MKE WA MARCO ALIVYOAGA MWILI WA MUME WAKE KWA UCHUNGU MKUBWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Follow us:
    _______
    Facebook / ophoromedia
    ________
    Instagram / ophorotube
    ______
    Tiktok / ophorotube

Komentáře • 1,4K

  • @user-ij9ye9fu3n
    @user-ij9ye9fu3n Před 18 dny +123

    Pole San mwanamke mwezetu mungu akutie nguvu😭😭😭

    • @OphoroTube
      @OphoroTube  Před 18 dny +4

      Asante kwa kutazama video hii.

    • @miriamsima4374
      @miriamsima4374 Před 18 dny +6

      Mungu amtunze yeye Na watoto wake asiwapungukie

    • @user-ie3nz3ty2b
      @user-ie3nz3ty2b Před 18 dny +1

      mungu akupe kheli mdogo wangu jipe moyo utavuka salama

    • @IssaKoloba
      @IssaKoloba Před 18 dny

      Pole mpz
      Mungu akupe wepes

    • @mkasykhamisi2587
      @mkasykhamisi2587 Před 18 dny +1

      Pole mummy Mungu akutie nguvu kwa wakati huu mgumu inauma sana acha Mungu ailaze roho yake mahala pema 😢😢😢😢

  • @stellahpeter6818
    @stellahpeter6818 Před 18 dny +52

    Faraja ya kweli inatoka kwa bwana yesu Mungu akawe mfariji kwa familia yote na wapendwa wote vita umeipiga iman umeilinda pumzika kwa aman marcos.

  • @marryhancy1632
    @marryhancy1632 Před 18 dny +343

    Uyu anae wasogeza wafiwa sijapenda namna anavyowavuta

  • @MerriamCeci
    @MerriamCeci Před 18 dny +13

    Pole sana mwanamke mwezetu,, let God bless you and give you a power to protect family ♥️

  • @AidaVictory
    @AidaVictory Před 18 dny +13

    Mungu pekee ajuaye kufariji awe faraja kwenu familia nzima ya Marco poleni Zabron singers

  • @LenahChepkemoi
    @LenahChepkemoi Před 18 dny +7

    Rest in power Marco,and may God comfort the family of Marco and his innocent Children's also his friends and all zabron singers.... God will guide you always.

  • @selinakarisa3785
    @selinakarisa3785 Před 18 dny +10

    Poleni family ya zabron singers Mungu awape faraja kwa msiba huu,

  • @elizabethmosiori2800
    @elizabethmosiori2800 Před 18 dny +34

    Huyo jamaa anafukuza watu,kuwa na tabia, Marco alikuwa mtu wa watu, kama wewe umefurahi vile ametuacha,jitoe hapo, RIP Marco

    • @user-gc7xt5sf7q
      @user-gc7xt5sf7q Před 18 dny +1

      Sio vzr vill anawavuta kabisa sijapenda

    • @munira-yn3uu
      @munira-yn3uu Před 18 dny +2

      Pia mm nashangaa mbna anatoa watu ivo

    • @agneskighenda3795
      @agneskighenda3795 Před 18 dny +2

      Amekera mno! I hope ataona hii comment ajifunze in the future

    • @joanshitawa8035
      @joanshitawa8035 Před 18 dny +4

      ​@@agneskighenda3795people are supposed to view the body and pay the last respect. He is doing something wrong.

    • @vincentkyalo2538
      @vincentkyalo2538 Před 18 dny +1

      Ni kwasababu wanataka kuabudu mwili wa marehemu.

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Před 18 dny +14

    Dada enjoy pole kpenz changu ni ngumu kulipokea na kuzoea maan ss pia tuna maumivu ila ww ni zaidi umekuwa mjane mapema Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu kipindi hiki kigumu😢😭🤲🙏🏻

  • @ElihurumaSanka
    @ElihurumaSanka Před 18 dny +9

    Polen family ya bwana Joseph zabron Mungu awe mfariji wenu kipind hiki kigumu tulimpenda sanaa Marco lakn kazi ya Mungu Haina makosa amependa zaidi

  • @user-bl3ee2vx4d
    @user-bl3ee2vx4d Před 18 dny +32

    Hawa nao wanawashika watu si wawaache wa age kwa aman jaman

  • @HappyFireDragon-hl7hw
    @HappyFireDragon-hl7hw Před 18 dny +10

    Poleni saana Mungu awe faraja kwenu katika kipindi hiki kigum inauma ila tunawaombea msifunjike moyo

  • @angle3600
    @angle3600 Před 18 dny +4

    Duniani tunapita tuishini kwa upendo,yeye amemaliza safari yake bado sisi,Mungu tujalie mwisho mwema,na watie nguvu wanafamilia

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Před 17 dny +2

    Allah akujaliee pepo,,
    Nasie tulobaki yarabb tujaliee Mwisho ulo mwemaa🤲🏽 Amiiin

  • @YohanaMathias-t9f
    @YohanaMathias-t9f Před 18 dny +9

    Pole sanaaa dada angu kipenzi mungu akutie nguv

  • @Dayah-ms9gu
    @Dayah-ms9gu Před 16 dny

    am watching from kenya this death chocked me ,,,,,,, i know marco only in singing , but imeniuma sana mama pole take heart dear mama

  • @DotynatherSamwel
    @DotynatherSamwel Před 18 dny +17

    Mungu watie nguvu wafiwa wote mama na watoto wake daah😢😢😢😢ila ao walinzi.sijapenda

  • @NgwasiNhawa
    @NgwasiNhawa Před 18 dny +1

    Poleni sana familia ya marco,MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu,inauma sana😭😭

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Před 18 dny +9

    Sijapenda ao jamaa wanavyowavuta vuta wafiwa .waacheni watu waage mwili kwa kurelax bhana hapo ndipo wanaonana kwa mara ya mwisho tena kwa maisha ya duniani sasa nyie mnawakimbiza kimbiza kama unamkumbiza farasi sijapenda😢😢

  • @user-be7ss7pt8s
    @user-be7ss7pt8s Před 18 dny +1

    Poleni wanafamilia kwa kupoteza mpendwa wenu mungu awafariji na awatie nguvu kwa kipindi iki kigumu mlicho nacho Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi raha ya milele ampe ebwana na mwanga wa milele amwangazie apumzike kwa amani

  • @oliverngomuo1934
    @oliverngomuo1934 Před 18 dny +5

    Poleni familia jamanii inauma sana pumzika kwa amani marco

  • @JulusJacob
    @JulusJacob Před 17 dny +1

    Kwakweli ndugu zetu na wafiwa na wale wote walioguswa na msiba huu wa mpendwa wetu na mwiinjishaji wa bwana, mungu awe nanyi kwakipindi hiki kigumu cha majonzi, nawaombea mungu awape nguvu, na faraja. Kwetu sisi yatuuma kw kuondokewa na marko, lakini nyinyi kifo cha ndugu yetu marko kimewagusa zaidi. Mungu awape nguvu tu wapendwa.

  • @imanizosaid8631
    @imanizosaid8631 Před 18 dny +3

    Kwann wanawapeleka mputa mputa waagaji jamani kama sio mtu wao😭😭😭😭😭

  • @OzanaMtwangi-e4w
    @OzanaMtwangi-e4w Před 18 dny +5

    Daah! Ee mungu wa mbinguni mpe nguvu huyu mjane , kweli inauma

  • @salimamasanja4659
    @salimamasanja4659 Před 18 dny +11

    Poleni sana ,pole mwanamke mwenzetu

  • @mvuyekureemmanuel5541
    @mvuyekureemmanuel5541 Před 16 dny

    Poleni sana kwa wana Zabron family!
    Hii ni habari isio nzuli, ila Mungu awatie nguvu kwani wote wapendwa tutawakuta tena kwetu mbinguni.
    Pole sana tena

  • @JeriahObonyo
    @JeriahObonyo Před 18 dny +14

    Mungu awatie nguvu familia ya Marcos and zabron singers

  • @JohnKimanzi-f9t
    @JohnKimanzi-f9t Před 18 dny +1

    Poleni sana kwa watoto na familia yote ya zabron singers 😢😢 Mungu awatie nguvu kwa kipindi hiki kigumu

  • @EstherNafula-h1c
    @EstherNafula-h1c Před 18 dny +2

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

  • @AgustinoBura
    @AgustinoBura Před 8 dny

    Mwenyezi Mungu akulaze mahali pema peponi kaka yetu.
    Mungu awape faraja wanafamilia wote.

  • @SamHighnest
    @SamHighnest Před 18 dny +3

    mungu awatie nguvu zabron na mke roho wa bwana awe faraja kweny kipnd hiki kigumu

  • @stanciadzongodza7174
    @stanciadzongodza7174 Před 12 dny

    😢😢😢 heart broken 💔 to his wife ,kids and his family and friends. It is painful 💔 to lose your beloved one,so young .May condolences. May the Lord comfort his wife and family.

  • @DavisdavidNdoje
    @DavisdavidNdoje Před 18 dny +2

    Poleni wafiwa mungu hawatie nguvu. Ila wasanii wa miziki ya dunia waache ubaguzi

  • @ReginaGachara-y1y
    @ReginaGachara-y1y Před 18 dny

    😭 A painful moment. May our Jehova give the family peace. Only him who can fill the gap. I lost my mum last year. It's never an easy thing, but God works it out in ways no one can tell.
    May you find strength in the Lord.
    Fare thee well Marcos

  • @AnethKitime
    @AnethKitime Před 18 dny

    Poleni sana wote kwa kuondokewa na mpendwa wetu, tulimpenda Ila Mungu kampenda zaidi ipo siku tutaonana tena pumzika kwa amani kaka Maiko tutakukumbuka kwa mengi mema.

  • @JanetSongi
    @JanetSongi Před 15 dny

    Poleni sana Wana familia na zabron singer's na Tanzania yote kwa kumpoteza mpendwa wenu.

  • @paulootieno2235
    @paulootieno2235 Před 18 dny

    U mbele yetu ss Marko tuko Nyuma yako.Vita umemaliza Mungu Akupe Pumziko la Amani. Amina

  • @waydisaxwesso2748
    @waydisaxwesso2748 Před 18 dny +1

    Dahh poleni sana Wana familia Mungu awe faraja kuu kwenu ni kipindi kigumu sana mmepitia ila Mungu atawatia nguvu

  • @user-kb2ed7lc9c
    @user-kb2ed7lc9c Před 17 dny +2

    Poleni sana Mungu awafariji wana zabron singers

  • @user-ir4qn7zj1d
    @user-ir4qn7zj1d Před 17 dny

    Poleni sana family 😢. Mjane .there's time for everything 😢Rip Marco.. umevipika vita vixuri 😢

  • @MangisinaJuma
    @MangisinaJuma Před 15 dny

    Polen sana ndugu wa malehem na wat wotee wa kalib na Marco mungu awatie nguvu

  • @RLSWithClarah2808
    @RLSWithClarah2808 Před 16 dny

    May God comfort Marco's family and friends... This is a huge loss I'm feeling a lot of pain for sure

  • @monicakamau4672
    @monicakamau4672 Před 18 dny

    Fare thee well Marco. Till we meet again. You have been such a blessing

  • @mnyamwezitv382
    @mnyamwezitv382 Před 18 dny +1

    Hao bodyguard nini haswaaa khaaaaa

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 Před 18 dny

    Dah.. Mungu atupe mwisho mwema. Pole familia kwa ujumla.Mungu awatie nguvu

  • @LucyPaul-p7m
    @LucyPaul-p7m Před 18 dny

    Oh! Poleni sana wana familia na ndugu kwa ujumla Mungu wa mbinguni awe mfariji mkuu kwa kila mmoja tumeumia zaidi kumpoteza rafiki yetu 😭😭😭

  • @juniorsmart2546
    @juniorsmart2546 Před 17 dny +1

    Yaan anavyowakwapua kaa ugomvii😂😂😂😂

  • @user-em1bu1es4p
    @user-em1bu1es4p Před 17 dny +1

    Ufunuo 21:4.pole Sana wandugu katika Imani .wa congomani tunaliya pamoja nanyi.Mungu abaki karibu nanyi kwa kuwafariji.

  • @RecholRecholfaustine-f8x

    😭😭😭 inaumiza sana. Pole dada Kwa kuondokewa na mumeo M/mungu akawe mfariji wa maisha ako. 🙏

  • @munirahilaly3502
    @munirahilaly3502 Před 18 dny

    Pole saana , Angel na familia Kwa ujumla mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @SheilaMmbone-j9i
    @SheilaMmbone-j9i Před 18 dny +1

    Poleni sana aki so painful😭😭😭

  • @AirinNyamoga
    @AirinNyamoga Před 17 dny +1

    Poleni sana wapendwa mungu akawe mfariji wenu kwa kipindi hichi kigumu😭😭😭😭

  • @VictoriaJohn-sd2xd
    @VictoriaJohn-sd2xd Před 18 dny +1

    Pole Sana dada,Mwenyez Mungu akuite nguvu katika gumu hili unalopitia

  • @jeannettekeza6434
    @jeannettekeza6434 Před 18 dny

    Heeee hakuna siku ngumu maishani kama kuachana na mtu ulienda mpenda! Hee yesu weee kifo kifo kifo kifooooooo 😭😭 Marco Marco ama kwakweli 😭😭

  • @AmbroseOwiti
    @AmbroseOwiti Před 12 dny

    Poleni sana wana Zabron singers more so his wife may you take heart I know its painful but God gives life and take it back May His Soul Rest in Eternal Peace

  • @winniechambo4479
    @winniechambo4479 Před 17 dny

    Pole sanaa mke wa Marehem Mungu akutie nguvu takika kipindi hiki kigumu unachopitia na akupe nguvu na ujasiri katika kulea watoto mtumaini Mungu katika kila hatua

  • @DeboraIsaya
    @DeboraIsaya Před 16 dny

    Pole sana kwa family ndugu mke na watoto bwana ametoa na bwana ametwaa jina Lake lihimidiwe amevipiga vita vingi na mwendo ameumaliza😭😭😭😭lala shujaa

  • @user-lu7vs8wd8v
    @user-lu7vs8wd8v Před 18 dny +2

    Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzetu😭

  • @user-ut1kl7lq2h
    @user-ut1kl7lq2h Před 18 dny

    Pole sana kwa hii familia Mungu mwenyewe awe tu mfariji wenu wa karibu aki ni uchungu lakini inatulazimisha kukubali mipango ya Mungu.

  • @EuniceMwangi-gk1bt
    @EuniceMwangi-gk1bt Před 17 dny +1

    Mungu awafariji wote maana yeye ni mfariji wa kweli❤❤

  • @danielkoskei7580
    @danielkoskei7580 Před 18 dny

    Faraja hutoka kwa Mungu May God give this family strength

  • @BigamboMafuru
    @BigamboMafuru Před 18 dny +1

    Watu wanaomboleza kifo cha ndugu yao alafu we unawavuta kama Wezi Hivi watu wengine wanakuwaga na akili za namna gani hizi 😢😢😢😢😢😢

  • @Pilausbwinyo
    @Pilausbwinyo Před 18 dny

    Mungu akawafiliji wanafamilia wote na ndugu jamaa na marafiki nakundi zima la zabron Mungu awape nguvu yakuendelea mbele na kazi yake ya kumtumikia

  • @jamesnkii4539
    @jamesnkii4539 Před 17 dny

    Dah! Mke wake jaman
    Uwiii Mungu wa mbinguni ninakuomba ukamfariji huyu mama peke yake hawezi🙌🏼🙌🏼

  • @user-gw7np5th6w
    @user-gw7np5th6w Před 18 dny +1

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, kuweni pole familia pamoja na zablon singers.

  • @gaudensiamganga1695
    @gaudensiamganga1695 Před 18 dny +1

    Inaumiza sana jamani Eeee Mungu awatie nguvu familia yote kwa ujumla

  • @sofiasofi2884
    @sofiasofi2884 Před 18 dny

    Mungu akutie ngumu dadangu be strong dear na mambo hawa hawataki watu wakaribie mwili waone ndugu yao siku ya mwisho 😭😭😭😭😭😭😭 Mungu akulaze mahali pema kaka

  • @constancemkambe888
    @constancemkambe888 Před 18 dny +1

    From Kenya poleni sana Wana zabron Mungu ampe nguvu 😭😭😭

  • @millicentonims669
    @millicentonims669 Před 15 dny

    May God strengthen their families 😢 rip marco😢

  • @TeresaSefu
    @TeresaSefu Před 18 dny

    Raha ya mlele umupee eeh bwana na mwanga wa mlele umuangaziee amina🙏 eeeeh munguu ulijua hilii kabra yetu sisi munguu mtiee nguvuu mke wa marehem, uwatie nguvuu watoto wakeee, uwatie nguvuu nduguu jamaa na marafikii popote walipo amina🙏🙏🙏🙏

  • @SarahMuro-xm6yu
    @SarahMuro-xm6yu Před 17 dny

    Ths pain is beyond....may th lord comfort them,rip Marco

  • @HelenaSule-f4f
    @HelenaSule-f4f Před 16 dny

    Mungu mwenyezi mwenye neema na upendo akutie nguvu katika kipindihiki kigumu

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Před 18 dny +2

    Pole dada 😢😢mungu hatakuacha

  • @maryjames7438
    @maryjames7438 Před 18 dny +1

    Poleni sana wanafamilia ndg jamaa na marafiki Mungu akawe faraja ktk kipindi hiki kigumu sana

  • @NusuraYasini-p9h
    @NusuraYasini-p9h Před 14 dny

    Mungu amlsze mhali pema pepon kumbuka sik yako ya pumzi yak mwisho itakuwaje omba mungu uwena mwisho mzuri

  • @SulaMwimanzi
    @SulaMwimanzi Před 16 dny

    Poleni sana familia nzima ,mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu hakika inaumiza japo nivigumu kupokea

  • @NaomiSanga-n1e
    @NaomiSanga-n1e Před 18 dny

    Pole sana mwanamke mwezetu kwa kuachwa mjane inauma sana mungu akutie nguvu kwa yeye ni mume wawajane

  • @pamwelah8624
    @pamwelah8624 Před 15 dny

    May God comfort the family and give you strength

  • @petronilalodechi7348
    @petronilalodechi7348 Před 16 dny

    Poleni kwa familia..huyu nae aache watu wamuone Marco nini anavuta watu

  • @phancywanjala4311
    @phancywanjala4311 Před 17 dny

    Go well Marco Joseph continue singing with angles 😢🕊

  • @HappyBarnOwl-ug5kt
    @HappyBarnOwl-ug5kt Před 2 dny

    Yan ukijaribu kuvaa viatu vya huyu dada jaman huviwezi kamwe inauma sana pole kipenz mungu akupe faraja

  • @mussanyanda3451
    @mussanyanda3451 Před 18 dny

    Sikia tu kwa mwingine unaweza ukaona ni maumivu lakini likiwa kwako maumivu yake ni zaidi ya hapo , ee Mungu tunaomba uturehemu , tujaze nguvu hata tunaobakia ili ikifika ukawe mfariji wetu, mbariki na mtie nguvu mama mjane na familia kwa ujumla.... Amen!.

  • @marylema8937
    @marylema8937 Před 18 dny

    Mungu tu awe faraja kwenu wapendwa wangu katika bwana najua mnachopitiaa 😩😩😩tuko pamojaa mi adi nazima simu naona km mitandao inasema uongo nikirudi nakuta mambo yanaendeleaaa😩😩😩I don’t know how to explain but let him rest in peace sisi tunapanga Mungu anapangua na yote ni mema kwake hakuna baya maana amesema anatuwazia yaliyomema kutuma tumaini siku zetu za mwisho.So let us believe Marcos is save na km ni kulia mtu alie tuu coz usipolia nayo ni tatizo lia lkn jua bado safari hujamaliza marcos kamaliza we utamalizajee?mke wake namshauri sana ajue ameachiwa mahandsome wanzurii jmn kuna anayewatamani hivyo aliyee tuu lkn akiwatazama wale amwone marcos na afute machozi🙏🏼

  • @joycemhina8293
    @joycemhina8293 Před 18 dny +1

    Huyo kaka mbona anawazuia watu? Wakati marehemu alikuwa kipenzi Cha watu

  • @EmmyZain-ov9uz
    @EmmyZain-ov9uz Před 17 dny

    Mungu mume wa Jane, baba wa yatima, jamii na marafiki awatie nguvu.

  • @jovinacbkan9506
    @jovinacbkan9506 Před 18 dny +1

    Acheni watu wamuage Marco, umati mmeuona mngeanza kutoa mwili ulale nje muda wote anafika aupitie mwili ubagert muda, watu ni wwengi kutokana na ratiba inabana kukamata mtu na kutoa kwaa jeneza si sawa Marco ni wetu sote

  • @josiahmudianga5971
    @josiahmudianga5971 Před 18 dny

    may the Lord rest his departed soul in tranquility and may he grant the family comfort as they go through this sad moments

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 18 dny +1

    Sasa nn maana ya kuaga mtu anavuta watu Kama vile anaugomvi nao havarti zimfikie asirudie Tena!

  • @fionanzuki6772
    @fionanzuki6772 Před 18 dny

    Vinauma saana nko kwa machozi nkiuliza Mungu kwa nini umeiruhusu, pumzka Marco Mungu atie nguvu mke na watoto na familia na kanisa kwa jumla

  • @kasilimasunga2728
    @kasilimasunga2728 Před 10 dny +1

    Huyooo baba ana moyo mbaya hatujapenda kuvuta watu hivyo

  • @ShidaBundala
    @ShidaBundala Před 18 dny

    Pumzika kwaamaani kaka yetu mpendwa mungu akupe pumziko lamilele uwatie nguvu familia mke na watoto amiina

  • @user-ye6yt7qn7g
    @user-ye6yt7qn7g Před 17 dny

    My condolences may God give you people strength 😭😭

  • @WinnieMchaki
    @WinnieMchaki Před 18 dny

    Pole San mke wake,polen San watoto,familia ya zabron singers Mungu awatie nguvu piaa😢😢😢

  • @lameckokongo6406
    @lameckokongo6406 Před 18 dny

    It's ainful to watch. Dear Almighty strengthen the family and friends

  • @sussieshiro896
    @sussieshiro896 Před 15 dny

    God give the family peace and strength 😢

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Před 17 dny

    Ni mipango wa Mungu, ukitibiwa Jakaya kikwete ukafa basi ni Mungu alipenda,,,! Ile ndiyo hospital bora kakta ukanda huu

  • @stellahwilliam8578
    @stellahwilliam8578 Před 18 dny +1

    😢😢😢😢jamani nimejisikia vibaya acha tu kifo hichi daaah😢😢😢😢pumzika kwa amani marco😢😢😢😢

  • @FlorenceKerubo-xw6lx
    @FlorenceKerubo-xw6lx Před 18 dny +1

    Mungu ailaze roho yake mahari pema peponi, familia pole na Zablon singers

  • @carol-zz6uf
    @carol-zz6uf Před 17 dny

    😢go well bro we love you from kenya

  • @hildajohn2749
    @hildajohn2749 Před 18 dny

    Kristo akawe faraja kwa hii familia.
    Kifo, kifo,kifo!!!
    Kifo kinauma jamani😢😢😢😢