Jinsi Bakhresa, GSM na Hassan Joho walivyosherehekea Eid! Noma, pesa inaongea!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 36

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před 4 měsíci +7

    Maa sha Allah the best of all ni Bakhresah huyu mzee he’s so humbled May Allah grant him More Barakah and good Health always 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤍Eid Mubarak from Uk 🙌🏾🩵

  • @Alkaburu
    @Alkaburu Před 4 měsíci +5

    Kila ujinga unafundisho ndani yake. Omeona jinsi Bakharesa alivyo simple na kutoa alicho barikiwa kwa watu wasio jiweza.

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Před 4 měsíci

      Hata hao wengine pia wametoa joho ametoa sana hata siku ya eid hupeana kila anaemia kwake 1k na vyakula wakapike...Ramadhani nzima anazunguka mombasa akipeana chakula

  • @Zuu673
    @Zuu673 Před 4 měsíci +10

    Sema sina pesa sio hatuna pesa😂😂😂😂

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před 4 měsíci +5

    Saaa kunakufuru gani hapo

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana Před 4 měsíci +4

    Nic time

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Před 4 měsíci +7

    Waomani wanacheza ivyo😊

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 Před 4 měsíci

    Lahawlaaaa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 4 měsíci

    Ni tamaduni za warabu. Mkijichanganya ndani mtaambulia umasikini wakati wao wananufaika

  • @marthamatiku5729
    @marthamatiku5729 Před 4 měsíci

    Embu sns siku moja tuonyeshe na hamorapa,mkojaniii na amberruty walivyosherekea eid

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Před 4 měsíci

    Mashaallah

  • @PeninsulaHouses
    @PeninsulaHouses Před 4 měsíci +2

    Matajiri wanasheherekea idd ila wengine sisi tunakula idd😂

  • @bintabou828
    @bintabou828 Před 4 měsíci +2

    Ila cheza yao kidgo haiko poa 😂😂

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 4 měsíci

    Hapo wame kosa vile visu vya kuzungusha zungusha 😅

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 4 měsíci +3

    Oman ndo wanacheza hivo

    • @Rose-ue2ho
      @Rose-ue2ho Před 4 měsíci +2

      No ,wa yemen sana wanacheza hivo hata hio nyimbo ni ya kiyemen.

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 Před 4 měsíci +1

    GSM sio wa Oman ni watanzania wenye asili ya Yemen

  • @missp1814
    @missp1814 Před 4 měsíci +1

    yaan namajirani zangu hapa ni waislamu yaan wamejikausha utasema sio Eid utasema nisiku ya kawaida jamani,usiku jana wamekuja kuniuliza kuku wao kama nimemwona ikabidi niwaulize nyie Eid yenu ni lini kwani😂😂 wananiambia kuku alikimbia ndo alitakiwa kuchinjwa😂😂

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi Před 4 měsíci +3

    #001

  • @user-nn7uf1mr7x
    @user-nn7uf1mr7x Před 4 měsíci +2

    ❤❤❤

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu Před 4 měsíci +1

    Anae jua kula pesa maskin sema hajapata

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před 4 měsíci +2

    Kufuru siyo mchezo

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před 4 měsíci +1

    Hakuna tajiri mtanzania ?

  • @mudrick4553
    @mudrick4553 Před 4 měsíci

    sikukuu sio pesa sikukuu ni afya na kujiuliza je funga yako imefika

  • @nadiahassan7993
    @nadiahassan7993 Před 4 měsíci +1

    Mbona Wana dance kimasaai? Hadhramy dance 🕺 watu hawaruki hivyo

  • @MakoyeBq
    @MakoyeBq Před 4 měsíci +1

    First one

  • @saeedmagoda9651
    @saeedmagoda9651 Před 4 měsíci +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mohamedkhamis8359
    @mohamedkhamis8359 Před 4 měsíci

    Wabongo ni washamba kweli kila kitu ni ajabu asa kulikua Kuna haja gani yakutuletea taarifa hizi

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 4 měsíci

    warabu koko😂😂

  • @mohamedkhamis8359
    @mohamedkhamis8359 Před 4 měsíci +1

    Wenzetu nje wanatuma Habari za umuhimu ifike wakati tujitambue mnafeli wapi sns

    • @missp1814
      @missp1814 Před 4 měsíci

      Ebu acha jazba,Sns wana vipindi vingi humu unavyotaka wewe pia vipo,inaonekana hufatilii wala uangalii pia ila upo kupinga tu,na sky alishaelezea vipindi vya burudani ndo watu wanafatilia sana so ndo maana kuna taarifa nyingi za burudani,ili waweze pata maokoto kidogo....na pia kuleta hii taarifa watu tumeona wengine ,matajiri wameserebreti😂 vipi sikukuu ujue Instagram inavitu vingi si rahisi kujua ila SnS ipo kwaajili yakutujuza yanayoendelea huko sio mbaya

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 4 měsíci

    Machoko hawa

  • @user-nz3wp8ro1r
    @user-nz3wp8ro1r Před 4 měsíci +1

    #001