Kwani anakaa bure? Ao analipa kodi? Huku ulaya ukilipa tu kido ni nyumbani kwako hata police pila kibali hufungue mlango….. upooooooo? So ni mjengo wake…..🤣🤣🤣🇫🇷🇮🇹🇧🇪
2:43 mtangazaji usitumie neno nakuonyesha sena nakuonesha, katika kiswahili sanifu neno kuonyesha ni kutoa onyo juu ya jambo fulani, tumia neno ONESHA badala ya onyesha.
@@aminajuma1435 aaiseee ani mi nakerwkaga kishenzi ani halaff m na n simpo haiihitaj hata kusoma saaaana kwa mwalim mi nakumbuka niliishia 7 lakn huu ujinga c uwezagg😭
kaa kama mwanamke we dada.Inaweza kuja kukugharimu badae ukiwa unataka mume wa kukuoa.Wanaume sisi tunapenda tukiwa na wanawake ndani asionekane kama umekaa na mwanaume mwenzio au msela mwenzio.Jiweke kama mwanamke kama unatazamia ndoa kwa badae
Hoo Wasanii Walinyonywa Wasanii Wazamani Walikua Wapenda Chini Sana Na Manguo Makubwa Kama Magunia Ndio Wanaozalisha Chuki Wanaona Aibu Kwasasa Wamebaki Hoi Vijana Wanafanya Mambo Makubwa Sana Wasanii Wengi Lakini wasanii Waliotoka Mikononi Kwa Daimond Wamekua Na Umaarufu Hata Kwa Walio Awana Pesa
Kweli akili zinatofautiana sana Wakati Chui anajipanga kukuuza music wake mwenzie umakondeni anasumbukia mapenzi anaona kashamaliza wasanii wake wamepoa hakieleweki yeye analia lia serikalini wanampa hela anaenda kuweka mabango ya mapenzi mtaani. Basata hawaoni kama anachofanya sio maadili na afya ktk sanaa wamekaa kimya. Kweli maisha ni nyoso
Congratulations rayvanny, napenda ur songs, from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Hii sauti ikuje Kenya bigup for the lady voice
Wonderful and congratulations to Raavanny. That is à fruit of Diamond. Nice
That background is very neat,,,,, rayvanny keep it💞💞,,
Chuiii só teu fã numero 1
Wow that's great end hot 🔥
Rayvanny you're the best
I love his songs .big up 🍾🍾
Mtangazaji humjui BIG Notorious!! Duuuuh
Naitwa Renny Classic kutoka mwanza naomba sorppot kwa kakangu Rayvanny
Daaa nimejikuta naipenda hii tv kisa story ya van boy🙌🙌🙌🤣🤣
Congratulations ❤❤❤
Meneja kumbe pia ww n muigizaj nakupata kwenye binadam wabaya ya kitale big up bro
NI HERI UWE NA MALI LAKINI UNAMJUA MUNGU PIA VINGINEVYO KUNA MAISHA BAADA YA HAYA.
Kabsa
Yes
Sikujui Flora lakini wazo lako zuri sana
Mbona umekata tamaa
Kabisa
Bigup bro we love ur songs
Hongela chui🔥🔥
Na kupenda Rayvany ku toka congo ❤❤❤
Weeeuh I really love this guy
Sio Dj Choka uyoo ni Ncha Kali wa Clouds Fm
Nakukubali dada mbona juzi sijakuona uwanjani mwanasimba mwenzangu
Rayvan ni 💥💥💥💥
Waaaaaaaaaaaah 💕💕💕💕💕💕💕💕❣️🔥💯❤️
This reporter is the real Definition of a WINDBAG!!!
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbona unasema ukweli
oh jmni..sindo kuremba mambo jmni jirani au sio boss wangu
Ravnyn Chuiii 🐅kasha kuja macvoice dogo mukail❤
Wanachoniuzi ni kimoja tu,,, utasikia mjengo wa fulani,, kumbe amepanga,,
Kwani anakaa bure? Ao analipa kodi? Huku ulaya ukilipa tu kido ni nyumbani kwako hata police pila kibali hufungue mlango….. upooooooo? So ni mjengo wake…..🤣🤣🤣🇫🇷🇮🇹🇧🇪
Mh jmn
Sasa mjengo wake au next levo mbona sielewi
@@lulually5209 utaelewa tu ukiamka usingizini 🤣🤣🤣🤣🤣
Mm pia huwa nauthika mjengo wa fulani kumbe nyumba ni yakupanga
Mjengo wakifahali kivip wakati hyo ni lekod label yake sasa au kainunua nyumba hamuoni pale juu NEXT LEVEL MUSIC ( NLM) au mnashobo
Sasa hio lebo imebandikwa juu ya mti😂😂😂😂😂😂
Kwahyo hapo nn kinakutatanishaa
Rayvanne nimukili Sana nasema ukweli kwakwetu Congo DRC unasikika sana kaka
Rayvanny nimsani mzuri Sana anatshapa muzik muziri abakipajibhisho
🎉 🎉 mimi nakupenda sana levyanny big up san
Chui 🐅❤❤ munyama mukall ravnnyn
Mashalahu amechezea tuzo😍
Big up san
Rayvanny tumeona na Hongera sana tunaomba mtupeleke upande wa pili kwa HAMOKINYESI naskia yy record label yake n kama store ya vyakula 😆😆
Hivi anatuzo kweli
Akili una wewe
@@damianjeremia3821 Hamokinyesi hana tuzo yyte kwa mziki gan kwanza mpaka timamu wampe tuzo?
@@ezekiellakindi9919 HAMOKINYAA
DJ choka ahahahahahahah Dah bigup
Waooo next level music
Heti best female artist hhhhhhhh
Duuh hujawai niangusha vanny natamani nifike nest level music make tumetoka mbali xana
My favorite artist
iko p sana nakubali vany boy
Big up
Your good brother
Passion Java things. Akili Kichwani.
Ongera sanaaa dogo
Godless maisha ya laivan awesome 👍
Pacha y kwnza ya nyumba. ( Ndan ) tofauti na hii tunayooneshwa ndan
Lovely 🥰
2:43 mtangazaji usitumie neno nakuonyesha sena nakuonesha, katika kiswahili sanifu neno kuonyesha ni kutoa onyo juu ya jambo fulani, tumia neno ONESHA badala ya onyesha.
Wabongo wengi hawajui kiswahili una kuta mtu anasema nyimbo yako inabamba sasa hapo anaongea nini
@@aloycesteven5998 nikiona mtu anakosea kiswahili napata shida kweli natamani hata nimcharaze bakora
@@aidanwilliam9637 hhhhhhhhh
Kwani kuna mtihani
Kazi safi mbengo TV
Mwafanya kazisafi wazito 💥💥💥💥tuko pamoja
Uyo sio dj chokA bana😂😂😂
Ukuta mzima hakuna picha ya YESU wala MTUME hakika mali na vyote ni vyakupita MUNGU tusamehe hatujui tulitendalo
Kwani lazim hizo sanamu jamn kuweka ndan
Aisee kama unapicha ya mtume nitumie na mimi sjawahi kumuona
sio maik za singel 😂😂😂
Congratulations chui.
❤️♥️kiba
Mashallha
Wabongo kwani L na R mnashindwa vp kuzitofautisha?
Mi mwenyewe wananiuzigii c jui tatizo linakuagga wap
@@abuukamanda.s.mkenga6687 wanajitahidi kutaka kuongea kiswahili fasaha ndokinawashinda.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@aminajuma1435 aaiseee ani mi nakerwkaga kishenzi ani halaff m na n simpo haiihitaj hata kusoma saaaana kwa mwalim mi nakumbuka niliishia 7 lakn huu ujinga c uwezagg😭
@Salama Salama umeuaaaaaaa kinyamaaaani🤣 aaiseee
Huyu ni Ruben Ndege au NCHAKALI bhana ndio alie hisi kuwa vanny boy anajua
Jameni munamkumbushiya miss paaaa
Hongera Sana chui
Safi sana mtangazaji tunajifunza kitu.
Chuiiiiiii for life baby
Eti Dj Choka. Endelea kushabikia mpira tu 😂😂😂😂😂
Huy mutangazaji n dada au
Huwa Tuzo hazishikwi una Zoom tu. Be professional usiguse guse vitu
Ray vanny nakuoenda sana
Kaka diamond mungu akubariki
Diamond we ni simba
Utapendez zaid mjengo huo endap utaish na paula bro💟💗💖💞💞
Utapendeza kwa Fahyma na Jayden
@@janewanjiku5673 exactly
Nyumba imejana mashetani tu hakuna ata Malika umoya anaweza ingiya
WE mjinga sana
Nextrevo my zuc
nnchakali kawa dj choka vp bwana mwandishi
Sio DJ choka ni #nchakali
A.K.K mtyuuu mbadii raygold👑👑👑
Umenichekesha mziwanda et Justin beibiii duh
Ngoja hiyo Tuzo Uibwage" na kihere here chako🤣🤣🤣🤣
Kodia ya ccm haionekani kwan yeye hakupewa?
Mwandishi bhana.. Et Justine beibe😜😜
Hongera
Good
Kifaali wabongo na lugha
Mm nampenda Rajabu bre jamani nisaidieni jinsi ya kmpata 😢😢
Chuiiii 🐆 NLM music 💪🏻
Nampenda raivani
Nataka aniowe
Kiboko🔥🔥🔥🔥
Mkn zan ravnnyn ChuiiiNLM ogera zana Ravnnnyn nexti levo misic na ravnnyn Chuiii pambana sana NLM piga kasi lebo niyako pambana buro NLM
K Mziwanda jifunze kutamka vizuri herufi R na L' maana unachanganya kwenye r unaweka l na kwenye l unaweka r'
Ongela bro
Bomba sana chui
ukifikilia kufa basiutaishi maisha magumu wewepambana iliufanikiwe kufa badae
Goood💪💪💪
kaa kama mwanamke we dada.Inaweza kuja kukugharimu badae ukiwa unataka mume wa kukuoa.Wanaume sisi tunapenda tukiwa na wanawake ndani asionekane kama umekaa na mwanaume mwenzio au msela mwenzio.Jiweke kama mwanamke kama unatazamia ndoa kwa badae
Shughulikia maisha yako, wacha kufuatilia lifestyle ya watu
ukwel siku soze unauma bt nikwel anaboa ajulikane tuu nimke au mume hovyoooo🤣🤣🤣🤣🤮🤮🤮🤮🤣🤣🇰🇪🇰🇪
Iyo minywele Sasa Kama chiz vile
We meneja wa vany boy ulimtoa kafala mwenzio kwenye tamthilia ya binadam wabaya
Nauliza hiv kwa mfano akifukuzwa hapo WCB atapeleka wapi kwato zake🚶🚶🤣🤣🤣
justin bbaaaaabbby !!! daaaah
Apo kwa singeli hujafanya poa😂😂😂😂
Unajua dada
Hoo Wasanii Walinyonywa Wasanii Wazamani Walikua Wapenda Chini Sana Na Manguo Makubwa Kama Magunia Ndio Wanaozalisha Chuki Wanaona Aibu Kwasasa Wamebaki Hoi Vijana Wanafanya Mambo Makubwa Sana Wasanii Wengi Lakini wasanii Waliotoka Mikononi Kwa Daimond Wamekua Na Umaarufu Hata Kwa Walio Awana Pesa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
Huyo ni tiger sio chui!🤔
Mtangazaji huyo duuh kazi ipo
Justin baby 😂😂😂😂
Like back kuwa wakwaza macvoce ravnnyn nexti levo misic
Rayvanny n Tajir na hatukani waliomsaidia lkn wamakonde maskini ila manenooooo
Mambo heihei by salome
This reporter can’t even read wah 😩
IS very good
Kweli akili zinatofautiana sana Wakati Chui anajipanga kukuuza music wake mwenzie umakondeni anasumbukia mapenzi anaona kashamaliza wasanii wake wamepoa hakieleweki yeye analia lia serikalini wanampa hela anaenda kuweka mabango ya mapenzi mtaani. Basata hawaoni kama anachofanya sio maadili na afya ktk sanaa wamekaa kimya. Kweli maisha ni nyoso
kuma la mamako kila mtu atombeshe kuma lake hakuna haja ya ku compry kuma wee
@@sifatiiman kamle mamaako kwanza afu umpelekee tako mmakonde