WASANII WA GOSPO WAONYESHA PICHA MBAYA KWENYE MSIBA WA MARCO, HAWAJAFIKA MSIBANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 227

  • @treasureforashes3497
    @treasureforashes3497 Před 17 dny +13

    Joel Lwanga ,Mungu akubariki,wana wivu na Zabron team

  • @FatumaRashid-zi1op
    @FatumaRashid-zi1op Před 18 dny +13

    Yaani kabisa sikupenda hiyo tabia am proud of being a Kenyan tunaushirikiano mkubwa sana

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 Před 17 dny +11

    Uzuri hakuwepo kwa ajili yawasanii alikuwepo kwa ajili ya Mungu nakuhakikisha anatenda mema. Hao wasanii nyoso kutokufika kwao hakujaharibika kitu. Ila wanatakiwa wajifunze kua njia yetu ni moja.

  • @naomyelias72
    @naomyelias72 Před 18 dny +23

    Waimbaji wa nyimbo za injili mlifeli sana hapo hatuwafichi 😢maana hata bible imesema lieni na wanao lia na furahini na wanao furahi sijabarikiwa na hiki walichokifanya waimbaji 😭

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Před 18 dny +14

    Sasa hao uliowataja nani ana hofu ya Mungu kama mtu anamchamba mme wake hadharani anaweza kwenda msibani kweli

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Před 18 dny +11

    IMANI BILA MATENDO NI BURE. HIVYO. TUTEGEMEE WATAKAOENDA MBINGUNI NI WALE TUSIOWATEGEMEA. AMRI KUU KULIKO ZOTE NI UPENDO. ❤❤❤❤. BILA KUONYESHA UPENDO NI HAKUNA.

  • @rosenyabonyi5193
    @rosenyabonyi5193 Před 15 dny +2

    Mbinguni ni ya wachache sana anyway tumuombee ndugu yetu apumzike kwa amani 😭😭😭😭 na mungu alinde familia yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @AgnessJohn-v8p
    @AgnessJohn-v8p Před 18 dny +15

    Ila joel rwaga gofrey steven mungu awabariki sana kuuzuria kwenu

  • @isakakerambo1204
    @isakakerambo1204 Před 18 dny +20

    Kungekuwa na malipo wangefika mapema sana huku wakiuliza wimbo mmoja ni sh. Ngapi

  • @user-uv3mm9iz5w
    @user-uv3mm9iz5w Před 18 dny +16

    Kenya tupo na umoja wacha tumuombee ndugu yetu mungu airehemu roho yake

  • @JalijiMlenge
    @JalijiMlenge Před 17 dny +5

    Nikweli kabisa unacho sema kk ila walokole niwanafiki sn hawana upendo wa kwe yaani ht wimbo tu tulitarajia kusikia falaja hakuna

  • @itikamwaseba4156
    @itikamwaseba4156 Před 17 dny +6

    Wasabato wanavojua kujitenga wao wanaendaga?
    Sema Japhet Zabron anapenda kujichanganya hata hao walioenda ni marafiki zake yeye

  • @Favour-i6d
    @Favour-i6d Před 18 dny +12

    Ata mm nilishangaaa aki but Joel lwaga nilimuona mungu ambariki ..nlitarajia wasanii wa Tanzania kumbee pooo hongera Joel🎉

  • @McJesika
    @McJesika Před 17 dny +2

    Kiukweli walitakiwa wawepo na wamwimbie mwenzao kiukweli hawajafanya vzr Mungu awarehemu

  • @dismasmusoma9478
    @dismasmusoma9478 Před 17 dny +4

    Mungu akubariki sana kaka umeongea kitu MUHIMU sana. Na najua watakuchukia kwasababu umewaumbua ila mungu atakubariki.

  • @Benjaminkakamasha662
    @Benjaminkakamasha662 Před 18 dny +12

    Hamna wanapenda sehemu za hela tu wao

  • @stellananyama5724
    @stellananyama5724 Před 17 dny +4

    Shine on your way brother Marco. Ulilituma Neno la Mungu, utaendelea kukumbukwa. Pls Kenyan's tusome kitu hapa.

  • @EmmanuelHaruni-rl1rb
    @EmmanuelHaruni-rl1rb Před 16 dny +2

    Ndio maan unaambiwa usimwamini wala kumtegemea mwanadamu,,maan binadamu hubadirika

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter458 Před 18 dny +5

    Wengine wako kipesa tuuu Sio unyenyekevu

  • @Esther-dd6th
    @Esther-dd6th Před 15 dny +1

    Nimeumià sana lakini wasabato ndo wanajijali wenyewe kisa wanajiona wao ndo wanaamini mungu wakweli

  • @mariaJoseph-x3d
    @mariaJoseph-x3d Před 17 dny +3

    Nikweri Kabisa neno linasema lieni nao wanaolia siosawa kabisa wngetekiwa wafike

  • @everlynemoraa9423
    @everlynemoraa9423 Před 18 dny +4

    hata mm nilijiuliza hili swali kwani wasanii watanzania mbona sikuwaona na wabewe nafasi waongee sana sana wale wanaojulikana. yaani sisi wakenya twalilia mwezenyu na ni wetu wa kenya lkn kwa hayo yote twaombea familia na wanazabron sinngers mungu awatie nguvu na waendelee kuimbia mungu wasieke chuki yeyote ile ❤❤❤

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 17 dny +5

    Msilalamike swali ni moja tu hiyo kwaya ya Zabron wao huwa wanaenda misiba ya wenzao au mko hapo tu hamjielewi

  • @BeatriceKIRIGO
    @BeatriceKIRIGO Před 17 dny +2

    May the lord comfort Zabron singers. We love you servants of God. 🇰🇪🇰🇪

  • @winfridambingamno5038

    Mwenyezimungu awarehemu sana maana hakuna ajuaye kesho yake na piah wakae wakilikumbuka hili Kila mtu ataenda tu. Poleni sana familia mungu awatiye nguvu.🙏

  • @user-er2oy9sn4l
    @user-er2oy9sn4l Před 16 dny +1

    Even me am from Kenya ,i love their songs very much ,we have a big loss ,may he continue to rest in peace 😭😭😭😭

    • @user-er2oy9sn4l
      @user-er2oy9sn4l Před 16 dny

      May God continue to give family and friends strength and peace, i was very shocked even i cried alot because i love him 😭😭😭😭😭

  • @JzjQj
    @JzjQj Před 17 dny +1

    Zabron iko juuu wana mutumikiya mungu sikutafuta pesa ira wanajuwa mungu wanaye mutegemeya ira hawo wengine nikuwonesha manguwo hata nyimbo zawo hazina mafundisho zabron mungu yupo pamoja nanyi marco tunayimani iko mahari pazuri wakuje wace ira mungu à najuwa wenye namutumikiya kwa ukweri na wanatumika kwakudasa tuuuuuu

  • @deogratiusGodfrey
    @deogratiusGodfrey Před 18 dny +13

    Huwa wanatutenga sisi waadventista lakn so mbaya kila mtu atabeba msalaba wake na hukum yake

    • @masumbukomaganga438
      @masumbukomaganga438 Před 18 dny

      FUTA HII COMENT YAKO SIYO NZURI

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Před 18 dny

      Hata Mimi nilikuwa sijui kama ni msabato hao wasanii wengine eti wao wanajiona wameokoka

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 18 dny

      Hata wangefika wangrudisha marahemu? Acheni kukuza mambo

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 18 dny +1

      Kama mnatengwa na ninyi mnawatenga wenzenu ,hebu jiulize kwenye hope channel, na redio za kisabato mmewahi kupiga nyimbo za wengine ? Lakini wenzenu wanapiga zenu ,ninyi ndio wabaguzi wakubwa

    • @issackmashauri4577
      @issackmashauri4577 Před 17 dny

      ​@@emmadora7848 Bro munakosea kwa maneno yenu yakijinga chanel sio sababu pia chanel za dini zinavipindi vyao uko sio kama uyo marco hawa walikuwa wanafamiana watu wengi walikuwa kama wasaani wa nyimbo za gosple but tuyaache ayo

  • @user-yz1ir2lu6n
    @user-yz1ir2lu6n Před 16 dny +1

    Kwahio Hilo nitatizo kama.hawajapata.muda hebu muacheni mtumishi wa watu akapunzike Kwa amani

  • @esthergloryshine322
    @esthergloryshine322 Před 17 dny +2

    Ni kweli KENYA tumempoteza kaka yetu,tulimpenda sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭🙏🙏 MUNGU amempenda sana

  • @AbillKimosbei
    @AbillKimosbei Před 16 dny +1

    Aa jamani msani atoke Kenya na yule ambaye yupo nyumbani akose aa Kuna swali hapo

  • @mohabeagnes3687
    @mohabeagnes3687 Před 11 dny

    ❤zablon wako juu kwa kweli Mimi kama mkenya bado naomboleza kifo cha Marco kiliniumiza sana😢😢

  • @rabaninjenje
    @rabaninjenje Před 6 dny

    tusiwahukumu kwayote yale kwamaana hakuna ajuae makusudi yao anaejua ni mng peke ake tuseme jina la bwana libarikiwe amina poreni sana kwa msiba❤

  • @melabmelab-tw9bs
    @melabmelab-tw9bs Před 17 dny +2

    Walikosa sana hawana upendo kama wakenya sisi not good at oll😢😢😢

  • @user-wf9ek7fb9q
    @user-wf9ek7fb9q Před 17 dny +2

    Wasanii wetu hawa ni wanafiki hawana upendo hata wanatutumbuiza Duniani tu mbinguni hawatoboi Big up kwa walioudhuria msiba wa msanii mwenzao

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 Před 18 dny +3

    Ni kweli unavyosema inasikitisha sana

  • @user-wf9ek7fb9q
    @user-wf9ek7fb9q Před 17 dny +1

    Zabron iko juuu na itaendelea kua juu nawakubali sana hawa

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 Před 18 dny +2

    Ungekuwa Dar msiba wangejaa wasanii wa mikoani huku na wale waishio dsm kna tofauti wanabaguana

  • @AnnaAnna-sz3vo
    @AnnaAnna-sz3vo Před 18 dny +2

    Nikwel kaka Tanzania hampendani ,hata kuna kipindi rose mhando alipata shida akajasaidiwa kenya ,jamani kuweni na mfano bora

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini Před 17 dny +1

    Siyo wewe tu wengi hatujapendezwa na hilo

  • @annenyarinda
    @annenyarinda Před 16 dny

    Thanks bro this is what have been looking for, but if hawakuja not good at all nothing to hide

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x Před 16 dny +1

    Niajabu yaani Mimi nashangaa kutojitokeza labda kwa kuwa msabato au walikosa nauli?

  • @JanetOtiso
    @JanetOtiso Před 18 dny +2

    Wakenya hatujingabi rakini twapendana 🇰🇪

  • @PetronilahMatisha
    @PetronilahMatisha Před 16 dny +1

    May the almighty God comfort the family n zabron singers shine on your way marco wakenya tunaomboleza nanyi

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini Před 17 dny +1

    Hakuna malipo wangeambiwa wankuja kupewa malipo wangekuja wengi sana Waimbaji wa Tanzani jitafakarini wakumbushe

  • @aliciamwalimu582
    @aliciamwalimu582 Před 17 dny +1

    Nikweli kbs,hata kiongoz mkubwa wa serikali angekuwwp

  • @etinisimbondanshau3001
    @etinisimbondanshau3001 Před 18 dny +2

    Siyo kuteleza tu wamekosa sana.

  • @olicej7837
    @olicej7837 Před 18 dny +1

    Umeongea point saana kakaa kikubwa wabadilishe mienendo yao waishi wanayoyaimba kiukweli wanatufanya tuvunjike mioyo ata kuskiza nyimbo zao 😢😢😢😢😢😢😢ila Asante jana nimemuona joel rwaga live 😊

  • @MamaImma-f6q
    @MamaImma-f6q Před 16 dny

    Kaka umeongea point sana mungu akubatiki sana , hao wasani walioshindwa kuja kumsindikiza marco nilijua ni binadam kumbe sio binadamu ni mashetani tu peponi hawafiki ng'oo wataishia motoni moja kwa moja

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Před 17 dny +2

    Tatizo wasabato ni wabaguzi. Sishangai waimbaji wasio wasabato kutohudhuria msiba huo. Ni vigumu sana kuwa na jirani wa kisabato asikubuguzi.

  • @DieudonneKalombo-gn7xy

    Hiyo inaonyesha kwamba upendo haoupo kati ya wa imbanji wa nyimbo za injili naumwa saana kwa kusikia haya. Mungu akubariki kwa ukweli umetokea kusema, naandika toka mji mkuu wa Lubumbashi inchi DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 Před 16 dny

    True totally agree with you 💯

  • @ac...262
    @ac...262 Před 17 dny +1

    Cyo lazima wawepo,hawawezi kubadili choçhote japo cyo poa sana

  • @elijahasiso287
    @elijahasiso287 Před 16 dny

    There are so many ways God can expose things around His Thrones....
    Marco RIP 🇺🇸

  • @RobartLukas
    @RobartLukas Před 12 dny

    Waimbaji wengi niwahuni Mungu wanaomtumikia wanamjua wao.kutanguliza pesa mbele two ndicho wanajua

  • @LilianKimambo-gg1do
    @LilianKimambo-gg1do Před 11 dny

    Joel lwaga peke ake na ameshiriki kikamilifu❤

  • @IsabelleKatungu
    @IsabelleKatungu Před 16 dny

    Dunia ni hivo tu, tumuone Yesu peke yake, ukiwatazama wanadamu, unaweza poteza upendo kwa watu. Sisi tunaamini, Msanii Marco amepokelewa na Mungu kwa Ufalme wake. Mwachie Mungu mambo ya wasanii, kwani sisi sote kaburi tuta onja siku moja, penda usipende, linakungojea. Tulie na wanao liya, na tufurahi na wanao furahi. Tumepoteza mutu wa maana sana. Nimeumizwa moyoni. RIP MARCOS.

  • @raymondbahati7626
    @raymondbahati7626 Před 13 dny

    Mimi najuwa undungu sikujuwana kwenye misiba tu, undungu kujuwana tukiwa hai,watu kuimizana na kusameheyana.
    Sasa kama ushirika haupo wakiwa hai, hauwezi kuwa ukiwa umekufa.
    Hizi ndizo siku za leo!!!

  • @user-nb4dt6hn3h
    @user-nb4dt6hn3h Před 17 dny +1

    Sio kila vingaavyo ni dhahabu kaka yangu

  • @merabKitundu
    @merabKitundu Před 18 dny +1

    Shinda kubwa kwa hao watu ni kiburi hawana yesu Dani mwao

  • @janetmpenza6156
    @janetmpenza6156 Před 18 dny +2

    Kila kukicha mnahubiri upendo lakini upendo wenu uko wapi?

  • @maureenmuhenje916
    @maureenmuhenje916 Před 15 dny

    kwa kweli ibada ingekua ya wasabato but kuzika wasanii wenzake wangezika na kitumbuiza nyimbo mbali mbali kuonyesha upendo bila ubagusi mufu ni mupendwa

  • @siavera2197
    @siavera2197 Před 18 dny +1

    Hata nimeshangazwa sana na wasanii wa gospel jamani zaidi ya Joel Lwaga sijaona mwingine

  • @zedy_hope-pd8kn
    @zedy_hope-pd8kn Před 17 dny +2

    Me ningeomba japhet afanyiwe interview aulizwe maybe walimtaarifu kuhusiana na msiba huu kwamba awatashiriki na sisi mashabiki tujuwe na juwe jins yaku comments maana naona kila mtu ana comments kivyake ila tungepata information kutoka kwa japhet I know atakuwa anajuwa what going on tusiwe na araka yaku comments vibaya guys wenda japhet anajuwa sababu za bahazi ya waimbaji 🙏

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu Před 18 dny +1

    Na mimi hata niko ninadjiuliza sikuwaona waimbadji hata mwambwene sijamuona,na amini wanaosema Upendo wawalevi unapita wawa kristo hapo ndo naamini sasa kumbe wanaosema huvio hawadjidanganyi bola kushilikiyana nawalevi kwa sababu wanaonesha uoendo wao wakati wowote 😂

  • @christopherishengoma6692
    @christopherishengoma6692 Před 17 dny +1

    Wasabato wanajitenga sana..kwaiyo usishangae

  • @IreneNthenya-c9v
    @IreneNthenya-c9v Před 17 dny

    May the flag of our beloved country Kenya continue to fly high. Poleni sana our TZ brothers and sisters......huu ujumbe ulifika Uganda kweli? Asking for a friend!

  • @BeatriceAsiyo
    @BeatriceAsiyo Před 14 dny

    your right my dear brother

  • @user-hg1px7jz5o
    @user-hg1px7jz5o Před 16 dny

    Jamani wasanii wagospo wa tanzania wabinaf sna sijawai ona chuki na wivu ndo unawaponza ,mfano martha mwaipaja bukuku ambwene walishindwa vipi kuja kama hawawezi tu kushiliki wimbo pamoja wanawezaje kuja msibani mbona kwa lowasa walienda angekuwa kiongozi wa taifa wangeenda

  • @mponjolimwatebela4555

    Wanatabia mbaya Tena niwabinafsi mno eti group hiyo ni huduma fanyeni huduma ya mungu kwa kujali na shida za wengine hampendani

  • @NeemaPiter
    @NeemaPiter Před 16 dny

    Uko sawa kbsa mara nyingi wanaosali na kuonesha wana Imani ni wanafki tu hamna lolotee

  • @NuruKhavele
    @NuruKhavele Před 15 dny

    Mimi niko Kenya lakini ni aibu sana kwao .hawana adabu lakini wasio wana Chor . walikuja jwa wengi sana .sham on you

  • @penny6643
    @penny6643 Před 17 dny

    Kamanihinyo siyo vizuri wajiangaliye pia kushirikiyana kwandugu kunaturudisha moyo tupendane

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Před 15 dny

    Uliwaona wanamziki wa bongo fleva na wasanii walivyojitokeza kumzika Nisher? Haya yetu macho

  • @siaammo1104
    @siaammo1104 Před 18 dny +4

    Kuna haja ya kutafakari upya kwa wasanii wanyimbo za injili.meonyesha picha mbaya sana kwa jamii yaani wasanii wa nyimbo za duniani kwenye misiba wanashikamana wote.
    Nyie mnao.mwimbia Mungu why mnafanya vitu vya hivi tulitegemea waimbaji wainjili ndo wangeweza kushikamana na kuonyesha upendo.

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před 16 dny

    Hata waspo kwenda kwani sikashazikwa tayari. Hata wao watakufatu nahawajui watazikwa nakinani. Hao nimashetanitu

  • @releiabby6201
    @releiabby6201 Před 16 dny

    Usishangae... wengi wa hao wamama unawataja ni wakora tupu. Wacha ndugu yetu mpendwa apumzike.

  • @rakelmsoo8211
    @rakelmsoo8211 Před 17 dny

    Wakenya tunaupendo wa kweli kisha ushirikiano.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @esthergloryshine322
    @esthergloryshine322 Před 17 dny

    MUNGU aendelee kuwatia nguvu Zabron singers milele na awatie nguvu kwa chapter mpya ya kuhudumu bila mmoja wao🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @GraceMhoja-bu3ce
    @GraceMhoja-bu3ce Před 17 dny +1

    ni kwel kabisa

  • @annanamuyala
    @annanamuyala Před 15 dny

    Labuda narehemu alikuwa atembei kwenye misiba ya walikole

  • @TabithaParesso
    @TabithaParesso Před 4 dny

    Wasanii wa gospol badilikeni jamaní acheni roho mbaya

  • @GraceSambula
    @GraceSambula Před 16 dny

    Nikama bile habari zilitokea ako na wanawake weengi wakajua kumbe alikuà Malay sio wainjiri ya uukwali

  • @DosteaAndrew
    @DosteaAndrew Před 15 dny

    Inategemeana namna wanavoishi ko huenda kuna kitu ambacho cc hatukifaham ila hizo zote ni za hapa duniani tu kikubwa tumuombe Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema pepon tusije tukaongea tukamkosea Mungu

  • @JosephShilangi
    @JosephShilangi Před 16 dny

    Tatizo warokole wanawabagua Sana wasabato kiujumula tunabaguana Sana yani yani urokole na usabato

  • @user-lw8ls1kt5m
    @user-lw8ls1kt5m Před 16 dny

    Kaka unakaa kujua kuna mungu na miungu ukitukikia mungu aliye hai utakupaliwa na wajaje sanaa usiofu mungu yupo na aliye mutumikia mungu kwa hali na mali ya kumujua mungu wa kweli hata yesu alikataliwa kwao

  • @marionowira4912
    @marionowira4912 Před 15 dny

    Gospel singers from tz they have bad manners and jealousy is full of them they only thing about money from kenya,nkt! Zabron songers we love you so much we as kenyans we take you as our brother

  • @user-cc2kw5jr5z
    @user-cc2kw5jr5z Před 16 dny

    wivuu tu napo wameshndwa zabron wameshawapta nandomana ndoa zao pia changamoto gafai hawa

  • @HalimaAmani-yo5pk
    @HalimaAmani-yo5pk Před 17 dny

    Wanafiki hao wakubwa ingekuwa ni Bongo fleva hapo kafaa wangejaaa

  • @JeremiaShauli
    @JeremiaShauli Před 16 dny

    Jaman mbona mnaangalia upande mmoja? ukiona umepata shida jiran yako hajafika tafakari mienendo yako huenda nawe huendagi akiwa nashida

  • @EmmanuelHaruni-rl1rb
    @EmmanuelHaruni-rl1rb Před 16 dny

    Tofautisha wasanii wa nyimbo za injili na waimbaji wa injili

  • @dismasmariananga4776
    @dismasmariananga4776 Před 16 dny

    Tanzania nchi nzuri ila inatakiwa maombi makubwa kwa mungu abadilishe zile kwa roho zao ni nyeusi kwa sana

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 Před 17 dny

    Wasanii wa dini nao wanataka hela ndo waende msiban

  • @StellaStanphord
    @StellaStanphord Před 16 dny

    Abhwene kanivunja moyo sna ko aliimba nao kinafiki

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Před 18 dny

    Ni kweli kabisa hawajaonyesha picha nzir hata kidogo ni wabaguzi

  • @JeremiaShauli
    @JeremiaShauli Před 16 dny

    Kama walienda wakenya huenda nawao walishirik misiba yakenya kile upandacho ndicho uvunacho,namalipo nihapaha pa then,msiangalie shida hawajaenda taften chanzo chanzo cha tatizo,wasabato wanajikuta sana hata kwenye jamii wanajitenga wanasahau hata yesu tumwenyewe alichangamana nawatu wenye dhambi et mnajua mungu he!😂😂😂😂😅😢

  • @StellaLugongo-tz7yg
    @StellaLugongo-tz7yg Před 6 dny

    hivi kutokuja kwenu kumeathiri nini. hiyo tabia yenu mbaya msituletee. watu wa MUNGUhampaswi kuwa hivyo, au mko kibiashara zaidi? watu wa Mungu huw na upendo, na upendo hauna husuda. je mmeuona umati uliokuwa kt mazishi yake? sham upon you. mnatufundisha nini hapo na nyimbo zenu, si bora muache tu. ila mwenzenu kazikwa vzr tu. mmejiaibisha wenyewe

  • @user-mi5ur8re7p
    @user-mi5ur8re7p Před 18 dny +3

    Nyimbo za hao zilizo ni Jenga,nakutumia wimbo,nitaweza,lugha nzuri, nyingi sana.mungu atawajibu bro leave them please.

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 Před 16 dny

    Bonny Mwaitege nilisikia kama kafariki hapo mbeleni kidogo au uwuongo jamani ???

  • @JeremiaShauli
    @JeremiaShauli Před 16 dny

    😅Kama walienda wakenya huenda nawao walishirik misiba yakenya kile upandacho ndicho uvunacho,namalipo nihapaha pa then,msiangalie shida hawajaenda taften chanzo chanzo cha tatizo,wasabato wanajikuta sana hata kwenye jamii wanajitenga wanasahau hata yesu tumwenyewe alichangamana nawatu wenye dhambi et mnajua mungu he!😂😂😂😂😅😢