MBARAWA : ZAIDI YA ABIRIA 40 ELFU HADI SASA WAMETUMIA TRENI YA SGR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • KARIBU TUKUHUDUMIE

Komentáře • 30

  • @JombaTUncleT
    @JombaTUncleT Před 7 dny

    Fursa kubwa hii. Kuishi Moro kufanya kazi Dar. Hali ya Hewa Moro ni poa na hakuna foreni. Hongera TRC, #Jomba_T👍😎🇹🇿

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 21 dnem +8

    Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 21 dnem

      Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?

    • @HASASON
      @HASASON Před 21 dnem

      Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Před 21 dnem +4

    Moro kuzuri mazingira mazuri

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 21 dnem +6

    Hizi sit bila cover st tutalaumiana

  • @babajay3445
    @babajay3445 Před 21 dnem +4

    Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 21 dnem +3

    Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!

  • @bonaventuralupogo2149
    @bonaventuralupogo2149 Před 22 dny +8

    kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine

    • @akidamakida6092
      @akidamakida6092 Před 21 dnem

      Just imagine.. I really dont understand!!

    • @HASASON
      @HASASON Před 21 dnem

      Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 Před 20 dny

      Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 21 dnem +2

    Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu

  • @DeogratiasMadaraka-b9v
    @DeogratiasMadaraka-b9v Před 20 dny +1

    Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @joshuachimwejo5892
    @joshuachimwejo5892 Před 18 dny +1

    TRC tafadhali sana, nawaomba washaurini TARURA/TANROAD/MANISPAA YA MOROGORO waweke lami kipande cha barabara ya kutoka Station hadi barabara kuu ya Morogoro-Dodoma(Kihonda kwa Chambo). Kipande hicho kina vumbi kali sana.
    Mtu anatoka kwenye treni akiwa msafi, kufika kwa Chambo hatamaniki, huo sio ustaarabu tunaoutaka watanzania kwasasa.

  • @babajay3445
    @babajay3445 Před 21 dnem +1

    Safi sana

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 Před 21 dnem +1

    Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 Před 19 dny +1

    ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei Před 19 dny

    Soon tutasikia kapewa mwekezaji

  • @amirisaid6341
    @amirisaid6341 Před 21 dnem +2

    Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?

    • @Ambagaye
      @Ambagaye Před 21 dnem +1

      Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii

    • @amirisaid6341
      @amirisaid6341 Před 21 dnem

      @@Ambagaye 👍

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 Před 21 dnem +6

    Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli

    • @NDEWARA
      @NDEWARA Před 21 dnem

      Pole 😅

    • @lifeonearth94
      @lifeonearth94 Před 21 dnem +1

      Magu alikuwa na maono sana

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před 21 dnem +1

      Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před 21 dnem +1

    Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa

  • @ShabaiSadick
    @ShabaiSadick Před 21 dnem +1

    Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?