MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 65

  • @PeterJustin-ke5mk
    @PeterJustin-ke5mk Před 4 dny +7

    Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Před 2 dny +3

    Umesema kweli Rev: Hananja

  • @henryj3304
    @henryj3304 Před 2 dny +3

    Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤

  • @privaushaki7395
    @privaushaki7395 Před 3 dny +4

    Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana

  • @amosmwangela1878
    @amosmwangela1878 Před 3 dny +4

    kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 Před dnem

    May the Living God bless you abundantly Pastor, from Holland 🇳🇱

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před 4 dny +4

    Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu.
    Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Před 3 dny +3

    Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma Před 4 dny +6

    Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před 3 dny +2

    MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah

  • @NkindaOnen
    @NkindaOnen Před 5 dny +8

    Hananja professional Bible study

  • @ShukraniChomolla
    @ShukraniChomolla Před 4 dny +2

    Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 4 dny +3

    Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi

  • @modernmwamtobe-lq8rg
    @modernmwamtobe-lq8rg Před 4 dny +1

    Asante sana paster.kwa hekima ya majibu yako kibiblia kwa busara.

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale Před 3 dny +1

    dah! mch Hananja biblia Yuko vzr co wale wanaotuchezea sinema eti miujiza!

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 Před 2 dny +1

    Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake

  • @samuelbahati7976
    @samuelbahati7976 Před dnem

    Ubarikiwe sana Mungu akubariki sana

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila9458 Před 4 dny +1

    I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko

  • @hildalyatuu2710
    @hildalyatuu2710 Před 4 dny +3

    Yaani hapa ndo mwisho wa matatizo.

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 Před 4 dny +4

    huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz Před 3 dny +1

    Safi kabisa mchungaji

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w Před 3 dny +1

    Kweli kabisa sasa hivi mahubiri ni uchawi tu,wanaboa sana.Serikali iangalie hili kwa makini.Tunakoelekea ni kubaya sana

  • @VascoJohn-rp1uc
    @VascoJohn-rp1uc Před dnem

    Facts pastor

  • @CalistaMartin-v7m
    @CalistaMartin-v7m Před 4 dny +1

    Shida kubwa watu wanapenda mazingaumbwe kuliko kupenda kwelii

  • @costantinemgalle1910
    @costantinemgalle1910 Před 4 dny +4

    Nakukubali mchungaji!

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 Před 3 dny +1

    Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.

  • @user-gn7xd1yg3t
    @user-gn7xd1yg3t Před 4 dny +6

    Hakika Pastor unaweza kutuweka sawa asie elewa hatoelewa kamwe

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 18 hodinami

    Huyu mch 😂😂😂

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Před 2 dny +1

    Na kweli kiboko ya wachawi anahubiri injili chonganishi

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 Před 3 dny +1

    Tz raia wengi ni vilaza jamani.

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 Před 4 dny +1

    😅😂mzee mengine mengi yupo sawa na ukakasi kidogo humo kuhusu vita,vita ipo rohoni tuanzie Waefeso 6:11-12

  • @rweumbizalugaimukamu4905

    Wewe ni Mchungaji wa kweli

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504 Před 3 dny

    Ubarikiwe mtu ws mungu sana

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Před 2 dny

    Kama Manyumbu 😂😂😂😂

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 Před 2 dny

    Kwanini hafungiwr kanisa mabar? na sehemu za starehe hazijafungwa mwacheni mradi anahubiri Yesu kuna tatizo gani!

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Před 3 dny

    Nakubali maandishi

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 Před 3 dny

    Nimecheeka saa.

  • @servulytarimo
    @servulytarimo Před dnem

    🙏🙏🙏🌹🌹🌹

  • @eliasbihita4041
    @eliasbihita4041 Před 3 dny

    Ni manyumbuuu tu hayoo

  • @frenkfarm1139
    @frenkfarm1139 Před 2 dny

    selekali hiii niyawooo wala hawawezi kuwafukuza inge kua nihaki haipendi dhuluma

  • @josephatdeos1792
    @josephatdeos1792 Před 4 dny

    Kila anchoongea anakitetea kwa maandiko hawa ndio wachungaji tunao wahutaji

  • @Jophley
    @Jophley Před 4 dny +1

    Sitaogopa hofu ya usiku

  • @MaxonSelestine
    @MaxonSelestine Před 4 dny

    ❤❤

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Před 4 dny +1

    HAWA WAJIITAO WACHUNGAJI AMBAO KAZI ZAO KIROHO NI -VE WANABAKIA KUWANANGA WACHUNGAJI WENGINE,SIJUI NIKWANINI? WASHIKILIE KILE WANACHO KIAMINI,WAACHANE NA ANAYE JIITA KIBOKO YA WACHAWI.
    VINGINEVYO TUTAJUA KUWA WACHAWI WAMEPATA WATETEZI

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Před 2 dny

    😂😂😂😂 hela weka kichwani

  • @ALESIACHIJOKA
    @ALESIACHIJOKA Před 3 dny

    Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .

  • @CalistaMartin-v7m
    @CalistaMartin-v7m Před 4 dny

    😢😢

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py Před 3 dny

    TUKATAE MAFUNDISHO YA HOVYO HOVYO

  • @LazaroHaule-tr5cl
    @LazaroHaule-tr5cl Před 3 dny

    Kula chuma hicho

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před 4 dny +1

    TATIZO HII BIBLIA HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA NCHI GANI AU BASI MJI ILIKOTOKA...ANAYEJUA NAMKARIBISHA..ALETE USHAHIDI TU BASI

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 Před 3 dny

      Mh wewe maswala ya imani achana nayo maana ni makubwa kuliko unavyofiria
      wewe baki na imani uliyonayo tu bhas mengine ya watu waachie wenyewe

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Před 3 dny +1

      Yaani umeuliza pumba kabisaaa Quran imetoka wapi??

    • @jamesmwandu9295
      @jamesmwandu9295 Před 3 dny +1

      Omba MUNGU akupe ufunuo uondokane na Giza kiri kwa Imani YESU ni mwokozi wa maisha yako,Roho mtakatifu atakufungua na utafahamu vyote

  • @user-pj3cb5ht4b
    @user-pj3cb5ht4b Před 4 dny +1

    😂😂😂 wewe unaongeya san

  • @einothlekaaya
    @einothlekaaya Před 4 dny +2

    Hivi kweli muungano wa makanisa ya kipentecoste wameshindwa kutoa msimamo wao juu ya hili?
    Sawa kama ndivyo serikali iko wapi??? Watu waache vita kwao waje waanzishe vita ya kisakologia kwetu,kweli nimetambua hatuna anayetusemea

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa Před 4 dny

      Siku hizi umoja wa CPCT ni umoja wa kuchumia pesa

  • @ROBERTMAXIMILIAN
    @ROBERTMAXIMILIAN Před 4 dny +1

    Piga spana Mchungaji Hananja, waamini wamekuwa wajinga sana

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 Před 4 dny +1

    LUKA 7:22 Nimeona, nimeshuhudia, watu waliofufuka, mwamala umesoma, viwete, vipofu, wagonjwa waliponywa kwa Kiboko ya Wachawi kwa Hananja ni comedy tu.

    • @jamesmwandu9295
      @jamesmwandu9295 Před 3 dny +1

      Unaweza kutueleza hao waliofufuka saizi wanaishi wapi,na je wakati wa vifo vyao ulishuhudia makabuli yao na ushahidi wa majirani zao wanaowafaham??

    • @dicksonmsuva4880
      @dicksonmsuva4880 Před 2 dny

      Zero brain

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 Před 2 dny

    Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake