IBENI SANA MLIPITA BILA KUPINGWA chochote mfanyacho hata kiwe hakifai mnapigiana makofi na kupongezana mbaya zaidi mmeshajua kuwa wananchi ni wapumbavu wamezoea kuibiwa na kushabikia viongozi kwa kujipendekeza.HUU NI UGONJWA MKUBWA SANA KATIKA TAIFA LETU Ufunuo 22:11 Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.Kila apandacho mtu ndicho atakachovuna
Kaka yangu msukuma mungu akuweke miaka mingi uone mengi san Tanzania yetu inavunwa na wachache mama yetu anahangaika huku na huko ila mama akipata watoto wake waizi kama nn pole mama yetu
Sana msukuma kweli umeongea hawa watu mjizi hivisasa kuchukuliwa hatua tusahau maana uongozi huu niwawizi tu kila mtu anaiba sehem yake uongozi ulikuwa wamagu tu
Mheshimiwa mbunge Msukuma nakupongeza kwa kuwa mkweli, muwazi, .na usiependa majungu, nawaomba wabunge wengine wawe mfano wake, ma ninaposema hivyo sina maana wengine hawaongei uwazi pia mawaziri wetu muwe wakweli, waaminifu, watekelezaji na msimamie maagizo yanayotolewa na bunge
Kwakweli msukuma mimi huwa nakuelewa sana , yaani natamani nipate namba yako ya simu. Wezi ni wengi sana. Uko vizuri sana. Unamaanisha sana ila watu wanachukulia kama utani
Yeeedu, kumbe Aiport Arusha nayo imeenda, da! Kweli kazi iendelee, yani hela za kufanya maendeleo yetu wanaziiba, tukianza kukolaps wanabinafsisha miradi .
Chama ni system ya kuendesha nchi ila wezi ni wezi tu wanaweza toka chama chochote kile awe na chama au asiwe na chama hata mkibadilisha Chama hamtabadili mioyo ya Watu
Wananchi wahari ya chini kama sisi huku vijijini maji hamna umeme hamna barabara mbovu kabisa tangu nchi ipate uhuru reo hii pesa mama anareta ziende kwenye miradi vijijini watu wachache wanaziibaa jamani hamna huruma na mama?
Mimi naona hapo bungeni wote ni WANAFIKIi kasoro Halima Mdee. Na yule mmbunge wa chadema Na UNAFIKI wenu ulidhihirika wazi wakati wa kupitisha mkataba MMBOVU WA IGA. KWA HIYO HATA MUONGEEJE NYINYI NI WANAFIKI NA WEZI TU. TANGU LINI MTU MWEMA AKATOKA CCM!!!! WALISHAKUFAGA NA WALIOPO HAWAONEKANI KABISAA
Magufuli Namba mbili jitoe muhanga chief Mungu atakubaliki nakupenda sana
Hewaaa!! ila anazungumzaga uhalisia huyu baba,mungu akulinde
Kaka msukuma ww ndio mbunge mzarendo wa nchi hii na mungu atakuongoza vizuri Kwa sababu ww nimsema kweri.
Safi sana mhe, ni vizuri pesa zitumike ipasavyo Kwa Maendeleo ya watanzania
Hongera sn msukuma uananitahidi san
Yaani hapo kwenye KUNYONGA! ndo panatakiwa kufanyiwa kazi,ninapenda sana hii adhabu ifanyiwe kazi nyonga mmoja tu uone!!
Musukuma my friend chapa kazi kaka
Hongera sana kaka naona afadhali umenisaidia
Hapa labda MAGUFULI afufuke ndio tutaenderea
Big up Msukuma...maana ya ELIMU ni wizi...duu Tz Wizi tu peupe duuu
Huyu kwanini asiwe WAZIRI habari za elimu wekeni pembeni mpeni uwaziri safi saaana
SANAA YA UCHAGUZI. KAMPENI MSUKUMA
IBENI SANA
MLIPITA BILA KUPINGWA
chochote mfanyacho hata kiwe hakifai mnapigiana makofi na kupongezana mbaya zaidi mmeshajua kuwa wananchi ni wapumbavu wamezoea kuibiwa na kushabikia viongozi kwa kujipendekeza.HUU NI UGONJWA MKUBWA SANA KATIKA TAIFA LETU
Ufunuo 22:11
Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.Kila apandacho mtu ndicho atakachovuna
Msukuma hongela saaaaana wewe nimzima
Upo vizuri ndg...!!
❤msukuma kweli tetea wanyonge mawaziri wote niwezi,akiiba peleka jela na jembe pembeni awenalo
❤❤msukumaa rais wetuu huyoo
Kuna wizi mkubwa kwa mawaziri wabunge fikirini upya KTK Hilo mnaitia hasara nchi
Mh Msukuma Mungu akubariki kaka yangu
Hii nchi hovyo sana mamaq😢😢
Safi sana Msukuma, it really pain.
Hoja za Musukuma ni zina MANTIKI na zipo wazi na zinaeleweka kuliko wengi wenye madigrii humo ndani.
Msukuma 💐
Safi sana Msukuma
Hongera msukuma unauchungu nataifa lako
Hata limsukuma nilijizi la kura za chadema. Hakuna kitu. Hapo anayesema ukweli ni mpina na aida wengine ni yaleyale
Kwenye kura hapo hata mimi lazima niibe unaujua msoto wewe😅😅😅
@@RobertChacha-hb9rehajui huyu
We zombie aujuiii
Bunge la hivyo kabisa.
Tozo zimekuwa kila Kona ila Bado tu maisha magumu
Kaka yangu msukuma mungu akuweke miaka mingi uone mengi san Tanzania yetu inavunwa na wachache mama yetu anahangaika huku na huko ila mama akipata watoto wake waizi kama nn pole mama yetu
kama watoto wezi mama unashindwa kuchukua hatua then tatizo lipo kwa mama sio kwa watoto wezi
@@user-ez9qc2jo1x bunge letu halina meno kabisaaa hawachukuihatua yoyote ya kuwa wajibisha hata kidogo
L
@@user-ez9qc2jo1x o
Mamako huyo kauza bandari zetu ZOOTE yeye mwenyewe kibaka mwizi kabisa
Musukuma bigup sana
Mabasi ya mwendokasi hovyo Bora daladala zetu mzee msukuma
Mungu akulinde kaka msukuma ongea ukweli mda wote
Umesema ukweli! Lakini ni Keri ya ngedere umeipeleka Kwa nyani!
Nchi hiii bwanaaaaa, Wapigaji kila mmoja anajipigia mahala alipo 😅😅
Sana msukuma kweli umeongea hawa watu mjizi hivisasa kuchukuliwa hatua tusahau maana uongozi huu niwawizi tu kila mtu anaiba sehem yake uongozi ulikuwa wamagu tu
Uyu msukuma anajua sana
Mugufuli alisema mtamkumbuka
Mheshimiwa mbunge Msukuma nakupongeza kwa kuwa mkweli, muwazi, .na usiependa majungu, nawaomba wabunge wengine wawe mfano wake, ma ninaposema hivyo sina maana wengine hawaongei uwazi pia mawaziri wetu muwe wakweli, waaminifu, watekelezaji na msimamie maagizo yanayotolewa na bunge
Jamaa anaupiga mwingi❤❤
Toboa takukuru awafanyi kazi yeyote waondoeni walanguzi ndani ya Tanganyika yetu tusikuba
Mungu katuletea magufuri number(2)
Mwenyekiti uko vizuri
Namkubari huyu mwambia msukuma sio kama wengine wanaolala bungeni
❤
Hivi definition ya Elimu ni Uwizi? Musukumu kweli unaongea kwa uchungu!
❤ 5:05
Nimekuerewa ssana msukuma🤝🤝
Nch haina uongozi ingekuwa na uongozi isingeibiwa hivyo!!!!hawchui hatua no dalili za machafuko
msukuma jaza fom ya ulais upo vizuri sana
Da msukuma ww ni doctor hatakama hujasoma ww unaelimu ya juu sana ww mungu amekupa elimu ww nimsomi wafundishe hao
Sio msukuma mungu akubaliki achukuliwe na shetani
💐💐💐🌹
Musukuma mnafikiri mbwa koko huyo, DP World oyeeee
Hayati magu tunakukumbuka yale uliyoyasema ulikuwa uko sahihi
Safi sana msukuma
Uko sawa
Kweli tunamuachia mungu
Msukuma Mungu akubariki.
Kwakweli msukuma mimi huwa nakuelewa sana , yaani natamani nipate namba yako ya simu. Wezi ni wengi sana. Uko vizuri sana. Unamaanisha sana ila watu wanachukulia kama utani
Msukuma nitumie namba yako nikutumie hata ya soda maana huwa ninakuelewa kuliko mbunge yeyote hapo dodoma
Yeeedu, kumbe Aiport Arusha nayo imeenda, da! Kweli kazi iendelee, yani hela za kufanya maendeleo yetu wanaziiba, tukianza kukolaps wanabinafsisha miradi .
Blabla nyingi ndo hoja ya bungeni
Uko vizuri
🎉🎉🎉
😅hapo umeua
Msukuma kwako maombi mhimu na kuombea mwana maombi
Nakuelewaga sana msukuma
Watoto chuo mikopo shida alafu watu wanakula hela
Nyinyi no ndugu simupongezi mtu mnatuinjoi wote baba mumoja mnajua zinakopigwa mnajifanya hamujui Leo hii so kweli
Hakuna kiwango hili ni bunge la kutojari wananchi wake ndomana mnafanya comed bungeni sasa hii ni siliasi au komed
Ninyi mnaisaidia serikali kuiba , siyo kwa ajili ya kuiba , kwa sababu hawabadiliki,
Wew ndo mbuge wa uhakika
Msukuma anarukia kila mada haeleweki analenga kwenye lipi..
Msukuma akiwa rais nchi itafika mbali sana
Natamani iwe ivo
Safi kabisa
Wambie ukweri wa ache kuiba wamezidi niwezi mpaka mtumba
Kazi Kweli Kweli
Wewe kingi acha unafiki tu, mnabweka tu,na hatua hamchukui, hakuna bunge la kiwango ni kutetea mafisadi tu,
Msukuma si ugombeee urais unaweza mbn
Hao kilawaziri anajuwawapi pakula sisimasikini tu
Wote nyinyi wezi..msukuma we c ulienda Dubai mbona husemi mlipewa nn kupigia debe dp world?
Hivi hao waizi wa pesa za uma,,,wapo nje ya chama tawala au wako ndani ?!; Kama wako ndani ,,mama anakazi kubwa Sana ,pole Mh Samia😢
Chama ni system ya kuendesha nchi ila wezi ni wezi tu wanaweza toka chama chochote kile awe na chama au asiwe na chama hata mkibadilisha Chama hamtabadili mioyo ya Watu
Wewe kingi acha unafiki tu, mnabweka tu,na hatua hamchukui, RIP JPM
Musukuma ndugu umenena kama Maghufili Pombe
Iptl, imerudishwa na Samia Mwenyewe,Kwa kushirikiana na Kikwete, Singasinga Serty alikiri kosa,na akalipa millioni Mia mbili, akabaki anadaiwa, sasa huyo Iptl mwingine ametokea wapi. CCM mmetuchosha.
Tunataka kuona vitendo vifanyike nasikilasiku maneno 2 kwasababu nyinyi mupepiga suti walio wachakua mumewasahau tunataka kuona usiliasi wakaz ufanyie
HIIIIIII. NI SANAA YA. KURUDI BUNGENI
NATAMANI MSUKUMA AWE RAISI
Awe rais WA nani huyu aliyepitisha MKATABA WA IGA.
Msukuma up vizur😂😂
nilikuwa nakubali sana lakini kwa sasa hamna kiti
Heee jamani hata Kilimanjaro international airport duuu Tz jamani
Pesa zirudi
Msukuma nakukubali sana
Mfumo wetu wa elimu unatufunga wenyewe
😢😢😢
Wananchi wahari ya chini kama sisi huku vijijini maji hamna umeme hamna barabara mbovu kabisa tangu nchi ipate uhuru reo hii pesa mama anareta ziende kwenye miradi vijijini watu wachache wanaziibaa jamani hamna huruma na mama?
Sukari Sasa 3500 huku kwetu
Mimi naona hapo bungeni wote ni WANAFIKIi kasoro Halima Mdee. Na yule mmbunge wa chadema Na UNAFIKI wenu ulidhihirika wazi wakati wa kupitisha mkataba MMBOVU WA IGA. KWA HIYO HATA MUONGEEJE NYINYI NI WANAFIKI NA WEZI TU. TANGU LINI MTU MWEMA AKATOKA CCM!!!! WALISHAKUFAGA NA WALIOPO HAWAONEKANI KABISAA
mama anahangaika kutafuta pesa ucku na mchana akishareta nyinyi mnazipiga madiri hamna huruma na mama kabisa.
Hayo yote yanasababishwa na katiba mbovu
Hapo kwa wazungu wanakimbizana kupanda bus kumbe wezi watupu nimechekaaa nusu kufa msukuma anamaneno sana
Makonda hoyee, hii kazi ya kuwakoromea hawa wezi anaiweza makonda tu, makonda hoyeee