"MKE wa MTU HAURUHUSIWI KUVAA KIJORA na PAJAMA USIKU -UNA AKILI UNAMPA MUME CHIPSI?" -MALKIA MWEUSI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • "MKE wa MTU HAURUHUSIWI KUVAA KIJORA na PAJAMA USIKU -UNA AKILI UNAMPA MUME CHIPSI?" -MALKIA MWEUSI....
    #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 60

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 8 měsíci +4

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @madawakemikali776
    @madawakemikali776 Před 8 měsíci +15

    Habiba usiongee ukamaliza my dear....wanaume ni binadamu walioumbwa kivingine....chunga ndimi zako dada....sema hapo uko kazini kwahiyo kama unafunda funda tuuu....my dear fanya uchunguzi wako vizuri....unaweza sana kufanya yote ila mwanaume akiamua lake ni lake....stop contradicting yrself.

    • @SaumuSaumukhamisi
      @SaumuSaumukhamisi Před 8 měsíci +2

      Sahii apo anajip iman ty keshapgw naktu kizit ila xwajua wakion kamera😅😅nyma sas ya kamera kivumb

    • @zainabusona5901
      @zainabusona5901 Před 8 měsíci

      Mwanamume huyuuuuuu mmmh

    • @user-pi5hd9wr2j
      @user-pi5hd9wr2j Před 7 měsíci

      Amuulize fahivany 😂😂😂😂😂😂

    • @user-pi5hd9wr2j
      @user-pi5hd9wr2j Před 7 měsíci

      Amuulize fahivany 😂😂😂😂😂😂

    • @SalamaAlly-dt6mc
      @SalamaAlly-dt6mc Před 5 měsíci +1

      Sa uyo fayvany kaolewa Ana ndoa gan??

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 Před 8 měsíci +4

    Habibaa wee usiongee ukanaliza ww mwanaume sio ndugu yako ww...unamlia kiapo binadamu mwenzio na umesahau Moyo wamtu ni kichaka ujuwi anachowaza Wala kufanya usijifanye wee mjuajii snaa au mtakatifuu sana

  • @user-vg2sh8pb3y
    @user-vg2sh8pb3y Před 8 měsíci +2

    Nimekipenda sana iki kipindi mubarikiwe sana kina mama

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 8 měsíci

    Asante kipenzi ❤ elimu nzuri wanaume ni muhimu kwenye Maisha yetu atakama unapesa mambo mazito ❤️😘

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 Před 8 měsíci +2

    Weweeeeee wawili wawili ndo penzi la kweli mambo ya kupeana zamu nooooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před 8 měsíci +3

    Wapeni sifa tu awo wanaume wajazeni mabichwa tu msifanye mwanamke mtumwa wa mapezi

  • @ummusalim9165
    @ummusalim9165 Před 7 měsíci +2

    Wee malikia mweusi chunga kauli zako hizo 😂 mume hachepuki amekua nani yeye weweeeee haya

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 Před 8 měsíci +2

    Umeongea mambo mengi mazuri ya kuelimisha ❤❤big up saaana

  • @rainesmulokozi543
    @rainesmulokozi543 Před 8 měsíci +1

    Uloyaongea ya kweli, lkn kwa eti mmeo hachepuki, mh! Hao viumbe waone kama walivyo hivo, siku moja atakuumbua dada haya.

  • @Official83640
    @Official83640 Před 8 měsíci +3

    Yaani huyu mama JJ nilikuwa namuona mtu mwenye busara zake kumbe ndy wale wale watafuta jina mitandaoni wamama wa Kigoma dini zimewakaa sana huyu Kigoma gani anaevunja sheria za mafunzo ya unyago jaman unyago ni siri ya wanawake sio hivi 🚮

  • @AnethCliford-tm2dx
    @AnethCliford-tm2dx Před 8 měsíci +1

    Mmh huyu anajimaliza sana😂😂😂😂😂

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 Před 8 měsíci +1

    😂😂😂ila habibaa kijoraa kimefanyajee😂😂😂

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c Před 2 měsíci

    Wajina nimekupenda na ma j❤❤❤❤❤

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dy Před 8 měsíci +1

    Sawa mnatuelekeza lakn sio ka hivi mala shanga ooo kitambaa kumfuta mume jmn huo unyango upo mseme tuu utandawazi akuna familia au mzazi ambae amfunzi mwanae akiwa ame barehe au kuingia kwenye ndoa acheni hizo mambo bwana kuna watu wana kaa ndani kama wazaramo ata miaka kumi una wekwa ndani uo mwezi chamtoto lakin unakuta mtu ana tabia yake tu ya hovyoo.... Mnako elekea tuta waita (msungo) kwann mnatoa maana nnje

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Před 7 měsíci

    😂😂😂 lol pengine mumewe anaowa akiiacha kila siku kama haji manara, hatumjui tu

  • @asmahassan851
    @asmahassan851 Před 7 měsíci +1

    Habiba usiseme ukamaliza. Mm mume wangu pia nilimlilia kiapo kama ulivyo kula ww nilipo ambiwa kuwa nimchepuko niliamini mwanamume simwenzako. Ni mtu mwanzo si mtu mwisho.

    • @mariam-xt3de
      @mariam-xt3de Před 4 měsíci

      wakwangu hatachakula hapangiwi mezani anaheshima na Mimi nanapendwa sana nahatoki nyuma nilifanyia vimbwanga nikaona dawa nikuonesha sina muda nae mwanaume ukimpenda sana anakuzarau sana 😂😂😂😂😂😂

  • @SafiyaaaSofi-uy3nk
    @SafiyaaaSofi-uy3nk Před 6 měsíci

    asateeee bikugwi mm ni kama ww naapa mume wagu hatoki abadani Nampa still zotee mpaka a naliya mm niliye huwa a naliya yy haloooooooo❤

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 3 měsíci

    Habiba mwanamume akitaka reverse inakuaje? Maana hawa wana adabu

  • @Hawa-es9kn
    @Hawa-es9kn Před 8 měsíci +1

    Hahahaha I like it

  • @rahmatsumo3274
    @rahmatsumo3274 Před měsícem

    Weeee habiba wewe usiseme kumaliza mwanaume ni mwanamume tu kwanza mwanamke mwenye kumlilia mumewe kiapo eti achepuki usije ukaletewa watoto wa mumeo tu

  • @milamila8653
    @milamila8653 Před 7 měsíci

    Mambo mazito ❤❤❤❤❤❤👌👌👌👌👌👌👌

  • @matatamwaipopo-rp4vz
    @matatamwaipopo-rp4vz Před 8 měsíci

    Mpo vizuri

  • @TinaMwasekaga
    @TinaMwasekaga Před 25 dny

    Bee😅

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Před 4 měsíci

    Palepost ujengewe sanam😂😂

  • @Davidtambatamba
    @Davidtambatamba Před 5 měsíci

    Kipindi neuro Sanaa❤

  • @user-om5jt8sc9o
    @user-om5jt8sc9o Před 8 měsíci

    M naomb namba za habiba

  • @madamNellah
    @madamNellah Před 3 měsíci

    Jomon natamn awe kungwi wangu

  • @SanuraMwinyi
    @SanuraMwinyi Před 5 měsíci

    Watikana wapi mpenz nataka umueke mwanangu

  • @salunarashid6202
    @salunarashid6202 Před 8 měsíci

    🙄🙄🙄🙄🙄

  • @latifaaqudaidy9397
    @latifaaqudaidy9397 Před 7 měsíci

    Nitamtafutaa mumeo habibaa😂

  • @user-nh9fl5tv9u
    @user-nh9fl5tv9u Před 6 měsíci

    Bisoma sona bb

  • @RahmaNassir-pc5ku
    @RahmaNassir-pc5ku Před 8 měsíci

    Mbona mambo ya ndani mnayatoa peupee hivi sikuhizi making with wa michongo mpoje??? Kama kweli ni mwali mwalikwa huwezi jitoa kwenye mitandao na hizo ndundu waziii inaoneshs ndio wale masomo wa mitaani hivi munafikiria hapo munawafundisha wanandoa tu??? Hata watoto wadogo wasio elewa tayali mumesha waharibu watajaribu mambo kabla ya wakati

  • @RahmaNassir-pc5ku
    @RahmaNassir-pc5ku Před 8 měsíci

    Kwanza mwanamke unaye jiheshimu huwezi jianika kwenye mitandao na kuongea maneno magumu ambayo anapaswa kuelezwa binti anaye jiandaa na ndoa yaani hapo mnaonekana vituko tu aibu tupu

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 Před 8 měsíci

      Wewe ndio kituko acha ushamba sikuhz dunia ipo kiganjan nacho lazima ww usikilize

    • @hasinaalrahbi6681
      @hasinaalrahbi6681 Před 8 měsíci

      Mhhhhh habiba mwanaume haaminiki kabisa.hapo utakuta anamtu wala hujuwi. Usimkatalie utajuta kwa nini ulitowa hayo maneno.tutakusikia tu mitandaoni

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 8 měsíci

      ​@@Njeriii536mwanamke kujiheshim, sasa heshima ya mwanamke iko wapi hapo? Mnaropoka tu et dunia kiganjani haya endeleen kuganjika 🤔

    • @naimajuma647
      @naimajuma647 Před 8 měsíci

      Ata makungwi wenyew wanaachika sembuse mwanafunzi😅

  • @user-vg2sh8pb3y
    @user-vg2sh8pb3y Před 8 měsíci

    Mbona huyu mama Habiba nikama yule mama wa kwenye shilingi alicheza kwa jina la bi Pamela? Au mm sjui kufananisha

    • @kamarhelo
      @kamarhelo Před 7 měsíci

      Sio yeye ila wanafanana

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Před 8 měsíci

    Huyu habiba bado tu hajarudi kwao congo hakuna mtanzania sura imekomaa kama hiyo

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 Před 8 měsíci +3

      Roho mbaya tu chefuuuu

    • @user-pp8qb3bb9r
      @user-pp8qb3bb9r Před 8 měsíci +2

      Subuaanallah mola ndie amemuumba ww

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 Před 8 měsíci

      😂😂😂😂

    • @AsanathHabibu-kx4np
      @AsanathHabibu-kx4np Před 7 měsíci

      Ila we dada ety sura imekomaa

    • @mariam-xt3de
      @mariam-xt3de Před 4 měsíci

      alafu hao walugulu wa na wamakonde
      mekomaa kama jiwe niwatu wakutoka Congo wemshinzi sana kama huna lakuandika Bora ukae ukae kimya 😂😂😂😂

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 8 měsíci

    Mambo mazito 👌❤😘