KAMA MWANAUME KUMBE NI MWANAMKE, ONA MAAJABU YA MWANAMKE HUYU , MIMI NI MWANAMKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 11. 2023

Komentáře • 1,7K

  • @thomasmartine3453
    @thomasmartine3453 Před 8 měsíci +38

    Huyu ndiyo super woman sasa.
    Alafu ni mtu simple sana hajawahi kupitamtu asimpe hai alipo watu wanafurahi sana.
    I love this creature coz hafosi kuwa mwanaume yeye yupotu hivyo unavyo muona every kind na anavyoongea ndo hivyo hivyo.

  • @babawatoto4312
    @babawatoto4312 Před 8 měsíci +54

    Uko vizuri sana, jamaa anaemfanyia mahojiano huyu Dada. Una hoji point muhimu sana, nimekukubali sana.

    • @rosemwanisawa3914
      @rosemwanisawa3914 Před 8 měsíci

      Mmmmmmmm

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op Před 8 měsíci

      Mm nimependa sana alivosema sikwanzi mtu yoyote safi sana

    • @busatitv
      @busatitv Před 8 měsíci

      Filam nzuri na tamthilia za kusisimua tembelea CZcams Channel yetu.
      Karibu sana

  • @jaelokeke4835
    @jaelokeke4835 Před 8 měsíci +44

    Mwanamke Bomba😍Kazi y mungu haina makosa, you're fearfully and wonderfully made❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @ruthgabby3988
    @ruthgabby3988 Před 8 měsíci +18

    Much love to her she's proud to be the way she is and even her face shows up she is a woman and strong

  • @rahmajama6864
    @rahmajama6864 Před 8 měsíci +13

    Bora aangaliwe huko chini kama kweli mwanamke

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 8 měsíci +12

    Nimekupenda buree dada yangu.mungu azidi kukubariki ilaa umenichekesha hapo vinyonyo vipoooo😁😁😁😁❤️❤️❤️❤️

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever Před 8 měsíci +17

    Sauti very deep kama ya mwanaume...God is good for his creation.

    • @user-he7ck4zb9b
      @user-he7ck4zb9b Před 6 měsíci

      Huyu ni mwanaume 😮😮ata u so kichwa kuongea kila kitu ni mwanaume

  • @christopherernest2316
    @christopherernest2316 Před 8 měsíci +12

    Daaah kweli hakuna alie mkuu kuliko Mungu, hongera dada kwa kujiamini na kujikubari kua ni mwanamke, ingekua wengine wajinga wajinga wanhemkufuru Mungu na kujiita mwanaume, hongera Sana kwa kujiamini 🎉🎉🎉

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Před 8 měsíci +35

    Masha Allah mungu akueke dadangu kwa kujikubali mungu hana makosa katika maumbile yake

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan Před 8 měsíci +8

    Kwa vile mungu ndie muumbaji na hashindwi ktk uumbaji wake mimi nakubali kama huyu ni mwanamke kwa kweli mungu aachwe aitwe mungu subuhana Allah.😢😢😢😢

  • @isabellafaya1000
    @isabellafaya1000 Před 8 měsíci +9

    Nitaendelea kukupenda Loveness tangu nilipoonana na wewe,Kwa namna unavyojiamini.Safi sana

  • @willymoaziz254
    @willymoaziz254 Před 8 měsíci +7

    Yuko real sana❤Mungu anakupenda dada kwa hilo

  • @Lululemon55
    @Lululemon55 Před 8 měsíci +14

    Amkeni amkeni hizi ni mbinu za kufanya tuone haya mambo ni ya kawaida, ila tukiongelea uhalisia kwa spiritually Mungu hajatuumba wanawake tuwe hivi yaani hapa naona kuna wazazi watatamani wawe kama huyo au watoto wawe hivyo kwamba hili jambo la kawaida...mimi nasema si kawaida mwanamke hatakiwi kuwa imagine watoto wakiwa hivi...tunao uhuru wa kuishi tunavyotaka ni kweli lakini kiuhalisia kiroho ki Mungu si sahihi amkeni ndugu zangu wanawake wanapotea na wanaume wanapotea na watoto wetu watapotea ..
    Kama nilivyowaza sio sahihi basi niko tayari kufahamishwa sababu huo ni mtazamo wangu na wengine pia wanamitazamo yao na pia kuna uhalisia jee unasemaje? je hivi ndivyo tunavyotakiwa wanawake tuwe kama ndio basi na wanaume kuwa wanawake itafika mda tutaona ni sawa pia. Naomba Mungu unisamehe na uniongoze naomba Mungu atuongoze dunia nzima.

    • @beatricepallangyo2821
      @beatricepallangyo2821 Před 8 měsíci +2

      Hujaelewa nadhani.
      Huyu kazaliwa na mwonekano huo lakini ni Mwanamke na ana boyfriend wake. Ni tofauti na hawa wanaojibadilisha kuwa wanaume na kufanya mambo kinyume na Mungu wetu.
      Naomba usiseme kwamba siyo mpango wa Mungu kwa sababu Kaumbwa na Mungu kama wewe.
      Hahusiki na Ushoga au Usagaji!!!!

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Před 8 měsíci +2

      Huyo ni mwanamke kweli na Mungu amemuumba hivyo alivyo... Tuulize sisi wa Arusha tunaomfahamu vizuri... She is so kind, Hana neno na mtu, na hiyo sauti pia Mungu kaimpa.. so usiongee sanaa... Mtukuze Mungu kwa uumbaji wake, na mwacheni huyu binti afanye zake mazoezi, ulitaka avae magauni muanze kumuhoji sauti yake??? Acha unyanyapaaa. Maisha ni yake ni Bora avae hivyo kuliko avae vimini

    • @rozatimoth5272
      @rozatimoth5272 Před 8 měsíci +1

      Mh hajajiumba huyo aalietuumba ndie kamuumba , achana na wale wanaojibadilisha kuwa wa kike

    • @mohamedmmbaga
      @mohamedmmbaga Před 8 měsíci

      .mamb

    • @achybellahpergo5459
      @achybellahpergo5459 Před 8 měsíci

      Dada huyu ako shwarii na amejikubali na ni mwanamke na mungu ndio aliyemuumba so kama kuwa masculinendio shida kwako pole sana dada watu wanampenda hivyo na usirudie kumkosoa mungu tena

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Před 8 měsíci +22

    Nimekupenda. bure dada 🎉🎉🎉❤mwanamke kujiamini katika maisha ukishajijua weye nani inatosha usiumizwe na mitazamo ya watu kuhusu wewe maana👌ukisha jijua yatosha haina haja ya kuwaaminisha watu💪❤️❤️go girl 💯

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq Před 8 měsíci +2

    Mungu akujalie my love nakupenda Dada angu usijali maneno ya binadamu kubali uhumbaji wa mwenyenzi mungu 🎊♥🎄🎄🎄🎉🎉🎈🎈🎈🥀🥀🥀🥀🏵🏵🏵🌷💐💐💐🌺🌺💐💐💐

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632 Před 8 měsíci +9

    Huyu kweli mwanamke nilimuona alivyoshinda Miss Tanzania body builder ana Matako mazur ni Mzuri

  • @user-tg8tq1pz1u
    @user-tg8tq1pz1u Před 8 měsíci +3

    Mwandishi naona umepata shida sana kuhoji baadhi ya maswali😀
    Big Up Loveness for your confidence

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 Před 8 měsíci +19

    Yuko real sana, big up sana LOVENESS✌🏼, Mungu azidi kubariki hustle zako na maisha yako kiujumla.

  • @jacklinelihabi5535
    @jacklinelihabi5535 Před 8 měsíci +32

    Maumbile ya mungu hayana makosa we love you sister

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Před 8 měsíci

      Hakun uyo.mu onekano wa ki ume ni kwa sabab ayo ma sport

  • @tida3727
    @tida3727 Před 8 měsíci +3

    ❤❤❤❤we love you
    She is great ..muonekano si neno❤.
    Mungu ni Mkubwa...🇰🇪

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 Před 8 měsíci +65

    Sina mengi Zaid ya kusema mungu mkubwa sanaaa 🙏🙏🙏🙏

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 Před 8 měsíci +20

    Mimi nilikua namshangaa Semenya,but huyu hata zaidi ya Semenya,weeh malimwengu ulimwenguni😮,twendeni nalo muhimu uzima na afya,sisi nani tuwashangae wengine😊.

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 Před 8 měsíci +2

    Waoooo Loveness , Mungu akubariki, ulifika JNCC Tarehe 21/10/2023 Wakati napewa TUZO na BMT

  • @user-ie5xs4nm4m
    @user-ie5xs4nm4m Před 8 měsíci +6

    Mwana mke kujiamini safi sana chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @danielmollel5538
    @danielmollel5538 Před 8 měsíci +7

    Mimi kwakweli nimempenda sana na Mimi natamani sana awe dem wangu.mimi nimemuelewa kabisa na nimempenda sana.

  • @user-ym7qi8lb4e
    @user-ym7qi8lb4e Před 8 měsíci +5

    Mungu yu mwema nimekupenda Lovenes Big up

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 8 měsíci +7

    Masha Allah, mwenyezi mungu akujalie afya njema loveness.

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Před 8 měsíci +7

    Mungu akutie nguvu yote ya Dunia to waseme mwanaume waseme mwanamke mungu akishakujua inatosha

  • @GTIGERplatinumwcbforever
    @GTIGERplatinumwcbforever Před 8 měsíci +6

    ❤❤❤❤❤nice one 👍 👌 👏 my hero much love ❤ 😍 💖 ❣ 💕 mingi penda sanaa lifestyle safi pamojaa sanaaaaa❤❤❤❤❤❤ wachagaaa tuko vizuri jichanganye tupasukeee❤❤❤

  • @achiaamina3773
    @achiaamina3773 Před 8 měsíci +3

    Hongera Sana dada ,,kuna wenzako wengi wanajikataa lkn ww upo wazi wala huna mbambamba,hongera Sana ubarikiwe

  • @dominicmuriuki5974
    @dominicmuriuki5974 Před 4 měsíci

    Amazing lady! God's creation above world's perceptions and profiling.....Awesome ! Keep going!

  • @TeclaRutto
    @TeclaRutto Před 8 měsíci +4

    Huyu angekuwa mwanaume, angekuwa very handsome.....i love her

  • @Joseph2010201
    @Joseph2010201 Před 8 měsíci +32

    Nimependa ujasiri, kujiamini na uwezo unavyoweza kuweka awaireness kuwa inawezekana kuwa na hali kama hiyo na wewe umejikubali. Big up sana Loveness

  • @user-ds9ey9yz1l
    @user-ds9ey9yz1l Před 8 měsíci +4

    Unaujasiri mzur lovenes mpka nimependa kwa kujiamini kwako❤❤❤

  • @highonebalo8289
    @highonebalo8289 Před 7 měsíci +1

    Mchumba no comment🤔
    Bleed no comment🤔
    Why no comment kama kweli mwanamke😲

  • @user-pb7gx5rs5o
    @user-pb7gx5rs5o Před 8 měsíci +1

    Kazi ya mola Haina makoxa anakuxudi like ubarikiwe xna xixter

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty Před 8 měsíci +6

    Ila ni jasiri sana mungu azidi kukupa furaha nakujiamini inshaalah

  • @aisha7509
    @aisha7509 Před 8 měsíci +12

    Nimekupenda sana dada❤❤❤ unajibu kisitarabu❤❤MUNGU akufungulie milango ya kheri ❤❤❤AAMIIN 😊

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 Před 8 měsíci +3

    Kazuli kenyewe mashallah ❤❤❤❤❤ unajiamini had lah we milionea ujue

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 Před 8 měsíci +2

    Lakini waonekana km jamaa hata kuogea kwako unakuwa km jamaa ila sio mbaya ni powa❤❤❤

  • @user-me3jr4sj5l
    @user-me3jr4sj5l Před 8 měsíci +18

    bravo nime mpenda sana uyo dada ana jiamini na kujituma ❤good work

  • @pierretembele8129
    @pierretembele8129 Před 8 měsíci +12

    wewe ni jasiri sana hongera dadangu

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 Před 8 měsíci

    Big up sister, wengi wameshajiua kwa sababu hiyo ila ww umepambana. GOD BLESS U

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Před 8 měsíci

    Dah!
    One love from me
    Dada yupo smart sana

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Před 8 měsíci +5

    Kajala haya ndio mazoezi sasa😊😊😊

  • @user-lz4tu4ef7x
    @user-lz4tu4ef7x Před 8 měsíci +2

    Warombooooo mpoooo congratulations my lovely ciz

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Před 8 měsíci +2

    Kam me nabisha je uko tayar kunithibitishia kimacho!❤😂

  • @preciousjohn9405
    @preciousjohn9405 Před 8 měsíci +15

    Sema mm hii nimeitazama positive kuwa wanawake tunaweza,in short mwanadamu akiamua anaweza mungu ametupa uwezo mkubwa sana

    • @BakariKibauri-qh7gf
      @BakariKibauri-qh7gf Před 8 měsíci +2

      Yan kuonekaba muonekano wa kiume ndo kuweza hiyo mipango ya mungu

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 Před 8 měsíci

      Unaweza kuwa wa kuume ndio kuweza

    • @animtres
      @animtres Před 8 měsíci

      😂😂 nyinyi watu hunichekesha sana na hizi mada zenyu za usawa wa kijinsia. Mnajidharau na kushindana na wanaume mpaka inafika wakati mnafikiria kufanana na mwanaume ndio kutoboa maisha. Huoni hata mwenyewe unathibitisha kwamba wanaume wamewazidi wake? Like men are the role models of women. Huwezi kuwa bora kuliko role model. Ukweli ni kwamba, mwache kushindana na nature. Waume kwa wake hatuko sawa na hakuna usawa wa kijinsia. Mwanamke kushindana na mwanaume ni wewe mwenyewe kujiumiza. Hatuko sawa physically, spiritually, emotionally, economically vyote ni mwanaume kwanza then mke. Ulimwengu umeumbwa kukidhi mahitaji ya mwanaume na wala sio mwanamke. In fact, mwanamke ni moja ya vitu vilivyo umbwa kukidhi mahitaji ya mwanaume ya ngono na kuzaana, ila mwanamke hata faida ingine zaidi ya hiyo. Ulimwengu unarevolve around men not women. 😂Japo siamini kwa dini yoyote, hata ukisoma vitabu vya dini, vinakuambia kwamba Mungu aliumba mwanaume pekee mwanzo. Kumaanisha haikuwa kwa mawazo yake kuumba mwanamke. Ni baada ya kuona mwanaume amekuwa mpweke, ndio hilo wazo la kuumba mke likaja kwa akili, ila mwanzo akiumba, kilichokuwa akilini mwake ni mwanaume. Imagine hata aliwaza kuumba ng'ombe, mbwa, mbuzi, bata, sungura vyote kwa faida ya mwanaume, ila hakuwaza kuumba mwanamke mpaka alivyo ona upweke ya mwanaume ndipo akaumba mwanamke, sio kwamba ulikuwa mpango wake, maana ungekuwa mpango wake angemuumba toka mwanzo alivyo muumba mwanaume na wanyama wengine, ila alimwumba kukidhi mahitaji ya mume. 😂 There you have it. As a woman, you only compete with men kwa sababu wanaume wamekubali sio kwamba mko na uwezo wa kupigania haki yoyote. Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda.

    • @animtres
      @animtres Před 8 měsíci

      Cha pili, huyo hata akiwa ni mwanamke, sisi tunaona hulka za kiume. Angekuwa mwanamke kamili, hangefanana hivyo, so usiseme yeye ni ushahidi kwamba wanawake wanaweza! Mnaweza tu kuzaa. Na pia mwenyewe unadhibitisha kwamba ni lazima basi mke avae hulka za kiume, ajibebe kama mwanaume, afanane kama mwanaume, ndipo aweze. In other words, ukiwa mwanamke, na hulka za kike, huwezi, lazima ufanane mwanaume ndio uweze. By extension, uanaume ndio kuweza.

    • @madamehatibu9324
      @madamehatibu9324 Před 8 měsíci

      Mi nilivyoelewa ukiamua kujitoa ufahamu kufanya kazi za kuuharibu mwili unaweza Ila sio kuwa MWANAUME ndo kuweza hahaha

  • @d.m453
    @d.m453 Před 8 měsíci +10

    Mtangazaji unauliza maswali mazuri sana,umekidhi hitaji la mtazamaji katika kuhitaji kujua kumuhusu huyu dada.

  • @vss-du8ne
    @vss-du8ne Před 4 měsíci

    Ni kweli kazi ya Mungu haina makosa❤❤

  • @H2uH1uwi
    @H2uH1uwi Před 8 měsíci +2

    Mashaallah hongera sana dadaang ni
    Ekupenda bure.

  • @user-nw6me8fp6w
    @user-nw6me8fp6w Před 8 měsíci +10

    Nimekupenda bure dada yangu mrombo mwenzangu, huko kujiamini tumeumbiwa wa Rombo, go girl !

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 Před 8 měsíci +16

    I have never been this confused my whole life🤐 ila namwachia Mungu tu😥

    • @paulinamaingu7460
      @paulinamaingu7460 Před 8 měsíci +1

      😂😂😂

    • @lucyngigi7720
      @lucyngigi7720 Před 8 měsíci +1

      😂😂😂 Me too confusion

    • @ellymwampashe8927
      @ellymwampashe8927 Před 8 měsíci

      @@lucyngigi7720 😥😥

    • @simonpure109
      @simonpure109 Před 8 měsíci

      Schizophrenic right now,not to sound rude but hell am wound mixed spaghetti as i share this...I was skimming for such a comment like am I the ONLY 1fkd this much 😂😂😂she make feel like a B 😂in my 40s never questioned shyt about my self and here I am 🤯

    • @ellymwampashe8927
      @ellymwampashe8927 Před 8 měsíci

      @@simonpure109 😂😂😂you are not alone, been watching this over and over but i still can't understand. The more i watch, the more my mind get Fkd up😥 i rather focus on eating fruits for my health

  • @user-nx1rw9bu4y
    @user-nx1rw9bu4y Před 5 měsíci

    We love you❤😘 come again in Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 utakua number moja

  • @lucasisundwa2125
    @lucasisundwa2125 Před 5 měsíci

    Nyie muiteni her na kujinyongorosha na vingereza et I like her so much, nawaambia hivi litawakuta jambo

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 8 měsíci +5

    Amependa alivyo❤❤

  • @user-rt5hz5hq1w
    @user-rt5hz5hq1w Před 8 měsíci +3

    Namkubali mnoo...unajua yupo nature na pia anajitambua Hana mamekap ya kishambashamba

  • @maryann522
    @maryann522 Před 7 měsíci

    I love your confidence and may God bless you

  • @ryansawee3952
    @ryansawee3952 Před 8 měsíci +1

    watu wa rombo tujuane kwa ku like😍🥰

  • @minahsamwel
    @minahsamwel Před 8 měsíci +3

    Nimempenda huyu dada jaman your supa woman❤❤❤

  • @salimnzai6910
    @salimnzai6910 Před 8 měsíci +5

    Wueeeh kumtongoza huyu yahitaji moyo🤭😃😃😃kwanza ata unaanzaje

    • @shabanmaganga9972
      @shabanmaganga9972 Před 8 měsíci

      MBona watu wanafira wanaume wenzao sembuse huyo

    • @salimnzai6910
      @salimnzai6910 Před 8 měsíci

      @@shabanmaganga9972 hilo nalo neno 🤣🤣🤣🤣roho ngumu

  • @kimwanachangani3922
    @kimwanachangani3922 Před 8 měsíci

    Allahu kariim ...Maa Shaa Allah.. tabaaraka LLAHU

  • @laylahzayumba-wr3om
    @laylahzayumba-wr3om Před 8 měsíci +1

    Jaman,, mwenyez mungu akutie nguvu momy

  • @fatmahmed5647
    @fatmahmed5647 Před 8 měsíci +20

    Nimempenda hajaficha jinsia yake ❤❤❤❤

  • @safari5774
    @safari5774 Před 8 měsíci +3

    Aki mungu ni wa maajabu

  • @lucylinus2590
    @lucylinus2590 Před 7 měsíci

    Mungu wako aendelee kukupa ujasiri huohuo wa kujieleza maana unakutana na maswali mengi sana nakupenda sana loveness

  • @user-eb2me3xn1l
    @user-eb2me3xn1l Před 2 měsíci

    Mungu ndio anaeumba maadamu mwenyewe kakiri kuwa ni mwanamke vas mm sn lakusema hapo😊

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před 8 měsíci +4

    Safi sana dada uko vizuri mungu akubariki 🎉🎉❤

    • @jamalkisuse7508
      @jamalkisuse7508 Před 8 měsíci

      Assume ndyo mwanao wa kiume anakuletea mwanamke kama huyo ?

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 Před 8 měsíci +23

    Sina la kusema mungu ndio muweza wa kila jambo

  • @user-fd9gg2yv4v
    @user-fd9gg2yv4v Před 8 měsíci +1

    ❤❤😂😂 hongera San unajiamin sana

  • @user-pf5zs6nm4n
    @user-pf5zs6nm4n Před 7 měsíci

    Ashukuliwe Mungu aliehai juuyako nashukulu kwakujipenda Mungu akubariki sana

  • @user-me3jr4sj5l
    @user-me3jr4sj5l Před 8 měsíci +6

    Mm ni mkenya ila nimempenda uyu dada kwa kujieleza vizuri sana bila shauku daah ❤ogera sana na zidi kujiamini na kujituma 👍

  • @mrok284
    @mrok284 Před 8 měsíci +10

    Hata maziwa Hana!!! Du! Allah mkubwa.

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 Před 8 měsíci

    Hongera SANA mtangazaji
    ILA HUYO mchumba ake nae awe na msuli zaidi 😂😂
    Hongera SANA Mdada wa R Chuga

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 Před 8 měsíci +2

    big up bro, 💪 stay strong 💪

  • @LOVINENTERTAINMENT6
    @LOVINENTERTAINMENT6 Před 8 měsíci +12

    WATU WA GYM MNATUOGOPESHA 😂😂😂😂

  • @MaryamHerith
    @MaryamHerith Před 8 měsíci +5

    Allah is great full all da time

  • @elizabethelias3130
    @elizabethelias3130 Před 8 měsíci +1

    No.1 on trending

  • @kulwaambakisye
    @kulwaambakisye Před 8 měsíci

    interview nzur maswal mazur sana maana wabongo tungesema kiki mwisho love you lovenes

  • @issakobakimanga7738
    @issakobakimanga7738 Před 8 měsíci +5

    Jamani eeeh mungu ni mungu tu jamani tuseme allahuakbar

  • @violetpaulsen1741
    @violetpaulsen1741 Před 8 měsíci +15

    Duh! duniani kuna watu wakila aina hii Gym iko wap nije nikuone mchaga mwenzangu

  • @EricMakoye
    @EricMakoye Před 8 měsíci +1

    Dah hyu jamaa nouma yaan mm namuona kama mwanaume na sio mwanamke

  • @prosperkimaro4660
    @prosperkimaro4660 Před 7 měsíci

    Bwana mwandishi bimekukubali sana unajuwa kuhoji vizuri sana😊

  • @christinalitina9872
    @christinalitina9872 Před 8 měsíci +7

    Aise nimemu penda uyu dada 🥰😘

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 Před 8 měsíci +14

    Yani kuamini ni shida, sauti umbo ndings usoni kifuani mwanaume, Mungu ni Mungu tu

  • @CollinsGwaro
    @CollinsGwaro Před 7 měsíci

    😮 ohh ma goodness!! I cannot believe it until I show heaven!!

  • @mashamasha-de5xz
    @mashamasha-de5xz Před 8 měsíci +5

    Jamani huyu n mwanaume ,anawadanganya tu😮

    • @user-zo4mo7tl4i
      @user-zo4mo7tl4i Před 8 měsíci

      Kweli kabisa huyu ni mwanaume,sema wanataka kutafuta viewers

    • @mashamasha-de5xz
      @mashamasha-de5xz Před 8 měsíci

      @@user-zo4mo7tl4i ehee wanatafuta Kiki Tu Yan wasitufanye wajinga Sisi😚Kwanza tunataka evidence sio kirahc Tu tuamn khaa 😂

  • @Irenemazoya8877
    @Irenemazoya8877 Před 8 měsíci +36

    I just love her confidence ❤️❤️❤️ nimetamani awe shoga angu 😍

  • @anthonyluhumbika4693
    @anthonyluhumbika4693 Před 8 měsíci

    Very confident,..

  • @samwelkinyonga2879
    @samwelkinyonga2879 Před 8 měsíci

    Hongera kwa kujiamini. Very strong girl

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Před 8 měsíci +4

    Kwar mungu anaweza yote

  • @stephaniejeremiah9566
    @stephaniejeremiah9566 Před 8 měsíci +6

    Siku kazikata huyo hana siku😂😂😂😂😂

  • @pauline-j9v
    @pauline-j9v Před 7 měsíci

    😢wooow Amaizing ❤❤❤❤❤

  • @juniorYB
    @juniorYB Před 8 měsíci +1

    Uwongo yani aisi Ata aipu jamani😂😂😂😂 acha uwongo wede kwa mkewako nawatoto wako ukalehe famili yako acha acna😅😅😂😂😂uwongo

  • @kiki4184
    @kiki4184 Před 8 měsíci +7

    I'm proud of her

  • @JoanfitnessTV
    @JoanfitnessTV Před 8 měsíci +4

    She is simply a strong beautful woman, Tanzania bodybuilding haijulikani sana na haipewi kipaumbele ndo maana watu wanashangaa kwa level ya misuli aliyofanikiwa kujenga, kuna mtu utaskia akisema sitaki kufanya mazoezi gym kwasababu nitakuwa kama mwanaume Gosh!! Sio rahisi kiivo

  • @digosmartdigosmart3133
    @digosmartdigosmart3133 Před 8 měsíci

    Nimemkubali Anajiamini Very nice

  • @joykamotho3590
    @joykamotho3590 Před 8 měsíci +3

    Go go girl go❤

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 Před 8 měsíci +10

    Amazing😮🙌 from mozambique 🇲🇿🇲🇿

  • @ibuphilipo7940
    @ibuphilipo7940 Před 8 měsíci

    Aweee,siyo kweli kbs,hii comed.