MUSUKUMA ALITETEMESHA BUNGE, MAWAZIRI WOTE WASIMAMA, "HUYU YUKO NYUMA YA NANI?,MNAFUNDISHWA MTUIBIE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 11. 2023
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 201

  • @AffectionateBread-ic7lo
    @AffectionateBread-ic7lo Před 4 měsíci +1

    Magufuli Namba mbili jitoe muhanga chief Mungu atakubaliki nakupenda sana

  • @user-lf1iy3tr6k
    @user-lf1iy3tr6k Před 7 měsíci +2

    Hewaaa!! ila anazungumzaga uhalisia huyu baba,mungu akulinde

  • @jumaissy9805
    @jumaissy9805 Před 8 měsíci +8

    Kaka msukuma ww ndio mbunge mzarendo wa nchi hii na mungu atakuongoza vizuri Kwa sababu ww nimsema kweri.

  • @shadrackndole9386
    @shadrackndole9386 Před 7 měsíci +1

    Safi sana mhe, ni vizuri pesa zitumike ipasavyo Kwa Maendeleo ya watanzania

  • @IbrahimKhamis-bs5pv
    @IbrahimKhamis-bs5pv Před 8 měsíci +2

    Hongera sn msukuma uananitahidi san

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 Před 8 měsíci +2

    Yaani hapo kwenye KUNYONGA! ndo panatakiwa kufanyiwa kazi,ninapenda sana hii adhabu ifanyiwe kazi nyonga mmoja tu uone!!

  • @FadhiliMgalla-ds9fx
    @FadhiliMgalla-ds9fx Před 8 měsíci +2

    Musukuma my friend chapa kazi kaka

  • @user-ih6jx9su3l
    @user-ih6jx9su3l Před 7 měsíci +1

    Hongera sana kaka naona afadhali umenisaidia

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 8 měsíci +5

    Hapa labda MAGUFULI afufuke ndio tutaenderea

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 Před 8 měsíci +2

    Big up Msukuma...maana ya ELIMU ni wizi...duu Tz Wizi tu peupe duuu

  • @DenisWilson-ii9fb
    @DenisWilson-ii9fb Před 6 měsíci +1

    Huyu kwanini asiwe WAZIRI habari za elimu wekeni pembeni mpeni uwaziri safi saaana

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 8 měsíci +3

    SANAA YA UCHAGUZI. KAMPENI MSUKUMA

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 Před 8 měsíci +2

    IBENI SANA
    MLIPITA BILA KUPINGWA
    chochote mfanyacho hata kiwe hakifai mnapigiana makofi na kupongezana mbaya zaidi mmeshajua kuwa wananchi ni wapumbavu wamezoea kuibiwa na kushabikia viongozi kwa kujipendekeza.HUU NI UGONJWA MKUBWA SANA KATIKA TAIFA LETU
    Ufunuo 22:11
    Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.Kila apandacho mtu ndicho atakachovuna

  • @mosesuwimana6647
    @mosesuwimana6647 Před 7 měsíci +1

    Msukuma hongela saaaaana wewe nimzima

  • @user-uw6zn7ro8i
    @user-uw6zn7ro8i Před 7 měsíci +1

    Upo vizuri ndg...!!

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před 7 měsíci +1

    ❤msukuma kweli tetea wanyonge mawaziri wote niwezi,akiiba peleka jela na jembe pembeni awenalo

  • @AlphaMosses-vy4ed
    @AlphaMosses-vy4ed Před 6 měsíci +1

    ❤❤msukumaa rais wetuu huyoo

  • @yohanakinyunyi
    @yohanakinyunyi Před 7 měsíci +1

    Kuna wizi mkubwa kwa mawaziri wabunge fikirini upya KTK Hilo mnaitia hasara nchi

  • @negwamwaipopo6467
    @negwamwaipopo6467 Před 8 měsíci +2

    Mh Msukuma Mungu akubariki kaka yangu

  • @aloycetz2022
    @aloycetz2022 Před 8 měsíci +6

    Hii nchi hovyo sana mamaq😢😢

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Před 8 měsíci +3

    Safi sana Msukuma, it really pain.

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 8 měsíci +2

    Hoja za Musukuma ni zina MANTIKI na zipo wazi na zinaeleweka kuliko wengi wenye madigrii humo ndani.

  • @habaccucisrael5328
    @habaccucisrael5328 Před 8 měsíci +3

    Msukuma 💐

  • @odanmmbaga9806
    @odanmmbaga9806 Před 8 měsíci +3

    Safi sana Msukuma

  • @OmaryMdoe-fs4hj
    @OmaryMdoe-fs4hj Před 2 měsíci

    Hongera msukuma unauchungu nataifa lako

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 8 měsíci +5

    Hata limsukuma nilijizi la kura za chadema. Hakuna kitu. Hapo anayesema ukweli ni mpina na aida wengine ni yaleyale

    • @RobertChacha-hb9re
      @RobertChacha-hb9re Před 8 měsíci +1

      Kwenye kura hapo hata mimi lazima niibe unaujua msoto wewe😅😅😅

    • @geey7893
      @geey7893 Před 8 měsíci

      ​@@RobertChacha-hb9rehajui huyu

    • @jaymovic6407
      @jaymovic6407 Před 8 měsíci

      We zombie aujuiii

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Před 7 měsíci +1

    Bunge la hivyo kabisa.

  • @IvonJasson-ww2ij
    @IvonJasson-ww2ij Před 8 měsíci +1

    Tozo zimekuwa kila Kona ila Bado tu maisha magumu

  • @YonaEBasso
    @YonaEBasso Před 8 měsíci +3

    Kaka yangu msukuma mungu akuweke miaka mingi uone mengi san Tanzania yetu inavunwa na wachache mama yetu anahangaika huku na huko ila mama akipata watoto wake waizi kama nn pole mama yetu

    • @user-ez9qc2jo1x
      @user-ez9qc2jo1x Před 8 měsíci

      kama watoto wezi mama unashindwa kuchukua hatua then tatizo lipo kwa mama sio kwa watoto wezi

    • @YonaEBasso
      @YonaEBasso Před 8 měsíci

      @@user-ez9qc2jo1x bunge letu halina meno kabisaaa hawachukuihatua yoyote ya kuwa wajibisha hata kidogo

    • @charlesmandela6173
      @charlesmandela6173 Před 8 měsíci

      L

    • @charlesmandela6173
      @charlesmandela6173 Před 8 měsíci

      @@user-ez9qc2jo1x o

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu Před 7 měsíci

      Mamako huyo kauza bandari zetu ZOOTE yeye mwenyewe kibaka mwizi kabisa

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Před 3 měsíci

    Musukuma bigup sana

  • @alfredgodfrey4930
    @alfredgodfrey4930 Před 8 měsíci +1

    Mabasi ya mwendokasi hovyo Bora daladala zetu mzee msukuma

  • @user-rk3qs3eh4z
    @user-rk3qs3eh4z Před 7 měsíci

    Mungu akulinde kaka msukuma ongea ukweli mda wote

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 Před 7 měsíci

    Umesema ukweli! Lakini ni Keri ya ngedere umeipeleka Kwa nyani!

  • @hoseastai7575
    @hoseastai7575 Před 5 měsíci

    Nchi hiii bwanaaaaa, Wapigaji kila mmoja anajipigia mahala alipo 😅😅

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před 8 měsíci +1

    Sana msukuma kweli umeongea hawa watu mjizi hivisasa kuchukuliwa hatua tusahau maana uongozi huu niwawizi tu kila mtu anaiba sehem yake uongozi ulikuwa wamagu tu

  • @AbubakariRamadhani-fj8ff

    Uyu msukuma anajua sana

  • @jacksongeorge3964
    @jacksongeorge3964 Před 8 měsíci +1

    Mugufuli alisema mtamkumbuka

  • @mohamedS-yd9wh
    @mohamedS-yd9wh Před 8 měsíci +1

    Mheshimiwa mbunge Msukuma nakupongeza kwa kuwa mkweli, muwazi, .na usiependa majungu, nawaomba wabunge wengine wawe mfano wake, ma ninaposema hivyo sina maana wengine hawaongei uwazi pia mawaziri wetu muwe wakweli, waaminifu, watekelezaji na msimamie maagizo yanayotolewa na bunge

  • @BegaMakenge
    @BegaMakenge Před 2 měsíci

    Jamaa anaupiga mwingi❤❤

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Před 8 měsíci

    Toboa takukuru awafanyi kazi yeyote waondoeni walanguzi ndani ya Tanganyika yetu tusikuba

  • @PhilemoniElisha
    @PhilemoniElisha Před 5 měsíci

    Mungu katuletea magufuri number(2)

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola Před 8 měsíci

    Mwenyekiti uko vizuri

  • @user-wz8yl4sr5r
    @user-wz8yl4sr5r Před 8 měsíci

    Namkubari huyu mwambia msukuma sio kama wengine wanaolala bungeni

  • @user-wx8fd3qd2k
    @user-wx8fd3qd2k Před 5 měsíci +1

  • @isayatippe6409
    @isayatippe6409 Před 8 měsíci

    Hivi definition ya Elimu ni Uwizi? Musukumu kweli unaongea kwa uchungu!

  • @ramadhanhussein3960
    @ramadhanhussein3960 Před 2 měsíci +1

    5:05

  • @ramadhanikigu6091
    @ramadhanikigu6091 Před 8 měsíci

    Nimekuerewa ssana msukuma🤝🤝

  • @esaumahundi5647
    @esaumahundi5647 Před 8 měsíci

    Nch haina uongozi ingekuwa na uongozi isingeibiwa hivyo!!!!hawchui hatua no dalili za machafuko

  • @MedsonMsolwa
    @MedsonMsolwa Před 6 měsíci

    msukuma jaza fom ya ulais upo vizuri sana

  • @RoseMsenga
    @RoseMsenga Před 8 měsíci

    Da msukuma ww ni doctor hatakama hujasoma ww unaelimu ya juu sana ww mungu amekupa elimu ww nimsomi wafundishe hao

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp

    Sio msukuma mungu akubaliki achukuliwe na shetani

  • @fortunatashirima-mh2fx
    @fortunatashirima-mh2fx Před 8 měsíci

    💐💐💐🌹

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před 8 měsíci

    Musukuma mnafikiri mbwa koko huyo, DP World oyeeee

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb Před 8 měsíci +1

    Hayati magu tunakukumbuka yale uliyoyasema ulikuwa uko sahihi

  • @user-pj1lj5hw8p
    @user-pj1lj5hw8p Před 8 měsíci

    Safi sana msukuma

  • @user-or6hb9gh1g
    @user-or6hb9gh1g Před 8 měsíci

    Uko sawa

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Před 8 měsíci +1

    Kweli tunamuachia mungu

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 Před 8 měsíci +1

    Msukuma Mungu akubariki.

    • @latwifsued3316
      @latwifsued3316 Před 8 měsíci

      Kwakweli msukuma mimi huwa nakuelewa sana , yaani natamani nipate namba yako ya simu. Wezi ni wengi sana. Uko vizuri sana. Unamaanisha sana ila watu wanachukulia kama utani

  • @ezekielslyver-sk4yx
    @ezekielslyver-sk4yx Před 7 měsíci

    Msukuma nitumie namba yako nikutumie hata ya soda maana huwa ninakuelewa kuliko mbunge yeyote hapo dodoma

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 8 měsíci +1

    Yeeedu, kumbe Aiport Arusha nayo imeenda, da! Kweli kazi iendelee, yani hela za kufanya maendeleo yetu wanaziiba, tukianza kukolaps wanabinafsisha miradi .

  • @waltersilayo49
    @waltersilayo49 Před 6 měsíci

    Uko vizuri

  • @experiuskamugisha6722
    @experiuskamugisha6722 Před 8 měsíci

    🎉🎉🎉

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Před 8 měsíci +1

    😅hapo umeua

  • @JoshuaEradius-qb7wb
    @JoshuaEradius-qb7wb Před 7 měsíci

    Msukuma kwako maombi mhimu na kuombea mwana maombi

  • @user-cw2gp1vw9h
    @user-cw2gp1vw9h Před 8 měsíci

    Nakuelewaga sana msukuma

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps Před 8 měsíci +1

    Watoto chuo mikopo shida alafu watu wanakula hela

  • @user-bm7vp7ho2q
    @user-bm7vp7ho2q Před 8 měsíci

    Nyinyi no ndugu simupongezi mtu mnatuinjoi wote baba mumoja mnajua zinakopigwa mnajifanya hamujui Leo hii so kweli

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Před 8 měsíci

    Hakuna kiwango hili ni bunge la kutojari wananchi wake ndomana mnafanya comed bungeni sasa hii ni siliasi au komed

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 Před 8 měsíci

    Ninyi mnaisaidia serikali kuiba , siyo kwa ajili ya kuiba , kwa sababu hawabadiliki,

  • @user-yn5ps4ly6n
    @user-yn5ps4ly6n Před 6 měsíci

    Wew ndo mbuge wa uhakika

  • @demask3423
    @demask3423 Před 8 měsíci

    Msukuma anarukia kila mada haeleweki analenga kwenye lipi..

  • @dionizofficial4604
    @dionizofficial4604 Před 3 měsíci +1

    Msukuma akiwa rais nchi itafika mbali sana

  • @nicholaskabantega6012
    @nicholaskabantega6012 Před 7 měsíci

    Safi kabisa

  • @PASCKALMARSELI
    @PASCKALMARSELI Před 3 měsíci

    Wambie ukweri wa ache kuiba wamezidi niwezi mpaka mtumba

  • @josephjila957
    @josephjila957 Před 8 měsíci

    Kazi Kweli Kweli

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 8 měsíci

    Wewe kingi acha unafiki tu, mnabweka tu,na hatua hamchukui, hakuna bunge la kiwango ni kutetea mafisadi tu,

  • @user-jn4zq3zm5o
    @user-jn4zq3zm5o Před 2 měsíci

    Msukuma si ugombeee urais unaweza mbn

  • @mussazabron1671
    @mussazabron1671 Před 8 měsíci

    Hao kilawaziri anajuwawapi pakula sisimasikini tu

  • @user-hb1iw9uj3x
    @user-hb1iw9uj3x Před 8 měsíci

    Wote nyinyi wezi..msukuma we c ulienda Dubai mbona husemi mlipewa nn kupigia debe dp world?

  • @user-xi6le4lg9b
    @user-xi6le4lg9b Před 8 měsíci

    Hivi hao waizi wa pesa za uma,,,wapo nje ya chama tawala au wako ndani ?!; Kama wako ndani ,,mama anakazi kubwa Sana ,pole Mh Samia😢

    • @SMEDIA298
      @SMEDIA298 Před 8 měsíci

      Chama ni system ya kuendesha nchi ila wezi ni wezi tu wanaweza toka chama chochote kile awe na chama au asiwe na chama hata mkibadilisha Chama hamtabadili mioyo ya Watu

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 8 měsíci

    Wewe kingi acha unafiki tu, mnabweka tu,na hatua hamchukui, RIP JPM

  • @jacksonokatoko3096
    @jacksonokatoko3096 Před 6 měsíci

    Musukuma ndugu umenena kama Maghufili Pombe

  • @josekapufi-ut8ku
    @josekapufi-ut8ku Před 8 měsíci

    Iptl, imerudishwa na Samia Mwenyewe,Kwa kushirikiana na Kikwete, Singasinga Serty alikiri kosa,na akalipa millioni Mia mbili, akabaki anadaiwa, sasa huyo Iptl mwingine ametokea wapi. CCM mmetuchosha.

  • @EnnyFire
    @EnnyFire Před 8 měsíci

    Tunataka kuona vitendo vifanyike nasikilasiku maneno 2 kwasababu nyinyi mupepiga suti walio wachakua mumewasahau tunataka kuona usiliasi wakaz ufanyie

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 8 měsíci

    HIIIIIII. NI SANAA YA. KURUDI BUNGENI

  • @juliasjoshua1931
    @juliasjoshua1931 Před 8 měsíci +1

    NATAMANI MSUKUMA AWE RAISI

    • @SarahShao-jw1up
      @SarahShao-jw1up Před 8 měsíci

      Awe rais WA nani huyu aliyepitisha MKATABA WA IGA.

  • @MashakaMadulu
    @MashakaMadulu Před 7 měsíci

    Msukuma up vizur😂😂

  • @yustoerioth2756
    @yustoerioth2756 Před 8 měsíci

    nilikuwa nakubali sana lakini kwa sasa hamna kiti

  • @foundationforcommunityhope7327

    Heee jamani hata Kilimanjaro international airport duuu Tz jamani

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Před 8 měsíci +1

    Pesa zirudi

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 8 měsíci

    Msukuma nakukubali sana

  • @HarberthKamuhanda-es1oz
    @HarberthKamuhanda-es1oz Před 7 měsíci

    Mfumo wetu wa elimu unatufunga wenyewe

  • @user-nm3kz6eo8g
    @user-nm3kz6eo8g Před 7 měsíci

    😢😢😢

  • @jumaissy9805
    @jumaissy9805 Před 8 měsíci

    Wananchi wahari ya chini kama sisi huku vijijini maji hamna umeme hamna barabara mbovu kabisa tangu nchi ipate uhuru reo hii pesa mama anareta ziende kwenye miradi vijijini watu wachache wanaziibaa jamani hamna huruma na mama?

  • @DenisWilson-ii9fb
    @DenisWilson-ii9fb Před 6 měsíci

    Sukari Sasa 3500 huku kwetu

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Před 8 měsíci

    Mimi naona hapo bungeni wote ni WANAFIKIi kasoro Halima Mdee. Na yule mmbunge wa chadema Na UNAFIKI wenu ulidhihirika wazi wakati wa kupitisha mkataba MMBOVU WA IGA. KWA HIYO HATA MUONGEEJE NYINYI NI WANAFIKI NA WEZI TU. TANGU LINI MTU MWEMA AKATOKA CCM!!!! WALISHAKUFAGA NA WALIOPO HAWAONEKANI KABISAA

  • @jumaissy9805
    @jumaissy9805 Před 8 měsíci

    mama anahangaika kutafuta pesa ucku na mchana akishareta nyinyi mnazipiga madiri hamna huruma na mama kabisa.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 8 měsíci +1

    Hayo yote yanasababishwa na katiba mbovu

  • @ibrahimkhamis6212
    @ibrahimkhamis6212 Před 8 měsíci

    Hapo kwa wazungu wanakimbizana kupanda bus kumbe wezi watupu nimechekaaa nusu kufa msukuma anamaneno sana

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 8 měsíci

    Makonda hoyee, hii kazi ya kuwakoromea hawa wezi anaiweza makonda tu, makonda hoyeee