PART II: MUWEKEZAJI WA KITANZANIA MWENYE MIAKA 32/ UFUGAJI NA KILIMO VIMEMTOA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Sport

Komentáře • 211

  • @CrownMediaTZ
    @CrownMediaTZ  Před 12 dny +54

    Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link hii kwa wengine ili wengi wapate kujifunza zaidi.

    • @SumaiaIssa-px4pl
      @SumaiaIssa-px4pl Před 10 dny +1

      Kazi mzuli crown

    • @georgemcharo642
      @georgemcharo642 Před 8 dny

      The guy is brilliant

    • @georgemcharo642
      @georgemcharo642 Před 8 dny +2

      Jamaa anaijua kazi yake..na kichwa kimetulia sana...

    • @SpartMaina
      @SpartMaina Před 6 dny +2

      really awesome project,nice work. nice interview. can we get the contacts for the ranch?

    • @ukendejenipher3942
      @ukendejenipher3942 Před 4 dny +1

      Big up crown media kwa watangazaji mahiri wenye kujua kuuliza maswali ya msingi keep it up

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492 Před 14 dny +65

    Madini kama haya vijana ndio tunayataka crown mnajipambanua
    Pakubwa sanaa

  • @Bardizbah-nr9qi
    @Bardizbah-nr9qi Před 14 dny +32

    Shule ni bure mchawe ni bando tu ❤

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 13 dny +38

    Mwenyezi Mungu ambariki huyu kijana (mwanangu ,he is the same age as my son ,he is in USA) aweze kupata mafanikio zaidi. Alichonifurahisha hakuonyesha ufedhuli au majidai pamoja na mafanikio aliyoyapata.

    • @tugaraamos2546
      @tugaraamos2546 Před 7 dny

      Tunahitaj kujifunza kwenu baba yangu

    • @khalfanaltaley
      @khalfanaltaley Před 7 dny

      Mashallah tabarak Rahman. He is a visionary young person with a lot to give and contribute in teaching others who have passion in making their living ahead wisely.
      Although it is not easy to follow his steps, unless you have means to do do so, however there is a lot to lean from the strategies he has taken forward the family business towards success. Wishing him all the best of continuing the business! May Allah guide him forward!

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 Před 5 dny

      Mashaallah

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 Před 12 dny +23

    Pendelea kuwasikliza watu wenye akili utakuja kunishukuru

  • @JumaMwanga-xd9gy
    @JumaMwanga-xd9gy Před 12 dny +15

    Ntaman n like ata mara100.. Vile npenda vitu iv

  • @anthonyrichard2931
    @anthonyrichard2931 Před 14 dny +7

    Mawasiliano hamjatupa wakuu ni Elimu nzuri sana

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d Před 13 dny +13

    Kilimo biashara/Angrobusiness.Faida tupu,ukizingatia kutrust prosess.

  • @marychuwa8159
    @marychuwa8159 Před 13 dny +10

    Wow niliona hayo maonesho wakati naenda Dodoma sikuelewa sasa Mr Nawid umenifungua macho zaidi you are doing great job aksante kwa taarifa nzuri sana sijutii bando langu

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 14 dny +12

    Safi sana mimi napenda sana mazingira na kilimo pia

  • @ibsk88salim98
    @ibsk88salim98 Před 14 dny +9

    Safi Sana hapa unajifunza kiukweli

  • @jumasafi2635
    @jumasafi2635 Před 13 dny +10

    Mahojiano ni mazur sn na nimepata elimu 💪

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 Před 12 dny +15

    Ni mtulivu na mwenye akili tulivu, ni mwenye staha na uelewa mkubwa!!!

    • @user-fn6fs8oy5l
      @user-fn6fs8oy5l Před 3 dny

      Sana Kwa ujumla na ana roho ya utajiri,iliyotulia,yaani Hana wenge ni mwalimu mzuri wa vijana Kwa kweli

  • @inthezone5927
    @inthezone5927 Před 14 dny +10

    One word RESPECT!!!! 👊

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial2157 Před 14 dny +17

    This real life crown midia is the best

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 14 dny +9

    Mashallah vizuri sana akhuyi ❤❤❤❤

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Před 12 dny +9

    Naweed unaakili nyingi saana ila sifa kubwa nikwawazazi wako walikuandaa vyema

  • @henryjohn4781
    @henryjohn4781 Před 5 dny +2

    Kazi nzuri Crown Media fanyeni E03 ambayo ni mtakuwa kwenye mabanda tu tuone wanyama tu.

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 Před 14 dny +9

    Inzi njo habari😊

  • @farouqhibrahim
    @farouqhibrahim Před 8 dny +6

    Wengi wajifunze matumizi ya lugha ya kiswahili kwa ufasaha kama wa Mulla ,anazungumza kiswahili kwa ufasaha kuwashinda watanzania wengi wenye lugha yao

  • @fabienuwimana9559
    @fabienuwimana9559 Před 13 dny +7

    Huyo boss Naweed na mtangazaji yaaani wote nawaona wako watu poa sana hiyo sehem nitakuja kuangalia

  • @bakarijumakupaza4351
    @bakarijumakupaza4351 Před 6 dny +2

    Sijawahi sikiliza interview nzuri kama hii, mwandishi anajua maswali na mhojiwa pia. Kiufupi wote ni watu wenye elimu. Hata Kiswahili chao sio cha mitaani.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 12 dny +4

    Pongeziii..zangu ziwaendee nyote;Mwanahabri na mgeni wa kipindi kwa maswali na majibu sanjali, mwanzo wa pachko sikutegemea rangi ya mgeni kutililika kiswahili rafiki.Binafsi nimehamasika haswaa hiyo kauli mbiu yko"kilimo ni maisha ya Utulivu": salaam toka mwanza 🐟

  • @stevenmnzavajoseph
    @stevenmnzavajoseph Před 13 dny +5

    Big up Crown Media. Interview ni nzuri nimejifunza mengi na kupata hamasa.

  • @ElshaddaiShop
    @ElshaddaiShop Před 14 dny +7

    Hii safi sana

  • @salimsaid3943
    @salimsaid3943 Před 11 dny +2

    Huyu jamaa smart sana ma sha allah....mm pia nimezaliwa dec 1991 safi sana yuko makini hata anavyongea!

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 7 dny +1

    The kind of interview I can watch without skipping a single minute!!
    I'm so impressed by his commitment and dedication to that project!🎉

  • @augustinet9530
    @augustinet9530 Před 10 dny +1

    Maudhui mazuri, vijana smart,dah kweli elimu haiongopi, i appreciate crown media kwa elimu hii, jamaa yuko vizuri, wasasi tuwekez kwene elimu zenye tija, huyu jamaa ana upeo mkubwa sana ulio jengwa kupitia wasasi na elimu, ee mwenyezi Mungu tupe watu smart wengi Tanzania like Crown media and the guest Mulla. Inshallah ikawe heri kwetu kupitia eleimu hii.

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Před 12 dny +3

    Crown ndio media ya kuifatilia

  • @rashidkopa
    @rashidkopa Před 14 dny +12

    Hapaninyumbani

  • @nassoroigalawa5329
    @nassoroigalawa5329 Před 13 dny +5

    Waoooo. Ndugu mwandishi upo vizuri,hauna kimemo wala iPad mkononi

    • @mosesmdindile332
      @mosesmdindile332 Před 12 dny +2

      Anasimu kaweka kwenye paja Hapo anapitia kdg japo naungana na wewe yupo vizuri

    • @nassoroigalawa5329
      @nassoroigalawa5329 Před 12 dny

      @@mosesmdindile332 nimeona mwishoni

  • @baudizo
    @baudizo Před 8 dny +1

    Temidayo umeupiga mwingi sana,big up kwa Host (Mbogo) amekuwa sio mchoyo wa kutoa madini.

  • @MabelaShija
    @MabelaShija Před 11 dny +2

    Nimependa sana interview hii,crown msifuate tu wakulima/wajasiriamali waliofanikiwa, ninyi muwe chachu yakuwaibua wadogo na nyinyi muwakuze.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 4 dny

    Mash Allah na Alhamdulilah kwa kutupa elimu Allah akuzidishie mwanangu kwasababu umri wako nakuzaa.

  • @farujohn622
    @farujohn622 Před 12 dny +3

    Hongereni sana Crown

  • @Mbaley
    @Mbaley Před 12 dny +4

    Nice one congratulations kwa kipindi

  • @jaribudizza4217
    @jaribudizza4217 Před 11 dny +2

    Kujifunza kwa vitendo kunasaidia sana ❤❤❤

  • @benjaminmwampamba-ox1mc
    @benjaminmwampamba-ox1mc Před 14 dny +9

    Jamaa inaonekana ana madini sana

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 13 dny +3

    Daah kweli crown mnajua kutafuta habari wapo wapi hawa jamaa

  • @glorykastai3996
    @glorykastai3996 Před 13 dny +3

    Safi sana nimejifunza vitu vingi sana na nimehamasika ila siku nyingine tuone utalii wa shambani,maana panavutia kweli

  • @RaphaelHhari
    @RaphaelHhari Před 13 dny +3

    Ahh nadhani watu kama ndiyo Hawa wanahitajika kwa nchi yoyote kwa ajili maendeleo SI kwa upigaji wa pesa uwizi kwa ni hata pesa inakuwa katika mzunguko wa kiuchumi

  • @perfectchoiceenterprises

    Congrats bro
    Haya ndio mambo tunahitaji kuyasikia kwenye media

  • @Wakishua926
    @Wakishua926 Před 14 dny +6

    👂

  • @olicendayihimbaze4074
    @olicendayihimbaze4074 Před 14 dny +5

    🎉🎉🎉

  • @jumamanzi4531
    @jumamanzi4531 Před 10 dny

    haya ndo mambo tunayotaka kuyasikia sisi vijana hongera sana Crowm Media Mmeanza vizurii

  • @marckyfarrenyrwezaula7641

    Nashukuru sana kwa documentary hii, hakika ina madini makubwa sana, mi naomba tu contacts za huyo anayeshughulika na cattle guest house, amemtaja kuwa ni Sandra kama sijakosea, ahsante sana.

  • @MujuniMuta
    @MujuniMuta Před 6 dny +1

    Next time ukihoji mtu wa shamba na mifugo, umuhoji huku mkiwa mnatembea shambani, kama nia nikuhamasisha tunataka kuona shamba na mifugo inayozungumzwa zaidi kuliko owner

  • @aishaomary4498
    @aishaomary4498 Před 13 dny +2

    Asante crown Naweed

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 5 dny

    Hongera sanaa. Ni kitu kixuri sanaa kwa kweli. YAANI INAPENDEZA.

  • @abdurahmanahmed2643
    @abdurahmanahmed2643 Před 14 dny +4

    🎉🎉🎉,Ma Sha Allah

  • @zuwenahamoud6690
    @zuwenahamoud6690 Před 4 dny

    Hongera Naweed,nataka kufugiwa, nipe maelekezo.

  • @royfigueiredo7222
    @royfigueiredo7222 Před 2 dny

    Nimependa Sana hongereni. Guest keeping is the best for starters

  • @masoomwati2408
    @masoomwati2408 Před 11 dny +1

    Excellent ,keep shining

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 Před 12 dny +2

    Mawasiliano yao
    Nmependa content

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Před 5 dny

    Mashaallah allah akuhifadhi na akubarik kwenye kazi zako inshallah mashaallah mtt huna kibri umelelewa mashaallah mungu akuhifadhi

  • @user-do1xs4om1b
    @user-do1xs4om1b Před 7 dny

    Ahsante crown media, jikiteni kwenye habari kama hizi zinazo tufungu vichwa vyetu

  • @ThadeoBernard
    @ThadeoBernard Před 13 dny +1

    One lifetime best interview

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 Před dnem +1

    Nina ndoto ya ufugaji 100% mpaka sasa nimenunua shamba kwa ajili hyo,nitakuja kujifunza zaidi make ndoto yangu ni kufuga mbuzi na kondoo

  • @bernadethakessy4188
    @bernadethakessy4188 Před 10 dny

    Hongereni sana Kwa kazi kubwa hii. Mungu aendelee kukunyanyua zaidi

  • @kalengashoppingcenter1108

    Hapa huwa ndipo ninapowapenda watu waliosomea ukweli hawaongop bilion 60-70🎉

    • @ticianmarando9027
      @ticianmarando9027 Před 11 dny

      ila hapo kaongopa sasa , sasa sijui kama utawapenda zaidi au laah

    • @emmanuellaswai7272
      @emmanuellaswai7272 Před 6 dny

      ​@@ticianmarando9027Nafikiri hapo alimaanisha value ya shamba kuanzia mifugo na mkonge

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 11 dny +3

    Kumbe kuna vijana wa kuiongoza ata simba🎉🎉

  • @conesmo5266
    @conesmo5266 Před 11 dny +2

    Kijana anajitahidi sana kongole kwake

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 Před 10 dny

    Mwenyezi mungu akujalie wewe kijana mwenye kampuni .ni mwekezaji mzuri sana

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb Před 12 dny +2

    Mungu Awenawe Blo
    Ufike Kama Wao Ishall
    Tumesikiya Vijana

  • @emilyndomba2661
    @emilyndomba2661 Před 7 dny

    God bless u more, nimejifunza vingi sana, na nimeona mwanga mpya mzuri sana

  • @christiannjau7191
    @christiannjau7191 Před 12 dny +2

    Ni mfano mzuri wa kuigwa

  • @silverpadana
    @silverpadana Před 9 dny

    Nakufatilia sana bro nishafika hadi mbarali napenda sana mambo unafanya ndoto yangu kabisa kupitia interview zako napiga hatua siku tutakutana inshallah

  • @timilaisengenge1400
    @timilaisengenge1400 Před 12 dny +3

    Tunawezaje kushiriki kwenye tour ya shamba?

  • @musakalangahe6876
    @musakalangahe6876 Před 3 dny

    Subscribed....Good channels...hizi ndio contents za kwenda hewani zaid

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 Před dnem

    Nımependaa sana hongera kwa kz nzur bro

  • @GeofreyChipeta-i8r
    @GeofreyChipeta-i8r Před 12 dny +1

    Nimfurahi sana mwisho ulisema utatoa namba ya simu lakini hukufanya hivyo Kama ulivyoahidi tafadhali fanya nipatie namba ya simu

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Před 2 dny

    Naomba nipate mawasiliano yako Mr.Naweed (mfugaji)

  • @raphaelmwenda9100
    @raphaelmwenda9100 Před 10 dny +2

    Nilikuwa nasubiri kwa hamu kupata mawasiliano, kwenye interview yote part 1&2 sijaona. Nimevutiwa na kipengele cha mfugaji mgeni, mawasiliano please!

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 Před 11 dny

    Asanteni crown media

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f Před 9 dny

    Nime elimilka Sana, ubarikiwe SANA by Yasinta walyuba

  • @klaurianngowi
    @klaurianngowi Před 6 dny

    interview nzuri sana hii, ila mawasiliano hatuna sasa.

  • @Dmsiris5
    @Dmsiris5 Před 7 dny

    Qyt impressing .Am inspired asanten sana crown media for the Awesome interview with the Investors.

  • @RaphaelHhari
    @RaphaelHhari Před 13 dny +1

    Ina hamasisha kweli safi sana

  • @gwamakamwasongwe8053
    @gwamakamwasongwe8053 Před 11 dny

    Huyu jamaa ni kiogozi bora sana

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 Před 11 dny

    Hongera sana crown media. Content ya maana sana

  • @vero57
    @vero57 Před 2 dny

    Hongera sana kaka

  • @revingtonfridolin6859

    Tunahitaji part 3...hatujapata kuona matembezi ya shamba ..na lile tank .

  • @saidikhamisi8853
    @saidikhamisi8853 Před 13 dny +2

    Crown Media
    Hapa ni nyumbani ❤️

  • @asnalimtv7690
    @asnalimtv7690 Před 13 dny +3

    Nimefurahi sn dah aisee huyo mwamba yuko vizur

  • @dorinmichael2186
    @dorinmichael2186 Před 11 dny +1

    Craown mediaTZ nikubwa kuliko zote kama ndugu yetu ali kiba

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 14 dny +3

    Elimu nsuri sana

  • @kylemcfarlane7945
    @kylemcfarlane7945 Před 9 dny

    Hey Naweed, I enjoyed this very much and am remembering our field trip to your farm when you were a student at HOPAC.

  • @EtieniRama
    @EtieniRama Před 7 dny

    Crown mta fika mbali sn mungu hawa bariki sn❤❤❤❤❤❤❤

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 9 dny

    Masha'Allah TabarakaAllah, Allah azidi kukuongoza.

  • @user-bk4hg7hf1j
    @user-bk4hg7hf1j Před 9 dny

    Asante kwa elimu ya kilimo

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 Před 5 dny

    Nimependa sana mahojiano haya.Nilitamani atoe namba za simu ili ikiwezekana niende nikapate elimu na kufurahia mazingira ya asili na tulivu.

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Před 8 dny

    Safi sana hata mimi katika kipande changu nimeweka mapipa ya plastic kwa ajili ya kutupa humo taka za plastics nk.

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 Před 6 dny

    Good interview

  • @julesbakita7966
    @julesbakita7966 Před 7 dny

    Nimeipenda sana.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 11 dny

    Thanks bro

  • @allanisangya3561
    @allanisangya3561 Před 10 dny

    Bravo Bravo, tumepata darasa

  • @ericnashanda
    @ericnashanda Před 13 dny +1

    Naomba nafasi ya kujifunza na mr. nawid kama mtaweza kuni unganisha nae

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 13 dny

    ❤❤❤❤ilove crown

  • @jumamahunja2242
    @jumamahunja2242 Před 11 dny

    Elimu nzuri sana kwa vijana ila tunaomba mawasilianao

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 Před 12 dny +2

    Dah capital capital capital ndio kikwazo

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 11 dny

      Pambana kijana Anza mdogo mdogo sio mpaka uwe kama huyu japo unaweza kuwa zaidi ya huyu.