzee alikuw powerful toka yupo waziri.

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b Před měsícem +2

    Jpm nimekumiss sana Mzee wangu but sababu mungu kakuita bas sawa kapumzike kwa amani rais wangu naimai ww ndio rais wangu mpka natiweka duniani

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Před měsícem +2

    Wapigaji hawakuwa na nafasi na tena. Saa hii wanaendelea na upigaji wao. Pumzika baba

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 Před 10 měsíci +10

    Msema kweli
    Rip 🎉

  • @johanesitembe2440
    @johanesitembe2440 Před měsícem +6

    Hapa kazi tu

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Před měsícem +4

    R. I. P Mjomba MAGU😭😭😭😭😭

  • @kaayafred3545
    @kaayafred3545 Před 10 měsíci +8

    Otakumbukwa afrika nzima kwa ukweri wako ,Baba

  • @stevinmwanzaa1785
    @stevinmwanzaa1785 Před 20 dny +1

    Hapo bado ni wazir

  • @babajohn8308
    @babajohn8308 Před 10 měsíci +4

    Dah😢😢

  • @bennie7239
    @bennie7239 Před měsícem

    Huko kanda ya ziwa misimamo ya hii bado ipo, wekeni chuma kingine nchi inyooke hii. Watu pwani wanabembeleza mno 😎

  • @geraldndila5172
    @geraldndila5172 Před měsícem +2

    Robert sidhani kama utakuwa naakili timamu aisee

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před měsícem +3

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před měsícem +2

    Huyu jamaa alikua kiongozi mzuri lkn kosa kubwa alilolifanya kua wapinzani dictetor wahatari

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v Před měsícem

      Kiongozi lazma awe mang'a huku Bara la Africa, la si hivyo...

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv Před měsícem +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ElishaKalinabhene-mm2fr
    @ElishaKalinabhene-mm2fr Před měsícem

    👊

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 Před 29 dny

    Jaman jpm .

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 Před měsícem

    R.I.P

  • @JohnMongi-gp2zj
    @JohnMongi-gp2zj Před měsícem

    Hatar sana magufuli

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 Před měsícem

    Tshet za jpm zinapatikana wapi

  • @josephnyalomba860
    @josephnyalomba860 Před měsícem

    Leta futi 😂😂😂😂😂R.I.P J.P.M

  • @user-yq4wf4qo9t
    @user-yq4wf4qo9t Před měsícem

    Yupo mtu anaitwa Masunga hanafaa kuwa raisi wa nchi.

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha Před 23 dny

    😂😂😂😂😂😂😂😂 daaa

  • @edwardmwambene3748
    @edwardmwambene3748 Před měsícem

    RIp jpm

  • @HamadiRamadhani-y2n
    @HamadiRamadhani-y2n Před 21 dnem

    Hapakazi tu

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 Před 29 dny

    Jaman jpm .

  • @ELISHAPHILLIPO
    @ELISHAPHILLIPO Před měsícem

    Baba tutakukumbuka

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 Před 29 dny

    Jaman jpm .