LIFESTYLE YA DIAMOND PLATNUMZ NA WATOTO WAKE, WAPANDA PRIVATE JET KWENDA RWANDA, AONGEZA GARI JIPYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 108

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 Před 10 měsíci +22

    Hamo mavi analilia mapenzi mwenzake anapiga kazi!

  • @user-ts6fh4si3m
    @user-ts6fh4si3m Před 10 měsíci +17

    Hili jamaa ukiliiga unafilisika au unakufa kabisa Tumor tu mauwa yake🎉🎉

  • @NasibSam
    @NasibSam Před 10 měsíci +7

    Diamond platnumz is undisputed champion here in Africa

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r Před 10 měsíci +11

    Jamaa level nyingine jamaa hakuna wa kumfananisha na msanii yoyote hapa africa

  • @vinny.morales
    @vinny.morales Před 10 měsíci +3

    This is a true definition of a Super Star🎉

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 10 měsíci +10

    Iga ifilisike uishiwe hadi boxer.harmonize fanya kwa level yako mazee utafilisika

  • @ChaiboMomade-gd3bk
    @ChaiboMomade-gd3bk Před 10 měsíci +10

    Simba 🔥🔥 ni nomaaa

  • @barakarajabu9751
    @barakarajabu9751 Před 3 měsíci

    Ebanaee acha mond aitwe mfalme wa Tz ni halali kbx because ameshakua mxanii mkubwa wa kitaifa na kimataifa upande wa pili kaeni hivyo hivy mkimuiga chibu mta lala njaaa platinum hakamatiki c.kwa pesa,kimuziki au kwa kuwekez Salute xan chibu popote ulipo aman xan kwako pamoja na familia yako kwa ujumla

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 Před 10 měsíci +3

    Diamond platnumz 🙌🤴🦁

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Před 10 měsíci +35

    Hii Inaitwaa iga ufulie on spot

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 10 měsíci

      Hawa wasanii wasikutishe ndugu. Ukweli wao hutokea baada yakufulia. Nakumbuka prezo wa Kenya alie kua aki enda show zake na helicopter. Kumbe jamaa alikua akikopa hela zaku kodi huku akiumia. Manyumba ya kifahari nairobi alikua ana kodisha sio yake. Baada yaku chapa ndio akaja hadharani kutu umbua tuliio kua tuki mshobokea

    • @kabwelerywamwatumu5078
      @kabwelerywamwatumu5078 Před 10 měsíci

      😂😂😂

    • @danieljs4285
      @danieljs4285 Před 10 měsíci

      @@bjzee1981 aah tuache uongo bhana mond ana pesa wanaofake ni hao wengine

    • @issackathman850
      @issackathman850 Před 10 měsíci

      ​@@bjzee1981tafuta hela ww

    • @Jimmy12692
      @Jimmy12692 Před 10 měsíci +2

      @@bjzee1981😂😂😂 Hakuna msanii aliefikia hii lifestyle ya Mondi hapa Africa mashariki ukweli useme jamaa ni superstar kweli kweli😂😂

  • @user-sw8np1pq6w
    @user-sw8np1pq6w Před 10 měsíci +9

    Ivi ndivo msanii mkubwa anatakiwa aishi

  • @PaulNzima-pd8il
    @PaulNzima-pd8il Před 10 měsíci +6

    Mfalme ni Moja East Africa.... SIMBA La MASIMBA 🦁🦁🦁🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇿🇦🇿🇼🇧🇫🇿🇲🇧🇮🇮🇪

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Před 10 měsíci +3

    Haya.mpangieni maisha mliosaidia kutafuta pesa.

  • @user-fx5gu6xs5o
    @user-fx5gu6xs5o Před 9 měsíci +1

    Diamond is another level❤❤❤❤

  • @muddymiusic1624
    @muddymiusic1624 Před 10 měsíci +5

    Simbaa🔥

  • @TajiriHalisi-ez1tf
    @TajiriHalisi-ez1tf Před 10 měsíci +3

    Simßaaaaahhhh🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @upendoluva2066
    @upendoluva2066 Před 10 měsíci

    Hongera zari umekunza watoto,baimond kanza buti upo vizuri baba.❤❤🎉

  • @raphaelkayange9889
    @raphaelkayange9889 Před 8 měsíci

    Hongera simba

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před 10 měsíci +2

    Simba lamasimba dangote Noma saana aisee 🔥💥💪🎶🎵🎼🔝🖐️💯📷

    • @mcgb5725
      @mcgb5725 Před 10 měsíci

      Simbalamasimba Dangote wee zombiiii haujuiii ayayaaa ayaaaa wataelewa tu

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Před 10 měsíci

    E nomaa

  • @vickystephano224
    @vickystephano224 Před 10 měsíci +2

    Hela Hz jamaniiii

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 10 měsíci +10

    Mtangzj mbona husem akiw mpenzi wake Zuchu 🤣🤣

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 10 měsíci

      Zuchu na Boss wake wanaekekea kazini.

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h Před 10 měsíci +1

      ​@@aaa64sa13tant pis pour toi tu cherches à te réconforter

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h Před 10 měsíci +1

      Et vous avez trop mal les détracteurs

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 10 měsíci

    Super star,Super kabisa ile gumzo ya kitaa

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před 10 měsíci +5

    Magari yote ninayo hayo na zaidi cjionyeshi tu😊

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Před 9 měsíci +1

    😮
    Napambana na Hali yangu Sitaki Kumuiga Huyu Simba la Masimba Dangoteee
    Nisije Weka Uhai Wangu Poni Wazazi na Mke Wangu na Watoto wangu Wakabaki Wanataabika
    Hongera Sana Mondiiiii
    Kwa Mafanikio yako ila Usisahau Kama Kuna Kufa 😂😂😂😂😂😂

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 10 měsíci +2

    This dude knows how to position himself frfr

  • @MajaxAlp
    @MajaxAlp Před 10 měsíci

    Kuna wa Kaz na mud wa mapenz

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 Před 10 měsíci +2

    Huyu muha kajipata walahi😂

  • @user-fj3yf1my6e
    @user-fj3yf1my6e Před 10 měsíci +2

    Simba ndo simna tuu

  • @user-th5xz1fg5t
    @user-th5xz1fg5t Před 10 měsíci +5

    amebakiza t kuwa mtumixh wa kanixa

  • @milazoomilazoo4494
    @milazoomilazoo4494 Před 10 měsíci +3

    Hala ndioo tunaposemaga daimondi hafananishwi na huyo mavi hamo kupigapiga kelele tuuuu mpuuuzi huyoo

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 Před 10 měsíci +1

    life is too short vuruga baba unaishi mara moja tu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 10 měsíci +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 Před 10 měsíci +2

    Konde hana pesa bali ana visent vya machungwa ila anatuna sana

  • @user-zu1wd4hj2v
    @user-zu1wd4hj2v Před 10 měsíci

    Acheni shobo kwasa babu diamond platnumz ni musani mudogo Sana Africa na kama unabisha mufatiliye davido au burna boy njo utajifunza mengi 😊

    • @StephanoMashavu-mw2ij
      @StephanoMashavu-mw2ij Před 10 měsíci

      Mm nkajua utamtaja wamfatilie harmonize au kiba kmbe Burnaby hapo nmekuelewa

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 Před 10 měsíci +2

    Maji namafuta uwa vinajitenga vyenyewe,huyu mwamba ndio nembo ya mziki wa nchi hii halafu kuna kunguni zinajifananisha na jamaa,ukitaka kufirisika nunua hizi ndinga kama wewe unamsuli kweli kama hujafunga gang🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 Před 10 měsíci +1

    Konde hua anasema yko na Hela

  • @martinfrancis9808
    @martinfrancis9808 Před 10 měsíci +8

    MAISHA ALIYOFIKIKIA DIAMOND HATA AKIACHA MZIKI HAFILISIKI TENA ANA PESA NYINGI

    • @flm1530
      @flm1530 Před 10 měsíci +2

      Nan kakudangany hela za shetani zinadumu?

  • @rajabuhamisi3230
    @rajabuhamisi3230 Před 10 měsíci +4

    Msije mkaniambia mr nice alikuwa mkubwa kuliko Simba

    • @happymwaseba5878
      @happymwaseba5878 Před 10 měsíci

      Nimeamua nicheke hapana dai hajui kitu alafu Hana ela Wala hajui kuimba nyie aibu naona Mimi sisi tuna maneno

    • @tariqdasulley
      @tariqdasulley Před 10 měsíci

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 10 měsíci

      😂😂😂😂😂

  • @SabadopedridoSabadopedrio
    @SabadopedridoSabadopedrio Před 8 měsíci

    Ae

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm Před 10 měsíci

    ❤❤❤

  • @user-xv8tb2fl5x
    @user-xv8tb2fl5x Před 10 měsíci +1

    Acheni kuiga mtafirisika

    • @issackathman850
      @issackathman850 Před 10 měsíci

      haha ndo hvo ka uwezo wako wa marage afu unataka nyama mhhhh

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r Před 10 měsíci

    Simba la masimba

  • @kelementbushishi3687
    @kelementbushishi3687 Před 10 měsíci

    🦁🦁🦁🙌🙌🙌🙌

  • @asahdhamza1034
    @asahdhamza1034 Před 10 měsíci

    Chibdee chibdee

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 Před 10 měsíci

    Wapi wakazi?!🤣

  • @kilimaone3632
    @kilimaone3632 Před 10 měsíci +1

    Hii benz kanunua serikalini bei nyasi tu

    • @TheBastarrrd
      @TheBastarrrd Před 10 měsíci

      Hata nyasi wewe unamiliki?

    • @kilimaone3632
      @kilimaone3632 Před 10 měsíci

      Ndio

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 Před 10 měsíci +1

      Usipomuamini unaemdharau kuwa atafanya kitu fulan half akafanya lazim utafute neno la kujipoza na pressure, ungesema hta kapewa bure 😂😂

    • @issackathman850
      @issackathman850 Před 10 měsíci

      nunua nww sasa

    • @kilimaone3632
      @kilimaone3632 Před 10 měsíci

      @@issackathman850 tayar ninayo

  • @benjagaspar5304
    @benjagaspar5304 Před 10 měsíci

    licha ya mzik kuna kitu chakujifunya

  • @afterx3172
    @afterx3172 Před 10 měsíci

    Sasa hao wengine si chawa na dancer na wao wapo kwnye msafara, ni ile tu kutafuta tension no more

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 Před 10 měsíci +2

    Tatizo wasanii wa bongo mapicha picha mengi mno kwa sas kama huyo diamond anatuonyeshe ana maisha ya kitajili, ikitokea tu....! Amepata changamoto yoyote ya ki afya utaona tunaanza kuoombwa michango

    • @geoufo2858
      @geoufo2858 Před 10 měsíci +6

      Ata bakressa akiumwaa miaka kumi ataomba mchango pia acha ushamba

    • @shahakaisi1920
      @shahakaisi1920 Před 10 měsíci +3

      unachosema kwa mtazamo wako ni sawa,ila haujaangalia madaraja anaweza akakwama na kuhitaji msaada lkn huo msaada sio kwa levo yako.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před 10 měsíci

      ​@@geoufo2858muongo wewe

    • @hassanfigo6175
      @hassanfigo6175 Před 10 měsíci +2

      Bro wewe waangalia sana bongo movie ndio maana. Lakini sio mondi kwa level hizo hapo hakuna mchango WCB tu wakitoa michango yao inatosha sio lazma nyote muusishwe

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před 10 měsíci

      ​@@shahakaisi1920ni hizo hizi mia mia zetu

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593 Před 10 měsíci

    makalio tu

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u Před 10 měsíci

    We zombie 😂😂😂😂

  • @vannyapple3401
    @vannyapple3401 Před 10 měsíci +1

    Juma2 Kuna watu wanamawe cyo pumbavu huyu

  • @DigonzaKeimbe-uq1bx
    @DigonzaKeimbe-uq1bx Před 10 měsíci

    🏂🏂🏂🏂

  • @amanikingu2267
    @amanikingu2267 Před 10 měsíci +1

    Hivi kwa nn magari yote Simba ni yanarangi nyeusi

    • @masturasudi7394
      @masturasudi7394 Před 10 měsíci

      Mmeanza

    • @jacobsanga6118
      @jacobsanga6118 Před 10 měsíci

      Roz Roz kwan ni nyeusiii au macho yngu

    • @gabrielmpanda9709
      @gabrielmpanda9709 Před 10 měsíci

      Gari yenye rangi nyeusi uonyesha Utawala,Ufalme,Uongozi na Kuheshimika na ndo maana unaweza kuona baadhi Gari nyingi zitumiwazo na Viongozi na watu mashuhuri Duniani ni za Rangi Nyeusi
      Lakini pia nasikia ukikuta zinauzwa Gari za aina moja na kuna nyeusi na za Rangi zinginezo basi yenye Rangi Nyeusi bei itakuwaa juu zaidi kidogo kuliko zenye Rangi nyingine

    • @shanatatrigger6537
      @shanatatrigger6537 Před 10 měsíci

      Jibu ni hili kama hujui kaulize ila gari lenye rangi nyeusi ni bei kuliko rangi zinginezo

    • @Berly841
      @Berly841 Před 10 měsíci

      Following S R K