Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu. Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
HAWA WAJIITAO WACHUNGAJI AMBAO KAZI ZAO KIROHO NI -VE WANABAKIA KUWANANGA WACHUNGAJI WENGINE,SIJUI NIKWANINI? WASHIKILIE KILE WANACHO KIAMINI,WAACHANE NA ANAYE JIITA KIBOKO YA WACHAWI. VINGINEVYO TUTAJUA KUWA WACHAWI WAMEPATA WATETEZI
Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .
Hivi kweli muungano wa makanisa ya kipentecoste wameshindwa kutoa msimamo wao juu ya hili? Sawa kama ndivyo serikali iko wapi??? Watu waache vita kwao waje waanzishe vita ya kisakologia kwetu,kweli nimetambua hatuna anayetusemea
LUKA 7:22 Nimeona, nimeshuhudia, watu waliofufuka, mwamala umesoma, viwete, vipofu, wagonjwa waliponywa kwa Kiboko ya Wachawi kwa Hananja ni comedy tu.
Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze
Umesema kweli Rev: Hananja
Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤
Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana
kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana
May the Living God bless you abundantly Pastor, from Holland 🇳🇱
Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu.
Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅
MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah
Hananja professional Bible study
Amina baba mm nimejifuza kwa kutoa Vifungu katka bibilia
Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi
Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi
Asante sana paster.kwa hekima ya majibu yako kibiblia kwa busara.
dah! mch Hananja biblia Yuko vzr co wale wanaotuchezea sinema eti miujiza!
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake
Ubarikiwe sana Mungu akubariki sana
I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko
Yaani hapa ndo mwisho wa matatizo.
huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh
Safi kabisa mchungaji
Kweli kabisa sasa hivi mahubiri ni uchawi tu,wanaboa sana.Serikali iangalie hili kwa makini.Tunakoelekea ni kubaya sana
Facts pastor
Shida kubwa watu wanapenda mazingaumbwe kuliko kupenda kwelii
Nakukubali mchungaji!
Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.
Hakika Pastor unaweza kutuweka sawa asie elewa hatoelewa kamwe
Huyu mch 😂😂😂
Na kweli kiboko ya wachawi anahubiri injili chonganishi
Tz raia wengi ni vilaza jamani.
😅😂mzee mengine mengi yupo sawa na ukakasi kidogo humo kuhusu vita,vita ipo rohoni tuanzie Waefeso 6:11-12
Wewe ni Mchungaji wa kweli
Ubarikiwe mtu ws mungu sana
Kama Manyumbu 😂😂😂😂
Kwanini hafungiwr kanisa mabar? na sehemu za starehe hazijafungwa mwacheni mradi anahubiri Yesu kuna tatizo gani!
Nakubali maandishi
Nimecheeka saa.
🙏🙏🙏🌹🌹🌹
Ni manyumbuuu tu hayoo
selekali hiii niyawooo wala hawawezi kuwafukuza inge kua nihaki haipendi dhuluma
Kila anchoongea anakitetea kwa maandiko hawa ndio wachungaji tunao wahutaji
Sitaogopa hofu ya usiku
❤❤
HAWA WAJIITAO WACHUNGAJI AMBAO KAZI ZAO KIROHO NI -VE WANABAKIA KUWANANGA WACHUNGAJI WENGINE,SIJUI NIKWANINI? WASHIKILIE KILE WANACHO KIAMINI,WAACHANE NA ANAYE JIITA KIBOKO YA WACHAWI.
VINGINEVYO TUTAJUA KUWA WACHAWI WAMEPATA WATETEZI
Wapotosha watu acha waambiwe ukweli
😂😂😂😂 hela weka kichwani
Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .
😢😢
TUKATAE MAFUNDISHO YA HOVYO HOVYO
Kula chuma hicho
TATIZO HII BIBLIA HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA NCHI GANI AU BASI MJI ILIKOTOKA...ANAYEJUA NAMKARIBISHA..ALETE USHAHIDI TU BASI
Mh wewe maswala ya imani achana nayo maana ni makubwa kuliko unavyofiria
wewe baki na imani uliyonayo tu bhas mengine ya watu waachie wenyewe
Yaani umeuliza pumba kabisaaa Quran imetoka wapi??
Omba MUNGU akupe ufunuo uondokane na Giza kiri kwa Imani YESU ni mwokozi wa maisha yako,Roho mtakatifu atakufungua na utafahamu vyote
😂😂😂 wewe unaongeya san
Hivi kweli muungano wa makanisa ya kipentecoste wameshindwa kutoa msimamo wao juu ya hili?
Sawa kama ndivyo serikali iko wapi??? Watu waache vita kwao waje waanzishe vita ya kisakologia kwetu,kweli nimetambua hatuna anayetusemea
Siku hizi umoja wa CPCT ni umoja wa kuchumia pesa
Piga spana Mchungaji Hananja, waamini wamekuwa wajinga sana
LUKA 7:22 Nimeona, nimeshuhudia, watu waliofufuka, mwamala umesoma, viwete, vipofu, wagonjwa waliponywa kwa Kiboko ya Wachawi kwa Hananja ni comedy tu.
Unaweza kutueleza hao waliofufuka saizi wanaishi wapi,na je wakati wa vifo vyao ulishuhudia makabuli yao na ushahidi wa majirani zao wanaowafaham??
Zero brain
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake