JAPHET ZABRON ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUULIZWA SWALI HILI... ":"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 108

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb Před 18 dny +14

    Jamani Mungu akutie nguvu Japheth Ni pigo kubwa lakini haina Budi kumshukuru Mungu Kwa kila jambo tuko soteni kwenye hili tulimepnda lakini Mungu alipenda Zaidi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AnneNgina-e4k
    @AnneNgina-e4k Před 9 dny +1

    Poleni Sana Wana zabron singers. Nasikitika Sana kumpoteza mwimbaji mwenye Baraka kama huyu. Mola hakosi, ailaze roho yake Mahala Pema peponi😢😢😢😢😢

  • @leonidachepchumba6512
    @leonidachepchumba6512 Před 15 dny +3

    Pole sana Japheth,ninajua uchungu mnapitia,Mwenyezi Mungu hawafariji jamani.

  • @SteveManyonge
    @SteveManyonge Před 16 dny +2

    Poleni sana wandugu wetu watanzania na zabroni singers. Mungu awape nguvu wakati huu mgumu.

  • @agness8971
    @agness8971 Před 19 dny +8

    Poleni sana jamaa , marafiki , zabron singers na sisi mashabiki wa nyimbo z Zabron singers😢😢😢

  • @FlorenceMusembi-t5x
    @FlorenceMusembi-t5x Před 3 dny

    Pole the Zabron singers. Tumepoteza kweli. Mungu awatie nguvu.

  • @helenamwema744
    @helenamwema744 Před 14 dny +4

    Pole sana Mwenyezi MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @MilycentMilycentomondi
    @MilycentMilycentomondi Před 4 dny +1

    Sijawahi lia nikisikia MTU Fulani ametuacha lakini zabron amefanya nikalia Sana Tanzania Ni mbali but Mungu awafunge mganda jamani.zamani pia Kenya tunalia poleni.

  • @hynesskatengu1870
    @hynesskatengu1870 Před 19 dny +9

    Poleni sana jamaniiii ni maumivu yasiyozoeleka ooh Yesu fariji familia hii.😢😢😢😢

  • @Josephineayuma-w5t
    @Josephineayuma-w5t Před dnem

    Pumuzika Kwa amani Marco mungu ailaze roho Yako mahali pema peponi

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Před 16 dny +3

    MUNGU awatie nguvu sana wanafamilia ktk kipindi iki kigumu, ampumzishe kwa amani mpendwa wetu🙏🕯 😭

  • @MercyWitness
    @MercyWitness Před 17 dny +3

    Pole sana kwa msiba, faraja ya Mungu iwe juu yenu

  • @user-so2qz2gj5h
    @user-so2qz2gj5h Před 10 dny

    Poleni sana na kilicho wakuta na msiba wa ndugu yetu Marco Sisi wote moyo ina uma sana tuko pamoja from Congo 😭😭😭😭😭

  • @JenniferKalia
    @JenniferKalia Před 17 dny +1

    Poleni sana familia ya zabron Kwa jumla, kuongea mtu akifa ni kawaida so mjitie nguvu Mungu yu upande wenu, tutamiss sauti yake SIsi kenyans

  • @ViraBabwiriza
    @ViraBabwiriza Před 17 dny +3

    Ata Mimi ningekua tanzania ninge kuja kumsindikiza from Congo tupo pamoja sote mashabik wanyimbo zake apumzik kwaamani

  • @doradaniely2036
    @doradaniely2036 Před 18 dny +4

    Siku ukipunzika utabebeshwa mizigo mikubwa sana jmn badala kuombewa kila mtu anaanza kusema yake lakini familia mim binafsi nimeumia sana na poleni sana mungu ailaze roho marehemu mahala pema peponi

    • @judithbahizire4298
      @judithbahizire4298 Před 14 dny

      Mungu tu naye Mwamini na amini ata ji shugulisha na maman na watoto. Mungu ni Mume wa wajane tena baba wa mayatima.

  • @mirriamkwamboka7079
    @mirriamkwamboka7079 Před 18 dny +1

    Ndugu utafanikiwa. God's time is the best. Mungu Ako nawe😊

  • @pamphilianwandera4683
    @pamphilianwandera4683 Před 12 dny

    Poleni sana familia ya Marco. Mungu azidi kuwatia nguvu, sio rahisi kupoteza mpendwa.

  • @samuelmuhindosivamwanza4988

    C’est dur, très dur. Puisse l’Eternel notre Dieu continuer à consoler et réconforter toute la famille, les amis et connaissance. Nous avons perdu un élément. Seul Dieu sait pourquoi c’est arrivé en pareil moment

  • @lydiakareithi9820
    @lydiakareithi9820 Před 8 dny

    Huyu Japheth, ni yule kijana alikuwa akiimba kanisa la Ukerewe kwani anamfanana sana!!? Poleni sana wana Zabron Singers 😢😢

  • @user-ig9vg7nj1g
    @user-ig9vg7nj1g Před 18 dny +1

    Poleni sana. Na MUNGU awafunge mkanda Kwa kipindi hiki kigumu

  • @ManirereGedeon-d7d
    @ManirereGedeon-d7d Před 17 dny +1

    Japhet Pole sana Mimi nimekosa mambo❤😭😭😭😭

  • @user-oz4tf6bh9f
    @user-oz4tf6bh9f Před 4 dny

    Mungu awape faraja jaman i

  • @dennok3357
    @dennok3357 Před 11 dny

    My sincere condolences to the bereaved family. However, in my humble opinion, whenever someone creates a song, it should be done to glorify God, rather than focusing on whether it will become a hit or not. All the same, their songs will continue to bless many in all aspects.

  • @SarahMajaliwa-px2qj
    @SarahMajaliwa-px2qj Před 18 dny +2

    Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema,,🙏😭

  • @edahuxley8184
    @edahuxley8184 Před 14 dny +1

    poleni sana mwenyezi mungu awatie nguvu wakati huu mgumu

  • @AnnastaziaFrancis
    @AnnastaziaFrancis Před 7 dny

    Polen sana ndg zangu mungu awatie nguvu ktk kipindi kigum

  • @annahgodblessyouandprayfor6515

    Poleni sana tuko safarini sisi sote ,let him rip and shine on his way home to the creator of everything 🙏🏽

  • @marthabruckman5850
    @marthabruckman5850 Před 6 dny

    Poleni sana jamani.Mungu awatie nguvu.

  • @gwantwamwamwendesi6139

    Pole sana Japhet Mungu wetu aendelee kuwa faraja

  • @joyceagustino1531
    @joyceagustino1531 Před 12 dny

    Poleni sana zabron singers najua maumivu mnayopitia

  • @georgetteniyonkuru9060

    Pol sana nduzetu🇧🇮

  • @PhylliskhasialaShipwoni

    Poleni marafiki na jamii kwa jumla 😢😢😢ni uzuni kumpoteza mpedwa wa karibu bila kuunguwa 😢💔💔

  • @kingsgospelsingers
    @kingsgospelsingers Před 13 dny

    Pole sana Mungu akutie nguvu Japheth

  • @Flora-t6e
    @Flora-t6e Před 11 dny

    Polesana jafet mungualitoa nametwaa

  • @lightnessmeena1315
    @lightnessmeena1315 Před 18 dny +1

    Mungu awape uvumilivu kipindi hiki kigumu kwenu

  • @alicerosah3084
    @alicerosah3084 Před 18 dny

    Poleni sana mungu awape nguvu katika huu wakati mgumu 😢

  • @lameckmnanka9330
    @lameckmnanka9330 Před 13 dny

    Poleni sanaa mungu awape nguvu

  • @salomemoreri4550
    @salomemoreri4550 Před 4 dny

    I use to think they are brothers from same mother.

  • @neemamanjale
    @neemamanjale Před 18 dny

    mungu awatie nguvu kwa msiba huu hakika inaumiza mnooo

  • @angemureba4087
    @angemureba4087 Před 16 dny

    Poleni sana Mungu awatiye nguvu

  • @WinroseMusimbi
    @WinroseMusimbi Před 18 dny

    Pole Sana Kwa msiba huo pia sisi tumeumia

  • @FrederickDeus
    @FrederickDeus Před 18 dny

    Pole sana mungu ampumzishe kwa amani

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Před 18 dny +1

    Yaani kaka wawatu kafariki na maumivu ya kidonda daaah

  • @AdamMakoye-w2n
    @AdamMakoye-w2n Před 18 dny

    poreni sana ndugu mungu yupamoja nasi site

  • @VionaMuthoni289
    @VionaMuthoni289 Před 18 dny +2

    Wakenya tunaomboleza pamoja😢😢😢😢wapee mda waomboleze channel moja iwahoji wanachooka kuongea

  • @bethgithaka6317
    @bethgithaka6317 Před 18 dny

    My condolences to you and family 😢

  • @FlorenceKirigo
    @FlorenceKirigo Před 16 dny

    Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu

  • @PriscaJohn-y8s
    @PriscaJohn-y8s Před 19 dny

    Polen sana zabron singers

  • @eunicemusande5477
    @eunicemusande5477 Před 18 dny

    Inauma sana Rip Marco

  • @lydiahnyabonyi9367
    @lydiahnyabonyi9367 Před 18 dny

    Poleni majirani wetu

  • @MercyCherono-o1e
    @MercyCherono-o1e Před 13 dny

    Poleni sana

  • @drucillawainaina3162
    @drucillawainaina3162 Před 15 dny

    Mungu watie nguvu hawa ndug u

  • @emmilyngina5405
    @emmilyngina5405 Před 18 dny +1

    Kw hivyo Japhet sio kakake Marco tumbo Moja, they are first class cousins, their fathers are brothers

  • @emmilyngina5405
    @emmilyngina5405 Před 18 dny

    Mara nyumbani mwake Kahama mara makaburini, 😢

  • @JacklineOuma-bn1ck
    @JacklineOuma-bn1ck Před 11 dny

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢sory

  • @user-vd9ii6zr8c
    @user-vd9ii6zr8c Před 7 dny

    may his soul rest

  • @lucynduta9644
    @lucynduta9644 Před 9 dny

    RIP 😔

  • @Lishikenilililojema
    @Lishikenilililojema Před 18 dny +1

    Makiwa!

  • @MariamWikama-q9j
    @MariamWikama-q9j Před 15 dny

    Watumishi jipeni moyo roho mtakatifu afanyike faraja kwenu

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Před 18 dny

    Poleni sana i

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn5727 Před 17 dny

    Mtasikiaa kama hamjasikia

  • @josephinemuyoma7838
    @josephinemuyoma7838 Před 18 dny

    Apumzike kwa aman 😭😭

  • @RosieNgina
    @RosieNgina Před 18 dny

    Hawa wanahabari wanapenda kusumbua watu na maswali badala ya waache watu watulie

  • @marymuthi6865
    @marymuthi6865 Před 16 dny

    Pore sana

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn5727 Před 17 dny

    Huyu Japhe

  • @divinahmachuka1859
    @divinahmachuka1859 Před 18 dny

    Weka live tu watch😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @RoseNyawirakenya
    @RoseNyawirakenya Před 18 dny

    Ooh hicho kilio jameni😂😂😂sitie shaka,utafaulu kama alivyotamani...

  • @evalinemalole6709
    @evalinemalole6709 Před 16 dny

    Michael??

  • @mercysereh
    @mercysereh Před 13 dny

    😢😢😢😢

  • @joera_media1749
    @joera_media1749 Před 18 dny

    😢😢😢Tupe live link

  • @user-sp5sh4lr2q
    @user-sp5sh4lr2q Před 18 dny +7

    Mbona kama unajipigia promo sana wewe ni kama unam dump mwenzio na neno la uchawi linatoka wapi

    • @HyacintaGugu
      @HyacintaGugu Před 18 dny +2

      Umeonaee anajitangaza watu wajue kama yeye ndie alikuwa mtunzi..Anakera sana sana sana sana

    • @AminaMadaraka
      @AminaMadaraka Před 17 dny +5

      Tatizo amjaelewa sikiliza kwa makini

    • @AminaMadaraka
      @AminaMadaraka Před 17 dny +3

      Anazungumzia umuhimu wa Marco katika huduma yake

    • @NAOMIYOHANA-j5l
      @NAOMIYOHANA-j5l Před 17 dny +3

      Mmmmh jarbun kuelewa nn anazungumzia sidhan km amejipromo apo anazungumzia kwa uzur mbna

    • @Ginger_n_Vanilla
      @Ginger_n_Vanilla Před 17 dny +3

      Kwanza kabisa huyu ndio mwandishi wa nyimbo za Zabron lakini walikuwa wanashiriki pamoja kujadiri mawazo, na anaeleza mambo yao. Wacheni uchungu. Japhet ni mtu mzuri na alimpenda sana marco

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 18 dny

    😰😰😰😰😰😰💔💔💔

  • @evalinemalole6709
    @evalinemalole6709 Před 16 dny

    Anasema Michael ama me ndo naskia vibaya jaman

  • @CalebBillio-vl2tm
    @CalebBillio-vl2tm Před 8 dny

    Watu Wana ufala sana.... Lazima utumie maneno ya uongo ndo u capture attention.?? Watu waomboleza n you are busy doing this stupidity to gain more likes and subscribers???

  • @NUHUONLINETV
    @NUHUONLINETV Před 18 dny

    maji matamu

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 Před 16 dny

    Selfish

  • @FlorenceKirigo
    @FlorenceKirigo Před 16 dny

    Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu

  • @NyandwiGenerose-w8j
    @NyandwiGenerose-w8j Před 16 dny

    Poleni sana

  • @josephinemtei186
    @josephinemtei186 Před 17 dny

    😭😭😭😭😭

  • @jacklinecherono95
    @jacklinecherono95 Před 19 dny

    Poleni sana