Ngowi TV. "KILIMO KINANIPA JEURI, HATA UNIPE AJIRA NA MSHAHARA WA MILIONI MBILI, SITAIKUBALI"
Vložit
- čas přidán 30. 03. 2019
- Tazama Makala hiya mjasiriamali na ujionee jinsi ambavyo mjasiriamali na mkulima wa Strwaberry Hasani Yakubu anavyotumia fursa ya ardhi yenye rutuba iliyopo katika milima ya uruguru kulima kilimo cha strwaberry na hatimae kutengeza fedha nyingi.
Ngowi TV Hongera sana. Channel yako ni ya tofauti kabisa inaelimisha umma wa Watanzania. Channel nyingi za CZcams ni udaku tuu ambao haubadilishi maisha yetu
Hongera Ngowi TV. hivi ndio vitu vinavohitajika kwa Tanzania yetu mpya. Tumebarikiwa kuwa na nchi nzuri. Tuilime na kuijenga.
Mie ni mkenya na nimenufaika na mawaidha yako ya ukuzaji stroberi,hongera kaka
Watazamaji wetu mnaweza kuwasiliana na mjasiriamali huyu Hasani Yakubu, kwa namba za simu +255716508848
Shukran sana
big up brother naona ume target kwenye mazao yasiotiiliwa maanani na watu
Habari !! Hongera kwa kilimo cha kisasa ninaitaji mawasiliano yako .
0767279194
Ahsante kwa namba... Ntakutafuta
fresh food , hongera sana , ujuzi wa mali asili ni kipaji cha wengi TZ hasa wakulima
Tanzania pana amani na wala sio kama Somalia. Watanzania mumshukuru Mola na hiyo neema ya amani.
Hongera Kwa uthubutu kaka..
Naomba nijifunze mengi toka kwako
You are soo creative brother congratulations brother
Hongera sana jamaa, nimependa uthubutu wako.
Wow hongera sana kutuelimisha kazi ni kazi bora uwe una heshimu kazi hongera Hasan mungu akubariki na kazi ya mikono yako mtu anaeza pata shamba huko ya kukodisha nikuje huku tulime from 254
Unataka Tanzania sehem gan?mkoa au wilaya gan?
Asanteni sana kwa kuanzisha channel hii mbarikiwe zaido
Nimekuelewa kaka naanza sasa hivi. Nimejifunza sana barikiwa na mungu
Asante sana hizi ndizo habari nzuri
Bro uko vizur sana vijana atutaki kujishuulishaa na kilimo
Wakat kilimo ndio kina tutoa
Hongera Sana Hassan Yakub
Hongera sana
Big up umekuja na vitu very productive
Huyu jamaa hakukurupuka, alifanya utafiti kabla ya kuingia kwenye strawberries..mfano kuigwa. Vijana tuige hili.
watu wengi wanaongelea faida bila gharama zake!!!je gharama ya heka moja kuanzia mwanzo mpaka unavuna ni kiasi gani?kilo moja ni Tshs 10,000/= je gharama ya hii Tshs 10,000/= ni shilingi ngapi?au faida kwa kilo moja baada ya gharama zote ni shilingi ngapi?
Fredrick Mgongolwa ukipiga mahesab ni kama mil 7 mpaka 8 kwa heka 1
Fredrick Mgongolwa
😂 😂 hicho kinaitwa KILIMO CHA MAANDISHI bro...
Ukiskia makadirio ya faida unaweza ukatamani uanze kesho kwenda shambani kulima.😂😂😂
@@msetyntorah804 katishaneni tamaa tuu.
Braza ur so briliant
kuna mazao mengine kama vanila yenye pesa nyingi sana zaid ya strowbeey vanila 1kg ni dola $400 mpaka $600. ni sisi 2 vijana tuache kujieka mjini akat utajir upo shambani. kubali kuonekana mchafu lkn unajua unacho kifanya. big up sana bro me next year ntaekeza kweny strowbery.
Acha utani ww
Ni serious?
@amanistephano umeanza kulima? Uliahidi kuanza mwaka huu.
Ahsante kaka Aman
Brother umenipa motisha sanaaaaaaaa kwel umeamua nko Arusha natafta mtaji ntakuja morogoro kulima maybe mwakani brother yanii
Nimekubali bro!
Mawasiliano bro
Nakubali @hassanyakub
nin kwel kaka watu tunasema maisha magumu kilimo kinalipa
Braza ulishawahi kufikilia zile gar znapita kwenye kamba kutoka milimani
safi
Namba zako kaka
Ukitaka mali, utaipata shambani.
Vizuri kiongozi
Huyu kijana ni mpambanaji akaze zaidi
Hasan naomba namba ya cm pls
Naomba mawasiliano ya hasaan yakubu
mafuta ya mchaichai yanakuaje, naomba mnisaidie
Kiukweli nilikuwa sifikirii kujisajili na na hii channel! Ila baada ya kusikiliza kwa kina nimejikuta na subscribe,Ni zaidi
Hongera hasani
hongera kaka unachapa kaz vijana mjini kuna tudanganya
safi
safii
Brother umenigusa kwenye michaimichai naomba namba yako
0716508848 namba ya muhusika wa strwaberry
Daah hizo mbegu za strawberry zinapatikana wap Kwa DSM?
Mkuu Hassan hongera saana. Mapambano yaendelee....
Insha allah utafika wajina hata mi natamani sana kuingia huko namba namba yako wajina
Tuongee kuhusu soko la mchai chai
samahani kaka napenda kupata mawasiliano yako
Ndoto nimejifunza
Me naitaji shamba uko naomba namba zako
🔥🔥🔥🔥
Me nataka namba ya huyo kaka anielekeze na dawa za kuwatibu kuku
Nmekubali na nmeshawishik nitaktafta bro unipe mwangaza katka hali y hewa ya huku kwetu
Naombeni mawasiliano na huyu hassani
mashallah kaka mwenyezi mungu akubalikiye kazi zako mimi naitaji kilimo npo nje ya nchi narud nijiajili nakilimo umesema kilimo cha mchaichai nami naitaji kilimo kwa mawasiano no yg +968 97745907
1.Upo China sumaiya????.
2. Ulisomaga algebra islamic?
Mawasiliano yako kaka
Kwani hakuna wadada wanaotazama maana namskia brother tyu Kila akiongea
Mwandishi ndo alikuwa brother
Watanzania bhna
fuga punda au ngombe wakusaidie kubeba hio mizigo
JAMAAA ANA AKILI SANA YA MAISHA 🙌 RESPECT
mimi Natak kulima mchaichai nipo zanzibar soko lipo wapi?
Darajani
Hahaaaaha!!! Utafanikiwa kwa zali la mentali. Duuuuuuuh
Tuwasiane me nipo mbagala
Big up
Tuna mpataje
no yg +96897745907 yoyote anaye mjuwa huyu kaka aniuganishe nae
Sumaya Bakar +255716508848Hassan Yakubu
Sumaya Bakar hujambo?
@@rahmakulwaguchibakulwaguch3313 sijambo
Black berry 🍇🍓 nazipenda jomon kumbe zinalimwa hapo moro tu tunazipataje wa mkoan broo tupen namba zake
0716508884
0716508848
Sante sana ndugu Daud
Karibu Mariam usijali
Mm Niko kigoma kasulu nilitaka kujiunga na ukulima wa mchai chai mawasiliano yangu ni 0764790265 naomba tuwasiliane ili niweze kuanza kilimo hicho Mara moja
Niombe namba yake 0713691929 nimejifunza kitu
heshima kaka nitakupataja na mm niingie kwenye kilimo hicho make kweme eneolangu ninalolima mahindi nikalibu na maji nilitaka nianze kulima ilozao nisaidie ushauli 0754336328
Naomba unitafute inbox tuongelee kilimo plz
@@magdalenayunia9102 namim 0713327782
Je wewe ni mjasiliamali na ungependa upate soko kirahisi? Fungua link hiyo chini ...fursa hii ni bure kabisa kwa Watanzania wote
docs.google.com/document/d/1ZMoFqxg8yhFD5Hn0-QKW3v2MeJvREu2i9PPFbjWQX7Y/edit
mbona sijaona hilo shamba la kusema aitwe king ,
Endelea kutoliona
Abdulrazak Gwotta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@fatmaabdilahi1007 Hellow mambow.
@@fatmaabdilahi1007 wanazingua wabongo.
@@fatmaabdilahi1007 Naomba namba yako.