Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 12. 2018
  • Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
    Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, anapokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
    Katika hafla hiyo Rais magufuli amemkabidhi captain wa kwanza wa shirika la ndege kwa kitendo chake cha ujasiri kwa kuruka na ndege kutoka Nairobi hadi Dar es salaam kwa nguvu bila kujali kulipuliwa.
    Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
    #RAISMAGUFULI
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Komentáře • 407

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 Před 2 měsíci +4

    Daaaaah Jpm alikumbuka watu waliotoa maisha kwa ajili ya Nchi. Jaman 😢😢😢😢😢😢😢.LALA BABA HAKIKA ILE KAULI YA UPENDO WEWE NDO ULIIONESHA DHAHILI.

  • @johnkiyaga1615
    @johnkiyaga1615 Před 3 lety +21

    We always missing u mzee John pombe joseph magufuli

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 Před 2 měsíci +3

    Daaaaah JPM 😢😢😢😢 mwamba umelala. Ila roho yako inaishi Baba

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi5940 Před 5 lety +18

    Wow congratulations nikawie moja sir Mr Mapunda ukikuja Kenya unirushie Mungu akuongezee mara mia

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 Před 4 lety +4

    Hongera Rais magufuli kumkubuka mzee mapunda mzalendo hongera sana rais safi Kenya subutu hakuna wakuwakubuka wazalendo ata ufanye nn utojulikana na yoyote yule family yko tu ndio watakubuka i salute u Mr.orezo bigup muheshimiwa from saudi Arabia

  • @blackvirus8740
    @blackvirus8740 Před 3 lety +9

    Nimelia jaman kwa Furaha😭😭😂😂😂😂R.I.P Rais wetu

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius2713 Před 4 lety +18

    JOHN MAGUFULI IS THE BREATH OF FRESH AIR , JPM HOYE

  • @keithochieng8805
    @keithochieng8805 Před 3 lety +13

    My president from another country. May your soul Rest in Perfect Peace!.

  • @viviantenai4599
    @viviantenai4599 Před 4 lety +3

    Ongera sana rais wa Tanzania kwakua unawatambua mashujaa wa nchi yako nakuwatetea wananchi bila kuwabakua. Naamini kenya mungu atatujalia raisi ambae atakua wa hekima na mwenye roho wa utu 2022 .twakupenda nchini Kenya kwa kazi yako nzuri. Mungu aibariki Tanzania.

  • @rajabusungi5050
    @rajabusungi5050 Před 4 lety +9

    Mh.yaani kazi yako ni ya tofauti Sana..!! Sijawahi kuona uongozi wa aina hii,super sana mzee

    • @choosenempire7772
      @choosenempire7772 Před 2 lety

      tangia dunia ianzee sijawai onaa this man had a rare character. Stay blessed wherever you are magufuli

  • @tendatanzania9483
    @tendatanzania9483 Před 5 lety +16

    Hapa mzee MAGUFULI nimekuelewa sana..barikiwa

  • @mohamedakrabi4801
    @mohamedakrabi4801 Před 3 lety +4

    Much respect to Mr. President. You never forget where we were and those devoted to our country. Capt Mapunda and Mfugale are live examples. May you continue with same spirit and strength. Will continue to pray for you, future leaders and our beloved country. Mungu Ibariki Tanzania.

  • @peterndossy3008
    @peterndossy3008 Před 4 lety +4

    Hakika Uncle Magu nakuelewa sana MUNGU Aendelee kukutunza👏👏👏

  • @seadogs4460
    @seadogs4460 Před 4 lety +3

    Wallahi kweli ni Rais wa watanzania,im so proud of you Mr president,you deserve the 2nd term kuwa Rais wa Tanzania na mungu akubariki,2020 kura yangu wewe chukuwa

  • @issahhussein1922
    @issahhussein1922 Před 5 lety +48

    Huyu raisi tutakuja kumkumbuka sana

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 Před 4 lety +3

    Yaani mhe Magufuli mie nafurahi ndani ya roho. Hakika umebarikiwa Imani na Fadhila. I cant wait to meet you hakika watapata kigugumzi walotuonea haki yetu mimi na wenzangu. Najua siku itafika Inshallah.

  • @seraphinembila6745
    @seraphinembila6745 Před 4 lety +8

    Naipenda tanzania Mungu akubarikisana magufuli

  • @hezy7595
    @hezy7595 Před 3 lety +4

    Safiri salama Baba Magufuli.Mimi mkenya lakini nitakukumbuka sana kwa mfano mwema ulionyesha duniani.God bless you

    • @christinesulle5051
      @christinesulle5051 Před 3 lety

      Safiri salama baba yetu Rais wa Africa yetu Milele utabaki mioyoni mwetu daima J.P.M

  • @user-je1id1tx1u
    @user-je1id1tx1u Před 5 lety +1

    Sijawahi tuma comment Leo numeguswa baba kwa stahili hii songa mbele daima ni vizuri Sana kukumbuka wazalendo na wahasisi wa nchi hiii nasema asante

  • @roselinendegwa2158
    @roselinendegwa2158 Před 3 lety +6

    Waaaw you'll be remembered generation to generation. JPM rest in peace

  • @seraphinembila6745
    @seraphinembila6745 Před 4 lety +18

    akika nahamini tanzania mumebarikiwa kiongozi bora duniani raisi anayependa watu wake bila ubaguzi natamani niwe mtanzania ilabasi tena congo inabowa ata raisi wangu anijue

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 3 lety +4

    What a President he was💞
    🎩👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 Před 4 lety +8

    Hon Magufuli, hehehehe, I like the way he recognises his patriots one by one.....

  • @bosszulu245
    @bosszulu245 Před 3 lety +1

    Heaven sent,Mr Maghufuli.

  • @mmaahsayyid1858
    @mmaahsayyid1858 Před 5 lety +4

    Raha sanaaar....Ebu Mke wa mapunda aje hapa 😍😍😍😍😍😍

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba4850 Před 5 lety +6

    dooo miaka mingi sana alipo Iba ndege kule kenya,maRais woote wamepita kimya kama hawamjui,magu kiboko yao mafisaidi.ocd mlinde sana mzee wetu aliyetuibia ndege kenya.

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    nawapenda Sana wazalendo woteee, TANZANIA kwanza kwani huwezi jua kesho Asante JPM Asante mzee mapumda

  • @khatibalamin401
    @khatibalamin401 Před 5 lety +10

    Apo wadau watatengeneza fursa. Siti ya mapunda atapewa Juma 😤😅😅 ole wenu😣😮😮

  • @josphatkirui7732
    @josphatkirui7732 Před 5 lety +3

    😂😂😂😂😂😂,hapo nakubali Makufuli!,unawakumbuka kule mumetoka.Mungu akubariki !.

  • @hassanmpwepwe8258
    @hassanmpwepwe8258 Před 3 lety +2

    God bless my present jpm god bless Tanzania

  • @johnmorrisnyagado6364
    @johnmorrisnyagado6364 Před 5 lety +7

    I love this.

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian6209 Před 5 lety +3

    Kwa kweli sion ubaya wako kwa sababu baya moja mazuri 99 lini na saa ngapi nitaona ubaya wako!!!ni wakwanza kulipa fadhira na kumpa mtu heshima anayostahili akiwa bado anaishi hivyo kumfanya mtu ajivunie kuwa mzalendo wa Taiga lake

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 4 lety +4

    Nani kama huyu Tanzania.
    Jibu-hakuna
    Mungu akuone.
    Amiin

  • @allymohamed3090
    @allymohamed3090 Před 3 lety +5

    We will forever mic u our president, magufuli "gone but never forgotten"

  • @khalfanabdallah5360
    @khalfanabdallah5360 Před 4 lety +6

    Kiongozi bora ni yule anaewapenda watu wake nawao kumpenda yeye 🇹🇿 twakuombea kila jema na iwe mfano kwa watakao kuja

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 Před 4 lety +1

    Da mimi sijui nisemeje magufuli Mungu akulinde sana kwa kuwakumbuka mashujaa wetu love you saaaaaana Rais wangu magufuli

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 Před 5 lety +16

    Mzee naomba tusaidie sisi , kwa safari za ndani nauli iwechini kidogo

  • @wanjiruwathuo3643
    @wanjiruwathuo3643 Před 3 lety +2

    Rais Magufuli Wakenya Twakupenda Bure. ..Hongera Baba Taifa

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg Před 7 dny +1

    KWELI WASUKUMA TUNAUPENDO.

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 Před 4 lety +3

    Nataman awe anasoma comments asee mzee wetu ww Ni binadam wakipekee sana Mungu akupe umri mrefu uzidi kusaidia wanyonge na waliosahaulika

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +19

    Ewe mwenyez MUNGU enderea kuimarisha afya yake raisu wetu

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 Před 5 lety +5

    MashaAllah. Safi kabisa!😘🤩🤗👍

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 Před 3 lety +1

    Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri mrefu rais wa Marais JPM

  • @iconnectafrica1840
    @iconnectafrica1840 Před 5 lety +2

    Napenda sana kutoka Kenya

  • @e.jack.47
    @e.jack.47 Před 3 lety +1

    Rewarding experience and merit promote n provokes patriotism

  • @jamesgitahikahuro2443
    @jamesgitahikahuro2443 Před 3 lety +3

    Magufuli wewe! Mingi akubariki sana. Kuna wengi viongozi hawajali mwingine ila wao na jamii zao wenyewe.

  • @sulaimankalisa7247
    @sulaimankalisa7247 Před 3 lety +1

    Kind hearted president RIP@JPM u will always be remembered dear

  • @muganziivankaganzi.7300

    Asante Sana mshimiwa

  • @shadjimmy2766
    @shadjimmy2766 Před 2 lety +1

    Pumzika kwa amani raisi wangu hakika nina kidonda😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻

  • @christopherowino1816
    @christopherowino1816 Před 5 lety +1

    Global TV, pia mubarikiwe kwa kazi mzuri,

  • @maasaione6474
    @maasaione6474 Před 3 lety +1

    God give us another one like this one.The last breed of good African leader

  • @lomulendavid8283
    @lomulendavid8283 Před 4 lety +2

    Always excellent

  • @mohaz612
    @mohaz612 Před 5 lety +18

    Kapande za jeshii.....😂😂😂hamna rais kama magufuli namkubali sana mheshimiwa

  • @josphatmichori1455
    @josphatmichori1455 Před 3 lety +1

    Lala salama Magufuli 🙏

  • @hemed4064
    @hemed4064 Před 4 lety +4

    hahah, eti asiwe anasafiri kila siku, nimecheka mwe...

  • @yagadizzo8632
    @yagadizzo8632 Před 3 lety +1

    We will miss u forever😢😢😢😢😢

  • @nickyrude5766
    @nickyrude5766 Před 5 lety +10

    wat do we have to do to get such leaders??? much love from +254

  • @WE4Kenya
    @WE4Kenya Před 4 měsíci

    I can't get tired of watching president JPM, he awarded a thief of stealing Kenyan plane,
    What a Recognition of uzalendo 😂😂😂😂
    Huyo mapunda ni mwizi wa ndege si msalendo 😂😂😂😂

  • @lavenderlucy3444
    @lavenderlucy3444 Před 5 lety +1

    Nakupenda tu bure raise makafuli

  • @halisiaisaya7832
    @halisiaisaya7832 Před 5 lety +1

    Mungu hakubariki Rais wetu

    • @saalimmohammed3256
      @saalimmohammed3256 Před 5 lety

      Halisia Isaya : complicated speech or bad writing " hakubariki".

  • @ukombozimiracle8332
    @ukombozimiracle8332 Před 4 lety +2

    Tanzania tuna kila sababu kumshukulu Mungu kwa Ris alie tupatia

  • @omarmsellem9969
    @omarmsellem9969 Před 4 lety

    Hongera magu saluti

  • @user-fi9ot6xk8l
    @user-fi9ot6xk8l Před 3 měsíci

    Mungu amrehem jpm

  • @ramadhanimsuya842
    @ramadhanimsuya842 Před 4 lety +1

    Maguful you are the best

  • @kennedykenney8201
    @kennedykenney8201 Před 5 lety +8

    Brother,you are the best president l have seen in Africa,may God bless you.we are live in diaspora supervising what's up in Africa mama,keep the candles burning

  • @ellyayieko357
    @ellyayieko357 Před 3 lety +1

    In my country the ones who would be entrusted with guarding the man would be the first to betray him

  • @sengendotwaha9333
    @sengendotwaha9333 Před 5 lety +1

    Thx Mr president

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 4 lety +6

    DAH : MZEE HUJA TEGEMEA HATA NDOTONI

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 Před 5 lety +1

    Hhehehehehe Mzee mapunda wa kwetu songea ,mjomba magu asante sana kwa kazi nzuri

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po Před 5 měsíci

    Sana tu

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 6 měsíci

    Daaaah eh mungu

  • @happypro3212
    @happypro3212 Před 5 lety +1

    I love so much the tanzanian president Magufuli

  • @chechelawasafi3409
    @chechelawasafi3409 Před 5 lety +11

    Bonge moja la Rais atokuja tokea kama ww

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +8

    Ewe mwenyez MUNGU mkuu zidi kuturindia raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 Před 3 lety +1

    Mimi nazani maombolezo yangu yatakuwa tofauti ni ya milele mpaka mungu na mimi atakapo ni chukua nilimpenda sana magufuli my president

    • @mathewbahati2831
      @mathewbahati2831 Před 3 lety

      Alikuwa kiongozi wa kugusa mioyo ya watu sana. Alipenda nchi yake na watu wake

  • @richardburengengwa6998

    Mfanya wema hadumu ukiwa na MA Rais 10 kama magufuli Africa inageuka Europe onetime within 10 years ruling the countries

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri4372 Před 5 lety +1

    Kwa kweli anastahili sana huyu mzee kupata tuzo na heshima hiyo!

  • @zachariahtomemba9070
    @zachariahtomemba9070 Před 3 lety

    Hongera Sana Mtukufu Rais

  • @hassanjongo403
    @hassanjongo403 Před 5 lety +2

    👍👍👍👍

  • @omarychipeta5081
    @omarychipeta5081 Před 5 lety

    Daaaaa p1 sana baba

  • @christopherowino1816
    @christopherowino1816 Před 5 lety +1

    Magufuli, nadhani mungu anakutumia kwa njia ya kuing'arisha TV, nitakuita Musa aliye ongoza manaisraeli jangwani.

  • @frankjulius7978
    @frankjulius7978 Před 3 lety

    Nakukubali sana mh Rais wangu

  • @langatouch4677
    @langatouch4677 Před 3 lety +1

    Kwaungozi wako jpm Mimi najitoa.kwenye uzarendo mpaka ujuee maanaa ya democracia na.bado utakamatwa wewe. Jpm pombe mbovu toatoa hizo kodi zetu wa tz unajifanya zako utakufa kama nkurunzinza wa.Burundi utafatia wewe jpm ameni mungu yupo amina

  • @karhikalembo3014
    @karhikalembo3014 Před 5 lety +1

    Naomba Mapunda aje atembeleye Majeshi ya Congo na Wafanya siasa wa Congo, pia na wewe Magufuli, Ubaya gani tunayo kwako? kuje tembeleya DRC tunakupenda!!!! na Uchunge kijana wako Felix...

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 Před 5 lety +5

    BIKO IYO

  • @alexmaige1450
    @alexmaige1450 Před 3 lety

    Dah, barikiwa raisi wetu

  • @nelsondiba
    @nelsondiba Před 3 lety

    Lovely

  • @suleymanally4729
    @suleymanally4729 Před 4 lety +6

    Mama mapunda!! 😂😂😂😂😂

    • @OmanOman-hr6cb
      @OmanOman-hr6cb Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpka nataka kujamba

  • @elisantemollel3525
    @elisantemollel3525 Před 5 lety +1

    Taarifa ya habari

  • @enosokothetyang
    @enosokothetyang Před 3 lety

    Wooow! John Pombe Joseph Magufuli! Lala pema baba!

  • @manselimartni5608
    @manselimartni5608 Před 5 lety

    Mzee mapunda anza safari moja kupanda Air bus kwenda ughaibuni Ila hongera sana Mr presdaaa

  • @mguuwangutv1979
    @mguuwangutv1979 Před 5 lety

    well done our president Dr John Joseph Pombe Maghufuli

  • @juliethhouseofdesigns147

    😂😂😂😂😂watani zake Magu unaweza kuta ameoa mke mdogo, na kweli anamke mdogo 😂😂😂😂🙌

  • @friminamkenda7405
    @friminamkenda7405 Před 3 lety

    Umenifurahisha rais 💃💃💃💃💃

  • @adilomar3199
    @adilomar3199 Před 3 lety

    Dah hatutosahau

  • @wolfhelmgothom6641
    @wolfhelmgothom6641 Před 5 lety +11

    Akina Mapunda Kama mm mikono Juu

  • @edwinshigongo3213
    @edwinshigongo3213 Před 4 lety +1

    Magufuli tawala daima

  • @elishajoshua4892
    @elishajoshua4892 Před 2 měsíci

    I miss my late President .😢

  • @abdinoorshariff4321
    @abdinoorshariff4321 Před 5 lety +1

    Kenya waliiba tatu

  • @fundieddy3490
    @fundieddy3490 Před 5 lety +32

    Rais Magufuli ni ZAIDI ya MARAIS WOTE.
    NINAMPENDA SANA.