Ngowi TV. "KILIMO KINANIPA JEURI, HATA UNIPE AJIRA NA MSHAHARA WA MILIONI MBILI, SITAIKUBALI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 03. 2019
  • Tazama Makala hiya mjasiriamali na ujionee jinsi ambavyo mjasiriamali na mkulima wa Strwaberry Hasani Yakubu anavyotumia fursa ya ardhi yenye rutuba iliyopo katika milima ya uruguru kulima kilimo cha strwaberry na hatimae kutengeza fedha nyingi.

Komentáře • 107

  • @goodluckmachangu5941
    @goodluckmachangu5941 Před 5 lety +26

    Ngowi TV Hongera sana. Channel yako ni ya tofauti kabisa inaelimisha umma wa Watanzania. Channel nyingi za CZcams ni udaku tuu ambao haubadilishi maisha yetu

  • @alltanzania
    @alltanzania Před 5 lety +3

    Hongera Ngowi TV. hivi ndio vitu vinavohitajika kwa Tanzania yetu mpya. Tumebarikiwa kuwa na nchi nzuri. Tuilime na kuijenga.

  • @samueljeremiah1176
    @samueljeremiah1176 Před 5 lety +6

    Mie ni mkenya na nimenufaika na mawaidha yako ya ukuzaji stroberi,hongera kaka

  • @ngowitv2169
    @ngowitv2169  Před 5 lety +22

    Watazamaji wetu mnaweza kuwasiliana na mjasiriamali huyu Hasani Yakubu, kwa namba za simu +255716508848

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf5938 Před 5 lety +2

    fresh food , hongera sana , ujuzi wa mali asili ni kipaji cha wengi TZ hasa wakulima

  • @omarjeylani9144
    @omarjeylani9144 Před 5 lety +13

    Tanzania pana amani na wala sio kama Somalia. Watanzania mumshukuru Mola na hiyo neema ya amani.

  • @festongonyani152
    @festongonyani152 Před 5 lety +2

    Hongera Kwa uthubutu kaka..
    Naomba nijifunze mengi toka kwako

  • @bibukaelias2722
    @bibukaelias2722 Před 5 lety +5

    You are soo creative brother congratulations brother

  • @eliahmwingwa8839
    @eliahmwingwa8839 Před 5 lety +2

    Hongera sana jamaa, nimependa uthubutu wako.

  • @njeshkaris8957
    @njeshkaris8957 Před 5 lety +1

    Wow hongera sana kutuelimisha kazi ni kazi bora uwe una heshimu kazi hongera Hasan mungu akubariki na kazi ya mikono yako mtu anaeza pata shamba huko ya kukodisha nikuje huku tulime from 254

  • @neemakalumatwa9781
    @neemakalumatwa9781 Před 5 lety +1

    Asanteni sana kwa kuanzisha channel hii mbarikiwe zaido

  • @monamzonge1398
    @monamzonge1398 Před 4 lety

    Nimekuelewa kaka naanza sasa hivi. Nimejifunza sana barikiwa na mungu

  • @mangalamlala3516
    @mangalamlala3516 Před 5 lety +1

    Asante sana hizi ndizo habari nzuri

  • @frankmagukuba2102
    @frankmagukuba2102 Před 5 lety +1

    Bro uko vizur sana vijana atutaki kujishuulishaa na kilimo

  • @noelngowi2700
    @noelngowi2700 Před 5 lety +3

    Hongera Sana Hassan Yakub

  • @SaidiBakari-ms5fp
    @SaidiBakari-ms5fp Před 2 měsíci

    Hongera sana

  • @faustatesha6333
    @faustatesha6333 Před 5 lety

    Big up umekuja na vitu very productive

  • @mezani782
    @mezani782 Před 5 lety +7

    Huyu jamaa hakukurupuka, alifanya utafiti kabla ya kuingia kwenye strawberries..mfano kuigwa. Vijana tuige hili.

  • @fredrickmgongolwa7958
    @fredrickmgongolwa7958 Před 5 lety +16

    watu wengi wanaongelea faida bila gharama zake!!!je gharama ya heka moja kuanzia mwanzo mpaka unavuna ni kiasi gani?kilo moja ni Tshs 10,000/= je gharama ya hii Tshs 10,000/= ni shilingi ngapi?au faida kwa kilo moja baada ya gharama zote ni shilingi ngapi?

    • @amanistephano5208
      @amanistephano5208 Před 5 lety +2

      Fredrick Mgongolwa ukipiga mahesab ni kama mil 7 mpaka 8 kwa heka 1

    • @abuusally4792
      @abuusally4792 Před 5 lety +1

      Fredrick Mgongolwa

    • @msetyntorah804
      @msetyntorah804 Před 5 lety

      😂 😂 hicho kinaitwa KILIMO CHA MAANDISHI bro...
      Ukiskia makadirio ya faida unaweza ukatamani uanze kesho kwenda shambani kulima.😂😂😂

    • @abdulrazakgwotta5561
      @abdulrazakgwotta5561 Před 5 lety +3

      @@msetyntorah804 katishaneni tamaa tuu.

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 Před 4 lety +1

    Braza ur so briliant

  • @amanistephano5208
    @amanistephano5208 Před 5 lety +9

    kuna mazao mengine kama vanila yenye pesa nyingi sana zaid ya strowbeey vanila 1kg ni dola $400 mpaka $600. ni sisi 2 vijana tuache kujieka mjini akat utajir upo shambani. kubali kuonekana mchafu lkn unajua unacho kifanya. big up sana bro me next year ntaekeza kweny strowbery.

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 Před 3 lety

    Brother umenipa motisha sanaaaaaaaa kwel umeamua nko Arusha natafta mtaji ntakuja morogoro kulima maybe mwakani brother yanii

  • @mwitadevid7369
    @mwitadevid7369 Před 3 lety

    Nimekubali bro!

  • @cosmaslunyembeleka251

    Mawasiliano bro

  • @abdulrazakgwotta5561
    @abdulrazakgwotta5561 Před 4 lety +1

    Nakubali @hassanyakub

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c Před 5 lety +2

    nin kwel kaka watu tunasema maisha magumu kilimo kinalipa

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 Před 4 lety +1

    Braza ulishawahi kufikilia zile gar znapita kwenye kamba kutoka milimani

  • @michaelkolima1180
    @michaelkolima1180 Před 5 lety +2

    safi

  • @mussajuma9044
    @mussajuma9044 Před 5 lety +1

    Namba zako kaka

  • @yaqoubsalim99
    @yaqoubsalim99 Před 5 lety +4

    Ukitaka mali, utaipata shambani.

  • @ramafrica9016
    @ramafrica9016 Před 5 lety +1

    Vizuri kiongozi

  • @abdulrazakgwotta5561
    @abdulrazakgwotta5561 Před 4 lety +1

    Huyu kijana ni mpambanaji akaze zaidi

  • @saidutoto7619
    @saidutoto7619 Před 5 lety +3

    Hasan naomba namba ya cm pls

  • @brotherjab7773
    @brotherjab7773 Před 5 lety +1

    Naomba mawasiliano ya hasaan yakubu

  • @jossecharles2810
    @jossecharles2810 Před 5 lety +2

    mafuta ya mchaichai yanakuaje, naomba mnisaidie

  • @mwitadevid7369
    @mwitadevid7369 Před 3 lety +1

    Kiukweli nilikuwa sifikirii kujisajili na na hii channel! Ila baada ya kusikiliza kwa kina nimejikuta na subscribe,Ni zaidi

  • @lulushambazuri4861
    @lulushambazuri4861 Před 5 lety

    Hongera hasani

  • @deniskaiza4306
    @deniskaiza4306 Před 5 lety +4

    safii

    • @jeniferjohn6083
      @jeniferjohn6083 Před 5 lety +1

      Brother umenigusa kwenye michaimichai naomba namba yako

    • @daudiaidani3860
      @daudiaidani3860 Před 5 lety +1

      0716508848 namba ya muhusika wa strwaberry

  • @alexchungu8823
    @alexchungu8823 Před 5 lety +4

    Daah hizo mbegu za strawberry zinapatikana wap Kwa DSM?

  • @tatyemmanuel1695
    @tatyemmanuel1695 Před 5 lety

    Mkuu Hassan hongera saana. Mapambano yaendelee....

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Před 4 lety

    Insha allah utafika wajina hata mi natamani sana kuingia huko namba namba yako wajina

  • @franklinkessy586
    @franklinkessy586 Před 4 lety +1

    Tuongee kuhusu soko la mchai chai

  • @princehenry4196
    @princehenry4196 Před 5 lety +1

    samahani kaka napenda kupata mawasiliano yako

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah3384 Před 5 lety +2

    Ndoto nimejifunza

  • @kassimali1943
    @kassimali1943 Před 5 lety +1

    Me naitaji shamba uko naomba namba zako

  • @emmyjohn3970
    @emmyjohn3970 Před 3 lety

    🔥🔥🔥🔥

  • @LUCKDRE
    @LUCKDRE Před 5 lety +1

    Me nataka namba ya huyo kaka anielekeze na dawa za kuwatibu kuku

  • @emmanuelluela9632
    @emmanuelluela9632 Před 4 lety

    Nmekubali na nmeshawishik nitaktafta bro unipe mwangaza katka hali y hewa ya huku kwetu

  • @allysultan5255
    @allysultan5255 Před 3 lety

    Naombeni mawasiliano na huyu hassani

  • @sumayabakar4848
    @sumayabakar4848 Před 5 lety +4

    mashallah kaka mwenyezi mungu akubalikiye kazi zako mimi naitaji kilimo npo nje ya nchi narud nijiajili nakilimo umesema kilimo cha mchaichai nami naitaji kilimo kwa mawasiano no yg +968 97745907

  • @shanyfarham9062
    @shanyfarham9062 Před 5 lety +2

    Mawasiliano yako kaka

  • @nasrimchopa678
    @nasrimchopa678 Před 5 lety +3

    Kwani hakuna wadada wanaotazama maana namskia brother tyu Kila akiongea

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Před 5 lety +6

    fuga punda au ngombe wakusaidie kubeba hio mizigo

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Před 5 lety

    JAMAAA ANA AKILI SANA YA MAISHA 🙌 RESPECT

  • @twahirmjeda4580
    @twahirmjeda4580 Před 5 lety +2

    mimi Natak kulima mchaichai nipo zanzibar soko lipo wapi?

  • @mathiasbuyobe3512
    @mathiasbuyobe3512 Před 5 lety +2

    Hahaaaaha!!! Utafanikiwa kwa zali la mentali. Duuuuuuuh

  • @kassimali1943
    @kassimali1943 Před 5 lety +1

    Tuwasiane me nipo mbagala

  • @jiongezehotnewstv7770
    @jiongezehotnewstv7770 Před 5 lety +1

    Big up

  • @alexmakunga4484
    @alexmakunga4484 Před 4 lety

    Tuna mpataje

  • @sumayabakar4848
    @sumayabakar4848 Před 5 lety +3

    no yg +96897745907 yoyote anaye mjuwa huyu kaka aniuganishe nae

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 Před 5 lety +1

    Black berry 🍇🍓 nazipenda jomon kumbe zinalimwa hapo moro tu tunazipataje wa mkoan broo tupen namba zake

  • @juliusndalaba5636
    @juliusndalaba5636 Před 4 lety

    Mm Niko kigoma kasulu nilitaka kujiunga na ukulima wa mchai chai mawasiliano yangu ni 0764790265 naomba tuwasiliane ili niweze kuanza kilimo hicho Mara moja

  • @jofreymligo888
    @jofreymligo888 Před 3 lety

    Niombe namba yake 0713691929 nimejifunza kitu

  • @martinjulius3737
    @martinjulius3737 Před 4 lety

    heshima kaka nitakupataja na mm niingie kwenye kilimo hicho make kweme eneolangu ninalolima mahindi nikalibu na maji nilitaka nianze kulima ilozao nisaidie ushauli 0754336328

  • @innovationecosystemmapofta5516

    Je wewe ni mjasiliamali na ungependa upate soko kirahisi? Fungua link hiyo chini ...fursa hii ni bure kabisa kwa Watanzania wote
    docs.google.com/document/d/1ZMoFqxg8yhFD5Hn0-QKW3v2MeJvREu2i9PPFbjWQX7Y/edit

  • @Salioization
    @Salioization Před 5 lety

    mbona sijaona hilo shamba la kusema aitwe king ,