"MKE wa MTU HAURUHUSIWI KUVAA KIJORA na PAJAMA USIKU -UNA AKILI UNAMPA MUME CHIPSI?" -MALKIA MWEUSI
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- "MKE wa MTU HAURUHUSIWI KUVAA KIJORA na PAJAMA USIKU -UNA AKILI UNAMPA MUME CHIPSI?" -MALKIA MWEUSI....
#KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Wengine Usk chai hawapendi,
Nipe no yako tafadhaki najambo langu nikujuze
Habiba usiongee ukamaliza my dear....wanaume ni binadamu walioumbwa kivingine....chunga ndimi zako dada....sema hapo uko kazini kwahiyo kama unafunda funda tuuu....my dear fanya uchunguzi wako vizuri....unaweza sana kufanya yote ila mwanaume akiamua lake ni lake....stop contradicting yrself.
Sahii apo anajip iman ty keshapgw naktu kizit ila xwajua wakion kamera😅😅nyma sas ya kamera kivumb
Mwanamume huyuuuuuu mmmh
Amuulize fahivany 😂😂😂😂😂😂
Amuulize fahivany 😂😂😂😂😂😂
Sa uyo fayvany kaolewa Ana ndoa gan??
Habibaa wee usiongee ukanaliza ww mwanaume sio ndugu yako ww...unamlia kiapo binadamu mwenzio na umesahau Moyo wamtu ni kichaka ujuwi anachowaza Wala kufanya usijifanye wee mjuajii snaa au mtakatifuu sana
Nimekipenda sana iki kipindi mubarikiwe sana kina mama
Asante kipenzi ❤ elimu nzuri wanaume ni muhimu kwenye Maisha yetu atakama unapesa mambo mazito ❤️😘
Weweeeeee wawili wawili ndo penzi la kweli mambo ya kupeana zamu nooooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wapeni sifa tu awo wanaume wajazeni mabichwa tu msifanye mwanamke mtumwa wa mapezi
Wee malikia mweusi chunga kauli zako hizo 😂 mume hachepuki amekua nani yeye weweeeee haya
Umeongea mambo mengi mazuri ya kuelimisha ❤❤big up saaana
Uloyaongea ya kweli, lkn kwa eti mmeo hachepuki, mh! Hao viumbe waone kama walivyo hivo, siku moja atakuumbua dada haya.
Yaani huyu mama JJ nilikuwa namuona mtu mwenye busara zake kumbe ndy wale wale watafuta jina mitandaoni wamama wa Kigoma dini zimewakaa sana huyu Kigoma gani anaevunja sheria za mafunzo ya unyago jaman unyago ni siri ya wanawake sio hivi 🚮
Niko Kenya,nafurahi juu ya mafunzo, kwetu hakuna mafunzo
@@tabithawaithira1202 🤣🤣
Mmh huyu anajimaliza sana😂😂😂😂😂
😂😂😂ila habibaa kijoraa kimefanyajee😂😂😂
Wajina nimekupenda na ma j❤❤❤❤❤
Sawa mnatuelekeza lakn sio ka hivi mala shanga ooo kitambaa kumfuta mume jmn huo unyango upo mseme tuu utandawazi akuna familia au mzazi ambae amfunzi mwanae akiwa ame barehe au kuingia kwenye ndoa acheni hizo mambo bwana kuna watu wana kaa ndani kama wazaramo ata miaka kumi una wekwa ndani uo mwezi chamtoto lakin unakuta mtu ana tabia yake tu ya hovyoo.... Mnako elekea tuta waita (msungo) kwann mnatoa maana nnje
😂😂😂 lol pengine mumewe anaowa akiiacha kila siku kama haji manara, hatumjui tu
Habiba usiseme ukamaliza. Mm mume wangu pia nilimlilia kiapo kama ulivyo kula ww nilipo ambiwa kuwa nimchepuko niliamini mwanamume simwenzako. Ni mtu mwanzo si mtu mwisho.
wakwangu hatachakula hapangiwi mezani anaheshima na Mimi nanapendwa sana nahatoki nyuma nilifanyia vimbwanga nikaona dawa nikuonesha sina muda nae mwanaume ukimpenda sana anakuzarau sana 😂😂😂😂😂😂
asateeee bikugwi mm ni kama ww naapa mume wagu hatoki abadani Nampa still zotee mpaka a naliya mm niliye huwa a naliya yy haloooooooo❤
Habiba mwanamume akitaka reverse inakuaje? Maana hawa wana adabu
Hahahaha I like it
Weeee habiba wewe usiseme kumaliza mwanaume ni mwanamume tu kwanza mwanamke mwenye kumlilia mumewe kiapo eti achepuki usije ukaletewa watoto wa mumeo tu
Mambo mazito ❤❤❤❤❤❤👌👌👌👌👌👌👌
Mpo vizuri
Bee😅
Palepost ujengewe sanam😂😂
Kipindi neuro Sanaa❤
M naomb namba za habiba
Jomon natamn awe kungwi wangu
Watikana wapi mpenz nataka umueke mwanangu
🙄🙄🙄🙄🙄
Nitamtafutaa mumeo habibaa😂
Hatari
Bisoma sona bb
Mbona mambo ya ndani mnayatoa peupee hivi sikuhizi making with wa michongo mpoje??? Kama kweli ni mwali mwalikwa huwezi jitoa kwenye mitandao na hizo ndundu waziii inaoneshs ndio wale masomo wa mitaani hivi munafikiria hapo munawafundisha wanandoa tu??? Hata watoto wadogo wasio elewa tayali mumesha waharibu watajaribu mambo kabla ya wakati
Umeona eeehhhbdaah😂😂😂😂
Kwanza mwanamke unaye jiheshimu huwezi jianika kwenye mitandao na kuongea maneno magumu ambayo anapaswa kuelezwa binti anaye jiandaa na ndoa yaani hapo mnaonekana vituko tu aibu tupu
Wewe ndio kituko acha ushamba sikuhz dunia ipo kiganjan nacho lazima ww usikilize
Mhhhhh habiba mwanaume haaminiki kabisa.hapo utakuta anamtu wala hujuwi. Usimkatalie utajuta kwa nini ulitowa hayo maneno.tutakusikia tu mitandaoni
@@Njeriii536mwanamke kujiheshim, sasa heshima ya mwanamke iko wapi hapo? Mnaropoka tu et dunia kiganjani haya endeleen kuganjika 🤔
Ata makungwi wenyew wanaachika sembuse mwanafunzi😅
Mbona huyu mama Habiba nikama yule mama wa kwenye shilingi alicheza kwa jina la bi Pamela? Au mm sjui kufananisha
Sio yeye ila wanafanana
Huyu habiba bado tu hajarudi kwao congo hakuna mtanzania sura imekomaa kama hiyo
Roho mbaya tu chefuuuu
Subuaanallah mola ndie amemuumba ww
😂😂😂😂
Ila we dada ety sura imekomaa
alafu hao walugulu wa na wamakonde
mekomaa kama jiwe niwatu wakutoka Congo wemshinzi sana kama huna lakuandika Bora ukae ukae kimya 😂😂😂😂
Mambo mazito 👌❤😘