Huyu ndiyo super woman sasa. Alafu ni mtu simple sana hajawahi kupitamtu asimpe hai alipo watu wanafurahi sana. I love this creature coz hafosi kuwa mwanaume yeye yupotu hivyo unavyo muona every kind na anavyoongea ndo hivyo hivyo.
Daaah kweli hakuna alie mkuu kuliko Mungu, hongera dada kwa kujiamini na kujikubari kua ni mwanamke, ingekua wengine wajinga wajinga wanhemkufuru Mungu na kujiita mwanaume, hongera Sana kwa kujiamini 🎉🎉🎉
Amkeni amkeni hizi ni mbinu za kufanya tuone haya mambo ni ya kawaida, ila tukiongelea uhalisia kwa spiritually Mungu hajatuumba wanawake tuwe hivi yaani hapa naona kuna wazazi watatamani wawe kama huyo au watoto wawe hivyo kwamba hili jambo la kawaida...mimi nasema si kawaida mwanamke hatakiwi kuwa imagine watoto wakiwa hivi...tunao uhuru wa kuishi tunavyotaka ni kweli lakini kiuhalisia kiroho ki Mungu si sahihi amkeni ndugu zangu wanawake wanapotea na wanaume wanapotea na watoto wetu watapotea .. Kama nilivyowaza sio sahihi basi niko tayari kufahamishwa sababu huo ni mtazamo wangu na wengine pia wanamitazamo yao na pia kuna uhalisia jee unasemaje? je hivi ndivyo tunavyotakiwa wanawake tuwe kama ndio basi na wanaume kuwa wanawake itafika mda tutaona ni sawa pia. Naomba Mungu unisamehe na uniongoze naomba Mungu atuongoze dunia nzima.
Hujaelewa nadhani. Huyu kazaliwa na mwonekano huo lakini ni Mwanamke na ana boyfriend wake. Ni tofauti na hawa wanaojibadilisha kuwa wanaume na kufanya mambo kinyume na Mungu wetu. Naomba usiseme kwamba siyo mpango wa Mungu kwa sababu Kaumbwa na Mungu kama wewe. Hahusiki na Ushoga au Usagaji!!!!
Huyo ni mwanamke kweli na Mungu amemuumba hivyo alivyo... Tuulize sisi wa Arusha tunaomfahamu vizuri... She is so kind, Hana neno na mtu, na hiyo sauti pia Mungu kaimpa.. so usiongee sanaa... Mtukuze Mungu kwa uumbaji wake, na mwacheni huyu binti afanye zake mazoezi, ulitaka avae magauni muanze kumuhoji sauti yake??? Acha unyanyapaaa. Maisha ni yake ni Bora avae hivyo kuliko avae vimini
Dada huyu ako shwarii na amejikubali na ni mwanamke na mungu ndio aliyemuumba so kama kuwa masculinendio shida kwako pole sana dada watu wanampenda hivyo na usirudie kumkosoa mungu tena
Nimekupenda. bure dada 🎉🎉🎉❤mwanamke kujiamini katika maisha ukishajijua weye nani inatosha usiumizwe na mitazamo ya watu kuhusu wewe maana👌ukisha jijua yatosha haina haja ya kuwaaminisha watu💪❤️❤️go girl 💯
Mimi nilikua namshangaa Semenya,but huyu hata zaidi ya Semenya,weeh malimwengu ulimwenguni😮,twendeni nalo muhimu uzima na afya,sisi nani tuwashangae wengine😊.
❤❤❤❤❤nice one 👍 👌 👏 my hero much love ❤ 😍 💖 ❣ 💕 mingi penda sanaa lifestyle safi pamojaa sanaaaaa❤❤❤❤❤❤ wachagaaa tuko vizuri jichanganye tupasukeee❤❤❤
😂😂 nyinyi watu hunichekesha sana na hizi mada zenyu za usawa wa kijinsia. Mnajidharau na kushindana na wanaume mpaka inafika wakati mnafikiria kufanana na mwanaume ndio kutoboa maisha. Huoni hata mwenyewe unathibitisha kwamba wanaume wamewazidi wake? Like men are the role models of women. Huwezi kuwa bora kuliko role model. Ukweli ni kwamba, mwache kushindana na nature. Waume kwa wake hatuko sawa na hakuna usawa wa kijinsia. Mwanamke kushindana na mwanaume ni wewe mwenyewe kujiumiza. Hatuko sawa physically, spiritually, emotionally, economically vyote ni mwanaume kwanza then mke. Ulimwengu umeumbwa kukidhi mahitaji ya mwanaume na wala sio mwanamke. In fact, mwanamke ni moja ya vitu vilivyo umbwa kukidhi mahitaji ya mwanaume ya ngono na kuzaana, ila mwanamke hata faida ingine zaidi ya hiyo. Ulimwengu unarevolve around men not women. 😂Japo siamini kwa dini yoyote, hata ukisoma vitabu vya dini, vinakuambia kwamba Mungu aliumba mwanaume pekee mwanzo. Kumaanisha haikuwa kwa mawazo yake kuumba mwanamke. Ni baada ya kuona mwanaume amekuwa mpweke, ndio hilo wazo la kuumba mke likaja kwa akili, ila mwanzo akiumba, kilichokuwa akilini mwake ni mwanaume. Imagine hata aliwaza kuumba ng'ombe, mbwa, mbuzi, bata, sungura vyote kwa faida ya mwanaume, ila hakuwaza kuumba mwanamke mpaka alivyo ona upweke ya mwanaume ndipo akaumba mwanamke, sio kwamba ulikuwa mpango wake, maana ungekuwa mpango wake angemuumba toka mwanzo alivyo muumba mwanaume na wanyama wengine, ila alimwumba kukidhi mahitaji ya mume. 😂 There you have it. As a woman, you only compete with men kwa sababu wanaume wamekubali sio kwamba mko na uwezo wa kupigania haki yoyote. Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda.
Cha pili, huyo hata akiwa ni mwanamke, sisi tunaona hulka za kiume. Angekuwa mwanamke kamili, hangefanana hivyo, so usiseme yeye ni ushahidi kwamba wanawake wanaweza! Mnaweza tu kuzaa. Na pia mwenyewe unadhibitisha kwamba ni lazima basi mke avae hulka za kiume, ajibebe kama mwanaume, afanane kama mwanaume, ndipo aweze. In other words, ukiwa mwanamke, na hulka za kike, huwezi, lazima ufanane mwanaume ndio uweze. By extension, uanaume ndio kuweza.
Schizophrenic right now,not to sound rude but hell am wound mixed spaghetti as i share this...I was skimming for such a comment like am I the ONLY 1fkd this much 😂😂😂she make feel like a B 😂in my 40s never questioned shyt about my self and here I am 🤯
@@simonpure109 😂😂😂you are not alone, been watching this over and over but i still can't understand. The more i watch, the more my mind get Fkd up😥 i rather focus on eating fruits for my health
She is simply a strong beautful woman, Tanzania bodybuilding haijulikani sana na haipewi kipaumbele ndo maana watu wanashangaa kwa level ya misuli aliyofanikiwa kujenga, kuna mtu utaskia akisema sitaki kufanya mazoezi gym kwasababu nitakuwa kama mwanaume Gosh!! Sio rahisi kiivo
Huyu ndiyo super woman sasa.
Alafu ni mtu simple sana hajawahi kupitamtu asimpe hai alipo watu wanafurahi sana.
I love this creature coz hafosi kuwa mwanaume yeye yupotu hivyo unavyo muona every kind na anavyoongea ndo hivyo hivyo.
Unafahamu eeh!?
😅😊
Uko vizuri sana, jamaa anaemfanyia mahojiano huyu Dada. Una hoji point muhimu sana, nimekukubali sana.
Mmmmmmmm
Mm nimependa sana alivosema sikwanzi mtu yoyote safi sana
Filam nzuri na tamthilia za kusisimua tembelea CZcams Channel yetu.
Karibu sana
Mwanamke Bomba😍Kazi y mungu haina makosa, you're fearfully and wonderfully made❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Tena sana
mwanamke hiyo??????
@@moneymaker4168 follow the vibe u will understand
Much love to her she's proud to be the way she is and even her face shows up she is a woman and strong
Bora aangaliwe huko chini kama kweli mwanamke
Nimekupenda buree dada yangu.mungu azidi kukubariki ilaa umenichekesha hapo vinyonyo vipoooo😁😁😁😁❤️❤️❤️❤️
Sauti very deep kama ya mwanaume...God is good for his creation.
Huyu ni mwanaume 😮😮ata u so kichwa kuongea kila kitu ni mwanaume
Daaah kweli hakuna alie mkuu kuliko Mungu, hongera dada kwa kujiamini na kujikubari kua ni mwanamke, ingekua wengine wajinga wajinga wanhemkufuru Mungu na kujiita mwanaume, hongera Sana kwa kujiamini 🎉🎉🎉
Sio mwanamke huyo
Masha Allah mungu akueke dadangu kwa kujikubali mungu hana makosa katika maumbile yake
Kwa vile mungu ndie muumbaji na hashindwi ktk uumbaji wake mimi nakubali kama huyu ni mwanamke kwa kweli mungu aachwe aitwe mungu subuhana Allah.😢😢😢😢
Nitaendelea kukupenda Loveness tangu nilipoonana na wewe,Kwa namna unavyojiamini.Safi sana
Yuko real sana❤Mungu anakupenda dada kwa hilo
Amkeni amkeni hizi ni mbinu za kufanya tuone haya mambo ni ya kawaida, ila tukiongelea uhalisia kwa spiritually Mungu hajatuumba wanawake tuwe hivi yaani hapa naona kuna wazazi watatamani wawe kama huyo au watoto wawe hivyo kwamba hili jambo la kawaida...mimi nasema si kawaida mwanamke hatakiwi kuwa imagine watoto wakiwa hivi...tunao uhuru wa kuishi tunavyotaka ni kweli lakini kiuhalisia kiroho ki Mungu si sahihi amkeni ndugu zangu wanawake wanapotea na wanaume wanapotea na watoto wetu watapotea ..
Kama nilivyowaza sio sahihi basi niko tayari kufahamishwa sababu huo ni mtazamo wangu na wengine pia wanamitazamo yao na pia kuna uhalisia jee unasemaje? je hivi ndivyo tunavyotakiwa wanawake tuwe kama ndio basi na wanaume kuwa wanawake itafika mda tutaona ni sawa pia. Naomba Mungu unisamehe na uniongoze naomba Mungu atuongoze dunia nzima.
Hujaelewa nadhani.
Huyu kazaliwa na mwonekano huo lakini ni Mwanamke na ana boyfriend wake. Ni tofauti na hawa wanaojibadilisha kuwa wanaume na kufanya mambo kinyume na Mungu wetu.
Naomba usiseme kwamba siyo mpango wa Mungu kwa sababu Kaumbwa na Mungu kama wewe.
Hahusiki na Ushoga au Usagaji!!!!
Huyo ni mwanamke kweli na Mungu amemuumba hivyo alivyo... Tuulize sisi wa Arusha tunaomfahamu vizuri... She is so kind, Hana neno na mtu, na hiyo sauti pia Mungu kaimpa.. so usiongee sanaa... Mtukuze Mungu kwa uumbaji wake, na mwacheni huyu binti afanye zake mazoezi, ulitaka avae magauni muanze kumuhoji sauti yake??? Acha unyanyapaaa. Maisha ni yake ni Bora avae hivyo kuliko avae vimini
Mh hajajiumba huyo aalietuumba ndie kamuumba , achana na wale wanaojibadilisha kuwa wa kike
.mamb
Dada huyu ako shwarii na amejikubali na ni mwanamke na mungu ndio aliyemuumba so kama kuwa masculinendio shida kwako pole sana dada watu wanampenda hivyo na usirudie kumkosoa mungu tena
Nimekupenda. bure dada 🎉🎉🎉❤mwanamke kujiamini katika maisha ukishajijua weye nani inatosha usiumizwe na mitazamo ya watu kuhusu wewe maana👌ukisha jijua yatosha haina haja ya kuwaaminisha watu💪❤️❤️go girl 💯
Mungu akujalie my love nakupenda Dada angu usijali maneno ya binadamu kubali uhumbaji wa mwenyenzi mungu 🎊♥🎄🎄🎄🎉🎉🎈🎈🎈🥀🥀🥀🥀🏵🏵🏵🌷💐💐💐🌺🌺💐💐💐
Huyu kweli mwanamke nilimuona alivyoshinda Miss Tanzania body builder ana Matako mazur ni Mzuri
Mwaka gani
Kweli ako na matako
Mwandishi naona umepata shida sana kuhoji baadhi ya maswali😀
Big Up Loveness for your confidence
Yuko real sana, big up sana LOVENESS✌🏼, Mungu azidi kubariki hustle zako na maisha yako kiujumla.
Maumbile ya mungu hayana makosa we love you sister
Hakun uyo.mu onekano wa ki ume ni kwa sabab ayo ma sport
❤❤❤❤we love you
She is great ..muonekano si neno❤.
Mungu ni Mkubwa...🇰🇪
Sina mengi Zaid ya kusema mungu mkubwa sanaaa 🙏🙏🙏🙏
Aaamen
Sana
Amen
Mimi nilikua namshangaa Semenya,but huyu hata zaidi ya Semenya,weeh malimwengu ulimwenguni😮,twendeni nalo muhimu uzima na afya,sisi nani tuwashangae wengine😊.
Waoooo Loveness , Mungu akubariki, ulifika JNCC Tarehe 21/10/2023 Wakati napewa TUZO na BMT
Mwana mke kujiamini safi sana chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mimi kwakweli nimempenda sana na Mimi natamani sana awe dem wangu.mimi nimemuelewa kabisa na nimempenda sana.
Nenda kajichanganye
Mungu yu mwema nimekupenda Lovenes Big up
Masha Allah, mwenyezi mungu akujalie afya njema loveness.
Mungu akutie nguvu yote ya Dunia to waseme mwanaume waseme mwanamke mungu akishakujua inatosha
❤❤❤❤❤nice one 👍 👌 👏 my hero much love ❤ 😍 💖 ❣ 💕 mingi penda sanaa lifestyle safi pamojaa sanaaaaa❤❤❤❤❤❤ wachagaaa tuko vizuri jichanganye tupasukeee❤❤❤
Hongera Sana dada ,,kuna wenzako wengi wanajikataa lkn ww upo wazi wala huna mbambamba,hongera Sana ubarikiwe
Amazing lady! God's creation above world's perceptions and profiling.....Awesome ! Keep going!
Huyu angekuwa mwanaume, angekuwa very handsome.....i love her
Nimependa ujasiri, kujiamini na uwezo unavyoweza kuweka awaireness kuwa inawezekana kuwa na hali kama hiyo na wewe umejikubali. Big up sana Loveness
Mbona hana
maziwa
Unaujasiri mzur lovenes mpka nimependa kwa kujiamini kwako❤❤❤
Mchumba no comment🤔
Bleed no comment🤔
Why no comment kama kweli mwanamke😲
Kazi ya mola Haina makoxa anakuxudi like ubarikiwe xna xixter
Ila ni jasiri sana mungu azidi kukupa furaha nakujiamini inshaalah
Nimekupenda sana dada❤❤❤ unajibu kisitarabu❤❤MUNGU akufungulie milango ya kheri ❤❤❤AAMIIN 😊
Iove usiwaze kaz ya mungu haina makosa
Kazuli kenyewe mashallah ❤❤❤❤❤ unajiamini had lah we milionea ujue
😂😂😂
Lakini waonekana km jamaa hata kuogea kwako unakuwa km jamaa ila sio mbaya ni powa❤❤❤
bravo nime mpenda sana uyo dada ana jiamini na kujituma ❤good work
wewe ni jasiri sana hongera dadangu
Huyu sio dada anatafuta followers, Huyu Ni Mwanaume
Big up sister, wengi wameshajiua kwa sababu hiyo ila ww umepambana. GOD BLESS U
Dah!
One love from me
Dada yupo smart sana
Kajala haya ndio mazoezi sasa😊😊😊
Warombooooo mpoooo congratulations my lovely ciz
Kam me nabisha je uko tayar kunithibitishia kimacho!❤😂
Sema mm hii nimeitazama positive kuwa wanawake tunaweza,in short mwanadamu akiamua anaweza mungu ametupa uwezo mkubwa sana
Yan kuonekaba muonekano wa kiume ndo kuweza hiyo mipango ya mungu
Unaweza kuwa wa kuume ndio kuweza
😂😂 nyinyi watu hunichekesha sana na hizi mada zenyu za usawa wa kijinsia. Mnajidharau na kushindana na wanaume mpaka inafika wakati mnafikiria kufanana na mwanaume ndio kutoboa maisha. Huoni hata mwenyewe unathibitisha kwamba wanaume wamewazidi wake? Like men are the role models of women. Huwezi kuwa bora kuliko role model. Ukweli ni kwamba, mwache kushindana na nature. Waume kwa wake hatuko sawa na hakuna usawa wa kijinsia. Mwanamke kushindana na mwanaume ni wewe mwenyewe kujiumiza. Hatuko sawa physically, spiritually, emotionally, economically vyote ni mwanaume kwanza then mke. Ulimwengu umeumbwa kukidhi mahitaji ya mwanaume na wala sio mwanamke. In fact, mwanamke ni moja ya vitu vilivyo umbwa kukidhi mahitaji ya mwanaume ya ngono na kuzaana, ila mwanamke hata faida ingine zaidi ya hiyo. Ulimwengu unarevolve around men not women. 😂Japo siamini kwa dini yoyote, hata ukisoma vitabu vya dini, vinakuambia kwamba Mungu aliumba mwanaume pekee mwanzo. Kumaanisha haikuwa kwa mawazo yake kuumba mwanamke. Ni baada ya kuona mwanaume amekuwa mpweke, ndio hilo wazo la kuumba mke likaja kwa akili, ila mwanzo akiumba, kilichokuwa akilini mwake ni mwanaume. Imagine hata aliwaza kuumba ng'ombe, mbwa, mbuzi, bata, sungura vyote kwa faida ya mwanaume, ila hakuwaza kuumba mwanamke mpaka alivyo ona upweke ya mwanaume ndipo akaumba mwanamke, sio kwamba ulikuwa mpango wake, maana ungekuwa mpango wake angemuumba toka mwanzo alivyo muumba mwanaume na wanyama wengine, ila alimwumba kukidhi mahitaji ya mume. 😂 There you have it. As a woman, you only compete with men kwa sababu wanaume wamekubali sio kwamba mko na uwezo wa kupigania haki yoyote. Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda.
Cha pili, huyo hata akiwa ni mwanamke, sisi tunaona hulka za kiume. Angekuwa mwanamke kamili, hangefanana hivyo, so usiseme yeye ni ushahidi kwamba wanawake wanaweza! Mnaweza tu kuzaa. Na pia mwenyewe unadhibitisha kwamba ni lazima basi mke avae hulka za kiume, ajibebe kama mwanaume, afanane kama mwanaume, ndipo aweze. In other words, ukiwa mwanamke, na hulka za kike, huwezi, lazima ufanane mwanaume ndio uweze. By extension, uanaume ndio kuweza.
Mi nilivyoelewa ukiamua kujitoa ufahamu kufanya kazi za kuuharibu mwili unaweza Ila sio kuwa MWANAUME ndo kuweza hahaha
Mtangazaji unauliza maswali mazuri sana,umekidhi hitaji la mtazamaji katika kuhitaji kujua kumuhusu huyu dada.
Anataka kujalibu...
Ni kweli kazi ya Mungu haina makosa❤❤
Mashaallah hongera sana dadaang ni
Ekupenda bure.
Nimekupenda bure dada yangu mrombo mwenzangu, huko kujiamini tumeumbiwa wa Rombo, go girl !
Huyuu ni mwanamme nini kimekusababisha usijibu kama unapata piriad au hupati
Mmm
I have never been this confused my whole life🤐 ila namwachia Mungu tu😥
😂😂😂
😂😂😂 Me too confusion
@@lucyngigi7720 😥😥
Schizophrenic right now,not to sound rude but hell am wound mixed spaghetti as i share this...I was skimming for such a comment like am I the ONLY 1fkd this much 😂😂😂she make feel like a B 😂in my 40s never questioned shyt about my self and here I am 🤯
@@simonpure109 😂😂😂you are not alone, been watching this over and over but i still can't understand. The more i watch, the more my mind get Fkd up😥 i rather focus on eating fruits for my health
We love you❤😘 come again in Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 utakua number moja
Nyie muiteni her na kujinyongorosha na vingereza et I like her so much, nawaambia hivi litawakuta jambo
Amependa alivyo❤❤
Namkubali mnoo...unajua yupo nature na pia anajitambua Hana mamekap ya kishambashamba
I love your confidence and may God bless you
watu wa rombo tujuane kwa ku like😍🥰
Nimempenda huyu dada jaman your supa woman❤❤❤
Wueeeh kumtongoza huyu yahitaji moyo🤭😃😃😃kwanza ata unaanzaje
MBona watu wanafira wanaume wenzao sembuse huyo
@@shabanmaganga9972 hilo nalo neno 🤣🤣🤣🤣roho ngumu
Allahu kariim ...Maa Shaa Allah.. tabaaraka LLAHU
Jaman,, mwenyez mungu akutie nguvu momy
Nimempenda hajaficha jinsia yake ❤❤❤❤
Aki mungu ni wa maajabu
Mungu wako aendelee kukupa ujasiri huohuo wa kujieleza maana unakutana na maswali mengi sana nakupenda sana loveness
Mungu ndio anaeumba maadamu mwenyewe kakiri kuwa ni mwanamke vas mm sn lakusema hapo😊
Safi sana dada uko vizuri mungu akubariki 🎉🎉❤
Assume ndyo mwanao wa kiume anakuletea mwanamke kama huyo ?
Sina la kusema mungu ndio muweza wa kila jambo
Kila kitu mungu ndio anajua
❤❤😂😂 hongera San unajiamin sana
Ashukuliwe Mungu aliehai juuyako nashukulu kwakujipenda Mungu akubariki sana
Mm ni mkenya ila nimempenda uyu dada kwa kujieleza vizuri sana bila shauku daah ❤ogera sana na zidi kujiamini na kujituma 👍
Hata maziwa Hana!!! Du! Allah mkubwa.
Hongera SANA mtangazaji
ILA HUYO mchumba ake nae awe na msuli zaidi 😂😂
Hongera SANA Mdada wa R Chuga
big up bro, 💪 stay strong 💪
WATU WA GYM MNATUOGOPESHA 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Allah is great full all da time
No.1 on trending
interview nzur maswal mazur sana maana wabongo tungesema kiki mwisho love you lovenes
Jamani eeeh mungu ni mungu tu jamani tuseme allahuakbar
Allahu Akbar
Duh! duniani kuna watu wakila aina hii Gym iko wap nije nikuone mchaga mwenzangu
Mi mwenyewe nataka hyo gym
Nimempenda mwanadada Jasiri
Uende kupiga tizi sio kumshangaa
@@fabiansemba4918haya
Dah hyu jamaa nouma yaan mm namuona kama mwanaume na sio mwanamke
Bwana mwandishi bimekukubali sana unajuwa kuhoji vizuri sana😊
Aise nimemu penda uyu dada 🥰😘
Mh..huyu kaka
😂 😂 😂
Yani kuamini ni shida, sauti umbo ndings usoni kifuani mwanaume, Mungu ni Mungu tu
😮 ohh ma goodness!! I cannot believe it until I show heaven!!
Jamani huyu n mwanaume ,anawadanganya tu😮
Kweli kabisa huyu ni mwanaume,sema wanataka kutafuta viewers
@@user-zo4mo7tl4i ehee wanatafuta Kiki Tu Yan wasitufanye wajinga Sisi😚Kwanza tunataka evidence sio kirahc Tu tuamn khaa 😂
I just love her confidence ❤️❤️❤️ nimetamani awe shoga angu 😍
Naombeni no zake jamani
Pewa N0.
Wooii😢😢😢😢
Ili msagane😂😂😂
Heee tom boy 😂
Very confident,..
Hongera kwa kujiamini. Very strong girl
Kwar mungu anaweza yote
Siku kazikata huyo hana siku😂😂😂😂😂
Astaghafirulaa😂😂
😢wooow Amaizing ❤❤❤❤❤
Uwongo yani aisi Ata aipu jamani😂😂😂😂 acha uwongo wede kwa mkewako nawatoto wako ukalehe famili yako acha acna😅😅😂😂😂uwongo
I'm proud of her
Me too❤super proud of you
She is simply a strong beautful woman, Tanzania bodybuilding haijulikani sana na haipewi kipaumbele ndo maana watu wanashangaa kwa level ya misuli aliyofanikiwa kujenga, kuna mtu utaskia akisema sitaki kufanya mazoezi gym kwasababu nitakuwa kama mwanaume Gosh!! Sio rahisi kiivo
Nimemkubali Anajiamini Very nice
Go go girl go❤
I feel like a b right now 🤭
Amazing😮🙌 from mozambique 🇲🇿🇲🇿
Hi
Aweee,siyo kweli kbs,hii comed.