MCH HANANJA ATOA SOMO KWA GEN Z WA KENYA, MUNGU HAPENDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 47

  • @stephenmwaniki2803
    @stephenmwaniki2803 Před 10 dny +9

    Wacha mzee nikujuze jambo huyu mtu alipo ingia mamlakani kwanza aliondoa kazi kwa vijana pesa za wazee mlo shuleni kwa wasionjiweza huduma hospitalini acha zifurugha yani amehalimbu kila kitu na tusisahau amepeleka watoto wetu haiti kwahiyo hatumchukii bule huku maisha nikusononeka tu

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 Před 6 dny

      Ndiyo hicho alichosema Wananch wameona Tofauti na walichotegemea

  • @ombengoranga5589
    @ombengoranga5589 Před 4 dny +3

    Kama huna busara huwezi mwelewa huyu mzee lakini kuna vitu vingi vya kujifunza hapa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 6 dny +1

    Mchungaji uko vizuri kuliko hawa watafiti wa kusoma vitabu na kuandika tafiti "mwotesho". Hili ni somo zuri kwa Wah Wabunge. Huu ndio ukweli. Viongozi dini na serikali na wazazi wasikilize hii kwa makini.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 9 dny +2

    Wale watu wamesema wenyewe kuwa hawana cha kupoteza😢.Hawajali kabisa. NI KW E LI .Wamekata tamaa😢

  • @user-me5xj1cp2e
    @user-me5xj1cp2e Před 9 dny +3

    Magufuli alibadilisha kwa mda gani wachungaji semeni

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 6 dny +1

    "Utamaduni wa mazungumzano kuanzia ngazi ya familia. Walioko juu wawasikilize walioko chini na wachininwawaheshimu walioko juu wasiwapuuze walioko chini na wachini wasipuuze walioko juu. Tusipuuzane Watz. Tuipende nchi yetu kwa amani."

  • @user-fr3yx7ot9v
    @user-fr3yx7ot9v Před 3 dny

    Mzee be blessed so much, you have been good advisor.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 5 dny +1

    Wakosa wote. Hela ziko wapi! Mungu saidia tune na uwezo WA kufanya kazi asifanya kazi na asile.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 6 dny +1

    "Maendeleo watu na maendeleo vitu viende pamoja. Mwenyenjaa hana sheria hana akili. Watu potelea mbali hawana habari, hawana la kupoteza."

  • @bahatisilvesta
    @bahatisilvesta Před 11 dny +3

    big point

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Před 11 dny +2

    Tatz waliojuu Hawana utamaduni wa kuwackiliza walio chini wkt ndio ndio waliowaweka apo juu kwa kura na ridhaa zao lkn wakipata huwasahau na mara nyingi walilalamika solution huwa kuwachapa viboko na kuwanyamazisha.

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Před 2 dny

    Mzee kaongea points,,serikari za Africa Zina fikir maendeleo ya vitu huku,watu wao Wana kufa na njaa,,,

  • @collinsowuor6981
    @collinsowuor6981 Před 9 dny +1

    Kweli kabisa, wakenya ujumbe mzuri kwenu nyinyi

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed6046 Před 8 dny +2

    Wewe huijui kenya hatukuelewi

  • @feswal22
    @feswal22 Před 7 dny +1

    Kutojua haki yako kama mwananchi ni vbaya,, this round tutawafinya lazma Kila mtu awe na haki sawa 🇰🇪🇰🇪 uongozi wa kidicteta hatutaki

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Před 2 dny

    Mi Cwezi Poteza Mda Ni Kasikiza Pasta Ata Cku Moja 😂😂😂😂😂Wacha Tuuwane Ila Tunajuwa Tunacho Kifanya

  • @user-tr2mf3hp5s
    @user-tr2mf3hp5s Před 4 dny

    Kuna kipindi nilipitia iyo Hali ya sonona ila kwa Sasa namshukulu nimepata Neema ya Mungu ni mjasilia Mali na nimelidhika na maisha yng

  • @jovinusmutabuzi4647
    @jovinusmutabuzi4647 Před hodinou

    Mimi nilisikia kwamba Ruto alikuta treasury/Hazina haina kitu,uhuru alikomba yote kama huo ndio ukweli lazima Rito apate mahali pa kuanzia.hata Magofuli wetu alitafuta pesa kwanguvu .
    Namfahamu Ruto kama mcha Mungu, namuombea Mungu aitulize kenya na kuwaweka watu pamoja.

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před dnem

    Mchungaji nimekua nikikufuatilia nanimekua nikikuelewa kwa mambo ya mungu, ila kwa hili kaapembeni kabisaa yan siku zote haki hutafutwaga kwa damu siku zote hamna haki isiyo tafutwa kwa damu.

  • @user-uy3uk2ul5b
    @user-uy3uk2ul5b Před 10 dny +1

    Unapopandisha Kodi razima uwandae miundombinu ya maksin ya Ali ya chini, ili asije kuraramika km wakenya.

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo9641 Před 9 dny +3

    Kuja Kenya tukusalimie

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 3 dny +1

      😂😂😂😂😂 asalimiwe atie akili

  • @user-em3qx3de7z
    @user-em3qx3de7z Před 11 dny +1

    Kwel kabisa mchungaji yaan ni ukwel mtupu

  • @baloz8974
    @baloz8974 Před 3 dny

    Urefu waGenz kiurefu ni Generations Z

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před dnem

    Yan saiv vijana wengi wamesoma wanaelimu yakutosha mwisho wasiku wanashangaatu miaka inaenda hawanakazi mnategemea nini?

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Před 11 dny

    True

  • @jenifferwanjira6124
    @jenifferwanjira6124 Před 3 dny

    ❤❤❤

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 2 dny

    Mamachanja tumbo laniuma Leo umeongea zero ndio maana mzalendo wenu magufuli amewawa kisiasa na jyinyinviongozi wa dini kimya so ya wake ya huyajui wachie wenyewe wapiganie haki zao kakojoe ulale

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 9 dny

    Ushabiki ni balaa ,tuongee ba siyo vurugu😮

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Před 11 dny

    Nimekuelewa mzee wengi hatujui km Kuna maendeleo vitu na Maendeleo watu kwaiyo kinachofanyika ni kuleta Maendeleo vitu tyu bila kujali Maendeleo watu ni muhm zaidi kwasabb ni rahc Maendeleo watu kuleta Maendeleo vitu lkn una una soko lkn huna uwezo wa kuweka bidhaa.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 6 dny

    Matarajio ya waliokuweka ktk uongozi yasipotimia shida. Je wanani walimweka nani ktk uongozi na matarajio yao nini? Taabu.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 10 dny

    Nimecheka eti watanzania ni nautical😀😀😀

  • @PhestoKamsangia-nz2xx

    Huyu mze anafaa kuwa bunge kabisa

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 2 dny

    Katika kundi la wambea wee dada waongoza

  • @douglaswawire9885
    @douglaswawire9885 Před 8 dny

    Come and stay in Kenya for only only month,,,,you will go back to your country,,,you don't know how people feel

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 Před 9 dny

    Hakika

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836

    Hakuna kundi la kisiasa....

  • @dukeongori9067
    @dukeongori9067 Před 10 dny

    Bro wa suti

  • @ngwenoh.e9725
    @ngwenoh.e9725 Před 8 dny

    What is he talking about? There's no politics there,it's governance,accountability,curb wastage

    • @jovinusmutabuzi4647
      @jovinusmutabuzi4647 Před hodinou

      Siyo rahisi hivyo.kuna kuvumiliana,kufunga mkanda.sisi bongo tunauwezo wakumvumilia rais hadi kumaliza kipindi chake.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 9 dny

    Watu wanategemea kuajiriwa tu.colonilism after effects Vijana wajifunze kujiajiri na siyo kuwategemea wabunge😢😢

    • @ezekielmwakalindile1922
      @ezekielmwakalindile1922 Před 7 dny +2

      Usichukulie powa kujiajiri lazima selikari itengeneze mazingira ili wananchi wake waweze kujiajiri.Nchi nyingi hazina iyo mifumo ndio maana watu wengi wanakuwa jobless

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před hodinou

      ​@@ezekielmwakalindile1922yap

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 9 dny

    Ba b a waambie wa n asiasa wa Tanzania pia waanze kujitambua vinginevyo mwakani ni hayo hayo ya Kenya.Sasa tatizo la Tanzania elimu ndogo sana,kwa vijana hata baadhi ya wanasiasa😢😢 Kitakuwa kisanga wajinga watupu kupambana😢😢

  • @salimamry9432
    @salimamry9432 Před 4 dny +2

    Mchungaji maneno yako mengi huwa yana hikima.