Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
Vložit
- čas přidán 22. 12. 2018
- Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, anapokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
Katika hafla hiyo Rais magufuli amemkabidhi captain wa kwanza wa shirika la ndege kwa kitendo chake cha ujasiri kwa kuruka na ndege kutoka Nairobi hadi Dar es salaam kwa nguvu bila kujali kulipuliwa.
Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
#RAISMAGUFULI
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Daaaaah Jpm alikumbuka watu waliotoa maisha kwa ajili ya Nchi. Jaman 😢😢😢😢😢😢😢.LALA BABA HAKIKA ILE KAULI YA UPENDO WEWE NDO ULIIONESHA DHAHILI.
We always missing u mzee John pombe joseph magufuli
Daaaaah JPM 😢😢😢😢 mwamba umelala. Ila roho yako inaishi Baba
Wow congratulations nikawie moja sir Mr Mapunda ukikuja Kenya unirushie Mungu akuongezee mara mia
Hongera Rais magufuli kumkubuka mzee mapunda mzalendo hongera sana rais safi Kenya subutu hakuna wakuwakubuka wazalendo ata ufanye nn utojulikana na yoyote yule family yko tu ndio watakubuka i salute u Mr.orezo bigup muheshimiwa from saudi Arabia
Nimelia jaman kwa Furaha😭😭😂😂😂😂R.I.P Rais wetu
JOHN MAGUFULI IS THE BREATH OF FRESH AIR , JPM HOYE
My president from another country. May your soul Rest in Perfect Peace!.
Amen. Be blessed ndg
Ongera sana rais wa Tanzania kwakua unawatambua mashujaa wa nchi yako nakuwatetea wananchi bila kuwabakua. Naamini kenya mungu atatujalia raisi ambae atakua wa hekima na mwenye roho wa utu 2022 .twakupenda nchini Kenya kwa kazi yako nzuri. Mungu aibariki Tanzania.
Mh.yaani kazi yako ni ya tofauti Sana..!! Sijawahi kuona uongozi wa aina hii,super sana mzee
tangia dunia ianzee sijawai onaa this man had a rare character. Stay blessed wherever you are magufuli
Hapa mzee MAGUFULI nimekuelewa sana..barikiwa
Much respect to Mr. President. You never forget where we were and those devoted to our country. Capt Mapunda and Mfugale are live examples. May you continue with same spirit and strength. Will continue to pray for you, future leaders and our beloved country. Mungu Ibariki Tanzania.
Hakika Uncle Magu nakuelewa sana MUNGU Aendelee kukutunza👏👏👏
Wallahi kweli ni Rais wa watanzania,im so proud of you Mr president,you deserve the 2nd term kuwa Rais wa Tanzania na mungu akubariki,2020 kura yangu wewe chukuwa
Huyu raisi tutakuja kumkumbuka sana
Saaanaaaa tena zaidi ya sana
Natamani guhamia Tanzania
Tayar tuna mkumbuka
Asee we Jamaa uliona mbali sana asee R.I.P JPM ntakupenda milele
Tusha mkumbuka
Yaani mhe Magufuli mie nafurahi ndani ya roho. Hakika umebarikiwa Imani na Fadhila. I cant wait to meet you hakika watapata kigugumzi walotuonea haki yetu mimi na wenzangu. Najua siku itafika Inshallah.
Naipenda tanzania Mungu akubarikisana magufuli
Safiri salama Baba Magufuli.Mimi mkenya lakini nitakukumbuka sana kwa mfano mwema ulionyesha duniani.God bless you
Safiri salama baba yetu Rais wa Africa yetu Milele utabaki mioyoni mwetu daima J.P.M
Sijawahi tuma comment Leo numeguswa baba kwa stahili hii songa mbele daima ni vizuri Sana kukumbuka wazalendo na wahasisi wa nchi hiii nasema asante
Waaaw you'll be remembered generation to generation. JPM rest in peace
Rest In peace JPM
akika nahamini tanzania mumebarikiwa kiongozi bora duniani raisi anayependa watu wake bila ubaguzi natamani niwe mtanzania ilabasi tena congo inabowa ata raisi wangu anijue
Karibu sana
Poleni
What a President he was💞
🎩👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Hon Magufuli, hehehehe, I like the way he recognises his patriots one by one.....
Heaven sent,Mr Maghufuli.
Raha sanaaar....Ebu Mke wa mapunda aje hapa 😍😍😍😍😍😍
dooo miaka mingi sana alipo Iba ndege kule kenya,maRais woote wamepita kimya kama hawamjui,magu kiboko yao mafisaidi.ocd mlinde sana mzee wetu aliyetuibia ndege kenya.
kweli
nawapenda Sana wazalendo woteee, TANZANIA kwanza kwani huwezi jua kesho Asante JPM Asante mzee mapumda
Apo wadau watatengeneza fursa. Siti ya mapunda atapewa Juma 😤😅😅 ole wenu😣😮😮
😂😂😂😂😂😂,hapo nakubali Makufuli!,unawakumbuka kule mumetoka.Mungu akubariki !.
God bless my present jpm god bless Tanzania
I love this.
Kwa kweli sion ubaya wako kwa sababu baya moja mazuri 99 lini na saa ngapi nitaona ubaya wako!!!ni wakwanza kulipa fadhira na kumpa mtu heshima anayostahili akiwa bado anaishi hivyo kumfanya mtu ajivunie kuwa mzalendo wa Taiga lake
Nani kama huyu Tanzania.
Jibu-hakuna
Mungu akuone.
Amiin
We will forever mic u our president, magufuli "gone but never forgotten"
Kiongozi bora ni yule anaewapenda watu wake nawao kumpenda yeye 🇹🇿 twakuombea kila jema na iwe mfano kwa watakao kuja
Da mimi sijui nisemeje magufuli Mungu akulinde sana kwa kuwakumbuka mashujaa wetu love you saaaaaana Rais wangu magufuli
Mzee naomba tusaidie sisi , kwa safari za ndani nauli iwechini kidogo
Rais Magufuli Wakenya Twakupenda Bure. ..Hongera Baba Taifa
KWELI WASUKUMA TUNAUPENDO.
Nataman awe anasoma comments asee mzee wetu ww Ni binadam wakipekee sana Mungu akupe umri mrefu uzidi kusaidia wanyonge na waliosahaulika
Ewe mwenyez MUNGU enderea kuimarisha afya yake raisu wetu
Aamin
MashaAllah. Safi kabisa!😘🤩🤗👍
Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri mrefu rais wa Marais JPM
Napenda sana kutoka Kenya
Rewarding experience and merit promote n provokes patriotism
Magufuli wewe! Mingi akubariki sana. Kuna wengi viongozi hawajali mwingine ila wao na jamii zao wenyewe.
Kind hearted president RIP@JPM u will always be remembered dear
Asante Sana mshimiwa
Pumzika kwa amani raisi wangu hakika nina kidonda😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻
Global TV, pia mubarikiwe kwa kazi mzuri,
God give us another one like this one.The last breed of good African leader
Always excellent
Kapande za jeshii.....😂😂😂hamna rais kama magufuli namkubali sana mheshimiwa
Lala salama Magufuli 🙏
hahah, eti asiwe anasafiri kila siku, nimecheka mwe...
We will miss u forever😢😢😢😢😢
wat do we have to do to get such leaders??? much love from +254
I can't get tired of watching president JPM, he awarded a thief of stealing Kenyan plane,
What a Recognition of uzalendo 😂😂😂😂
Huyo mapunda ni mwizi wa ndege si msalendo 😂😂😂😂
Nakupenda tu bure raise makafuli
Mungu hakubariki Rais wetu
Halisia Isaya : complicated speech or bad writing " hakubariki".
Tanzania tuna kila sababu kumshukulu Mungu kwa Ris alie tupatia
Hongera magu saluti
Mungu amrehem jpm
Maguful you are the best
Brother,you are the best president l have seen in Africa,may God bless you.we are live in diaspora supervising what's up in Africa mama,keep the candles burning
Amen amen
supervising so that you do what with that supervision report?
In my country the ones who would be entrusted with guarding the man would be the first to betray him
Thx Mr president
DAH : MZEE HUJA TEGEMEA HATA NDOTONI
Dah sio mchezo
Hhehehehehe Mzee mapunda wa kwetu songea ,mjomba magu asante sana kwa kazi nzuri
Hii ni pesa ya raia, angetunzwa kwa meadli wala si pesa.
Sana tu
Daaaah eh mungu
I love so much the tanzanian president Magufuli
Bonge moja la Rais atokuja tokea kama ww
na kweli wengine tulikuwa atujui leo tumejua abarikiwe sana
Nakubaliana nawew
Ewe mwenyez MUNGU mkuu zidi kuturindia raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Athuman Omary mungu wa mabomu au
Mimi nazani maombolezo yangu yatakuwa tofauti ni ya milele mpaka mungu na mimi atakapo ni chukua nilimpenda sana magufuli my president
Alikuwa kiongozi wa kugusa mioyo ya watu sana. Alipenda nchi yake na watu wake
Mfanya wema hadumu ukiwa na MA Rais 10 kama magufuli Africa inageuka Europe onetime within 10 years ruling the countries
Kwa kweli anastahili sana huyu mzee kupata tuzo na heshima hiyo!
Hongera Sana Mtukufu Rais
👍👍👍👍
Daaaaa p1 sana baba
Magufuli, nadhani mungu anakutumia kwa njia ya kuing'arisha TV, nitakuita Musa aliye ongoza manaisraeli jangwani.
Nakukubali sana mh Rais wangu
Kwaungozi wako jpm Mimi najitoa.kwenye uzarendo mpaka ujuee maanaa ya democracia na.bado utakamatwa wewe. Jpm pombe mbovu toatoa hizo kodi zetu wa tz unajifanya zako utakufa kama nkurunzinza wa.Burundi utafatia wewe jpm ameni mungu yupo amina
Naomba Mapunda aje atembeleye Majeshi ya Congo na Wafanya siasa wa Congo, pia na wewe Magufuli, Ubaya gani tunayo kwako? kuje tembeleya DRC tunakupenda!!!! na Uchunge kijana wako Felix...
BIKO IYO
Dah, barikiwa raisi wetu
Lovely
Mama mapunda!! 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpka nataka kujamba
Taarifa ya habari
Wooow! John Pombe Joseph Magufuli! Lala pema baba!
Mzee mapunda anza safari moja kupanda Air bus kwenda ughaibuni Ila hongera sana Mr presdaaa
well done our president Dr John Joseph Pombe Maghufuli
😂😂😂😂😂watani zake Magu unaweza kuta ameoa mke mdogo, na kweli anamke mdogo 😂😂😂😂🙌
Umenifurahisha rais 💃💃💃💃💃
Dah hatutosahau
Akina Mapunda Kama mm mikono Juu
Tupo
Magufuli tawala daima
I miss my late President .😢
Kenya waliiba tatu
Rais Magufuli ni ZAIDI ya MARAIS WOTE.
NINAMPENDA SANA.
La..hiyo hela nairobians masaaa mawili wamemaliza ijummaa
Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?
Uongoz wa Nyerere umexhuhudia?