MCH.HANANJA AFICHUA CHANZO MAANDAMANO KENYA,RAIS RUTO APEWA MBINU UKIFANYA HIVI UMEMALIZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 12

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e Před měsícem

    ❤🙏🇰🇪📢 Amina kabisa true

  • @user-es9ye1tj7u
    @user-es9ye1tj7u Před měsícem

    Niboraa muongee nyiee wachungjii,,wendaa watawasikiaa,,sioo kusemaa vijanaa hawataki kazii isipokuaa watu wahari yachini wanafanya kazii miaka mingi hata pakulala anakua hana ,,anachokaa ,,uchumi kila kikuchaa unapandaa ,,anashindwaa kujibajetii,,,tatizoo mfumoo wa waafrikaa ni wakilonii,,wa kimyaa kimyaa ,,,

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 Před měsícem

    Ukweli mchungaji kusikiliza watu is very important, kiburi ya ruto inatisha but alie juu mngojee chini tumempea muda 😢

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Před měsícem

      waKenya hatungoji mwanasiasa chini, tunamfuata alipo ! WaTZ mbona mumezembea sana kuchezwa shere na wanasiasa kila uchao ! Munauiziwa Amani, wao wakipakua mali !

    • @MaryMatereadvicer011
      @MaryMatereadvicer011 Před měsícem

      @@lenniefei6710 tunaumia wote pia mimi n Mkenya lakini wamwache afanye kazi mpaka 2027 ndio tumtoe huko coz vijana wetu wanakufa sana tena wanajapwa na mapolisi aki 😭😭😭na ruto anaongeza wabunge mshahara wewe uoni hiyo madharau yake na uongo

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Před měsícem

      @@MaryMatereadvicer011 nakupata sana ila kama miaka 2 imekua hivi what about three more years ?! Let the people of Kenya decide on that

  • @jenifferwanjira6124
    @jenifferwanjira6124 Před měsícem

    😂😂😂😂😂

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před měsícem

    MWALIMU NYERERE ABARIKIWE UBEPARI NASISI UNGETUFIKISHA KAMA KENYA.....LAKINI SISI ARDHI KUIPATA KILA MTU ANA UHURU.

    • @alexandermulilison5844
      @alexandermulilison5844 Před měsícem +2

      nikama mwenzangu haujaelewa kwa nini wanandamana. Kwanza ni uabikaji pili ni kuwa na mkono wa chuma tatu ni kuchukua mkopo unaotajirisha watu wachache

  • @TatuOmar001
    @TatuOmar001 Před měsícem

    RUTO TANO TENA