KIJANA ALIEFARIKI AZINDUKA WAKATI WA MAZISHI, MAAJABU MAZITO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 68

  • @user-bh9if3bo8r
    @user-bh9if3bo8r Před 6 měsíci +5

    Mtu akifa na kuamka tena anakuwa kama akili zimepungua

  • @user-kg7of9fr5x
    @user-kg7of9fr5x Před 6 měsíci +13

    Navyojua Mimi islail akija kutoa roho ya mtu harudi Tena labda ulizimia au ulitaka kugeuzwa msukule

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 Před 6 měsíci +2

    Mtu akifa na kufufuka kwanza anakua na bahati sana pia hawezi kuongea vizuri kwamaana atatoa siri ya kifo na hakiri zinakua pungufu zingine anaziacha kwenye usingizi wa kifo nashangaa huyu anajua kila kitu bro usituigizie 😅😅

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 6 měsíci +1

    Kila sk watu wanafufuka aisee tz yangu ni noma😂😂😂😂

  • @fridahkaari4373
    @fridahkaari4373 Před 6 měsíci +5

    Tanzania mna mambo😂😂

  • @IssackMsimbangombe-jy3nd
    @IssackMsimbangombe-jy3nd Před 6 měsíci +3

    Mm naweza amini anacho ongea kunashangazi wa rafiki angu alifariki na wakamuweka mochwali alifariki uck na mda wa saa ahsubuhi wakawa wanamuandaa kumuweka kwenye jokofu na Wales Wamesha mchoma na sindano na wakamuweka ck yapili mm narafiki angu tunafika kwao tukimsindikiza kutoka shule tayari kwa mazishi ya shangazi yake tukiwa tunaaga alifufuka na paka leo yupo sema alishakuwa Bubu na nikiziwi japo awali kabla hajafa alikuwa mzima kwa kilakitu kwahiyo hayo mambo yapo

  • @princessmakwega2444
    @princessmakwega2444 Před 6 měsíci +3

    Uyo baba ako anajua kua wali taka kukufanya msukule na iyo inshu yoote ana ijua

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 6 měsíci +4

    Na mimi ndo maana sitakagi mtu anizike mapema yaani nife mchana jioni kaburini hapana mtakuwa mmezika wengi wakiwa hai

    • @abedimhjeshi593
      @abedimhjeshi593 Před 6 měsíci +1

      Hiyo ni kweli boss

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 6 měsíci +1

      Kweli si uongo nishaona testimony nyingi za watu wanafanya kazi mochwali

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 Před 6 měsíci +2

    Jamani huyu kaka anaongea hayo yote alielezewa na familia kwa sababu yeye alikuwa mdongo hajui kitu.

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c Před 6 měsíci +1

    Sema ulikuwa umezimia acha kutujaza ujinga

  • @chebetdebrah
    @chebetdebrah Před 6 měsíci +1

    Hayo Ni mapepoo😂😂😂ulijua ajee kinachoendelea Na ulikuwa mkufi surely 😂😂😂😂

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 Před 6 měsíci +1

    Walitaka kukufanya msukule tu ila hujafa

  • @zeyanaalgheithy6561
    @zeyanaalgheithy6561 Před 6 měsíci +1

    Wanapenda waonekane media😂

  • @Sallah-jv4rq
    @Sallah-jv4rq Před 6 měsíci +1

    Anataka kupigwa nao tu uyo

  • @user-ni3xp4kd3c
    @user-ni3xp4kd3c Před 6 měsíci +1

    ufufuo ulikua mmoja tu ni yesu kristo lands ulizumia

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 6 měsíci +1

    Mungu wangu mhhh eee m/mungu naomba unijalie mwisho

  • @jacksonmbwasi8366
    @jacksonmbwasi8366 Před 6 měsíci +3

    Kwahyo hayo maelezo unayotoa ww ulijuaje Kama hayo yalikuwa yanaendelea wakat ulikufa ?

  • @nzanzex7831
    @nzanzex7831 Před 6 měsíci +1

    Au mzazi wako alikua na siri flani? Mbn??

  • @OmaryChipeta-mh2wi
    @OmaryChipeta-mh2wi Před 6 měsíci +1

    Uyu jamaa anatangaza uganga wake

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 Před 6 měsíci +2

    Kamani alielezewa yey alikuwa mdogo

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Před 6 měsíci +1

    Part 2 please

  • @fashyahmed4135
    @fashyahmed4135 Před 6 měsíci +2

    Jaman kafa akafufuka???? how 😅...ww baba angu ulikuwa umekata moto tu sema ndg zko wakaharakisha kukuvalisha sanda....we alikwambia nan israel akishatoboa tundu kuvuta roho huwa anairudisha?? asubuutuuuuuu😅😅....Allah atupe mwisho mwema

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 6 měsíci +1

    BASI HITAKUA YESU KALUDI HUYO KAMA MINADAMU ALIZIMIA TU AU UNATAKA KUTOA NYIMBO KWASABABU NDIO ZENU WABONGO

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 6 měsíci +1

    Hawakuwaga,aliululizaga,aliwaga,akawaga,hakufikaga,alishangaaga 😂

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 Před 6 měsíci +1

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 dunia hii

  • @alialkiyumi9372
    @alialkiyumi9372 Před 6 měsíci +3

    Alizimia acheni ujinga

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 Před 6 měsíci +1

    Alizimia 😂😂😂😂😂😂

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 6 měsíci +1

    Kitu kama kinapikwa

  • @backamwasha8280
    @backamwasha8280 Před 6 měsíci

    Acha kudanganya watu kijiji kilitetemeka wapi mie ni mwenyeji Wa uko mwanza Sema ukweli baba yako ni mganga wakyenyeji

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 6 měsíci

      Mchawi, labda majini yake hiyo nana ake

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 6 měsíci +2

    Hakufa

  • @edwardleonard5793
    @edwardleonard5793 Před 6 měsíci

    Bahati ni kwamba hakuwa amepelekwa mochuari angefufukia huko wangemalizanae tuu

  • @backamwasha8280
    @backamwasha8280 Před 6 měsíci

    Acha uongo Wewe siyo Wa mwaka1990 mbona mnapenda kutudanganya

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 6 měsíci

    Sasa umekufa alafu unaongea au ulikuwa unasikia yanayotendeka

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 6 měsíci

    Alizimia huyo , Hakuna kufa na kufufuka kwa hii dunia . Ni vile tunaharakisha mazishi na hivyo ndio quran imesema .

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 6 měsíci +3

    Hao wanaokimbikiza kuzika watakuwa wanazika watu hai..

    • @maindamai8374
      @maindamai8374 Před 6 měsíci

      😢😢

    • @abedimhjeshi593
      @abedimhjeshi593 Před 6 měsíci

      Kweli uwaga wana kimbiza watu haraka haraka kuzika ipo siku MTA tuzika wengi tupo hai afu tuna zinduka tukiwa kaburini

  • @HemedSaleh-oh3cz
    @HemedSaleh-oh3cz Před 6 měsíci +1

    Move 😂😂

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Před 6 měsíci

    Baba yako ni mganga wa kienyeji tu ongera ukweli tu.

  • @user-yj2qc6cw3q
    @user-yj2qc6cw3q Před 6 měsíci

    Majabu mengi yatokea uko Tanzania 🇹🇿

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 6 měsíci

    Kwani chemical nyie huwa mnajua ni nini?

  • @alicehaule1306
    @alicehaule1306 Před 6 měsíci

    Ulijuaje ametokea gafla na ww ulikuwa mfu acha kutusokota bhana

  • @khadijakhamis7957
    @khadijakhamis7957 Před 6 měsíci

    Ah haiwezkn bhn tuacheeee 😅😅😅😅

  • @kingeibiy
    @kingeibiy Před 6 měsíci

    Uyo hajakafiniwa au

  • @backamwasha8280
    @backamwasha8280 Před 6 měsíci

    Sema mganga Wa kyenyeji

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 6 měsíci

    Wee sema ni mganga wa kienyeji au ndo alikutesti

  • @user-sk5sd7kc9g
    @user-sk5sd7kc9g Před 6 měsíci

    100kilo🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @kristenongo7094
    @kristenongo7094 Před 6 měsíci

    HUYU ALIZIMIA HAKUFA KABISAA