Kunambi ile stand ya Dodoma pale sijui ulidhamiria nn ? Daa pesa za walipa kodi imepotea mno jengo miaka minne lishaanza kuwa gofu mipasuko ya kutosha kule juu zile body zinadondoka aisee !! Pale tuambie ulikusudia nn?
Hili bunge limeshatushinda mnabeba sifa sana hv hakuna munger hrs mmoja anayeweza kutusemea bungee hili mambo muhimu kweli yanga wamepewa ndege ni sh ngapi hizo wanapewa cashkwa ajili ya magori Kuna watu muhimbili wanalilia maiti zao hawana uwezo wa kuzikomboa jamani hivi hili ni wooote hamuoni
Bwanamkubwa usidanganye watu ili ufurahishe Ktk Qur'an hakuna aya ya aina hio nikheri ungetoa tuu fasiri yakile unachotaka kukisema kuliko kuvuruga maneno ya Allaah Lugha ya Qur'an ijapokua niyakiarabu lakini ata warabu kama hawajaenda chuoni wanashindwa kuisoma naniko naushahidi nahili ninaloongea kwasababu nimewahi kukaa nao napia niko nao kwenye darsa mbali mbali online huwezi jua mpaka uwasikie wanasoma apo ndio utajua ninachokiongea
Mheshimiwa anaposema kupima anamaanisha nini. Naona kama anazungumzia mpango wa matumizi bora ya ardhi. Huko siyo kipima. Anapaswa kusaidiwaili kuiweka hoja yske vizuri .
Sawa lakini je analolisema hapo lina mashiko hau alina? Bajeti ni billion 500 lakini yeye anasema hizo fedha ni nyingi sana kwahiyo nia ni kutuibia watanzania je anakosa hapo? Jaribu kusikiliza ujumbe sio nani anautoa. Uwe na siku njema.
Amina ,Amin mwinjilisti umetisha sana waokoke
Well said brother
Mmmh aiisee
Amina unarikiwe mh mbunge
Dish inayumba
msituka ndungu zangu wawcheni wenyew watajuwa nabunge lao
Msukuma nae ndoo walewale.
Hn gera
Ameeeeen
Mbona huo upimaji wa ardhi na wanaopimiwa hiyo ardhi wanalipa Hela?
Am Felix I love CZcams
Kweli kabisa kunambi anatoka morogoro na morogoro ndio sehemu namba moja yenye migogoro ya aridhi kwaiyo yupo sahihi
MSUKUMA NI MJINGA.WANAOLIPWA FIDIA NI WANGAPI HIYO FIDIA ?
Kunambi ile stand ya Dodoma pale sijui ulidhamiria nn ? Daa pesa za walipa kodi imepotea mno jengo miaka minne lishaanza kuwa gofu mipasuko ya kutosha kule juu zile body zinadondoka aisee !! Pale tuambie ulikusudia nn?
Bunge hill xilielew jaman Kila mtu anakuja na mbinu yake😅
Bunge hill xilielew jaman kula mtu anakuja na mbinu yake😅
Kunambi hoyeeeeeeeee
Huyo Mbunge aliyetoa taarifa wananchi wake walipeleka sanamu, hilo ni tatizo kubwa sana huku vijijini yy anafanya utani.
Kunambi uposahihi kabisa,
Sasa hawezi kuongea kwa kiswahili tu bila kuchanganya na lugha ya kikoloni!!
Wabunge bwana wanazurumu wananchi wanajifanya wanatetea haki za raia
da yaan iv nikiwaambia kumanina zao watasema nimewatukana
What a stupid taarifa ndio maana hawa wa Zanzibar wangenyamaza kwenye mambo ya bara
Hili bunge limeshatushinda mnabeba sifa sana hv hakuna munger hrs mmoja anayeweza kutusemea bungee hili mambo muhimu kweli yanga wamepewa ndege ni sh ngapi hizo wanapewa cashkwa ajili ya magori Kuna watu muhimbili wanalilia maiti zao hawana uwezo wa kuzikomboa jamani hivi hili ni wooote hamuoni
Huyu king,jimbo lake lenyewe ni maskini,acha kutetea mafisadi wewe king
Hizo hela xinafika salaama kwenye miradi?, au ndoo zinapigwa nyingi kuliko zinazotufikia kwenye miradi.
Kaka kunambi.ubarikiwe.umeongea ukweli.wananchi roho zinatuuma watu wanapiga pesa.mtaani haringumusana.Mungu atusaidietu. Haya yote yatapita
Ukweli gan umelogwa
@@emanuelsamson-hq2jv ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Msukuma kwasasa unajipendekeza Sana Yani umegeuka kibaraka wa mama
😁😁😁😁😁
Anataka apewe PhD ya heshima
Jizi
Kwakweli huyu mh mbunge msukuma anastahiri kuwa mbungee mihura yote
Kubaba zenuuu muwachee upuuzii mbwaaa nyiee kuna wakati mumuwache mtu aongee anacho kitaka
msitukane watu ndungu zangu acheni uongoz nikaz ngumu sana
Serikali hii ni ubatili mtupu
Bwanamkubwa usidanganye watu ili ufurahishe
Ktk Qur'an hakuna aya ya aina hio nikheri ungetoa tuu fasiri yakile unachotaka kukisema kuliko kuvuruga maneno ya Allaah
Lugha ya Qur'an ijapokua niyakiarabu lakini ata warabu kama hawajaenda chuoni wanashindwa kuisoma naniko naushahidi nahili ninaloongea kwasababu nimewahi kukaa nao napia niko nao kwenye darsa mbali mbali online huwezi jua mpaka uwasikie wanasoma apo ndio utajua ninachokiongea
Wizara aina nia ya dhati ya kupima nchi
Duuuu
Mipumbafu inazuiaga hoja kwa taarifa/ taarifa wajinga gani wanaichaguaga ktk majimbo?
Bado sijakuelewa
Ana hoja nzuri ila hisia zimemtawala katika kuwasilisha anakosa mtiririko mzuri.
Huyu haongei kwa hisia kama unavyodhani. Hiyo ni haiba yake ya kuzaliwa (inborn)
Akuna kuraan tukufu inayosema iyo
Mshekithiii, muyshekitthiii
Mheshimiwa anaposema kupima anamaanisha nini. Naona kama anazungumzia mpango wa matumizi bora ya ardhi. Huko siyo kipima. Anapaswa kusaidiwaili kuiweka hoja yske vizuri .
Msukuma bado.endelea kwenda while.huja hauja maliza bado
Kunambi umeacha migogoro mikubwa ya aridhi dodoma
Uaminiki kabisa
Bilioni 32 naza nyinyi mafisadi hapo ni bilioni ngapi
Mnakula mb sana
Kama debate za wanafnz .upuuz mtupu
Kishimba mbunge
Mnadifia rais kukopa
?Msukuma after money
Mawaziri wengine ni vilaza,wanatetea matumbo
Mwandishi wa habari umeandika wanekunjana,mbona mimi sijaona?
🤣🤣🤣🤣🤣aise
Jimbo halina mbunge hapo
Hapo hamna kitu
3:07
Migogoro ya ardhi ipo pote
Angesama muislamu ataubiri Quran sijui angekuwaje (mdini)
Sijui unakwama wapi ufuasi wa dini usikulazimishe uwe kilaza😔
Mkumbushen kuna daraja alijenga kilombero bajeti na mahudhui ya daraja n mbingu na ardhi apo uzalendo anaozungumzia yy n upi
Sawa lakini je analolisema hapo lina mashiko hau alina? Bajeti ni billion 500 lakini yeye anasema hizo fedha ni nyingi sana kwahiyo nia ni kutuibia watanzania je anakosa hapo? Jaribu kusikiliza ujumbe sio nani anautoa. Uwe na siku njema.
Kuleni kwa kamba yenu mbwa nyie
Mh. Migogoro ya Ardhi ipo kila mahali,
Mfalme gan mjingamjinga
😂😂
Hio kanuni ya taarifa ni ya kijinga 😂
Bunge hill xilielew jaman Kila mtu anakuja na mbinu yake😅