dunno if anyone gives a shit but if you guys are stoned like me atm you can watch pretty much all the new series on instaflixxer. Have been binge watching with my girlfriend for the last few months =)
Sorry , navyofahamu huyu unaemsema mtangazaji sio, ila ni mbunge wa Arusha viti maalum . Kitu anachojaribu kufanya ni kuelimisha jamii wafanye kazi za kujiajiri na kuacha kuwa tegemezi.
@@oimermollelzephania139 ook nakuelewa vip lkn mollel hawjambo Arusha hukoo kuna rafiki yangu anaitwa mollel ni mkaka ni masai ni miaka tulipoteana nilikuwa nae dar mgulan hospital basi nilipoona hii mollel nimemkumbuka sana.. huyu host ama usemavyo ni mbunge japo haulizi maswal mengi lkn namfatilia kila kipindi na nime subscribe kabisa ila usijal kwa hiloo
@@maryammaram2612 Hi, Thanks so much , nakupenda kwa vile ni muelewa . Sasa ukinipa taarifa kamili ya Mollel ,nitakusidia kumtafuta labda ni ndugu yangu vile . Kina mama naona mnajitahidi kijasiriamali hata kama si mkopo anza tu polepole kwanza siamini mikopo.
@@oimermollelzephania139 sante kwa kuliona hilo ndio wakina mama wote tunaweza mana tunajiamini tuna uwezo wa kipekee upo ndani yetu💪💪💪 Mollel yeye alikuwa ni anafanya kazi recording kuandikisha watu wajao hospital kupanga taarifa zao ni mrefuu na rangi yake maji ya kunde anasema alishawai kukaa tanga akabahatika kufungua stationar badae akarud arusha ndio akaja dar kufanya kazii.. Mim naye nilikuwa natafuta field yangu ya nursing ndio tukakutana hapo mgulani basii masiku yakapita na simu nikapoteza nikawa nimepoteza namba zake.. hivyo ndio ilivyokuwa
Umetisha sana dada
Hongera sana Sis Eva... ufikie malengo yakoooo
love this woman!
Eva the greater! Congratulation so much. Mungu aendelee kukuinua kwa viwango vya juu zaid.
Hongera sana Dada Eva, Tupo nyuma yako, MUNGU a kuongoze katka kila Atua
Hello mum mimi nipo kenya unaeza nisadia aje 🙏🙏
Hongera sàa ever.good job
hongera sana , show nzuri sana
Hongera sana ,wewe ni jembe,tuongoze tuweze kufikia malengo
ufugo huu ni,mziri sana,tu ta endelea kufuatilia.asante kwa,mzee Yagomba Tv
Pambana eva mungu akuongoze vema
Mchaga na Mkuriya ama? Ok, MashaAllah, Allah awabarik mfike pale mnapo taka kufika.
Naomba uniunge kwenye what's sap
Hongera Sana Dada
Hongera Eva. Keep it up
Kazi nzuri
I learn something, thanks madam
Hongera san mzungu wetu, je sehem ya yai iliyochongok inatakiwa kukaaje kweny encubator..?
Hongera sana dada
Safi sana dada Eva.
Hongera mzungu
Da eva ko kroila ni kienyeji kumbe?
Hongera on your success! Blessings
Na kwenye trei j..?
Chamecha Mae, Ruwa natarame shilunda shafo!
dunno if anyone gives a shit but if you guys are stoned like me atm you can watch pretty much all the new series on instaflixxer. Have been binge watching with my girlfriend for the last few months =)
@Louie Dustin Yea, I've been using instaflixxer for months myself =)
Naomba namba ya simu nije kusoma
tunaomba namba group LA wasap
Nawezaje kujiunga na hilo darasa mai?
Kipindi kipo 💪💪 ila mtangazaji jitahidi kuongeza maswali ya maana
Sorry , navyofahamu huyu unaemsema mtangazaji sio, ila ni mbunge wa Arusha viti maalum . Kitu anachojaribu kufanya ni kuelimisha jamii wafanye kazi za kujiajiri na kuacha kuwa tegemezi.
@@oimermollelzephania139 ook nakuelewa vip lkn mollel hawjambo Arusha hukoo kuna rafiki yangu anaitwa mollel ni mkaka ni masai ni miaka tulipoteana nilikuwa nae dar mgulan hospital basi nilipoona hii mollel nimemkumbuka sana.. huyu host ama usemavyo ni mbunge japo haulizi maswal mengi lkn namfatilia kila kipindi na nime subscribe kabisa ila usijal kwa hiloo
@@maryammaram2612 Hi, Thanks so much , nakupenda kwa vile ni muelewa . Sasa ukinipa taarifa kamili ya Mollel ,nitakusidia kumtafuta labda ni ndugu yangu vile . Kina mama naona mnajitahidi kijasiriamali hata kama si mkopo anza tu polepole kwanza siamini mikopo.
@@oimermollelzephania139 sante kwa kuliona hilo ndio wakina mama wote tunaweza mana tunajiamini tuna uwezo wa kipekee upo ndani yetu💪💪💪 Mollel yeye alikuwa ni anafanya kazi recording kuandikisha watu wajao hospital kupanga taarifa zao ni mrefuu na rangi yake maji ya kunde anasema alishawai kukaa tanga akabahatika kufungua stationar badae akarud arusha ndio akaja dar kufanya kazii.. Mim naye nilikuwa natafuta field yangu ya nursing ndio tukakutana hapo mgulani basii masiku yakapita na simu nikapoteza nikawa nimepoteza namba zake.. hivyo ndio ilivyokuwa
@@maryammaram2612 Pole , akina Mollel tuko wengi hata hesabu zetu hatujui , Nusu ya Waa aru ndio sisi.
Tunashukuru mama mzungu
Naomba kujua jinsi ya kupata darasa lake au kuwasiloana nae
Hongera Sana dada naomba uniunge kwa group no.0757754573.
Niunge dada angu nimependa Sana.0757754573
Safi kabisa.Kila la heri Dada.
Naomba namba za group la whatsapp 0628853274
Naomba uniunge kweny whaP0769315192
Hongera niunge kwenye group 0753810067
Hasanti mama namimi unitiye Mu groupe WhatsApp .namba yangu +25779975171