Uzuri hakuwepo kwa ajili yawasanii alikuwepo kwa ajili ya Mungu nakuhakikisha anatenda mema. Hao wasanii nyoso kutokufika kwao hakujaharibika kitu. Ila wanatakiwa wajifunze kua njia yetu ni moja.
Waimbaji wa nyimbo za injili mlifeli sana hapo hatuwafichi 😢maana hata bible imesema lieni na wanao lia na furahini na wanao furahi sijabarikiwa na hiki walichokifanya waimbaji 😭
IMANI BILA MATENDO NI BURE. HIVYO. TUTEGEMEE WATAKAOENDA MBINGUNI NI WALE TUSIOWATEGEMEA. AMRI KUU KULIKO ZOTE NI UPENDO. ❤❤❤❤. BILA KUONYESHA UPENDO NI HAKUNA.
hata mm nilijiuliza hili swali kwani wasanii watanzania mbona sikuwaona na wabewe nafasi waongee sana sana wale wanaojulikana. yaani sisi wakenya twalilia mwezenyu na ni wetu wa kenya lkn kwa hayo yote twaombea familia na wanazabron sinngers mungu awatie nguvu na waendelee kuimbia mungu wasieke chuki yeyote ile ❤❤❤
Mwenyezimungu awarehemu sana maana hakuna ajuaye kesho yake na piah wakae wakilikumbuka hili Kila mtu ataenda tu. Poleni sana familia mungu awatiye nguvu.🙏
Zabron iko juuu wana mutumikiya mungu sikutafuta pesa ira wanajuwa mungu wanaye mutegemeya ira hawo wengine nikuwonesha manguwo hata nyimbo zawo hazina mafundisho zabron mungu yupo pamoja nanyi marco tunayimani iko mahari pazuri wakuje wace ira mungu à najuwa wenye namutumikiya kwa ukweri na wanatumika kwakudasa tuuuuuu
Kama mnatengwa na ninyi mnawatenga wenzenu ,hebu jiulize kwenye hope channel, na redio za kisabato mmewahi kupiga nyimbo za wengine ? Lakini wenzenu wanapiga zenu ,ninyi ndio wabaguzi wakubwa
@@emmadora7848 Bro munakosea kwa maneno yenu yakijinga chanel sio sababu pia chanel za dini zinavipindi vyao uko sio kama uyo marco hawa walikuwa wanafamiana watu wengi walikuwa kama wasaani wa nyimbo za gosple but tuyaache ayo
Umeongea point saana kakaa kikubwa wabadilishe mienendo yao waishi wanayoyaimba kiukweli wanatufanya tuvunjike mioyo ata kuskiza nyimbo zao 😢😢😢😢😢😢😢ila Asante jana nimemuona joel rwaga live 😊
Kaka umeongea point sana mungu akubatiki sana , hao wasani walioshindwa kuja kumsindikiza marco nilijua ni binadam kumbe sio binadamu ni mashetani tu peponi hawafiki ng'oo wataishia motoni moja kwa moja
Hiyo inaonyesha kwamba upendo haoupo kati ya wa imbanji wa nyimbo za injili naumwa saana kwa kusikia haya. Mungu akubariki kwa ukweli umetokea kusema, naandika toka mji mkuu wa Lubumbashi inchi DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Dunia ni hivo tu, tumuone Yesu peke yake, ukiwatazama wanadamu, unaweza poteza upendo kwa watu. Sisi tunaamini, Msanii Marco amepokelewa na Mungu kwa Ufalme wake. Mwachie Mungu mambo ya wasanii, kwani sisi sote kaburi tuta onja siku moja, penda usipende, linakungojea. Tulie na wanao liya, na tufurahi na wanao furahi. Tumepoteza mutu wa maana sana. Nimeumizwa moyoni. RIP MARCOS.
Mimi najuwa undungu sikujuwana kwenye misiba tu, undungu kujuwana tukiwa hai,watu kuimizana na kusameheyana. Sasa kama ushirika haupo wakiwa hai, hauwezi kuwa ukiwa umekufa. Hizi ndizo siku za leo!!!
kwa kweli ibada ingekua ya wasabato but kuzika wasanii wenzake wangezika na kitumbuiza nyimbo mbali mbali kuonyesha upendo bila ubagusi mufu ni mupendwa
Me ningeomba japhet afanyiwe interview aulizwe maybe walimtaarifu kuhusiana na msiba huu kwamba awatashiriki na sisi mashabiki tujuwe na juwe jins yaku comments maana naona kila mtu ana comments kivyake ila tungepata information kutoka kwa japhet I know atakuwa anajuwa what going on tusiwe na araka yaku comments vibaya guys wenda japhet anajuwa sababu za bahazi ya waimbaji 🙏
Na mimi hata niko ninadjiuliza sikuwaona waimbadji hata mwambwene sijamuona,na amini wanaosema Upendo wawalevi unapita wawa kristo hapo ndo naamini sasa kumbe wanaosema huvio hawadjidanganyi bola kushilikiyana nawalevi kwa sababu wanaonesha uoendo wao wakati wowote 😂
May the flag of our beloved country Kenya continue to fly high. Poleni sana our TZ brothers and sisters......huu ujumbe ulifika Uganda kweli? Asking for a friend!
Jamani wasanii wagospo wa tanzania wabinaf sna sijawai ona chuki na wivu ndo unawaponza ,mfano martha mwaipaja bukuku ambwene walishindwa vipi kuja kama hawawezi tu kushiliki wimbo pamoja wanawezaje kuja msibani mbona kwa lowasa walienda angekuwa kiongozi wa taifa wangeenda
Kuna haja ya kutafakari upya kwa wasanii wanyimbo za injili.meonyesha picha mbaya sana kwa jamii yaani wasanii wa nyimbo za duniani kwenye misiba wanashikamana wote. Nyie mnao.mwimbia Mungu why mnafanya vitu vya hivi tulitegemea waimbaji wainjili ndo wangeweza kushikamana na kuonyesha upendo.
Inategemeana namna wanavoishi ko huenda kuna kitu ambacho cc hatukifaham ila hizo zote ni za hapa duniani tu kikubwa tumuombe Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema pepon tusije tukaongea tukamkosea Mungu
Kaka unakaa kujua kuna mungu na miungu ukitukikia mungu aliye hai utakupaliwa na wajaje sanaa usiofu mungu yupo na aliye mutumikia mungu kwa hali na mali ya kumujua mungu wa kweli hata yesu alikataliwa kwao
Gospel singers from tz they have bad manners and jealousy is full of them they only thing about money from kenya,nkt! Zabron songers we love you so much we as kenyans we take you as our brother
Kama walienda wakenya huenda nawao walishirik misiba yakenya kile upandacho ndicho uvunacho,namalipo nihapaha pa then,msiangalie shida hawajaenda taften chanzo chanzo cha tatizo,wasabato wanajikuta sana hata kwenye jamii wanajitenga wanasahau hata yesu tumwenyewe alichangamana nawatu wenye dhambi et mnajua mungu he!😂😂😂😂😅😢
hivi kutokuja kwenu kumeathiri nini. hiyo tabia yenu mbaya msituletee. watu wa MUNGUhampaswi kuwa hivyo, au mko kibiashara zaidi? watu wa Mungu huw na upendo, na upendo hauna husuda. je mmeuona umati uliokuwa kt mazishi yake? sham upon you. mnatufundisha nini hapo na nyimbo zenu, si bora muache tu. ila mwenzenu kazikwa vzr tu. mmejiaibisha wenyewe
😅Kama walienda wakenya huenda nawao walishirik misiba yakenya kile upandacho ndicho uvunacho,namalipo nihapaha pa then,msiangalie shida hawajaenda taften chanzo chanzo cha tatizo,wasabato wanajikuta sana hata kwenye jamii wanajitenga wanasahau hata yesu tumwenyewe alichangamana nawatu wenye dhambi et mnajua mungu he!😂😂😂😂😅😢
Joel Lwanga ,Mungu akubariki,wana wivu na Zabron team
Yaani kabisa sikupenda hiyo tabia am proud of being a Kenyan tunaushirikiano mkubwa sana
Uzuri hakuwepo kwa ajili yawasanii alikuwepo kwa ajili ya Mungu nakuhakikisha anatenda mema. Hao wasanii nyoso kutokufika kwao hakujaharibika kitu. Ila wanatakiwa wajifunze kua njia yetu ni moja.
Waimbaji wa nyimbo za injili mlifeli sana hapo hatuwafichi 😢maana hata bible imesema lieni na wanao lia na furahini na wanao furahi sijabarikiwa na hiki walichokifanya waimbaji 😭
Sasa hao uliowataja nani ana hofu ya Mungu kama mtu anamchamba mme wake hadharani anaweza kwenda msibani kweli
😅😅😅
IMANI BILA MATENDO NI BURE. HIVYO. TUTEGEMEE WATAKAOENDA MBINGUNI NI WALE TUSIOWATEGEMEA. AMRI KUU KULIKO ZOTE NI UPENDO. ❤❤❤❤. BILA KUONYESHA UPENDO NI HAKUNA.
Mbinguni ni ya wachache sana anyway tumuombee ndugu yetu apumzike kwa amani 😭😭😭😭 na mungu alinde familia yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ila joel rwaga gofrey steven mungu awabariki sana kuuzuria kwenu
Walienda wasanii 6😢
Kungekuwa na malipo wangefika mapema sana huku wakiuliza wimbo mmoja ni sh. Ngapi
😭😭😭
😂😂😂😂😂 alf kwer
Kabisa💯
Kenya tupo na umoja wacha tumuombee ndugu yetu mungu airehemu roho yake
Nikweli kabisa unacho sema kk ila walokole niwanafiki sn hawana upendo wa kwe yaani ht wimbo tu tulitarajia kusikia falaja hakuna
Wasabato wanavojua kujitenga wao wanaendaga?
Sema Japhet Zabron anapenda kujichanganya hata hao walioenda ni marafiki zake yeye
Ata mm nilishangaaa aki but Joel lwaga nilimuona mungu ambariki ..nlitarajia wasanii wa Tanzania kumbee pooo hongera Joel🎉
Kizmkazi😮
Kiukweli walitakiwa wawepo na wamwimbie mwenzao kiukweli hawajafanya vzr Mungu awarehemu
Mungu akubariki sana kaka umeongea kitu MUHIMU sana. Na najua watakuchukia kwasababu umewaumbua ila mungu atakubariki.
Hamna wanapenda sehemu za hela tu wao
Shine on your way brother Marco. Ulilituma Neno la Mungu, utaendelea kukumbukwa. Pls Kenyan's tusome kitu hapa.
Ndio maan unaambiwa usimwamini wala kumtegemea mwanadamu,,maan binadamu hubadirika
Wengine wako kipesa tuuu Sio unyenyekevu
Nimeumià sana lakini wasabato ndo wanajijali wenyewe kisa wanajiona wao ndo wanaamini mungu wakweli
Nikweri Kabisa neno linasema lieni nao wanaolia siosawa kabisa wngetekiwa wafike
hata mm nilijiuliza hili swali kwani wasanii watanzania mbona sikuwaona na wabewe nafasi waongee sana sana wale wanaojulikana. yaani sisi wakenya twalilia mwezenyu na ni wetu wa kenya lkn kwa hayo yote twaombea familia na wanazabron sinngers mungu awatie nguvu na waendelee kuimbia mungu wasieke chuki yeyote ile ❤❤❤
Msilalamike swali ni moja tu hiyo kwaya ya Zabron wao huwa wanaenda misiba ya wenzao au mko hapo tu hamjielewi
Hili nalo ni swali la muhimu
May the lord comfort Zabron singers. We love you servants of God. 🇰🇪🇰🇪
Mwenyezimungu awarehemu sana maana hakuna ajuaye kesho yake na piah wakae wakilikumbuka hili Kila mtu ataenda tu. Poleni sana familia mungu awatiye nguvu.🙏
Even me am from Kenya ,i love their songs very much ,we have a big loss ,may he continue to rest in peace 😭😭😭😭
May God continue to give family and friends strength and peace, i was very shocked even i cried alot because i love him 😭😭😭😭😭
Zabron iko juuu wana mutumikiya mungu sikutafuta pesa ira wanajuwa mungu wanaye mutegemeya ira hawo wengine nikuwonesha manguwo hata nyimbo zawo hazina mafundisho zabron mungu yupo pamoja nanyi marco tunayimani iko mahari pazuri wakuje wace ira mungu à najuwa wenye namutumikiya kwa ukweri na wanatumika kwakudasa tuuuuuu
Huwa wanatutenga sisi waadventista lakn so mbaya kila mtu atabeba msalaba wake na hukum yake
FUTA HII COMENT YAKO SIYO NZURI
Hata Mimi nilikuwa sijui kama ni msabato hao wasanii wengine eti wao wanajiona wameokoka
Hata wangefika wangrudisha marahemu? Acheni kukuza mambo
Kama mnatengwa na ninyi mnawatenga wenzenu ,hebu jiulize kwenye hope channel, na redio za kisabato mmewahi kupiga nyimbo za wengine ? Lakini wenzenu wanapiga zenu ,ninyi ndio wabaguzi wakubwa
@@emmadora7848 Bro munakosea kwa maneno yenu yakijinga chanel sio sababu pia chanel za dini zinavipindi vyao uko sio kama uyo marco hawa walikuwa wanafamiana watu wengi walikuwa kama wasaani wa nyimbo za gosple but tuyaache ayo
Kwahio Hilo nitatizo kama.hawajapata.muda hebu muacheni mtumishi wa watu akapunzike Kwa amani
Ni kweli KENYA tumempoteza kaka yetu,tulimpenda sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭🙏🙏 MUNGU amempenda sana
Aa jamani msani atoke Kenya na yule ambaye yupo nyumbani akose aa Kuna swali hapo
❤zablon wako juu kwa kweli Mimi kama mkenya bado naomboleza kifo cha Marco kiliniumiza sana😢😢
tusiwahukumu kwayote yale kwamaana hakuna ajuae makusudi yao anaejua ni mng peke ake tuseme jina la bwana libarikiwe amina poreni sana kwa msiba❤
Walikosa sana hawana upendo kama wakenya sisi not good at oll😢😢😢
Wasanii wetu hawa ni wanafiki hawana upendo hata wanatutumbuiza Duniani tu mbinguni hawatoboi Big up kwa walioudhuria msiba wa msanii mwenzao
Na sio wasanii hawa tu walokole wengi ni wakorofi sana waonywe
Ni kweli unavyosema inasikitisha sana
Zabron iko juuu na itaendelea kua juu nawakubali sana hawa
Ungekuwa Dar msiba wangejaa wasanii wa mikoani huku na wale waishio dsm kna tofauti wanabaguana
Nikwel kaka Tanzania hampendani ,hata kuna kipindi rose mhando alipata shida akajasaidiwa kenya ,jamani kuweni na mfano bora
Siyo wewe tu wengi hatujapendezwa na hilo
Thanks bro this is what have been looking for, but if hawakuja not good at all nothing to hide
Niajabu yaani Mimi nashangaa kutojitokeza labda kwa kuwa msabato au walikosa nauli?
Wakenya hatujingabi rakini twapendana 🇰🇪
May the almighty God comfort the family n zabron singers shine on your way marco wakenya tunaomboleza nanyi
Hakuna malipo wangeambiwa wankuja kupewa malipo wangekuja wengi sana Waimbaji wa Tanzani jitafakarini wakumbushe
Nikweli kbs,hata kiongoz mkubwa wa serikali angekuwwp
Siyo kuteleza tu wamekosa sana.
Umeongea point saana kakaa kikubwa wabadilishe mienendo yao waishi wanayoyaimba kiukweli wanatufanya tuvunjike mioyo ata kuskiza nyimbo zao 😢😢😢😢😢😢😢ila Asante jana nimemuona joel rwaga live 😊
Kaka umeongea point sana mungu akubatiki sana , hao wasani walioshindwa kuja kumsindikiza marco nilijua ni binadam kumbe sio binadamu ni mashetani tu peponi hawafiki ng'oo wataishia motoni moja kwa moja
Tatizo wasabato ni wabaguzi. Sishangai waimbaji wasio wasabato kutohudhuria msiba huo. Ni vigumu sana kuwa na jirani wa kisabato asikubuguzi.
Sio kweli
Umesema uwongo
Hiyo inaonyesha kwamba upendo haoupo kati ya wa imbanji wa nyimbo za injili naumwa saana kwa kusikia haya. Mungu akubariki kwa ukweli umetokea kusema, naandika toka mji mkuu wa Lubumbashi inchi DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
True totally agree with you 💯
Cyo lazima wawepo,hawawezi kubadili choçhote japo cyo poa sana
There are so many ways God can expose things around His Thrones....
Marco RIP 🇺🇸
Waimbaji wengi niwahuni Mungu wanaomtumikia wanamjua wao.kutanguliza pesa mbele two ndicho wanajua
Joel lwaga peke ake na ameshiriki kikamilifu❤
Dunia ni hivo tu, tumuone Yesu peke yake, ukiwatazama wanadamu, unaweza poteza upendo kwa watu. Sisi tunaamini, Msanii Marco amepokelewa na Mungu kwa Ufalme wake. Mwachie Mungu mambo ya wasanii, kwani sisi sote kaburi tuta onja siku moja, penda usipende, linakungojea. Tulie na wanao liya, na tufurahi na wanao furahi. Tumepoteza mutu wa maana sana. Nimeumizwa moyoni. RIP MARCOS.
Mimi najuwa undungu sikujuwana kwenye misiba tu, undungu kujuwana tukiwa hai,watu kuimizana na kusameheyana.
Sasa kama ushirika haupo wakiwa hai, hauwezi kuwa ukiwa umekufa.
Hizi ndizo siku za leo!!!
Sio kila vingaavyo ni dhahabu kaka yangu
Shinda kubwa kwa hao watu ni kiburi hawana yesu Dani mwao
Kila kukicha mnahubiri upendo lakini upendo wenu uko wapi?
kwa kweli ibada ingekua ya wasabato but kuzika wasanii wenzake wangezika na kitumbuiza nyimbo mbali mbali kuonyesha upendo bila ubagusi mufu ni mupendwa
Hata nimeshangazwa sana na wasanii wa gospel jamani zaidi ya Joel Lwaga sijaona mwingine
Me ningeomba japhet afanyiwe interview aulizwe maybe walimtaarifu kuhusiana na msiba huu kwamba awatashiriki na sisi mashabiki tujuwe na juwe jins yaku comments maana naona kila mtu ana comments kivyake ila tungepata information kutoka kwa japhet I know atakuwa anajuwa what going on tusiwe na araka yaku comments vibaya guys wenda japhet anajuwa sababu za bahazi ya waimbaji 🙏
Na mimi hata niko ninadjiuliza sikuwaona waimbadji hata mwambwene sijamuona,na amini wanaosema Upendo wawalevi unapita wawa kristo hapo ndo naamini sasa kumbe wanaosema huvio hawadjidanganyi bola kushilikiyana nawalevi kwa sababu wanaonesha uoendo wao wakati wowote 😂
Wasabato wanajitenga sana..kwaiyo usishangae
Big no zabron wapo netral sana
May the flag of our beloved country Kenya continue to fly high. Poleni sana our TZ brothers and sisters......huu ujumbe ulifika Uganda kweli? Asking for a friend!
your right my dear brother
Jamani wasanii wagospo wa tanzania wabinaf sna sijawai ona chuki na wivu ndo unawaponza ,mfano martha mwaipaja bukuku ambwene walishindwa vipi kuja kama hawawezi tu kushiliki wimbo pamoja wanawezaje kuja msibani mbona kwa lowasa walienda angekuwa kiongozi wa taifa wangeenda
Wanatabia mbaya Tena niwabinafsi mno eti group hiyo ni huduma fanyeni huduma ya mungu kwa kujali na shida za wengine hampendani
Uko sawa kbsa mara nyingi wanaosali na kuonesha wana Imani ni wanafki tu hamna lolotee
Mimi niko Kenya lakini ni aibu sana kwao .hawana adabu lakini wasio wana Chor . walikuja jwa wengi sana .sham on you
Kamanihinyo siyo vizuri wajiangaliye pia kushirikiyana kwandugu kunaturudisha moyo tupendane
Uliwaona wanamziki wa bongo fleva na wasanii walivyojitokeza kumzika Nisher? Haya yetu macho
Kuna haja ya kutafakari upya kwa wasanii wanyimbo za injili.meonyesha picha mbaya sana kwa jamii yaani wasanii wa nyimbo za duniani kwenye misiba wanashikamana wote.
Nyie mnao.mwimbia Mungu why mnafanya vitu vya hivi tulitegemea waimbaji wainjili ndo wangeweza kushikamana na kuonyesha upendo.
Shalom, kaka uko sawa ujakosea😂😂
Hata waspo kwenda kwani sikashazikwa tayari. Hata wao watakufatu nahawajui watazikwa nakinani. Hao nimashetanitu
Usishangae... wengi wa hao wamama unawataja ni wakora tupu. Wacha ndugu yetu mpendwa apumzike.
Wakenya tunaupendo wa kweli kisha ushirikiano.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MUNGU aendelee kuwatia nguvu Zabron singers milele na awatie nguvu kwa chapter mpya ya kuhudumu bila mmoja wao🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ni kwel kabisa
Labuda narehemu alikuwa atembei kwenye misiba ya walikole
Wasanii wa gospol badilikeni jamaní acheni roho mbaya
Nikama bile habari zilitokea ako na wanawake weengi wakajua kumbe alikuà Malay sio wainjiri ya uukwali
Inategemeana namna wanavoishi ko huenda kuna kitu ambacho cc hatukifaham ila hizo zote ni za hapa duniani tu kikubwa tumuombe Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema pepon tusije tukaongea tukamkosea Mungu
Tatizo warokole wanawabagua Sana wasabato kiujumula tunabaguana Sana yani yani urokole na usabato
Kaka unakaa kujua kuna mungu na miungu ukitukikia mungu aliye hai utakupaliwa na wajaje sanaa usiofu mungu yupo na aliye mutumikia mungu kwa hali na mali ya kumujua mungu wa kweli hata yesu alikataliwa kwao
Gospel singers from tz they have bad manners and jealousy is full of them they only thing about money from kenya,nkt! Zabron songers we love you so much we as kenyans we take you as our brother
wivuu tu napo wameshndwa zabron wameshawapta nandomana ndoa zao pia changamoto gafai hawa
Wanafiki hao wakubwa ingekuwa ni Bongo fleva hapo kafaa wangejaaa
Jaman mbona mnaangalia upande mmoja? ukiona umepata shida jiran yako hajafika tafakari mienendo yako huenda nawe huendagi akiwa nashida
Tofautisha wasanii wa nyimbo za injili na waimbaji wa injili
Tanzania nchi nzuri ila inatakiwa maombi makubwa kwa mungu abadilishe zile kwa roho zao ni nyeusi kwa sana
Wasanii wa dini nao wanataka hela ndo waende msiban
Abhwene kanivunja moyo sna ko aliimba nao kinafiki
Ni kweli kabisa hawajaonyesha picha nzir hata kidogo ni wabaguzi
Kama walienda wakenya huenda nawao walishirik misiba yakenya kile upandacho ndicho uvunacho,namalipo nihapaha pa then,msiangalie shida hawajaenda taften chanzo chanzo cha tatizo,wasabato wanajikuta sana hata kwenye jamii wanajitenga wanasahau hata yesu tumwenyewe alichangamana nawatu wenye dhambi et mnajua mungu he!😂😂😂😂😅😢
hivi kutokuja kwenu kumeathiri nini. hiyo tabia yenu mbaya msituletee. watu wa MUNGUhampaswi kuwa hivyo, au mko kibiashara zaidi? watu wa Mungu huw na upendo, na upendo hauna husuda. je mmeuona umati uliokuwa kt mazishi yake? sham upon you. mnatufundisha nini hapo na nyimbo zenu, si bora muache tu. ila mwenzenu kazikwa vzr tu. mmejiaibisha wenyewe
Nyimbo za hao zilizo ni Jenga,nakutumia wimbo,nitaweza,lugha nzuri, nyingi sana.mungu atawajibu bro leave them please.
Bonny Mwaitege nilisikia kama kafariki hapo mbeleni kidogo au uwuongo jamani ???
😅Kama walienda wakenya huenda nawao walishirik misiba yakenya kile upandacho ndicho uvunacho,namalipo nihapaha pa then,msiangalie shida hawajaenda taften chanzo chanzo cha tatizo,wasabato wanajikuta sana hata kwenye jamii wanajitenga wanasahau hata yesu tumwenyewe alichangamana nawatu wenye dhambi et mnajua mungu he!😂😂😂😂😅😢