Ety nyumba alijenga lini wewe mpuzi sana hadi wamuuliza kama alitumia shs ngapi yani hata huna huruma kwakweri watu wapo msibani badala ya kuwa liwaza na kuwapa MOYO unauliza maswali ya kijinga atlist try to have some sence even if you don't have heart nkt I'm so disappointed in you people.......Rest in peace dear Sam wa ukweli I loved you
Watangazaji jamani Embu acheni unafiki na umbeya upo msibani fanya ya msibani mambo ya nyumba na Mali za marehemu zina zinakihusu nn? Kwani umeenda kuzika au ni kwenye maonyesho?
Navichukia vyombo vya habari vya Tanzania mtu akifa watachunguza adi marehemu alikuwa anavaa chupi ya size gani akiwa mzima hawana habari siyo vizuri mungu hapendi usanifu hata kama mnatafuta ela kwa njia ya kusabuscribu siyo mpaka mtu afe R.I.P Sam nyimbo yako imewagusa wengi siyo wachawi tu kwani uchawi sio lazima kuloga hata ambaye ukifa anapeleleza maisha yako ni mchawi pia ana kweli bora wali tembele kuliko walimwengu duuuu mmenishinda tabia waandishi wa habari wa bongo tz shikamooni
kweli mmeenda kuoji nyuma ni usenge Mme huzi akili Yangu kabisa sio maswali hayosisi wote niwapita njia katika Dunia hii bwana ametoa na bwana ametoiaa jina labwana libarikiwe
Imani imetoweka kweli,badili ya kuwapa moyo waliofiwa na kuwapa pole kwa kuondokewa.mnaanza kuhoji maisha ya marehemu.kweli ubininadamu umebaki jina tu.Mungu akusamehe sam,Ameen
Sasa hapo mlikua mmeenda msiban au mlikua mmeenda kuangalia nyumba mbona mnakua hamtumii akili we mtangazaji Huna akili hata roho msenge wewe nyumba nyumba 😢😢 mnaboa kinoma
Kweli utangazi wako mtu akishakufa ndio watafuta kiki kwagarama yake aliyotumia aisee sio kabisa huo niulimbukeni wa utangazaji badilikeni acheni ujinga hoji vitu vyamaana
Millard tafuta watu waliosomea hizi kazi usiokote watu hawajui hata sheria ya uandishi wa habari kuna maswali si ya kuuliza kwanini amkazanie mtu hivo hivi anajua situation aliopo why hamkumtafuta Sam wakati yupo hai na mumuulize kama amejenga au la mbona wasanii wengine mnawauliza na tunajua leo 😭😭😭😭inauma sanaaa ethics za uandishi ni muhimu someni hata kwenye Google hata kama hamjasoma
We presenter umeishia la nne au..unauliza thamani ya nyumba unataka uwarudishie pesa au ??basi tuonyeshe ya kwako..na we milard unaokota watu mitaani waje kutangaza
hivi nyie waandish mna akili kweli mtu yupo kwenye majonz mnamuuliza eti nyumba ningeweza kumuomba mungu atende miujiza ningeomba akufishe wewe unayeuliza maswali
Dah Jamani Mungu amrehemu nimetokwa na machozi walahi.
Mtangazaji umeniboa sana yani
We mtangazaji ni msenge sana
Daaah mungu akurehem
Allah ailaze roho ya marehemu Sam pema peponi Amiin
Ha ya maswali ya nyumba yakunjia wapi wakati watu sana huzuni Rip
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi
amina
Aloyce Siwingwa amin inshallah
Aloyce Siwingwa amin
polen sana
Asamte
jaman n msimban au kuhojiana tena duhhh bongo bhana
naona cki iz mtu star akifarik, waandish wa habar wanaulzia nyumba tuuu,
Masha'Allah😍
Yani uyu kaka boya kweli maswali yote yanini jaman watu wanamsiba wazingua nyumba nyumba kakae ww bc
Ety nyumba alijenga lini wewe mpuzi sana hadi wamuuliza kama alitumia shs ngapi yani hata huna huruma kwakweri watu wapo msibani badala ya kuwa liwaza na kuwapa MOYO unauliza maswali ya kijinga atlist try to have some sence even if you don't have heart nkt I'm so disappointed in you people.......Rest in peace dear Sam wa ukweli I loved you
Wewe mtangazaji huna akili maswali gani hayo unamuuliza 😕😕
raino paskari arapi Sam waukweri. mungu airaze roho. yamarehem pema. peponi aaami
,maswali mengine yakijinga ww utangazaji acha ujinga umeshaambiwa nyumba umeiona unaboa bwana
Dorothy Mohamed watu engine ka wa senge
Polen familia ya sam ya ukweli/?
Daaah watangazaji hadi nyumba mnafatilia jomoon!!
Inalilahyi wahina lilah rajiuni
Jmn wacha nisema kwann wanakweka fb umekufa mbona binadamu mna gubu sanaaa jmn
We ni Afisa upelelez au mtangazaji mbona unabaka fani wew
Mm sijasomea utangazaji ila siwezi kuuliza uwo upuuzi unaouuliza apo.
wabongo washamba sana Nyumba ndo nn
Woiye Mungu ailanze roho yake pahali Pema peponi
Millard naikubalisana Chanel yako lakinikwa watangazaji wanao vunjamisingi kama hao wanashusha hadhi ya chanel
Watangazaji jamani Embu acheni unafiki na umbeya upo msibani fanya ya msibani mambo ya nyumba na Mali za marehemu zina zinakihusu nn? Kwani umeenda kuzika au ni kwenye maonyesho?
Nyumba kibanda??
Sio kila jambo la kuhoji ndg zangu,hata maisha na Mali za watu tunahoji misiban!
napenda nyimbo za Sam wa ukweli
Unamdodosa marehemu kiasi hicho jamani maswali gani hayo?
wafu fm mko kiwaki waki sana f
Khaaaa ww matangazaji unamaswali yakishenzi sana ww
Mtangazaji gani huyuuu mbona hatuelewii?
unaulizia nyumba yanini au maisha yamtu kasha kufa
nalichukia hl tangazo mweee mpaka kero
kwaiyo hiyo hamjaipenda mpaka mnataka nyingine jaman loh
Wewe mtangazaji umejenga kwenu?
Alikua amejipwnga kweli
silly question nkt!!
nyumba nzurii inawahusu nini nyie mfariji tu, mengine wanajua wanafamilia wapale
maswali hayana weledi kabisa loooh
Allah amrehemu
Navichukia vyombo vya habari vya Tanzania mtu akifa watachunguza adi marehemu alikuwa anavaa chupi ya size gani akiwa mzima hawana habari siyo vizuri mungu hapendi usanifu hata kama mnatafuta ela kwa njia ya kusabuscribu siyo mpaka mtu afe R.I.P Sam nyimbo yako imewagusa wengi siyo wachawi tu kwani uchawi sio lazima kuloga hata ambaye ukifa anapeleleza maisha yako ni mchawi pia ana kweli bora wali tembele kuliko walimwengu duuuu mmenishinda tabia waandishi wa habari wa bongo tz shikamooni
Hivi huyu ni binadam toleo la ngap? Au akili ameziacha nyumban anauliza upuz gani,,,,,,,,,,uwo
I
haya makubwa jamani hivi thamani ya nyumba ya MTU inakuhusu nn, ila inaboa duuuuu
Mtangaz umeniuzi kinyama sipendi tabia hiyo
Chema hua akidum cjui kwa nn
Salhat Karimu kwa kweli
Aki hadi nikalia, mbona unauliza kuhusu nyumba, hio sio poa
watu mna muda jamn mwachie mungu
You guys why are you asking such questions plz will you just ask what can help those people and give them heart
kweli mmeenda kuoji nyuma ni usenge Mme huzi akili Yangu kabisa sio maswali hayosisi wote niwapita njia katika Dunia hii bwana ametoa na bwana ametoiaa jina labwana libarikiwe
Millard ayo ee Kaz yako tunajua so kama vp hilo tangazo achan nalo mzee baba
Itete Joshua atapataje ela mzee biashara matangazo
Kiukweli tangazo hilo linaniboa sana ila sina jinsi kulikubali tu
Rose Piere hilo tangazo ni wadhamini wake anaingiza mkwanja kuwatangazia biashara
atakula wapi....
Itete Joshua lina bowa kinoma ilo tangazo
Mambo gani haya, maisha yake ilikua ya siri. Mbona kuweka kila kitu wazi jamani?
Mallard Ayo hawa vijana wako wanauliza maswali ya kifala sana, shenzi sana. Naona page yenu imeanza kua ya kifala.
Wengine ht banda hawana kijijini kwao pumbavu
we msenge mwenzio amepokerewa namungu we unauliza usenge kwenu kunahata gofu lachumba kimoja ebu jiulize kwanza ucha kuuliza usenge umeenda msibani tuliza mshono maswli yann mbwa ww
we mtsngazaj ulienda kuangaliia nyumba au kujaj maswal yanyumba umenikera vibaya muno
Yan ww mtangazaj msenge sana umeenda kwenye msiba au kuangalia mali alizoacha marehem😏😏 matako yako Unachakuuliza umekaria nyimba
Nyumba na mali ni pambo la dunia! sote tutaziacha, iliobaki Tumuombee mungu amrehemu Ailaze roho yake pema peponi!
Sofia Ahmed amin
Silipendi hilo tangazo
Jaman kuwen wapole mtukashafariki nyumba yann kwamfano
hawajielewi hao watangazaji
Umbea haufai mtaenda kuchomwa wallai, kuchunguzana mpaka machupi(stupid questions)
Ww apo Oyo TV why
mtangazaj boya kwel
Wandishi maswali mengine yakipuzi,,,, kiasi gani tena cha ujenzi,,,,
Yan kwel maswal hayo loooo
MTU kwao
Huyu mwandishi msenge kaenda msibani kaenda kufuata udaku,shenzi zake!
Hiyo nyumba nyingine hunataka hukapange au maswali ka kukomowana tu
Maswali ya kisenge kabasa inahusu nini sasa kaanza lini kujenga.millarday maswali ya kisenge
Nyie waandish wa habar kutu mie nikajua hata mwaweza Sema tumuombee duah ndug yenu lkn mwataka kujua kajenga nyumba bei gan..... Huo unaitwa unafk
we unakurupuka tuu kwanza we kwenu unanyumba aina gani we unahoji watu kama umelewa. oya milad ayo angalia watu wakufanyanao kaz wenye kujitambua
Imani imetoweka kweli,badili ya kuwapa moyo waliofiwa na kuwapa pole kwa kuondokewa.mnaanza kuhoji maisha ya marehemu.kweli ubininadamu umebaki jina tu.Mungu akusamehe sam,Ameen
Amina
Inalilah wainailehimrajiun 😢 😢
Sasa hapo mlikua mmeenda msiban au mlikua mmeenda kuangalia nyumba mbona mnakua hamtumii akili we mtangazaji Huna akili hata roho msenge wewe nyumba nyumba 😢😢 mnaboa kinoma
nyumba unataka kununua au binaadamu msiwe hivyo kwenye misiba
asa nyumba na msiba vinahusiana nn ndomaana marehemu kasema bora wali nayama kuliko walimwengu :kweli walimwengu hamna maana
R.I.P Sam ukwel umeniliza kwa kipande cha wimbo wako tu kaz ya mungu haina makosa mbele yetu nyuma yko .
Acheni maswali ya kizushi kumbe alikuwa anamjengea nani hadi asiishi mwenyewe.
Wewe mtangazaji bure kabsaaa sasa wauliza maswali gani hapo
Kweli utangazi wako mtu akishakufa ndio watafuta kiki kwagarama yake aliyotumia aisee sio kabisa huo niulimbukeni wa utangazaji badilikeni acheni ujinga hoji vitu vyamaana
Maswali ya kipuuzi jamani
Mapresenter wengine ni maboya kweli km hilo hapo
Millard tafuta watu waliosomea hizi kazi usiokote watu hawajui hata sheria ya uandishi wa habari kuna maswali si ya kuuliza kwanini amkazanie mtu hivo hivi anajua situation aliopo why hamkumtafuta Sam wakati yupo hai na mumuulize kama amejenga au la mbona wasanii wengine mnawauliza na tunajua leo 😭😭😭😭inauma sanaaa ethics za uandishi ni muhimu someni hata kwenye Google hata kama hamjasoma
maswali gani hayo....
Sasa nyumba na msiba vinahusiana nini kama sio upungufu wa hakili
Msiba ni huzuni...
Habar hapo ni msiba au nyumba? Mbona jamn watu hatuna aibu mtu kafariki unaulizia habar ya nyumba,binafsi sijapenda
R I P sam jamn dunian tunapita tu tunakumbushwa tumrudie mungu
Rip bro
Hivi ww mpuuzi mtangazaji, unayo nyumba ww ama udaku tu , nkt
Unakera na matangazo yako hayo
We presenter umeishia la nne au..unauliza thamani ya nyumba unataka uwarudishie pesa au ??basi tuonyeshe ya kwako..na we milard unaokota watu mitaani waje kutangaza
hivi nyie waandish mna akili kweli mtu yupo kwenye majonz mnamuuliza eti nyumba ningeweza kumuomba mungu atende miujiza ningeomba akufishe wewe unayeuliza maswali
Ayo matangazo yako yakisenge ha tuyataki kaziyako tunaijuwa
Maswali ya kisenge HIV nyie watangazaji mtakuwa Lin MTU ana huzun una muurza maswara ya Nyumba we unayo
Maswali mengine hufai kuuliza.RIP.SAM
Mishi Juma wangesubiri Msiba ukisha wakamuhoji Mjomba wake
Siyo sawa sasa
Lala salama sammy
Maswali mengine yakipumbavu
serious I you real a journalist or practicing....... how can you ask about the resources kwenye msiba ....you need to style up
upuuz tu maswal gn hy msiban
Acha maswal ya kipumbavu ww,watu wanalia msiba we unauliza uliza vitu vya ajabu