Ebanaee acha mond aitwe mfalme wa Tz ni halali kbx because ameshakua mxanii mkubwa wa kitaifa na kimataifa upande wa pili kaeni hivyo hivy mkimuiga chibu mta lala njaaa platinum hakamatiki c.kwa pesa,kimuziki au kwa kuwekez Salute xan chibu popote ulipo aman xan kwako pamoja na familia yako kwa ujumla
Hawa wasanii wasikutishe ndugu. Ukweli wao hutokea baada yakufulia. Nakumbuka prezo wa Kenya alie kua aki enda show zake na helicopter. Kumbe jamaa alikua akikopa hela zaku kodi huku akiumia. Manyumba ya kifahari nairobi alikua ana kodisha sio yake. Baada yaku chapa ndio akaja hadharani kutu umbua tuliio kua tuki mshobokea
😮 Napambana na Hali yangu Sitaki Kumuiga Huyu Simba la Masimba Dangoteee Nisije Weka Uhai Wangu Poni Wazazi na Mke Wangu na Watoto wangu Wakabaki Wanataabika Hongera Sana Mondiiiii Kwa Mafanikio yako ila Usisahau Kama Kuna Kufa 😂😂😂😂😂😂
Maji namafuta uwa vinajitenga vyenyewe,huyu mwamba ndio nembo ya mziki wa nchi hii halafu kuna kunguni zinajifananisha na jamaa,ukitaka kufirisika nunua hizi ndinga kama wewe unamsuli kweli kama hujafunga gang🤣🤣🤣🤣🤣
Tatizo wasanii wa bongo mapicha picha mengi mno kwa sas kama huyo diamond anatuonyeshe ana maisha ya kitajili, ikitokea tu....! Amepata changamoto yoyote ya ki afya utaona tunaanza kuoombwa michango
Bro wewe waangalia sana bongo movie ndio maana. Lakini sio mondi kwa level hizo hapo hakuna mchango WCB tu wakitoa michango yao inatosha sio lazma nyote muusishwe
Gari yenye rangi nyeusi uonyesha Utawala,Ufalme,Uongozi na Kuheshimika na ndo maana unaweza kuona baadhi Gari nyingi zitumiwazo na Viongozi na watu mashuhuri Duniani ni za Rangi Nyeusi Lakini pia nasikia ukikuta zinauzwa Gari za aina moja na kuna nyeusi na za Rangi zinginezo basi yenye Rangi Nyeusi bei itakuwaa juu zaidi kidogo kuliko zenye Rangi nyingine
Hamo mavi analilia mapenzi mwenzake anapiga kazi!
Dah nch ngumu mno hi
Hili jamaa ukiliiga unafilisika au unakufa kabisa Tumor tu mauwa yake🎉🎉
Diamond platnumz is undisputed champion here in Africa
Jamaa level nyingine jamaa hakuna wa kumfananisha na msanii yoyote hapa africa
Awataki wanakwambia anaiga miziki kiba mkali or anavuta unga shida kibao
Sio Africa sema Tanzania
Wew acha uongo sem Tz lkn sio Africa
This is a true definition of a Super Star🎉
Iga ifilisike uishiwe hadi boxer.harmonize fanya kwa level yako mazee utafilisika
Simba 🔥🔥 ni nomaaa
Ebanaee acha mond aitwe mfalme wa Tz ni halali kbx because ameshakua mxanii mkubwa wa kitaifa na kimataifa upande wa pili kaeni hivyo hivy mkimuiga chibu mta lala njaaa platinum hakamatiki c.kwa pesa,kimuziki au kwa kuwekez Salute xan chibu popote ulipo aman xan kwako pamoja na familia yako kwa ujumla
Diamond platnumz 🙌🤴🦁
Hii Inaitwaa iga ufulie on spot
Hawa wasanii wasikutishe ndugu. Ukweli wao hutokea baada yakufulia. Nakumbuka prezo wa Kenya alie kua aki enda show zake na helicopter. Kumbe jamaa alikua akikopa hela zaku kodi huku akiumia. Manyumba ya kifahari nairobi alikua ana kodisha sio yake. Baada yaku chapa ndio akaja hadharani kutu umbua tuliio kua tuki mshobokea
😂😂😂
@@bjzee1981 aah tuache uongo bhana mond ana pesa wanaofake ni hao wengine
@@bjzee1981tafuta hela ww
@@bjzee1981😂😂😂 Hakuna msanii aliefikia hii lifestyle ya Mondi hapa Africa mashariki ukweli useme jamaa ni superstar kweli kweli😂😂
Ivi ndivo msanii mkubwa anatakiwa aishi
Mfalme ni Moja East Africa.... SIMBA La MASIMBA 🦁🦁🦁🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇿🇦🇿🇼🇧🇫🇿🇲🇧🇮🇮🇪
Weee Zhombii....😂🤣🤣🤣
Haya.mpangieni maisha mliosaidia kutafuta pesa.
Diamond is another level❤❤❤❤
Simbaa🔥
Simßaaaaahhhh🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera zari umekunza watoto,baimond kanza buti upo vizuri baba.❤❤🎉
Hongera simba
Simba lamasimba dangote Noma saana aisee 🔥💥💪🎶🎵🎼🔝🖐️💯📷
Simbalamasimba Dangote wee zombiiii haujuiii ayayaaa ayaaaa wataelewa tu
E nomaa
Hela Hz jamaniiii
Mtangzj mbona husem akiw mpenzi wake Zuchu 🤣🤣
Zuchu na Boss wake wanaekekea kazini.
@@aaa64sa13tant pis pour toi tu cherches à te réconforter
Et vous avez trop mal les détracteurs
Super star,Super kabisa ile gumzo ya kitaa
Magari yote ninayo hayo na zaidi cjionyeshi tu😊
🤦♂️ 😂😂😂😇🚮
😂
Labda toys
😮
Napambana na Hali yangu Sitaki Kumuiga Huyu Simba la Masimba Dangoteee
Nisije Weka Uhai Wangu Poni Wazazi na Mke Wangu na Watoto wangu Wakabaki Wanataabika
Hongera Sana Mondiiiii
Kwa Mafanikio yako ila Usisahau Kama Kuna Kufa 😂😂😂😂😂😂
This dude knows how to position himself frfr
Kuna wa Kaz na mud wa mapenz
Huyu muha kajipata walahi😂
Simba ndo simna tuu
amebakiza t kuwa mtumixh wa kanixa
Hala ndioo tunaposemaga daimondi hafananishwi na huyo mavi hamo kupigapiga kelele tuuuu mpuuuzi huyoo
life is too short vuruga baba unaishi mara moja tu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Konde hana pesa bali ana visent vya machungwa ila anatuna sana
Acheni shobo kwasa babu diamond platnumz ni musani mudogo Sana Africa na kama unabisha mufatiliye davido au burna boy njo utajifunza mengi 😊
Mm nkajua utamtaja wamfatilie harmonize au kiba kmbe Burnaby hapo nmekuelewa
Maji namafuta uwa vinajitenga vyenyewe,huyu mwamba ndio nembo ya mziki wa nchi hii halafu kuna kunguni zinajifananisha na jamaa,ukitaka kufirisika nunua hizi ndinga kama wewe unamsuli kweli kama hujafunga gang🤣🤣🤣🤣🤣
Konde hua anasema yko na Hela
MAISHA ALIYOFIKIKIA DIAMOND HATA AKIACHA MZIKI HAFILISIKI TENA ANA PESA NYINGI
Nan kakudangany hela za shetani zinadumu?
Msije mkaniambia mr nice alikuwa mkubwa kuliko Simba
Nimeamua nicheke hapana dai hajui kitu alafu Hana ela Wala hajui kuimba nyie aibu naona Mimi sisi tuna maneno
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Ae
❤❤❤
Acheni kuiga mtafirisika
haha ndo hvo ka uwezo wako wa marage afu unataka nyama mhhhh
Simba la masimba
🦁🦁🦁🙌🙌🙌🙌
Chibdee chibdee
Wapi wakazi?!🤣
Hii benz kanunua serikalini bei nyasi tu
Hata nyasi wewe unamiliki?
Ndio
Usipomuamini unaemdharau kuwa atafanya kitu fulan half akafanya lazim utafute neno la kujipoza na pressure, ungesema hta kapewa bure 😂😂
nunua nww sasa
@@issackathman850 tayar ninayo
licha ya mzik kuna kitu chakujifunya
Sasa hao wengine si chawa na dancer na wao wapo kwnye msafara, ni ile tu kutafuta tension no more
Na point Yako ni nini?!
Tatizo wasanii wa bongo mapicha picha mengi mno kwa sas kama huyo diamond anatuonyeshe ana maisha ya kitajili, ikitokea tu....! Amepata changamoto yoyote ya ki afya utaona tunaanza kuoombwa michango
Ata bakressa akiumwaa miaka kumi ataomba mchango pia acha ushamba
unachosema kwa mtazamo wako ni sawa,ila haujaangalia madaraja anaweza akakwama na kuhitaji msaada lkn huo msaada sio kwa levo yako.
@@geoufo2858muongo wewe
Bro wewe waangalia sana bongo movie ndio maana. Lakini sio mondi kwa level hizo hapo hakuna mchango WCB tu wakitoa michango yao inatosha sio lazma nyote muusishwe
@@shahakaisi1920ni hizo hizi mia mia zetu
makalio tu
Ya mama ako
Duh utakufa Kwa chuki
We zombie 😂😂😂😂
Juma2 Kuna watu wanamawe cyo pumbavu huyu
Pumbavu mama yako
🏂🏂🏂🏂
Hivi kwa nn magari yote Simba ni yanarangi nyeusi
Mmeanza
Roz Roz kwan ni nyeusiii au macho yngu
Gari yenye rangi nyeusi uonyesha Utawala,Ufalme,Uongozi na Kuheshimika na ndo maana unaweza kuona baadhi Gari nyingi zitumiwazo na Viongozi na watu mashuhuri Duniani ni za Rangi Nyeusi
Lakini pia nasikia ukikuta zinauzwa Gari za aina moja na kuna nyeusi na za Rangi zinginezo basi yenye Rangi Nyeusi bei itakuwaa juu zaidi kidogo kuliko zenye Rangi nyingine
Jibu ni hili kama hujui kaulize ila gari lenye rangi nyeusi ni bei kuliko rangi zinginezo
Following S R K