MUSUKUMA NA KUNAMBI WAKUNJANA MASHATI BUNGENI, "NATAKA UWAZIRI, ACHA UJE TU! HAUMSAIDII RAIS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 72

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před rokem +1

    Amina ,Amin mwinjilisti umetisha sana waokoke

  • @nestor384
    @nestor384 Před rokem +1

    Well said brother

  • @AlexMwenda-hm2wu
    @AlexMwenda-hm2wu Před rokem

    Mmmh aiisee

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc Před rokem

    Amina unarikiwe mh mbunge

  • @user-by7ie6yy5n
    @user-by7ie6yy5n Před rokem +1

    Dish inayumba

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 11 měsíci

    Msukuma nae ndoo walewale.

  • @LevisBoazi-ju2kx
    @LevisBoazi-ju2kx Před rokem

    Hn gera

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem +1

    Ameeeeen

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 Před 11 měsíci

    Mbona huo upimaji wa ardhi na wanaopimiwa hiyo ardhi wanalipa Hela?

  • @Felix-tj8ke
    @Felix-tj8ke Před rokem

    Am Felix I love CZcams

  • @athumanimzee657
    @athumanimzee657 Před rokem

    Kweli kabisa kunambi anatoka morogoro na morogoro ndio sehemu namba moja yenye migogoro ya aridhi kwaiyo yupo sahihi

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 Před rokem

    MSUKUMA NI MJINGA.WANAOLIPWA FIDIA NI WANGAPI HIYO FIDIA ?

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 Před rokem +2

    Kunambi ile stand ya Dodoma pale sijui ulidhamiria nn ? Daa pesa za walipa kodi imepotea mno jengo miaka minne lishaanza kuwa gofu mipasuko ya kutosha kule juu zile body zinadondoka aisee !! Pale tuambie ulikusudia nn?

  • @user-zg2ez9zu1d
    @user-zg2ez9zu1d Před 11 měsíci

    Bunge hill xilielew jaman Kila mtu anakuja na mbinu yake😅

  • @user-zg2ez9zu1d
    @user-zg2ez9zu1d Před 11 měsíci

    Bunge hill xilielew jaman kula mtu anakuja na mbinu yake😅

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Před rokem +1

    Kunambi hoyeeeeeeeee

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 11 měsíci

    Huyo Mbunge aliyetoa taarifa wananchi wake walipeleka sanamu, hilo ni tatizo kubwa sana huku vijijini yy anafanya utani.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před rokem +2

    Kunambi uposahihi kabisa,

  • @SmithJamesMalumalu-gj9sn

    Sasa hawezi kuongea kwa kiswahili tu bila kuchanganya na lugha ya kikoloni!!

  • @athuimansaid7279
    @athuimansaid7279 Před rokem +2

    Wabunge bwana wanazurumu wananchi wanajifanya wanatetea haki za raia

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 Před rokem +4

    What a stupid taarifa ndio maana hawa wa Zanzibar wangenyamaza kwenye mambo ya bara

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 Před rokem +2

    Hili bunge limeshatushinda mnabeba sifa sana hv hakuna munger hrs mmoja anayeweza kutusemea bungee hili mambo muhimu kweli yanga wamepewa ndege ni sh ngapi hizo wanapewa cashkwa ajili ya magori Kuna watu muhimbili wanalilia maiti zao hawana uwezo wa kuzikomboa jamani hivi hili ni wooote hamuoni

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před rokem +1

    Huyu king,jimbo lake lenyewe ni maskini,acha kutetea mafisadi wewe king

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 11 měsíci

    Hizo hela xinafika salaama kwenye miradi?, au ndoo zinapigwa nyingi kuliko zinazotufikia kwenye miradi.

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem +2

    Kaka kunambi.ubarikiwe.umeongea ukweli.wananchi roho zinatuuma watu wanapiga pesa.mtaani haringumusana.Mungu atusaidietu. Haya yote yatapita

  • @godfreybikukana2079
    @godfreybikukana2079 Před rokem +6

    Msukuma kwasasa unajipendekeza Sana Yani umegeuka kibaraka wa mama

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 Před rokem

    Jizi

  • @NestoryPaschal-jr3oj
    @NestoryPaschal-jr3oj Před rokem

    Kwakweli huyu mh mbunge msukuma anastahiri kuwa mbungee mihura yote

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 Před rokem +1

    Kubaba zenuuu muwachee upuuzii mbwaaa nyiee kuna wakati mumuwache mtu aongee anacho kitaka

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Před rokem

    Serikali hii ni ubatili mtupu

  • @abuutasniym2675
    @abuutasniym2675 Před rokem +2

    Bwanamkubwa usidanganye watu ili ufurahishe
    Ktk Qur'an hakuna aya ya aina hio nikheri ungetoa tuu fasiri yakile unachotaka kukisema kuliko kuvuruga maneno ya Allaah
    Lugha ya Qur'an ijapokua niyakiarabu lakini ata warabu kama hawajaenda chuoni wanashindwa kuisoma naniko naushahidi nahili ninaloongea kwasababu nimewahi kukaa nao napia niko nao kwenye darsa mbali mbali online huwezi jua mpaka uwasikie wanasoma apo ndio utajua ninachokiongea

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 Před rokem

    Wizara aina nia ya dhati ya kupima nchi

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Před rokem

    Duuuu

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 Před rokem

    Mipumbafu inazuiaga hoja kwa taarifa/ taarifa wajinga gani wanaichaguaga ktk majimbo?

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 Před rokem

    Bado sijakuelewa

  • @emmanuelnollo5022
    @emmanuelnollo5022 Před rokem

    Ana hoja nzuri ila hisia zimemtawala katika kuwasilisha anakosa mtiririko mzuri.

    • @pirminmatumizi5464
      @pirminmatumizi5464 Před rokem

      Huyu haongei kwa hisia kama unavyodhani. Hiyo ni haiba yake ya kuzaliwa (inborn)

  • @user-jd5sy7nf1h
    @user-jd5sy7nf1h Před rokem

    Akuna kuraan tukufu inayosema iyo

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Před rokem

    Mshekithiii, muyshekitthiii

  • @user-tf4tw8xb6o
    @user-tf4tw8xb6o Před rokem

    Mheshimiwa anaposema kupima anamaanisha nini. Naona kama anazungumzia mpango wa matumizi bora ya ardhi. Huko siyo kipima. Anapaswa kusaidiwaili kuiweka hoja yske vizuri .

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem

    Msukuma bado.endelea kwenda while.huja hauja maliza bado

  • @emmanuelchiza7733
    @emmanuelchiza7733 Před rokem

    Kunambi umeacha migogoro mikubwa ya aridhi dodoma
    Uaminiki kabisa

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před rokem

    Bilioni 32 naza nyinyi mafisadi hapo ni bilioni ngapi

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Před rokem

    Mnakula mb sana

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 Před rokem

    Kama debate za wanafnz .upuuz mtupu

  • @mohamedlikecha3623
    @mohamedlikecha3623 Před rokem

    Kishimba mbunge

  • @mwailubikamongo9774
    @mwailubikamongo9774 Před rokem

    Mnadifia rais kukopa

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 Před rokem

    ?Msukuma after money

  • @nathanmateow9455
    @nathanmateow9455 Před rokem

    Mawaziri wengine ni vilaza,wanatetea matumbo

  • @vituskikoti9569
    @vituskikoti9569 Před rokem

    Mwandishi wa habari umeandika wanekunjana,mbona mimi sijaona?

  • @kiwangodaniel1302
    @kiwangodaniel1302 Před rokem

    Jimbo halina mbunge hapo

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Před rokem

    Hapo hamna kitu

  • @user-ec4nj5zi8o
    @user-ec4nj5zi8o Před rokem

    3:07

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Před rokem

    Migogoro ya ardhi ipo pote

  • @Ahdall
    @Ahdall Před rokem

    Angesama muislamu ataubiri Quran sijui angekuwaje (mdini)

    • @Noricssa
      @Noricssa Před rokem +2

      Sijui unakwama wapi ufuasi wa dini usikulazimishe uwe kilaza😔

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 Před rokem

    Mkumbushen kuna daraja alijenga kilombero bajeti na mahudhui ya daraja n mbingu na ardhi apo uzalendo anaozungumzia yy n upi

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před rokem

      Sawa lakini je analolisema hapo lina mashiko hau alina? Bajeti ni billion 500 lakini yeye anasema hizo fedha ni nyingi sana kwahiyo nia ni kutuibia watanzania je anakosa hapo? Jaribu kusikiliza ujumbe sio nani anautoa. Uwe na siku njema.

  • @philiplenardsylvester6063

    Kuleni kwa kamba yenu mbwa nyie

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Před rokem

    Mh. Migogoro ya Ardhi ipo kila mahali,

  • @SilvesterRaphael-xb6it
    @SilvesterRaphael-xb6it Před rokem +1

    Mfalme gan mjingamjinga

  • @Bikhafija
    @Bikhafija Před rokem

    😂😂

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 Před rokem

    Hio kanuni ya taarifa ni ya kijinga 😂

  • @user-zg2ez9zu1d
    @user-zg2ez9zu1d Před 11 měsíci

    Bunge hill xilielew jaman Kila mtu anakuja na mbinu yake😅