Simulizi ya Kijana aliyejiajiri kwa biashara ya Shilingi Miambili anayetengeneza zaidi ya laki 5

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 10. 2023
  • Ajira imekuwa ni kilio kwa vijana wengi ambapo hali ni tofauti kwa Wilfred Kalunju ambaye yeye amejiajiri kwa kufanya biashara za kuuza bidhaa za shilingi miambili kwenye viunga vya eneo la kupumzikia jijini Dodoma maarufu kama Nyerere Square huku akiwa na mtaji wa Sh 17 elfu pekee na akiingiza mpaka zaidi ya shilingi laki tano.
    Akizungumza na Mwananchi Digital, Wilfred anatusimulia jinsi alivyopata wazo la kufanya biashara hiyo ambayo imegeuka kuwa ajira kuu kwake kiasi cha kumuwezesha kuwa na mchango mkubwa kwenye kuwatunza wazazi wake pamoja na ushauri wake kwa vijana juu ya fursa zilizopo jijini Dodoma.

Komentáře • 1