MAAJABU DARAJA LA MAGUFULI KIGONGO BUSISI, RASMI KUANZA KUTUMIKA, TANROADS WATOA TAARIFA HII KUBWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 19

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i Před 17 dny +1

    Jp Makufuli 😅😅😅

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 18 dny

    Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 18 dny +1

    Tanzania inanyanyuka..
    .

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Před 18 dny +4

    Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 18 dny +4

    Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani

  • @MashauriissaMohamed

    Tutakukumbika Kwa mazuri yako

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před 17 dny

    Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 16 dny

    Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před 18 dny

    Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 Před 18 dny

    Sio meta ni metet

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 18 dny

    Mchango wa mama upo.....

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 18 dny +1

    Mbona nguzo zajuu zinaonekana sio imara mjitafakari

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 18 dny

      Kutalipuliwa sasa mfuatiliaji ayupo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 16 dny

      Engineer wewe? Yaani kwa picha tayari umeshaona ubovu wa daraja?🤣

    • @MalamboSelijusi
      @MalamboSelijusi Před 15 dny

      @@kambamazig02024 tulia mmh jambo dogo Hilo unapo ambiwa jambo lifanyie kazi