MBUNGE ATINGA NA COUNTER BOOK, SARE ZA SHULE BUNGENI/ASHANGAA WAANAFUNZI KUVAA MASHATI MEUPE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2021

Komentáře • 321

  • @yahayamaulanaworldwide6036
    @yahayamaulanaworldwide6036 Před 3 lety +14

    Huyu kiongozi nikiongoza hasaa..!! Like nyingi kwake

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 3 lety +46

    Huwa namuelewa sana huyu mzee pengine wao wasomi wanamuona hana akili lakini nikweli watoto wadogo wana beba madaftari mengi kuliko

  • @maajabuonlinetv5769
    @maajabuonlinetv5769 Před 3 lety +10

    Hivi huyu mbunge ni wa ccm au alitoka vyama vingine.
    Duh.....
    Akili na ukweli alionao ni ya hali ya juu Sana
    Ila kwakua ni mwendo wa kukandamizana tu naamini hawatayajali hayo aongeayo huyu mbunge

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj Před 3 lety +29

    Huyu Baba ni mwana harakati wa elimu nchini.

    • @rosticamposi7922
      @rosticamposi7922 Před 3 lety

      Kwakwel

    • @reedbruno8527
      @reedbruno8527 Před 2 lety

      i guess it's kinda randomly asking but do anybody know of a good place to watch newly released movies online?

  • @heroes1932
    @heroes1932 Před 3 lety +6

    Your real great thinker of this century, Africa we real need to wake up our mindset and change how we think and how we see things, poor mindset is real big problem for us

  • @pascalhoza6297
    @pascalhoza6297 Před 3 lety +9

    Mzee mungu akubariki sana wewe kweli ni mzazi mwenzangu umesema kweli kabisa tusaidie sisi wezako angalau bunge limekuwa na maana.

  • @jasminjamali9518
    @jasminjamali9518 Před 3 lety +4

    Ukisikiliza juu juu uwez elewa lakin uyu mzee Makin Sana kwenye kutafakar

  • @jesalutv5112
    @jesalutv5112 Před 2 lety +3

    Kama umemuelewa huyu Mzee like ziongezeke

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 3 lety +12

    Msicheke pumbavu lichukulieni siliasi hilotatizo mzee anahoja zuri mnafanya mzaha mzaha wanafiki majambazi waajabu!!!!!

  • @mangeo2562
    @mangeo2562 Před 3 lety +31

    Mzee ana akili kubwa sana

  • @vitalicamos9887
    @vitalicamos9887 Před 3 lety +2

    Kwa kweli asiyemuelewa huyu mzee basi kichwa yake mbovu yupo silius ndio maana wengine wanacheka yeye hacheki... binafsi nampongeza kwa mawazo mazuri sana amewatetea watanzania wote hasa wenye hali duni... Makauta 11 mtoto anatembea km 6 kwenda makurudi na njaaa!! Mungu akubariki mbunge wa wote!

  • @costantinekeraryo9160
    @costantinekeraryo9160 Před 3 lety +9

    Kwel kabisa maitaji ya shule ndo yanachosha kuliko elimu yenyewe

  • @velejilyomhongole6698
    @velejilyomhongole6698 Před 3 lety +20

    Huyu Mbunge Hakika yupo kazini

  • @aminafrancismwandu5789
    @aminafrancismwandu5789 Před 3 lety +7

    Mungu akubaliki watoto wafika wamechoka mzigo mzito wa makaunta books

  • @nessmwambogolo2545
    @nessmwambogolo2545 Před 3 lety +8

    Tungekuwa na mbuge Kama huyu mbozi magharibi ingekuwa 🔥🔥🔥🔥

  • @twalibumngoma903
    @twalibumngoma903 Před 3 lety +8

    Mzee wangu ushawafikishia dawa kaxi kwao wenye dhamana. Mwenyex mungu akupe umr mrefu zaid kusemea malaika/watoto wetu

  • @alfeokaguo1663
    @alfeokaguo1663 Před 3 lety +2

    Hongera sana mheshimiwa mbunge nimekuelewa vizuri sana umenena mengi sana mpka uchungu nikiangalia uhalisia dah

  • @deusimtewele2301
    @deusimtewele2301 Před 3 lety +4

    Upo vizuri Mbunge lakini binge Hilo la Ndugai ni sikio halisikii dawa Mbati alilalamika Sana na akatoa mwongozo hawakusikia wafundishe hawo nakuombea uwe spika muda ujao we Kishimba Suruhisho Itisheni wadau secta zote kaeni kitaifa ili tuone elimu yetu iweje siyo Kila Kona ubabe tunauwa nchi

  • @salmaomari1988
    @salmaomari1988 Před 3 lety +5

    Asanteee baba mungu akuweke muda mrefu uendelee kutufikishia ujumbe wetu Kwa wakuu

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 Před 3 lety +9

    Kwangu Mimi huyu ni Mbunge Bora kabisa katika hili bunge

  • @helmenselly3799
    @helmenselly3799 Před 3 lety +6

    Nakupongezaa sana mbunge, big up sana

  • @edsonbalige3702
    @edsonbalige3702 Před 3 lety +12

    Uyu mzee nimemkubali Sana anaongea kitu kwa kuvaa ule ualisia ulvyo, nimependa point zake

  • @ceasariomulumba5956
    @ceasariomulumba5956 Před 3 lety +4

    Great... Very impressive...

  • @samsonjudith3425
    @samsonjudith3425 Před 3 lety +7

    Yani baba mueshimiwa umeongea point sana

  • @edisonkashaija4067
    @edisonkashaija4067 Před 3 lety +17

    Safi sana maneno kuntu anaongea kama mzaha lakn ukisikiliza kwa umakini ni maneno yenye tija sana Ahsante sana gangana kwa kutusogezea hii kitu🙏🙏

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 3 lety +5

    Wewe ndo unajua wananchi wako wanataka nn mzee big up sana mzee nimekupenda kwa hoja zako.

  • @musakucheje3477
    @musakucheje3477 Před 3 lety +4

    Uyu mzee kwangu nimemuelewa Sana

  • @yohanaagustino4610
    @yohanaagustino4610 Před 3 lety +2

    Kishimba kwa ethics aah sikupingi baba ipe serikali mawazo haya chanya

  • @alimahmud8927
    @alimahmud8927 Před 3 lety +13

    Kweli kabisa huku Kwetu wanawatoa watoto shuleni saa11 jioni, Pia kuna zimwi la tuition linakula pesa kila siku, pia kuna jezi kuna na hela za Mitihani pia hii elimu sio bure tunalipia Nyuma ya pazia

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Před 3 lety +1

    Hongera sana Kishimba
    Ukweli ni KUWA wasukuma ni
    Wazalendo sana katika Taifa
    Msoga ni wezi na wapiga dili kwa kupakia TWIGA WETU kwa masrahi yao

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV Před 3 lety +3

    Kwa nini wasikupe tu hiyo wizara ubadilishe mambo?Mawazo chanya kiukweli baba👏🏿👏🏿

  • @masungamashauri4070
    @masungamashauri4070 Před 3 lety +8

    This guy is lovely Member of the Parliament who scratches the heads of the bright Ministers of Tanzania. Kishimba is the best genius who have not gone to School but he is gives us best ideas ever seen in Tanzanian's Parliament

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 3 lety +1

    Watoto wanaumia Sana kuyabeba ma counter book hayo! Mabegi kwanza hayadumu yanachanika na kukatiia! Uko sawa kabisa! Kwenye elimu uko vizuri Sana!

  • @genovevakaneke1727
    @genovevakaneke1727 Před 3 lety +1

    Safi Sana Mzee Kwa hoja za msingi Allah akulipe

  • @saidiabdallah2603
    @saidiabdallah2603 Před 3 lety +1

    Safi sana mh Mbunge umeongea point hongera kwa kufkria mbali mh

  • @fatumajuma1157
    @fatumajuma1157 Před 3 lety +8

    Baraka za mungu zikufkie

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 Před 3 lety +5

    Tunataka wabunge kama hawa! Ubunifu wa kizalendo!

  • @salmaomari1988
    @salmaomari1988 Před 3 lety +1

    Asante sana fikisha ujumbe wanakataza watoto kupeleka chakula shule na bado kupika ni matatizo,watoto wataelewa vip na njaa

  • @mizeckmwambuputa9970
    @mizeckmwambuputa9970 Před 3 lety +3

    Mbunge wangu umenitetea kihalali myonge,hongera sana

  • @haclarelukuwi3778
    @haclarelukuwi3778 Před 3 lety +1

    Munguuu akuwekeee miaka 10000 bungeniiii unapoint za kikubwaaa

  • @Somatostatin360
    @Somatostatin360 Před 3 lety +3

    Hongera sn mbunge

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 Před 3 lety +14

    Huyu mbunge Ni genious

  • @josephatmgeka8678
    @josephatmgeka8678 Před 3 lety +10

    Unaweza chukulia mzaha ila mzee yupo sahihi

  • @gililwise
    @gililwise Před 3 lety +4

    Yaani watoto wameshakuwa na.ulemavu wa mabega sababu ya.kubeba macounter book.

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu2811 Před 3 lety +7

    when the teacher is speaking and the class is making noise, then teacher is like.. ok am leaving nw, meet you in an exam.

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 Před 3 lety +5

    Huyu Baba huwa namuelewaga 🤣🤣🤣🤣👍

  • @abedysteven6910
    @abedysteven6910 Před 3 lety +2

    Mzee umeongea K2 cha mana sana!!!

  • @muslimicone1751
    @muslimicone1751 Před 3 lety +2

    Kwa mbunge huyu, nataman kumuona ikulu, maAna anaonekana kua mzarendeo.

  • @ahmadchimale7607
    @ahmadchimale7607 Před 3 lety +1

    Sio kweli,mtoto wa miaka 8 hawez tumia counter book q 4,si kweli.Hizo nyeupe n njia mojawapo ya kuwafundisha watoto u smart na kua safi muda wote.Mnafurahia utopolo,this is Tz

  • @amanikawogo8478
    @amanikawogo8478 Před 3 lety +3

    Safi sana baba nimekuelewa

  • @deustobias765
    @deustobias765 Před 3 lety +12

    Uko sahii

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 3 lety +2

    Counterbook husaidia kuweka notes nyingi na kumsaidia mwanafunzi kutokupoteza notes. Lakini isiwelazima. Kuhusu sare ziendane na hali ya mahalia. Uzungu zungu tuache. Wazazi wachangie chakula cha watoto wao mchana hata angalau uji wa sukari. Wengine tulikunywa uji mchana na tukamaliza sekondari.

  • @ashasaidi1895
    @ashasaidi1895 Před 3 lety +2

    Umeeleweka mbunge tuko pamoja

  • @tumainirichard6298
    @tumainirichard6298 Před 3 lety +4

    Kishimba umeongea vizuri sana na una points nzuri mnoo, lkn wengine wanakodoa macho hawaelewi kwa kuwa wamezoea longolongo.

  • @fatumashekutu3873
    @fatumashekutu3873 Před 3 lety +1

    Safi sana umeongea kweli shule watu wanashindwa

  • @mariumpeter6147
    @mariumpeter6147 Před 3 lety +2

    Mh.Kishimba huwa nakuelewa sana. Baba huwa nakufuatilia hoja zako zote nakuelewa zaidi ya sana

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 Před 3 lety +7

    Huyu mbunge anakili sana iko siku watamuelewa tuu

  • @crissinkala3110
    @crissinkala3110 Před 3 lety +4

    Miongoni mwa wabunge wenye fikira nzito

  • @bensonmtigo8078
    @bensonmtigo8078 Před 3 lety +2

    Salute sanaaa mheshimiwa mbunge

  • @peterdomnick585
    @peterdomnick585 Před 3 lety +1

    Wanafiki wanakucheka ila unatetea haki xetu mungu akutangulie kishimba

  • @marcoboniphace8108
    @marcoboniphace8108 Před 3 lety +1

    HONGERA SANA MBUNGE WETU WA KAHAMA UMEONYESHA UMAHILI MKUBWA KURA ZETU UNAZITENDEA HAKI .

  • @elizaboster9479
    @elizaboster9479 Před 3 lety +1

    Mzee yupo vizuri

  • @salviusbasil5334
    @salviusbasil5334 Před 3 lety +1

    Hakika huyu ana mtazamo chanya wa kielimu,Kwa haraka nilivyoelewa Mh.Kishimba anamaanisha Elimu kwa vipendo na mazingira.Heko kwa mbunge wangu Khm twn

  • @varmandavarmtv8999
    @varmandavarmtv8999 Před 3 lety +1

    Mimi nilijiuliza Mwanagu J3 mitihani na j5 na jmosi nmitihani sijui kusoma nilini na nmemkuta mwanangu. Kapigwa kisa hakwenda na pesa hivi chaki znazo tumika kuandika ubaon nizile zile nyeupe nilizo someshwa Mimi au za sasahivi zina rangi maana baada anipigie mtoto kwa kutopanda max na mm nyumbani nkamuongeza vboko mtoto anapgwa kwenye swala la pesa na mitihani mala 3 kwa wiki nkipimo Cha masomo ya siku ngapi kwa wiki Mm niseme Nina Jambo la kufanya na siku nitasikika nkilifanya

  • @rwelamira
    @rwelamira Před 3 lety +11

    Huyu Baba anafaa kuwa Waziri wa Elimu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      watu kama hao huwa hawapendwi

    • @anthonynetto4503
      @anthonynetto4503 Před 3 lety

      Kweli baba wengine tumesusiwa watoto na wanaume counter book nyingi tunapata wapi?

  • @nuratkalinga581
    @nuratkalinga581 Před 3 lety +8

    Nikweli watoto wetu wanaumwa vifua kila siku daftari 11 harafu bado daftari za msomi kwa ajiri ya twisheni.Tuna umia sana .

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 Před 3 lety +2

    Kweli kabisa.wengine tunashindwa pa kusemea. Asante

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 Před 3 lety +9

    Swadakta wallah

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat9107 Před 3 lety +11

    Ukiwa baba kama huyu unayo kazi maana yupo juu ni shidaa

  • @agustinokagoroba6116
    @agustinokagoroba6116 Před 3 lety +3

    Hata tukichanga chakula hakifikii wakati,unaweza ukakuta maharage yamebebwa umebaki unga matokeo hawali na mchango umetolewa.

  • @winfridaevarist8743
    @winfridaevarist8743 Před 3 lety +6

    Unasomea manunuzi,,unanunua nini miaka mitatu😆

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 Před 3 lety +3

    Nimekuelewa sana

  • @florarog548
    @florarog548 Před 3 lety +1

    Watoto wa shule za msingi wanalazimishwa kuwa na counter books na kusababisha kubeba mzigo wa madaftari, hii siyo sawa kabisa

  • @lucasjackson8675
    @lucasjackson8675 Před 3 lety +2

    Uko sawa kabisa shida ya inchi yetu nikuwa ni viongozi wenye masilahi binafs

  • @festomilinga5634
    @festomilinga5634 Před 3 lety +5

    Huyu mbunge hoja zake ziko very smart

  • @shamilahussein5294
    @shamilahussein5294 Před 3 lety +2

    Tatizo raisi ndie anae takiwa awe kikao mbele kwa wananchi wanyonge jamani

  • @alexmaiga5352
    @alexmaiga5352 Před 3 lety +2

    Mwamba anafikiri sanaaa 👊

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 Před 3 lety +17

    Huyu ni mzalendo kwelikweli

    • @wilsonytz6730
      @wilsonytz6730 Před 3 lety

      Na ndyo tunataka viongozi kama hawa ili inchi iende mbele zaidi

    • @rajabually2498
      @rajabually2498 Před 3 lety

      safi sana mbuge woyoooo

  • @barakaedwin4162
    @barakaedwin4162 Před 3 lety +6

    Duhh,leo kaongea point atareeeee,saaaaaafi

  • @rajabuomary3258
    @rajabuomary3258 Před 3 lety +12

    Huyu ndio pekee namba 1 Tanzania

  • @harrysonhihu3842
    @harrysonhihu3842 Před 3 lety +5

    Quite provocative thoughts there... Seems like the challenge of education systems not producing market-ready graduates is a problem that cuts across boundaries...

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 Před 3 lety +3

    Tanzania. ni nchi TAJIRI ila TATIZO ni msingi tuliowekewa toka mwanzo kuwa sisi ni masikinin kwatokana na waliotutangulia

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli8523 Před 3 lety +4

    Jobu anacheka we mtani naona umemuerewa mtan wako, poa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 3 lety +1

    Mh Kishimba unawasilishaga ukweli wa maisha. Na tena maisha ya kiafrika kabisa ila kwa kuwa tumeshajizunguka na kuwa wazungu weusi maskini nani akusikilize?

  • @ntibashimashima2919
    @ntibashimashima2919 Před 3 lety +1

    Nimekuelewa mkuu Ubalikiwe sana Mtumishi

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu2811 Před 3 lety +3

    very makini mr mbunge

  • @alkadokalimalwendo3396
    @alkadokalimalwendo3396 Před 3 lety +1

    ishi sanaaaa mzee wangu

  • @pronamsyangi6205
    @pronamsyangi6205 Před 3 lety +2

    Uko sawa kabisa baba,,Mungu akupe umri mrefu,, Elimu ya Tz ni kifungo Cha maisha

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 Před 3 lety +4

    Wote wangekua hivi,walau hata nusu tu .tusingekuwa hapa

  • @josiahlugwisha6273
    @josiahlugwisha6273 Před 3 lety +3

    Uko sawa kishimba kahama ni nuru kila siku.

  • @kelvinsweetbert981
    @kelvinsweetbert981 Před 3 lety +1

    Mzee yupo vzr sana

  • @sylivestermahajile5469
    @sylivestermahajile5469 Před 3 lety +1

    Nimekuelewa xana mzeee kweli kijijini elimu tabu

  • @stellakatega2033
    @stellakatega2033 Před 3 lety +3

    Mi hapo kugonga kuomba pesa ya kula shule na chenji hailudi.😁😁🚶🚶🚶🙏

  • @hangayamafenya8883
    @hangayamafenya8883 Před 3 lety +2

    hongera.sana.mzee.

  • @wilsonytz6730
    @wilsonytz6730 Před 3 lety +4

    Kishimba nakuelewa sana kaka gombea hata uraisi inchi utaiongoza vzr

  • @odethamathayo8468
    @odethamathayo8468 Před 3 lety +3

    Wabunge msicheke hiyo ya msingi sana

  • @boniphasfesto4325
    @boniphasfesto4325 Před 3 lety +1

    Hivi haya Mabunge mengine ni kama Machawi yapo yapo tu Shenzi kbs

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga3005 Před 3 lety +3

    Asante Sanaaa,

  • @abduelloth1560
    @abduelloth1560 Před 3 lety +1

    Huyu mbunge yuko vizuri na anaongea vitu vya msingi sana japo wengi wanamcheka

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      Hapana wenye akili wanamuelewa

  • @lyciouzdeee1018
    @lyciouzdeee1018 Před 3 lety +2

    MUNGU AKUBARIKI SANA KIONGOZI MTETEZI WA WANANCHI