MR MANGURUWE ATAMANI KUMUOA SHILOLE - ''NDOA YETU HAITAKUWA ya KAWAIDA - TUTAKAA HOTELI NYOTA 5''...
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- MR MANGURUWE ATAMANI KUMUOA SHILOLE - ''NDOA YETU HAITAKUWA ya KAWAIDA - TUTAKAA HOTELI NYOTA 5''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Sasa Global publishing mbona sasa mmeanza kuwahoji machizi??? Sio lazima kila mtu ahojiwe!!
Alipe made ya aliyewatapeli wale wa vanila
Huyu si yule tapeli?
Kwahyo shilole ndio htakuchuna.Utakunywa maji nakarai
Shilole Ana uso wa kitoto kweli na mwili mnene mnene😂😂 wewe mzee una fikra za nguruwe 👌👌
Kubali shilol Anaitwa Saimoni very smart NMB Kibiti aliachana nao
Umevaaa still nikajua unaeshima zako number bogazi unaware kuongelea waking uchebe unable kill kweli ww
Lakini Yesu aliwakataza kula nguruwe!
Matapeli mnawakuza ,waandishi fanyeni kazi za maana
Inasikitisha sana huyu bwana ni tapeli mkubwa amewatapeli watu wengi sana kwenye kilimo cha vanilla njombe na zanzibar
Daaaa Yani unanifurahisha
Sasa jamani ana funga ndoa za aina gani??
Na watakufilisi kweli bora umeliona hilo mapema
Tobaaaaaa ukiwaaa na maokoteee utapendwaaa na kilaaaa mtuuu
Hiv uyu and zimo kichwani😂😂unataka kwenda mjin
Shilole kam unasomaga coment usije ukasubutu kuolew na mtuy asie wa din yako achana na tamaa za dunia kwa umri ulio fikia kwanza zinaa haifai achanen na tabia hizo kwajina hilo et manguruw duuh
Makubwaaaa
Alikuwa NMB hyo bos akawa mshahara mdogo akaachana nayo
Binafsi nimekua shabiki yake
SIMBA BEI KITIMOTO