HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2020
  • HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
    Mbunge jumanne kishimba ametoa ushauri katika sekta ya afya na ajira wakati akichangia taarifa za kamati za kudumu za bunge jijini dodoma
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    czcams.com/users/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    czcams.com/users/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    czcams.com/users/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    czcams.com/users/playlist?list...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 219

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 Před 3 lety +48

    *_aisee nimemkubali huyu mbunge! Kama unaungana nami hebu like kwa wingi hapa!_*

  • @bahatilaurence3335
    @bahatilaurence3335 Před 3 lety +4

    Mungu akubarik we mzee Wang huw unaongeaa fact Sana!!! Ss hao wengine wa kupongeza juhud!!!!

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Před 3 lety +4

    Kama umemuona mh.Mwigulu Nchemba gonga like hapa😀😀😀ila mbunge umeongea point sana sana sana...na kama umesikia neno mganga wa kienyeji piga kicheko hapa😀😀😀😂😂😂😂

  • @nebartmwakibinga9262
    @nebartmwakibinga9262 Před 3 lety +5

    Wewe mzee Yesu akubariki sana unaongea vizuri sana ni muhimu sana

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv5535 Před 3 lety +4

    Asante sana Baba kwa hoja nzuri Bungeni. Nakupenda kwa kuongea ukweli.👏🏾👏🏾👏🏾

  • @makambawaziri8588
    @makambawaziri8588 Před 4 lety +20

    Kwa wakati aliosoma muheshimiwa akukua na ufahulu tulicho kua tunaambiwa mnachaguliwa kutokana na nafasi zilizopo sasa ua naumia sana watu wanao wabeza sana watu wa darasa la saba

  • @janethlupilli1117
    @janethlupilli1117 Před 3 lety +3

    Mbuge wangu kishimba kura yangu haikuenda bure hata kama cina ajira leo umewaka historia, kwa hoja kuntu na hata ukifa leo mawazo yako tutayaisho Amen

  • @bantuflavourtz5680
    @bantuflavourtz5680 Před 4 lety +12

    Huyu mheshimiwa ndio nimemuelewa sana alicho kiongea ni kitu ambacho kinatugusa vijana wa leo wa Tanzania mungu amzidi shie afya na mawazo mazuri zaidi

  • @andreakulisha5144
    @andreakulisha5144 Před 4 lety +9

    Great thinkers are very few because they base on reality

  • @eatlawe
    @eatlawe Před 3 lety +4

    This gentleman is very intelligent!

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Před 3 lety +3

    Uyu mbunge ni jembe safi awa ndo wabunge tunao waitaji sio mbungu unatuletea salam za familia safi Sana baba

  • @devothadeogratias8520
    @devothadeogratias8520 Před 4 lety +5

    A big point, aisee akili ni nywere aisee A za kwenye vyeti hazina maana

  • @peterhano8706
    @peterhano8706 Před 4 lety +2

    Hongera sn mheshimiwa Jumanne Kishimba Pamoja mkuu uko sahihi kamanda chapa kazi ulipo nipo

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 Před 3 lety +3

    kama umeona wabunge wawili wanapiga story piga like

  • @happyneskanyenye3760
    @happyneskanyenye3760 Před 4 lety +2

    Huyu ndo Mh anayejua kujenga hoja za maana kulingana na mahitaji ya Jamii .......

  • @josephkuta7244
    @josephkuta7244 Před 4 lety +1

    Waaaaa this is the best mp in tz uku knya n nymbe bcz kxi yaoo n ksukuma watu shleni n ukwelii

  • @leonardgalila3032
    @leonardgalila3032 Před 4 lety +7

    The best MP in my history

  • @issanmedia4654
    @issanmedia4654 Před 3 lety +3

    An awam hii wabunge wenye elimu ndogo ndio wanachangia mawazo bora kuliko wote bungeni, kumbe visevesa is true

  • @anordefta2853
    @anordefta2853 Před 4 lety +3

    Safi sana; Haijalishi ni chuo cha serikali ama private wahakikishe ajira zipo; vijana wanateseka mtaani na ndiyo maana maadili yanashuka na ni chanzo uhalifu. Unakuta kijana kasoma IT anahitimu akikosa ajira anatumbukia kwenye wizi wa mtandao.
    Serikali tusapoti vijana wanoanahitimu vyuo maana bila hivyo wazazi wanakata tamaa kusomesha watoto huku wakihitimu wanaishia mtaani; yaani hakuna faida tena ya kusomesha maana vijana wengi wanaendelea kuwa tegemezi kwa wazazi wao hata baada ya kuhitimu masomo, baadala ya kulipa fadhira za kusomeshwa wanakuwa mzigo tena.
    It's so painful angalia future ya vijana ambao ndo taifa la leo na kesho.
    Fikiria ninyi mlio kwenye system serikalini kama mngehitimu masomo mkakosa ajira kama mngekuwa mlivyo leo.
    Hongera mzee kwa mchango wako wenye points za kiPhD, kwenye Elimu na Afya pana ukakasi kweli.

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 4 měsíci

    Huyu jamaa ni bright sana, kiwanda chake Zimbabwe kina wasomi wengi sana, naomba mpeni PhD ya heshima.

  • @amirichambua3134
    @amirichambua3134 Před 4 lety +8

    Hoja za msingi namkubali J. Kishimba

  • @gipsonmwankobela2825
    @gipsonmwankobela2825 Před 2 lety

    uyu mzee ni very free minded safi sana,

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 4 měsíci

    Uko sahihi sana maana sifa ya chuo tz ni majengo tu, na hata ajira ni cheti badara ya utaalamu, nilikutana na mtu masters Degree lkn report yake ni sawa na f6 lkn anavyeti vizuri toka chuo kikuu komoja.

  • @christianmwasakogo5579

    Umeongea point mbunge hongeraaaaa

  • @shaggytarange2794
    @shaggytarange2794 Před 4 lety +1

    Mzee yuko vizuri aysee

  • @rutakihama3523
    @rutakihama3523 Před 4 lety

    Daaaaah point ya msingi sanaaa

  • @fredrickbuya9293
    @fredrickbuya9293 Před 4 lety +1

    Mbunge anasema ila hoja inakuja 80%. Employment rate ya watu wote waliomaliza mwaka husika ni ngumu kutokana na rasilimani zetu na ufinyu wa sekta za ajira zenyewe nchini. Hoja ni kuhimiza watu kusoma na kupata elimu ili kujikomboa kifikra na kufungua fursa ktk vipaji na ugunduzi binafsi. Those people should be credited and be acknowledged by the government ila chuo hakiwezi fanikisha ajira ever since even wanafunzi wenyewe hawasomi mambo yao Bali wanachagua kozi kulingana na alama zao za necta na sio mipango ya nyuma ktk kujifahamu wanataka kufanya nini na kwanini

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 Před 2 lety

    Anaongea point San lkn hazitekelezwi wengi wao wanaon km anachekesha t dah 😢 mtu kaenda pk chuo kikuu lkn akimaliz anazurura mitaan myak 3 akisubir kuajiriwa ten saazingin pk atafut kweny Google ss faid yake nin Bora aishie la 7 t aangalie biashar zingin t

  • @janealoyce3866
    @janealoyce3866 Před 4 lety +1

    Nakuaminia my boss j4 kishimba mwenyezi Mungu azidi kukutumia unanifurahisha sana

  • @sulaithmayanja8052
    @sulaithmayanja8052 Před rokem

    Ahsante baba

  • @jabilingandule6621
    @jabilingandule6621 Před 4 lety +3

    Huyu ni mtu mwenye upeo wa mbali na huwa ananifanya niamini uzee dawa na angesikilizwa mambo yangekuwa powa sana

  • @zubedahussain2133
    @zubedahussain2133 Před 2 lety

    Mashallah mungu akulinde

  • @abelishirima8189
    @abelishirima8189 Před 4 lety

    Uko sawa mzee

  • @gerardamos5689
    @gerardamos5689 Před 4 lety

    Hongera sana mh kishimba

  • @Lo-33
    @Lo-33 Před 3 lety

    Best presentation

  • @jimmundakega9480
    @jimmundakega9480 Před 3 lety

    Safi sana!!

  • @abubakarminya2329
    @abubakarminya2329 Před 3 lety

    Oko sawa kabisa

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Před 3 lety

    Vizuri Sana veta inachelesha Sana Mimi nimejifanza ufundi kwa vitendo hao wanatoka veta tunaaza kuwafundisha upya sio vizuri fundisheni kwa vitendo Ada zinapoteA

  • @isackmwaluko113
    @isackmwaluko113 Před 4 lety +2

    Safiiiiiii kwenye vipimooo..

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 Před 4 lety

    Ni sawa kabisa

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Před 4 lety +2

    Iko ni kichwa👏

  • @eduardojose6229
    @eduardojose6229 Před rokem

    Nakuja tena,kuhusu ajira afrika tatizo tuna wabebesha madafutari mengi watoto wetu,mfano mtoto wadarasa 6 au 7 tunakuwa na masomo mengi alfu hayana tija,mimi niliona mtu asome 4 au 5 ajue kusoma na kuandika na miaka 5 asomee kire mwanafuzi anataka au anapenda kama ufundi,kuwa dakitari,fundi magali na mengineyo apo ndipo afrika tutapata wataharamu wa aina mbili mbili.

  • @farajishabani9896
    @farajishabani9896 Před 3 lety

    Nakukubali sana mzee

  • @justinmuhammed9865
    @justinmuhammed9865 Před 4 lety

    Naibu speaker nyingi sana

  • @vincentvitalius9346
    @vincentvitalius9346 Před 4 lety +3

    Kama wabunge wangesikilizana kama walivyosikilizana kwa huyu, kama wangechangia kama alivyochangia huyu Mbunge lingekuwa na maana kubwa! Mungu akubariki nastahili na unastahili mimi kukuita muheshimiwa! Shikamoo

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 3 lety

    Uko safi Safi

  • @rajabungatanda3749
    @rajabungatanda3749 Před 4 lety

    Yani mh.upo vizuri
    Unaongea mambo yanayoigusa jamii kila siku

  • @emmanuelbui662
    @emmanuelbui662 Před 4 lety

    Very bright

  • @robathzingu1650
    @robathzingu1650 Před 3 lety

    Ana mawazo mazuri lakini ni ngumu sana kuya - implement bila kusababisha chaos ktk jamii. Ukitaka kuyatekeleza mawazo ya mbunge Kishimba, ni sharti yapitie kwenye chekecheo la wataalamu wa mipango kupima cons & dis. Ni kweli kusoma sana haina maana ya kuwa unaweza. Lakini lazima tukiri kuwa elimu ni muhimu sana ili kukusaidia kufanya mambo ktk ubora zaidi...

  • @emanuelshayayi54
    @emanuelshayayi54 Před 4 lety +2

    Kalemani oyeeeeee!.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 3 lety +1

    Sasa watu waogope kufungua vyuo kwakuwa hana vigezo vya kuwapatia hajira?!!!! Wacha watu waelemike.

  • @wilbroadmalima4386
    @wilbroadmalima4386 Před 4 lety +2

    Mheshimiwa naibu spika Mara 89 umetixha xana like zenu hku

  • @lukullikiwamba6494
    @lukullikiwamba6494 Před 3 lety

    ukweli kabisa ...

  • @naamateopailingeer4750

    Nc mbunge from khm.hongera

  • @andrewwilliam6066
    @andrewwilliam6066 Před rokem

    Hongera sana kishimba

  • @patricks.phabian6755
    @patricks.phabian6755 Před 2 lety

    Big brain

  • @namkundaemmanuel3408
    @namkundaemmanuel3408 Před 3 lety

    Kweli nahis kale kausemi ka kusoma sana ni kuwa mjinga ona hzo cheche aiseee stn 7 hyo

  • @salehhemed9388
    @salehhemed9388 Před 4 lety +10

    Jamaa wanachezza game kule nyuma 😁😁

  • @brithonmjema2833
    @brithonmjema2833 Před 3 lety +2

    Mkumbushe na wazir mkuu lile swala la urasimishaj mafund limekwamia wap mbona tuliandika majina na namba za simu lakin limekaa kimya?

  • @emmanuelngewa8894
    @emmanuelngewa8894 Před 2 lety

    mzee wangu huyo kishimba ..kahama no;1...naikumbuka sana shule yake ya kishimba secondary school iliyopo mtaa wa ng'wamva kahama, mzee wa siku nyingi sana huyu kwenye harakati za maisha, yeye anaishi maisha mawzo yake, haishi mawazo ya kupandikizwa

  • @vincentpascal5996
    @vincentpascal5996 Před 3 lety

    Nice

  • @mwanahamishassan8017
    @mwanahamishassan8017 Před 2 lety

    Kweli baba

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi7354 Před 3 lety

    Baba j4 kishimba shkamo, unifungua sanaaaaaaaaaah najifunza kwako

  • @charlesgasper2243
    @charlesgasper2243 Před 3 lety

    Uongozi ni hekima nabusara na wala wala si PhD ingekuwa hivyo Huyo mheshimiwa hata hata akipewa ngazi za juu. anaweza!

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před 4 lety +8

    Uyu mbunge nimemkubali ni kichwa sana🤣😆

  • @mussasadick770
    @mussasadick770 Před rokem

    Wakimaliza kujifunza kupaka rangi wafundishwe biashara Ili waweze kujiendesha kwenye maisha ya Kila siku

  • @janethlupilli1117
    @janethlupilli1117 Před 3 lety

    Kila mpunge wa kila wilaya zote watoe idadi ya wasomi wake pia zipo sector nying huko wilayn kwao watupachike jamn

  • @kazyobabagomwa2928
    @kazyobabagomwa2928 Před 4 lety

    point mh

  • @hamisikyando8351
    @hamisikyando8351 Před 3 lety

    .Safi mubunge

  • @samwelijalalya9608
    @samwelijalalya9608 Před 4 lety

    Correct

  • @gracejuma388
    @gracejuma388 Před 3 lety

    Big up

  • @amanindatu3286
    @amanindatu3286 Před 3 lety

    Safi mweshmiwa

  • @dazk7861
    @dazk7861 Před 3 lety

    Ahahahah huyu jamaa ni zaidi ya professor,,kweli kuna tofauti kati ya elimu na akili

  • @jumarashidi9117
    @jumarashidi9117 Před 3 lety

    Nawapongeza sana wabunge wetu ni wawakilishi wazuri wa wananchi

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 3 lety

    Bunge hili ni 🔥🔥

  • @anisiaonorati2688
    @anisiaonorati2688 Před 4 lety

    Yes

  • @majimotomalole9812
    @majimotomalole9812 Před 3 lety

    Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya elimu dunia na elimu ya makaratasi

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj1822 Před 4 lety +2

    Sidhani ka kua la saba kuna mnyima mtu nafasi ya kujenga hoja jamani ni hvi leo hapa USA watu wamegundua izo vyeti hazina maajabu leo magwiji wa ugunduzi ni waloacha masomo frm kina bill gates na kina zuckeberg

  • @shaibunyenzi8712
    @shaibunyenzi8712 Před 4 lety +1

    Huyu ndie mbunge pekee anayewasilisha bungeni mawazo halisi ya sisi laymen wa huku mitaani👌👌

  • @meshacktimoth1370
    @meshacktimoth1370 Před 4 lety +1

    Huu ni ukweli .
    Tunapaswa tuelekeze nguvu kwenye ubunifu na umahiri unaoleta tija .

  • @jumakhoja4063
    @jumakhoja4063 Před 3 lety

    Mzee anajua sana

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 Před 3 lety +1

    Ni darasa la saba kwa maneno tu

  • @hamadamaani2516
    @hamadamaani2516 Před 4 lety +1

    Hyo 🖐️

  • @charlescoin536
    @charlescoin536 Před 3 lety

    Kwa hali hio hata should za sekondari zifutwe kwan kiingereza sio ligha yetu c ndio unachievable kimaanisha

  • @peterkayuwi8911
    @peterkayuwi8911 Před 4 lety +6

    Mbunge mwenye mawazo mapana na yenye tija

  • @johnsonpaul2883
    @johnsonpaul2883 Před 3 lety

    Huyu jamaa hatari sijui mbunge wa wapi anatoa vya uvunguni kabisaaa

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 Před 3 lety

    Mzee upo sahihi

  • @luulurashid990
    @luulurashid990 Před 3 lety

    Yaani kwanini watu wengine wanapewa vyeo vikubwa lakini hawana adamu ya kuitii sheria na thamani ya bunge. Ns kumweshimu mbunge mwenzie anaongea. Wao wako kule nyuma wakiombana namba sijui, sijui madili huku wakipiga simu. Absolute disgusting.

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Před rokem

    Uko sahihi mueshimiwa

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 Před 3 lety

    Nmekuelewa baba angu ila vijana tunateseka mtaan tu , tunasoma kutafta vyeti tu vyet vyenyew avisaidiii.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 4 lety +4

    Raisi tumpe kura 2020 ila upinzani ubaki kwani ni msaada kwa Raisi kugundua mengi laa sivyo asikubali wakabaki CCM tu akitaka kufanya vyama maana wengi humu ni wasaka tonge na si wakweli kwani Mheshimiwa Raisi si hata wewe mwenyewe unajua?

  • @sugarsugar1706
    @sugarsugar1706 Před 3 lety +1

    Bank statement pia wanatoza pesa nawo wangetoa garama hizo

  • @herymalundo1716
    @herymalundo1716 Před 4 lety +5

    Huyu mbunge hajawahi kuniangusha!

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 Před 2 lety

    Huyu bwna anaonekana kwny Maisha aliyapambania mwny sio Kama wabu nge wengine wamesoma akili hawana

  • @godsonlaizer1988
    @godsonlaizer1988 Před 3 lety

    awe waziri mara moja

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 3 lety

    Genius

  • @salmamakame6439
    @salmamakame6439 Před 3 lety

    Safi amemshinda mwenye phd

  • @asheryngaiti5549
    @asheryngaiti5549 Před 4 lety +2

    Maneno yaliyotamkwa mara nyingi ni mheshimiwa naibu spika

  • @kolethamartini5379
    @kolethamartini5379 Před 3 lety +1

    Mheshimiwa Kishimba 🤣

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Před 7 měsíci

    Huyu baba anacheleweshwa na nini kupewa UDAKTARI/ UPROFESA?