Jamani Mungu akutie nguvu Japheth Ni pigo kubwa lakini haina Budi kumshukuru Mungu Kwa kila jambo tuko soteni kwenye hili tulimepnda lakini Mungu alipenda Zaidi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sijawahi lia nikisikia MTU Fulani ametuacha lakini zabron amefanya nikalia Sana Tanzania Ni mbali but Mungu awafunge mganda jamani.zamani pia Kenya tunalia poleni.
Siku ukipunzika utabebeshwa mizigo mikubwa sana jmn badala kuombewa kila mtu anaanza kusema yake lakini familia mim binafsi nimeumia sana na poleni sana mungu ailaze roho marehemu mahala pema peponi
C’est dur, très dur. Puisse l’Eternel notre Dieu continuer à consoler et réconforter toute la famille, les amis et connaissance. Nous avons perdu un élément. Seul Dieu sait pourquoi c’est arrivé en pareil moment
My sincere condolences to the bereaved family. However, in my humble opinion, whenever someone creates a song, it should be done to glorify God, rather than focusing on whether it will become a hit or not. All the same, their songs will continue to bless many in all aspects.
Kwanza kabisa huyu ndio mwandishi wa nyimbo za Zabron lakini walikuwa wanashiriki pamoja kujadiri mawazo, na anaeleza mambo yao. Wacheni uchungu. Japhet ni mtu mzuri na alimpenda sana marco
Watu Wana ufala sana.... Lazima utumie maneno ya uongo ndo u capture attention.?? Watu waomboleza n you are busy doing this stupidity to gain more likes and subscribers???
Jamani Mungu akutie nguvu Japheth Ni pigo kubwa lakini haina Budi kumshukuru Mungu Kwa kila jambo tuko soteni kwenye hili tulimepnda lakini Mungu alipenda Zaidi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Poleni Sana Wana zabron singers. Nasikitika Sana kumpoteza mwimbaji mwenye Baraka kama huyu. Mola hakosi, ailaze roho yake Mahala Pema peponi😢😢😢😢😢
Pole sana Japheth,ninajua uchungu mnapitia,Mwenyezi Mungu hawafariji jamani.
Poleni sana wandugu wetu watanzania na zabroni singers. Mungu awape nguvu wakati huu mgumu.
Poleni sana jamaa , marafiki , zabron singers na sisi mashabiki wa nyimbo z Zabron singers😢😢😢
Pole the Zabron singers. Tumepoteza kweli. Mungu awatie nguvu.
Pole sana Mwenyezi MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Sijawahi lia nikisikia MTU Fulani ametuacha lakini zabron amefanya nikalia Sana Tanzania Ni mbali but Mungu awafunge mganda jamani.zamani pia Kenya tunalia poleni.
Poleni sana jamaniiii ni maumivu yasiyozoeleka ooh Yesu fariji familia hii.😢😢😢😢
Pumuzika Kwa amani Marco mungu ailaze roho Yako mahali pema peponi
MUNGU awatie nguvu sana wanafamilia ktk kipindi iki kigumu, ampumzishe kwa amani mpendwa wetu🙏🕯 😭
Pole sana kwa msiba, faraja ya Mungu iwe juu yenu
Poleni sana na kilicho wakuta na msiba wa ndugu yetu Marco Sisi wote moyo ina uma sana tuko pamoja from Congo 😭😭😭😭😭
Poleni sana familia ya zabron Kwa jumla, kuongea mtu akifa ni kawaida so mjitie nguvu Mungu yu upande wenu, tutamiss sauti yake SIsi kenyans
Ata Mimi ningekua tanzania ninge kuja kumsindikiza from Congo tupo pamoja sote mashabik wanyimbo zake apumzik kwaamani
Siku ukipunzika utabebeshwa mizigo mikubwa sana jmn badala kuombewa kila mtu anaanza kusema yake lakini familia mim binafsi nimeumia sana na poleni sana mungu ailaze roho marehemu mahala pema peponi
Mungu tu naye Mwamini na amini ata ji shugulisha na maman na watoto. Mungu ni Mume wa wajane tena baba wa mayatima.
Ndugu utafanikiwa. God's time is the best. Mungu Ako nawe😊
Poleni sana familia ya Marco. Mungu azidi kuwatia nguvu, sio rahisi kupoteza mpendwa.
C’est dur, très dur. Puisse l’Eternel notre Dieu continuer à consoler et réconforter toute la famille, les amis et connaissance. Nous avons perdu un élément. Seul Dieu sait pourquoi c’est arrivé en pareil moment
Huyu Japheth, ni yule kijana alikuwa akiimba kanisa la Ukerewe kwani anamfanana sana!!? Poleni sana wana Zabron Singers 😢😢
Poleni sana. Na MUNGU awafunge mkanda Kwa kipindi hiki kigumu
Japhet Pole sana Mimi nimekosa mambo❤😭😭😭😭
Mungu awape faraja jaman i
My sincere condolences to the bereaved family. However, in my humble opinion, whenever someone creates a song, it should be done to glorify God, rather than focusing on whether it will become a hit or not. All the same, their songs will continue to bless many in all aspects.
Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema,,🙏😭
poleni sana mwenyezi mungu awatie nguvu wakati huu mgumu
Polen sana ndg zangu mungu awatie nguvu ktk kipindi kigum
Poleni sana tuko safarini sisi sote ,let him rip and shine on his way home to the creator of everything 🙏🏽
Poleni sana jamani.Mungu awatie nguvu.
Pole sana Japhet Mungu wetu aendelee kuwa faraja
Poleni sana zabron singers najua maumivu mnayopitia
Pol sana nduzetu🇧🇮
Poleni marafiki na jamii kwa jumla 😢😢😢ni uzuni kumpoteza mpedwa wa karibu bila kuunguwa 😢💔💔
Pole sana Mungu akutie nguvu Japheth
Polesana jafet mungualitoa nametwaa
Mungu awape uvumilivu kipindi hiki kigumu kwenu
Poleni sana mungu awape nguvu katika huu wakati mgumu 😢
Poleni sanaa mungu awape nguvu
I use to think they are brothers from same mother.
mungu awatie nguvu kwa msiba huu hakika inaumiza mnooo
Poleni sana Mungu awatiye nguvu
Pole Sana Kwa msiba huo pia sisi tumeumia
Pole sana mungu ampumzishe kwa amani
Yaani kaka wawatu kafariki na maumivu ya kidonda daaah
poreni sana ndugu mungu yupamoja nasi site
Wakenya tunaomboleza pamoja😢😢😢😢wapee mda waomboleze channel moja iwahoji wanachooka kuongea
My condolences to you and family 😢
Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu
Polen sana zabron singers
Inauma sana Rip Marco
Poleni majirani wetu
Poleni sana
Mungu watie nguvu hawa ndug u
Kw hivyo Japhet sio kakake Marco tumbo Moja, they are first class cousins, their fathers are brothers
Ni mtoto wa uncle wake
Wanafanana sana,,,wanakaa mapacha
Wueh, na vile wanafanana
Japhet's mother is sister to Marco's dad..
Mara nyumbani mwake Kahama mara makaburini, 😢
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢sory
may his soul rest
RIP 😔
Makiwa!
Watumishi jipeni moyo roho mtakatifu afanyike faraja kwenu
Poleni sana i
Mtasikiaa kama hamjasikia
Apumzike kwa aman 😭😭
Hawa wanahabari wanapenda kusumbua watu na maswali badala ya waache watu watulie
😢c ndio update kamili
Pore sana
Huyu Japhe
Weka live tu watch😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ooh hicho kilio jameni😂😂😂sitie shaka,utafaulu kama alivyotamani...
Unacheka Nini gasia wewe
Unacheka Nini gasia wewe
@@faithjelagat176hajui matumiz ya Emoji ni hatar cm hiz
Wacheka nn wewe sasa
Unacheka nini wewe chizi
Michael??
😢😢😢😢
😢😢😢Tupe live link
Mbona kama unajipigia promo sana wewe ni kama unam dump mwenzio na neno la uchawi linatoka wapi
Umeonaee anajitangaza watu wajue kama yeye ndie alikuwa mtunzi..Anakera sana sana sana sana
Tatizo amjaelewa sikiliza kwa makini
Anazungumzia umuhimu wa Marco katika huduma yake
Mmmmh jarbun kuelewa nn anazungumzia sidhan km amejipromo apo anazungumzia kwa uzur mbna
Kwanza kabisa huyu ndio mwandishi wa nyimbo za Zabron lakini walikuwa wanashiriki pamoja kujadiri mawazo, na anaeleza mambo yao. Wacheni uchungu. Japhet ni mtu mzuri na alimpenda sana marco
😰😰😰😰😰😰💔💔💔
Anasema Michael ama me ndo naskia vibaya jaman
Watu Wana ufala sana.... Lazima utumie maneno ya uongo ndo u capture attention.?? Watu waomboleza n you are busy doing this stupidity to gain more likes and subscribers???
maji matamu
Selfish
Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu
Poleni sana
😭😭😭😭😭
Poleni sana