Nyumba ambayo Sam wa Ukweli ameijenga Kijijini kwao.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 06. 2018

Komentáře • 189

  • @leokamil2075
    @leokamil2075 Před 6 lety +7

    Dah Jamani Mungu amrehemu nimetokwa na machozi walahi.

  • @aminaomari9794
    @aminaomari9794 Před 6 lety +1

    Mtangazaji umeniboa sana yani

  • @marrysiphaeli8482
    @marrysiphaeli8482 Před 6 lety

    We mtangazaji ni msenge sana

  • @user-io8lq8yj9z
    @user-io8lq8yj9z Před rokem

    Daaah mungu akurehem

  • @swabrinamasoud106
    @swabrinamasoud106 Před 6 lety +2

    Allah ailaze roho ya marehemu Sam pema peponi Amiin

  • @virginiakibe1846
    @virginiakibe1846 Před 6 lety +3

    Ha ya maswali ya nyumba yakunjia wapi wakati watu sana huzuni Rip

  • @aloycesiwingwa6548
    @aloycesiwingwa6548 Před 6 lety +16

    Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi
    amina

  • @alfredkishema3788
    @alfredkishema3788 Před 6 lety

    jaman n msimban au kuhojiana tena duhhh bongo bhana

  • @rizikeyernest9260
    @rizikeyernest9260 Před 6 lety

    naona cki iz mtu star akifarik, waandish wa habar wanaulzia nyumba tuuu,

  • @afrahnawas4384
    @afrahnawas4384 Před 6 lety +1

    Masha'Allah😍

  • @fatoomafatma6673
    @fatoomafatma6673 Před 6 lety +2

    Yani uyu kaka boya kweli maswali yote yanini jaman watu wanamsiba wazingua nyumba nyumba kakae ww bc

  • @lashalashira3003
    @lashalashira3003 Před 6 lety +6

    Ety nyumba alijenga lini wewe mpuzi sana hadi wamuuliza kama alitumia shs ngapi yani hata huna huruma kwakweri watu wapo msibani badala ya kuwa liwaza na kuwapa MOYO unauliza maswali ya kijinga atlist try to have some sence even if you don't have heart nkt I'm so disappointed in you people.......Rest in peace dear Sam wa ukweli I loved you

  • @dorothymohamed5040
    @dorothymohamed5040 Před 6 lety +24

    Wewe mtangazaji huna akili maswali gani hayo unamuuliza 😕😕

    • @opaskali5818
      @opaskali5818 Před 6 lety

      raino paskari arapi Sam waukweri. mungu airaze roho. yamarehem pema. peponi aaami

    • @agathasanga2708
      @agathasanga2708 Před 6 lety

      ,maswali mengine yakijinga ww utangazaji acha ujinga umeshaambiwa nyumba umeiona unaboa bwana

    • @happywakuganda8814
      @happywakuganda8814 Před 6 lety

      Dorothy Mohamed watu engine ka wa senge

  • @phiribetyatanasy1226
    @phiribetyatanasy1226 Před 6 lety

    Polen familia ya sam ya ukweli/?

  • @johnmarco552
    @johnmarco552 Před 6 lety

    Daaah watangazaji hadi nyumba mnafatilia jomoon!!

  • @fatumasaid4370
    @fatumasaid4370 Před 6 lety +4

    Inalilahyi wahina lilah rajiuni

  • @lucyjohn7695
    @lucyjohn7695 Před 6 lety

    Jmn wacha nisema kwann wanakweka fb umekufa mbona binadamu mna gubu sanaaa jmn

  • @djonetz2730
    @djonetz2730 Před 6 lety +1

    We ni Afisa upelelez au mtangazaji mbona unabaka fani wew

  • @marrysiphaeli8482
    @marrysiphaeli8482 Před 6 lety

    Mm sijasomea utangazaji ila siwezi kuuliza uwo upuuzi unaouuliza apo.

  • @muhalamibakari6617
    @muhalamibakari6617 Před 6 lety

    wabongo washamba sana Nyumba ndo nn

  • @nananonananon9819
    @nananonananon9819 Před 6 lety

    Woiye Mungu ailanze roho yake pahali Pema peponi

  • @emmanuelmahendeka6108
    @emmanuelmahendeka6108 Před 6 lety

    Millard naikubalisana Chanel yako lakinikwa watangazaji wanao vunjamisingi kama hao wanashusha hadhi ya chanel

  • @hellenmgungus1979
    @hellenmgungus1979 Před 6 lety

    Watangazaji jamani Embu acheni unafiki na umbeya upo msibani fanya ya msibani mambo ya nyumba na Mali za marehemu zina zinakihusu nn? Kwani umeenda kuzika au ni kwenye maonyesho?

  • @johngongole3144
    @johngongole3144 Před 6 lety

    Nyumba kibanda??

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před 6 lety

    Sio kila jambo la kuhoji ndg zangu,hata maisha na Mali za watu tunahoji misiban!

  • @benenyewenaonabenson7902

    napenda nyimbo za Sam wa ukweli

  • @josefbangala3277
    @josefbangala3277 Před 6 lety

    Unamdodosa marehemu kiasi hicho jamani maswali gani hayo?

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 Před 6 lety

    wafu fm mko kiwaki waki sana f

  • @aminaomari9794
    @aminaomari9794 Před 6 lety +1

    Khaaaa ww matangazaji unamaswali yakishenzi sana ww

  • @bernardchibwana6176
    @bernardchibwana6176 Před 6 lety

    Mtangazaji gani huyuuu mbona hatuelewii?

  • @saigojames3063
    @saigojames3063 Před 6 lety

    unaulizia nyumba yanini au maisha yamtu kasha kufa

  • @pretinesspastory9782
    @pretinesspastory9782 Před 6 lety

    nalichukia hl tangazo mweee mpaka kero

  • @kwezifundikira2072
    @kwezifundikira2072 Před 6 lety

    kwaiyo hiyo hamjaipenda mpaka mnataka nyingine jaman loh

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 Před 6 lety

    Wewe mtangazaji umejenga kwenu?

  • @phennymaithakadzo4340
    @phennymaithakadzo4340 Před 6 lety +1

    Alikua amejipwnga kweli

  • @verokenya1682
    @verokenya1682 Před 6 lety +1

    silly question nkt!!

  • @misedua1
    @misedua1 Před 6 lety

    nyumba nzurii inawahusu nini nyie mfariji tu, mengine wanajua wanafamilia wapale

  • @kwezifundikira2072
    @kwezifundikira2072 Před 6 lety +1

    maswali hayana weledi kabisa loooh

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 Před 6 lety +1

    Allah amrehemu

  • @francishura1226
    @francishura1226 Před 6 lety

    Navichukia vyombo vya habari vya Tanzania mtu akifa watachunguza adi marehemu alikuwa anavaa chupi ya size gani akiwa mzima hawana habari siyo vizuri mungu hapendi usanifu hata kama mnatafuta ela kwa njia ya kusabuscribu siyo mpaka mtu afe R.I.P Sam nyimbo yako imewagusa wengi siyo wachawi tu kwani uchawi sio lazima kuloga hata ambaye ukifa anapeleleza maisha yako ni mchawi pia ana kweli bora wali tembele kuliko walimwengu duuuu mmenishinda tabia waandishi wa habari wa bongo tz shikamooni

  • @nikomnanka5686
    @nikomnanka5686 Před 6 lety +7

    Hivi huyu ni binadam toleo la ngap? Au akili ameziacha nyumban anauliza upuz gani,,,,,,,,,,uwo

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 Před 6 lety

    haya makubwa jamani hivi thamani ya nyumba ya MTU inakuhusu nn, ila inaboa duuuuu

  • @pendomassawe2854
    @pendomassawe2854 Před 6 lety

    Mtangaz umeniuzi kinyama sipendi tabia hiyo

  • @salhatkarimu5434
    @salhatkarimu5434 Před 6 lety +9

    Chema hua akidum cjui kwa nn

  • @nananonananon9819
    @nananonananon9819 Před 6 lety

    Aki hadi nikalia, mbona unauliza kuhusu nyumba, hio sio poa

  • @ednaernest1696
    @ednaernest1696 Před 6 lety

    watu mna muda jamn mwachie mungu

  • @naomiakothee6502
    @naomiakothee6502 Před 6 lety

    You guys why are you asking such questions plz will you just ask what can help those people and give them heart

  • @leontinawasango8522
    @leontinawasango8522 Před 6 lety

    kweli mmeenda kuoji nyuma ni usenge Mme huzi akili Yangu kabisa sio maswali hayosisi wote niwapita njia katika Dunia hii bwana ametoa na bwana ametoiaa jina labwana libarikiwe

  • @itetejoshua7992
    @itetejoshua7992 Před 6 lety +15

    Millard ayo ee Kaz yako tunajua so kama vp hilo tangazo achan nalo mzee baba

    • @mariammbughi2702
      @mariammbughi2702 Před 6 lety

      Itete Joshua atapataje ela mzee biashara matangazo

    • @rosepiere1857
      @rosepiere1857 Před 6 lety

      Kiukweli tangazo hilo linaniboa sana ila sina jinsi kulikubali tu

    • @khadijaali988
      @khadijaali988 Před 6 lety

      Rose Piere hilo tangazo ni wadhamini wake anaingiza mkwanja kuwatangazia biashara

    • @mandadavid6691
      @mandadavid6691 Před 6 lety

      atakula wapi....

    • @bwegelanyakhaido3088
      @bwegelanyakhaido3088 Před 6 lety

      Itete Joshua lina bowa kinoma ilo tangazo

  • @JayOtieno
    @JayOtieno Před 6 lety

    Mambo gani haya, maisha yake ilikua ya siri. Mbona kuweka kila kitu wazi jamani?

  • @rashidmuna8372
    @rashidmuna8372 Před 6 lety

    Mallard Ayo hawa vijana wako wanauliza maswali ya kifala sana, shenzi sana. Naona page yenu imeanza kua ya kifala.

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 Před 6 lety

    Wengine ht banda hawana kijijini kwao pumbavu

  • @janethmales6109
    @janethmales6109 Před 6 lety

    we msenge mwenzio amepokerewa namungu we unauliza usenge kwenu kunahata gofu lachumba kimoja ebu jiulize kwanza ucha kuuliza usenge umeenda msibani tuliza mshono maswli yann mbwa ww

  • @neemantui9154
    @neemantui9154 Před 6 lety

    we mtsngazaj ulienda kuangaliia nyumba au kujaj maswal yanyumba umenikera vibaya muno

  • @aishasolimani6337
    @aishasolimani6337 Před 6 lety

    Yan ww mtangazaj msenge sana umeenda kwenye msiba au kuangalia mali alizoacha marehem😏😏 matako yako Unachakuuliza umekaria nyimba

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed8880 Před 6 lety

    Nyumba na mali ni pambo la dunia! sote tutaziacha, iliobaki Tumuombee mungu amrehemu Ailaze roho yake pema peponi!

  • @kyandomarry2015
    @kyandomarry2015 Před 6 lety

    Silipendi hilo tangazo

  • @lameckmagandi6982
    @lameckmagandi6982 Před 6 lety

    Jaman kuwen wapole mtukashafariki nyumba yann kwamfano

  • @sponsalfathedj8177
    @sponsalfathedj8177 Před 6 lety

    Umbea haufai mtaenda kuchomwa wallai, kuchunguzana mpaka machupi(stupid questions)

  • @lucyjohn7695
    @lucyjohn7695 Před 6 lety

    Ww apo Oyo TV why

  • @deustutu1524
    @deustutu1524 Před 6 lety

    mtangazaj boya kwel

  • @abdallahmwanyende66
    @abdallahmwanyende66 Před 6 lety

    Wandishi maswali mengine yakipuzi,,,, kiasi gani tena cha ujenzi,,,,

  • @cellinechengula8409
    @cellinechengula8409 Před 6 lety

    Yan kwel maswal hayo loooo

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv Před 6 lety

    MTU kwao

  • @giannajoji7944
    @giannajoji7944 Před 6 lety

    Huyu mwandishi msenge kaenda msibani kaenda kufuata udaku,shenzi zake!

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 Před 6 lety

    Hiyo nyumba nyingine hunataka hukapange au maswali ka kukomowana tu

  • @naimkendramahellah1435

    Maswali ya kisenge kabasa inahusu nini sasa kaanza lini kujenga.millarday maswali ya kisenge

  • @nuratjuma4012
    @nuratjuma4012 Před 6 lety

    Nyie waandish wa habar kutu mie nikajua hata mwaweza Sema tumuombee duah ndug yenu lkn mwataka kujua kajenga nyumba bei gan..... Huo unaitwa unafk

  • @jotiwapili5217
    @jotiwapili5217 Před 6 lety

    we unakurupuka tuu kwanza we kwenu unanyumba aina gani we unahoji watu kama umelewa. oya milad ayo angalia watu wakufanyanao kaz wenye kujitambua

  • @bobzkibz38
    @bobzkibz38 Před 6 lety

    Imani imetoweka kweli,badili ya kuwapa moyo waliofiwa na kuwapa pole kwa kuondokewa.mnaanza kuhoji maisha ya marehemu.kweli ubininadamu umebaki jina tu.Mungu akusamehe sam,Ameen

  • @misedua1
    @misedua1 Před 6 lety

    Amina

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 4 lety +1

    Inalilah wainailehimrajiun 😢 😢

  • @wakushineclassic798
    @wakushineclassic798 Před 6 lety

    Sasa hapo mlikua mmeenda msiban au mlikua mmeenda kuangalia nyumba mbona mnakua hamtumii akili we mtangazaji Huna akili hata roho msenge wewe nyumba nyumba 😢😢 mnaboa kinoma

  • @jaymapambanojuma856
    @jaymapambanojuma856 Před 6 lety +1

    nyumba unataka kununua au binaadamu msiwe hivyo kwenye misiba

  • @hekimahamis4192
    @hekimahamis4192 Před 6 lety

    asa nyumba na msiba vinahusiana nn ndomaana marehemu kasema bora wali nayama kuliko walimwengu :kweli walimwengu hamna maana

  • @bahatninga9914
    @bahatninga9914 Před 6 lety

    R.I.P Sam ukwel umeniliza kwa kipande cha wimbo wako tu kaz ya mungu haina makosa mbele yetu nyuma yko .

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 6 lety +1

    Acheni maswali ya kizushi kumbe alikuwa anamjengea nani hadi asiishi mwenyewe.

  • @nusaibahassan5842
    @nusaibahassan5842 Před 6 lety

    Wewe mtangazaji bure kabsaaa sasa wauliza maswali gani hapo

  • @oman3527
    @oman3527 Před 6 lety

    Kweli utangazi wako mtu akishakufa ndio watafuta kiki kwagarama yake aliyotumia aisee sio kabisa huo niulimbukeni wa utangazaji badilikeni acheni ujinga hoji vitu vyamaana

  • @aminahamisi8672
    @aminahamisi8672 Před 6 lety

    Maswali ya kipuuzi jamani

  • @gezaulole7988
    @gezaulole7988 Před 6 lety

    Mapresenter wengine ni maboya kweli km hilo hapo

  • @saudaabdallah8468
    @saudaabdallah8468 Před 6 lety

    Millard tafuta watu waliosomea hizi kazi usiokote watu hawajui hata sheria ya uandishi wa habari kuna maswali si ya kuuliza kwanini amkazanie mtu hivo hivi anajua situation aliopo why hamkumtafuta Sam wakati yupo hai na mumuulize kama amejenga au la mbona wasanii wengine mnawauliza na tunajua leo 😭😭😭😭inauma sanaaa ethics za uandishi ni muhimu someni hata kwenye Google hata kama hamjasoma

  • @mandadavid6691
    @mandadavid6691 Před 6 lety

    maswali gani hayo....

  • @mr.obbydavidsonbm3146
    @mr.obbydavidsonbm3146 Před 6 lety

    Sasa nyumba na msiba vinahusiana nini kama sio upungufu wa hakili

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 Před 4 lety

    Msiba ni huzuni...

  • @ngoswesamwel1058
    @ngoswesamwel1058 Před 6 lety

    Habar hapo ni msiba au nyumba? Mbona jamn watu hatuna aibu mtu kafariki unaulizia habar ya nyumba,binafsi sijapenda

  • @hafsaibrahim2008
    @hafsaibrahim2008 Před 6 lety

    R I P sam jamn dunian tunapita tu tunakumbushwa tumrudie mungu

  • @shabanndegwa5723
    @shabanndegwa5723 Před 6 lety

    Rip bro

  • @nasiekutarishi3292
    @nasiekutarishi3292 Před 6 lety

    Hivi ww mpuuzi mtangazaji, unayo nyumba ww ama udaku tu , nkt

  • @elinajabenjamin9159
    @elinajabenjamin9159 Před 6 lety

    Unakera na matangazo yako hayo

  • @lillianmarco1301
    @lillianmarco1301 Před 6 lety

    We presenter umeishia la nne au..unauliza thamani ya nyumba unataka uwarudishie pesa au ??basi tuonyeshe ya kwako..na we milard unaokota watu mitaani waje kutangaza

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 Před 6 lety

    hivi nyie waandish mna akili kweli mtu yupo kwenye majonz mnamuuliza eti nyumba ningeweza kumuomba mungu atende miujiza ningeomba akufishe wewe unayeuliza maswali

  • @kadorivas1307
    @kadorivas1307 Před 6 lety

    Ayo matangazo yako yakisenge ha tuyataki kaziyako tunaijuwa

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli9572 Před 6 lety +1

    Maswali ya kisenge HIV nyie watangazaji mtakuwa Lin MTU ana huzun una muurza maswara ya Nyumba we unayo

  • @mishijuma6326
    @mishijuma6326 Před 6 lety +6

    Maswali mengine hufai kuuliza.RIP.SAM

  • @rozzymsupa1162
    @rozzymsupa1162 Před 6 lety

    Lala salama sammy

  • @jamillahshabani7698
    @jamillahshabani7698 Před 6 lety

    Maswali mengine yakipumbavu

  • @valentinemogata356
    @valentinemogata356 Před 6 lety

    serious I you real a journalist or practicing....... how can you ask about the resources kwenye msiba ....you need to style up

  • @fatmashomary8023
    @fatmashomary8023 Před 6 lety

    upuuz tu maswal gn hy msiban

  • @mahaiboniface7220
    @mahaiboniface7220 Před 6 lety

    Acha maswal ya kipumbavu ww,watu wanalia msiba we unauliza uliza vitu vya ajabu