Jomoo Somo zuri,Kwa Arusha naweza kutumia miti gani ya ku support miche
Mbegu inapatikanaje?asante kwa kuielewesha jamii
I like it
Safi sana ila naomba kupata maasiliano zaidi ya ndgu mkulima wa vanilla he? Mnaweza kunisaidia kukutana nae zaidi
Nmependa Sana must niungie kwenye klmo cha vanilla
Asante sana, tafadhali naomba namba ya simu ya huyu kaka
Jambo kaka .hongera sana.naitwa Takucha salim kutoka Mombasa kenya.nimependa mazao yako.nitakutembelea mi pia nakuza vanilla
Hongera kwa ufahamu
Nice
Nzuri hyo
Pamoja
Safi sn
Habali nilikuwa naomba number za simu za huyo mwalimu ilikupata somo
Ongera kamanda mm natwa said ki2nda naomba namba zak kaka
Naomba namba ya mtaalamu please
Wakati mwingine unaweka na mawasiliano yako boss
🙏🏾
Mm najiuliza soko lake unalipaje
Zafarani ndio kuingo ghali kuliko vyote duniani
Vanilla amesema ni dollars 400 hadi 600 kwa kilo ebu tuambie wewe hilo zao lako ni bei gani kwa kg
Kwenye bei boss ya 1kg =1m ni uongo juzi kati bukoka wameuza kilo kwa 30000 tena kwa mkopo pengine wananunua 100000:
Yy anasema kimataifa sio kwa shiling kwa maana ya kuuza nje ya nch sio soko la ndani
Kaka naomba nambayako
Tu naweza kupata namba za huyo Mkulima Tupate maelezo zaidi
Can we talk?
Mimi nipo pwani rufiji naweza kulima zao Hilo kwa hali ya hewa ya huku
Naomba namb
nitumie namba
Mche mmoja unatoa kias gan
Nimepe namba zako
Asante.hujatuambia mbegu ya vanila inapatikanaje na je naweza kulima vanila Dar?
Mbegu hizo nitazipata wapi
dah yaani siamini nimeitafuta sana mbugu yake dah nitakutafuta nipo korogwe gungu
Pia kilimo cha vanilla kina chukua mtaji wa shlingi gapi
Natamani kulima mashamba Tanga yakulima zao hilo yanakodishwa bei gani au naweza kupata namba yako unaelima na mm nijifunze
Weka namba ya cmu
Tanzania morogoro
natamani kulima ili zao ningepata mtu wa kunielekeza kwa vitendo
Thank you for the demonstation. Very inspiring.
@@vanilacentral naomba unisaidie kupata mbegu ya vanilla na nipo mombasa kenya 254724966275
Mikoa ya Bukoba na Kagera!!.
Kwa bukoba na kagera shamba kwajil ya kulima vanila upationaji wake na bei ya kukod?
Hima twende shambani
Vanila kuanzi unapi ipianda mpaka kuvuna ina chukua muda gani
Nipo lushoto naweza pata mbegu
zanzibar jee inaweza kukubali?
Ndio inakubal sana nitafute kwa mahitaji ya mbegu/miche 0626712710/0773598082
Kama maji yatakua mengi yataozesha vine/mche. Nibora kupanda kwa kutumia takataka a shambani zilizooza kuliko udongo wenye maji mingi. Uko poa kaka inasaidia sana
Nipo arusha napataje mbegu zake
Kama bado unahitaji mbegu na uko Arusha tuwasiliane 0764046868 au 0692479377 nko Babati Manyara
Nasan fundiiiiii
Kwa mahitaji ya miche ya mbegu tupigie kwa namba hizi 0654 212232/0719187690
Inaweza kuota sehem zenyejoto
Habari ndugu, Mimi nipo Lushoto Tanga nahitaji mbegu ya vanilla kwa wingi nitaipataje ? Naomba uje inbox tuongee
Zanzibar ndio kwao, inakubal sana, kwa magitaji ya miche wasiliana nami 026712710/0773598082
Naomba no yk kaka,yng ni 0717020868
Bukoba sio mkoa wewe
mimi nalima niko bukoba na nauza miche yake
@@modestdickson1328 ok u too take mine 0746021539. unahitaj miche ya vanilla basi nicall namba ndo hiyo
Naomba namba za Whatsapp tafazali
Mambo ..niandikie zako nikucontact..Mimi ndie Nathan kwenye hiyo video
Hongera sana kaka, nimependa sana. Vijana tujishughulishe vitu vipo vingi sana aisee vya kujituma. Tusizubae