HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
Vložit
- čas přidán 5. 02. 2020
- HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
Mbunge jumanne kishimba ametoa ushauri katika sekta ya afya na ajira wakati akichangia taarifa za kamati za kudumu za bunge jijini dodoma
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
czcams.com/users/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
czcams.com/users/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
czcams.com/users/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
czcams.com/users/playlist?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline
*_aisee nimemkubali huyu mbunge! Kama unaungana nami hebu like kwa wingi hapa!_*
Mungu akubarik we mzee Wang huw unaongeaa fact Sana!!! Ss hao wengine wa kupongeza juhud!!!!
Kama umemuona mh.Mwigulu Nchemba gonga like hapa😀😀😀ila mbunge umeongea point sana sana sana...na kama umesikia neno mganga wa kienyeji piga kicheko hapa😀😀😀😂😂😂😂
Wewe mzee Yesu akubariki sana unaongea vizuri sana ni muhimu sana
Asante sana Baba kwa hoja nzuri Bungeni. Nakupenda kwa kuongea ukweli.👏🏾👏🏾👏🏾
Kwa wakati aliosoma muheshimiwa akukua na ufahulu tulicho kua tunaambiwa mnachaguliwa kutokana na nafasi zilizopo sasa ua naumia sana watu wanao wabeza sana watu wa darasa la saba
Kweli jamani watoto wanasoma halafu watotobwanabaki mitaani
Loo
.
Mbuge wangu kishimba kura yangu haikuenda bure hata kama cina ajira leo umewaka historia, kwa hoja kuntu na hata ukifa leo mawazo yako tutayaisho Amen
Huyu mheshimiwa ndio nimemuelewa sana alicho kiongea ni kitu ambacho kinatugusa vijana wa leo wa Tanzania mungu amzidi shie afya na mawazo mazuri zaidi
Great thinkers are very few because they base on reality
This gentleman is very intelligent!
Uyu mbunge ni jembe safi awa ndo wabunge tunao waitaji sio mbungu unatuletea salam za familia safi Sana baba
A big point, aisee akili ni nywere aisee A za kwenye vyeti hazina maana
Hongera sn mheshimiwa Jumanne Kishimba Pamoja mkuu uko sahihi kamanda chapa kazi ulipo nipo
kama umeona wabunge wawili wanapiga story piga like
Huyu ndo Mh anayejua kujenga hoja za maana kulingana na mahitaji ya Jamii .......
Waaaaa this is the best mp in tz uku knya n nymbe bcz kxi yaoo n ksukuma watu shleni n ukwelii
The best MP in my history
An awam hii wabunge wenye elimu ndogo ndio wanachangia mawazo bora kuliko wote bungeni, kumbe visevesa is true
Safi sana; Haijalishi ni chuo cha serikali ama private wahakikishe ajira zipo; vijana wanateseka mtaani na ndiyo maana maadili yanashuka na ni chanzo uhalifu. Unakuta kijana kasoma IT anahitimu akikosa ajira anatumbukia kwenye wizi wa mtandao.
Serikali tusapoti vijana wanoanahitimu vyuo maana bila hivyo wazazi wanakata tamaa kusomesha watoto huku wakihitimu wanaishia mtaani; yaani hakuna faida tena ya kusomesha maana vijana wengi wanaendelea kuwa tegemezi kwa wazazi wao hata baada ya kuhitimu masomo, baadala ya kulipa fadhira za kusomeshwa wanakuwa mzigo tena.
It's so painful angalia future ya vijana ambao ndo taifa la leo na kesho.
Fikiria ninyi mlio kwenye system serikalini kama mngehitimu masomo mkakosa ajira kama mngekuwa mlivyo leo.
Hongera mzee kwa mchango wako wenye points za kiPhD, kwenye Elimu na Afya pana ukakasi kweli.
Huyu jamaa ni bright sana, kiwanda chake Zimbabwe kina wasomi wengi sana, naomba mpeni PhD ya heshima.
Hoja za msingi namkubali J. Kishimba
uyu mzee ni very free minded safi sana,
Uko sahihi sana maana sifa ya chuo tz ni majengo tu, na hata ajira ni cheti badara ya utaalamu, nilikutana na mtu masters Degree lkn report yake ni sawa na f6 lkn anavyeti vizuri toka chuo kikuu komoja.
Umeongea point mbunge hongeraaaaa
Mzee yuko vizuri aysee
Daaaaah point ya msingi sanaaa
Mbunge anasema ila hoja inakuja 80%. Employment rate ya watu wote waliomaliza mwaka husika ni ngumu kutokana na rasilimani zetu na ufinyu wa sekta za ajira zenyewe nchini. Hoja ni kuhimiza watu kusoma na kupata elimu ili kujikomboa kifikra na kufungua fursa ktk vipaji na ugunduzi binafsi. Those people should be credited and be acknowledged by the government ila chuo hakiwezi fanikisha ajira ever since even wanafunzi wenyewe hawasomi mambo yao Bali wanachagua kozi kulingana na alama zao za necta na sio mipango ya nyuma ktk kujifahamu wanataka kufanya nini na kwanini
Anaongea point San lkn hazitekelezwi wengi wao wanaon km anachekesha t dah 😢 mtu kaenda pk chuo kikuu lkn akimaliz anazurura mitaan myak 3 akisubir kuajiriwa ten saazingin pk atafut kweny Google ss faid yake nin Bora aishie la 7 t aangalie biashar zingin t
Nakuaminia my boss j4 kishimba mwenyezi Mungu azidi kukutumia unanifurahisha sana
Ahsante baba
Huyu ni mtu mwenye upeo wa mbali na huwa ananifanya niamini uzee dawa na angesikilizwa mambo yangekuwa powa sana
Mashallah mungu akulinde
Uko sawa mzee
Hongera sana mh kishimba
Best presentation
Safi sana!!
Oko sawa kabisa
Vizuri Sana veta inachelesha Sana Mimi nimejifanza ufundi kwa vitendo hao wanatoka veta tunaaza kuwafundisha upya sio vizuri fundisheni kwa vitendo Ada zinapoteA
Safiiiiiii kwenye vipimooo..
Ni sawa kabisa
Iko ni kichwa👏
Nakuja tena,kuhusu ajira afrika tatizo tuna wabebesha madafutari mengi watoto wetu,mfano mtoto wadarasa 6 au 7 tunakuwa na masomo mengi alfu hayana tija,mimi niliona mtu asome 4 au 5 ajue kusoma na kuandika na miaka 5 asomee kire mwanafuzi anataka au anapenda kama ufundi,kuwa dakitari,fundi magali na mengineyo apo ndipo afrika tutapata wataharamu wa aina mbili mbili.
Nakukubali sana mzee
Naibu speaker nyingi sana
Kama wabunge wangesikilizana kama walivyosikilizana kwa huyu, kama wangechangia kama alivyochangia huyu Mbunge lingekuwa na maana kubwa! Mungu akubariki nastahili na unastahili mimi kukuita muheshimiwa! Shikamoo
My MP
Uko safi Safi
Yani mh.upo vizuri
Unaongea mambo yanayoigusa jamii kila siku
Very bright
Ana mawazo mazuri lakini ni ngumu sana kuya - implement bila kusababisha chaos ktk jamii. Ukitaka kuyatekeleza mawazo ya mbunge Kishimba, ni sharti yapitie kwenye chekecheo la wataalamu wa mipango kupima cons & dis. Ni kweli kusoma sana haina maana ya kuwa unaweza. Lakini lazima tukiri kuwa elimu ni muhimu sana ili kukusaidia kufanya mambo ktk ubora zaidi...
Kalemani oyeeeeee!.
Sasa watu waogope kufungua vyuo kwakuwa hana vigezo vya kuwapatia hajira?!!!! Wacha watu waelemike.
Mheshimiwa naibu spika Mara 89 umetixha xana like zenu hku
ukweli kabisa ...
Nc mbunge from khm.hongera
Hongera sana kishimba
Big brain
Kweli nahis kale kausemi ka kusoma sana ni kuwa mjinga ona hzo cheche aiseee stn 7 hyo
Jamaa wanachezza game kule nyuma 😁😁
Nazani wamechaguliwa wakacheze gemu bungeni wamesaau walicho tumwa
hahaaa... yani nimecheka
Mkumbushe na wazir mkuu lile swala la urasimishaj mafund limekwamia wap mbona tuliandika majina na namba za simu lakin limekaa kimya?
mzee wangu huyo kishimba ..kahama no;1...naikumbuka sana shule yake ya kishimba secondary school iliyopo mtaa wa ng'wamva kahama, mzee wa siku nyingi sana huyu kwenye harakati za maisha, yeye anaishi maisha mawzo yake, haishi mawazo ya kupandikizwa
Nice
Kweli baba
Baba j4 kishimba shkamo, unifungua sanaaaaaaaaaah najifunza kwako
Uongozi ni hekima nabusara na wala wala si PhD ingekuwa hivyo Huyo mheshimiwa hata hata akipewa ngazi za juu. anaweza!
Uyu mbunge nimemkubali ni kichwa sana🤣😆
Wakimaliza kujifunza kupaka rangi wafundishwe biashara Ili waweze kujiendesha kwenye maisha ya Kila siku
Kila mpunge wa kila wilaya zote watoe idadi ya wasomi wake pia zipo sector nying huko wilayn kwao watupachike jamn
point mh
.Safi mubunge
Correct
Big up
Safi mweshmiwa
Ahahahah huyu jamaa ni zaidi ya professor,,kweli kuna tofauti kati ya elimu na akili
Nawapongeza sana wabunge wetu ni wawakilishi wazuri wa wananchi
Bunge hili ni 🔥🔥
Yes
Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya elimu dunia na elimu ya makaratasi
Sidhani ka kua la saba kuna mnyima mtu nafasi ya kujenga hoja jamani ni hvi leo hapa USA watu wamegundua izo vyeti hazina maajabu leo magwiji wa ugunduzi ni waloacha masomo frm kina bill gates na kina zuckeberg
Huyu ndie mbunge pekee anayewasilisha bungeni mawazo halisi ya sisi laymen wa huku mitaani👌👌
Huu ni ukweli .
Tunapaswa tuelekeze nguvu kwenye ubunifu na umahiri unaoleta tija .
Mzee anajua sana
Ni darasa la saba kwa maneno tu
Hyo 🖐️
Kwa hali hio hata should za sekondari zifutwe kwan kiingereza sio ligha yetu c ndio unachievable kimaanisha
Mbunge mwenye mawazo mapana na yenye tija
Huyu jamaa hatari sijui mbunge wa wapi anatoa vya uvunguni kabisaaa
Mzee upo sahihi
Yaani kwanini watu wengine wanapewa vyeo vikubwa lakini hawana adamu ya kuitii sheria na thamani ya bunge. Ns kumweshimu mbunge mwenzie anaongea. Wao wako kule nyuma wakiombana namba sijui, sijui madili huku wakipiga simu. Absolute disgusting.
Uko sahihi mueshimiwa
Nmekuelewa baba angu ila vijana tunateseka mtaan tu , tunasoma kutafta vyeti tu vyet vyenyew avisaidiii.
Raisi tumpe kura 2020 ila upinzani ubaki kwani ni msaada kwa Raisi kugundua mengi laa sivyo asikubali wakabaki CCM tu akitaka kufanya vyama maana wengi humu ni wasaka tonge na si wakweli kwani Mheshimiwa Raisi si hata wewe mwenyewe unajua?
Bank statement pia wanatoza pesa nawo wangetoa garama hizo
Huyu mbunge hajawahi kuniangusha!
Huyu bwna anaonekana kwny Maisha aliyapambania mwny sio Kama wabu nge wengine wamesoma akili hawana
awe waziri mara moja
Genius
Safi amemshinda mwenye phd
Maneno yaliyotamkwa mara nyingi ni mheshimiwa naibu spika
MH NAIBU SPIKA Hahahahahah
Mheshimiwa Kishimba 🤣
Huyu baba anacheleweshwa na nini kupewa UDAKTARI/ UPROFESA?