Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Dah imenigusaa.wakaka badala ya isharobalo na kupenda slope. Kaka wa watu anapambana jikkn kuingiz lizki .dah safi sana nimemkubali
Hongera sana kijana
Mungu abariki sana Kazi za Mikono yako , na utimize Malengo yako Kaka Yasni.
Maashalah maashalah Allah jalia wote wenye kutafuta lizik za.halali wafanikiwe inshaalah
Nmependa sana ,Mungu aniwezeshe nifanye kwa kiwango kizur
MUNGU AWABARIKI SANA KWA ELIMU HIII NZURI
😋😋😋 zinaonyesha tamuu asee hongera kaka
Maa Shaa Allah, laini Rangi Nzuri,Hongera Kaka.
Aaa usimchukulie biashara yake
Bomba sana
I like it sana
Mjanja wakulipe usiwaonyeshe siri zako za biashara
Ubarikiwe kaka! Na unga kilo 5 na sukari kiasi gani
Habari naomba kuuliza swami kaka
YUPO TABATA IPO YASIN
Wabongo kwa kunusa nusa kudadeki😂😂😂😂
Wanaume tafuten pesa
Niaj kijana mwezangu Mimi naitwa Jose nataka kujuwa ishu ya mgahawa inaripa nipe ripoti buroo 0743694140 nipe ramani kaka angu pamoja
Unga kiasi gani?huo
Kilo ngap izo
Kaka unatumia maji ya moto au balidi
Naweza kupata mawasiliano yake
Hot warm or cold water
Chapati angu zinakua ngumu Sana kwanini
Naomba kuelimishwa kidogo, samli ni blue band?
Samli ni mafuta
Blueband ni siagi sio samli
Usipoweka sukari je
Sukari inanogesha mpnz
hadi mate yananitoka
Naomba no zake
Hii tabata wap jamani kwa mnaojua tukamuungishe kaka yetu
Tabata ya kinyerezi unashuka pale kwetu pazuri
Huyu yasin Bado yupo hapo kinyerezi???
@@stormyleysly9823 ndugu yangu nielekeze fresh
Dah imenigusaa.wakaka badala ya isharobalo na kupenda slope. Kaka wa watu anapambana jikkn kuingiz lizki .dah safi sana nimemkubali
Hongera sana kijana
Mungu abariki sana Kazi za Mikono yako , na utimize Malengo yako Kaka Yasni.
Maashalah maashalah Allah jalia wote wenye kutafuta lizik za.halali wafanikiwe inshaalah
Nmependa sana ,Mungu aniwezeshe nifanye kwa kiwango kizur
MUNGU AWABARIKI SANA KWA ELIMU HIII NZURI
😋😋😋 zinaonyesha tamuu asee hongera kaka
Maa Shaa Allah, laini Rangi Nzuri,Hongera Kaka.
Aaa usimchukulie biashara yake
Bomba sana
I like it sana
Mjanja wakulipe usiwaonyeshe siri zako za biashara
Ubarikiwe kaka! Na unga kilo 5 na sukari kiasi gani
Habari naomba kuuliza swami kaka
YUPO TABATA IPO YASIN
Wabongo kwa kunusa nusa kudadeki😂😂😂😂
Wanaume tafuten pesa
Niaj kijana mwezangu Mimi naitwa Jose nataka kujuwa ishu ya mgahawa inaripa nipe ripoti buroo 0743694140 nipe ramani kaka angu pamoja
Unga kiasi gani?huo
Kilo ngap izo
Kaka unatumia maji ya moto au balidi
Naweza kupata mawasiliano yake
Hot warm or cold water
Chapati angu zinakua ngumu Sana kwanini
Naomba kuelimishwa kidogo, samli ni blue band?
Samli ni mafuta
Blueband ni siagi sio samli
Usipoweka sukari je
Sukari inanogesha mpnz
hadi mate yananitoka
Naomba no zake
Hii tabata wap jamani kwa mnaojua tukamuungishe kaka yetu
Tabata ya kinyerezi unashuka pale kwetu pazuri
Huyu yasin Bado yupo hapo kinyerezi???
@@stormyleysly9823 ndugu yangu nielekeze fresh