Hivi huyu mbunge ni wa ccm au alitoka vyama vingine. Duh..... Akili na ukweli alionao ni ya hali ya juu Sana Ila kwakua ni mwendo wa kukandamizana tu naamini hawatayajali hayo aongeayo huyu mbunge
Your real great thinker of this century, Africa we real need to wake up our mindset and change how we think and how we see things, poor mindset is real big problem for us
Kwa kweli asiyemuelewa huyu mzee basi kichwa yake mbovu yupo silius ndio maana wengine wanacheka yeye hacheki... binafsi nampongeza kwa mawazo mazuri sana amewatetea watanzania wote hasa wenye hali duni... Makauta 11 mtoto anatembea km 6 kwenda makurudi na njaaa!! Mungu akubariki mbunge wa wote!
Upo vizuri Mbunge lakini binge Hilo la Ndugai ni sikio halisikii dawa Mbati alilalamika Sana na akatoa mwongozo hawakusikia wafundishe hawo nakuombea uwe spika muda ujao we Kishimba Suruhisho Itisheni wadau secta zote kaeni kitaifa ili tuone elimu yetu iweje siyo Kila Kona ubabe tunauwa nchi
Kweli kabisa huku Kwetu wanawatoa watoto shuleni saa11 jioni, Pia kuna zimwi la tuition linakula pesa kila siku, pia kuna jezi kuna na hela za Mitihani pia hii elimu sio bure tunalipia Nyuma ya pazia
This guy is lovely Member of the Parliament who scratches the heads of the bright Ministers of Tanzania. Kishimba is the best genius who have not gone to School but he is gives us best ideas ever seen in Tanzanian's Parliament
Sio kweli,mtoto wa miaka 8 hawez tumia counter book q 4,si kweli.Hizo nyeupe n njia mojawapo ya kuwafundisha watoto u smart na kua safi muda wote.Mnafurahia utopolo,this is Tz
Counterbook husaidia kuweka notes nyingi na kumsaidia mwanafunzi kutokupoteza notes. Lakini isiwelazima. Kuhusu sare ziendane na hali ya mahalia. Uzungu zungu tuache. Wazazi wachangie chakula cha watoto wao mchana hata angalau uji wa sukari. Wengine tulikunywa uji mchana na tukamaliza sekondari.
Mimi nilijiuliza Mwanagu J3 mitihani na j5 na jmosi nmitihani sijui kusoma nilini na nmemkuta mwanangu. Kapigwa kisa hakwenda na pesa hivi chaki znazo tumika kuandika ubaon nizile zile nyeupe nilizo someshwa Mimi au za sasahivi zina rangi maana baada anipigie mtoto kwa kutopanda max na mm nyumbani nkamuongeza vboko mtoto anapgwa kwenye swala la pesa na mitihani mala 3 kwa wiki nkipimo Cha masomo ya siku ngapi kwa wiki Mm niseme Nina Jambo la kufanya na siku nitasikika nkilifanya
Quite provocative thoughts there... Seems like the challenge of education systems not producing market-ready graduates is a problem that cuts across boundaries...
Mh Kishimba unawasilishaga ukweli wa maisha. Na tena maisha ya kiafrika kabisa ila kwa kuwa tumeshajizunguka na kuwa wazungu weusi maskini nani akusikilize?
Huyu kiongozi nikiongoza hasaa..!! Like nyingi kwake
Huwa namuelewa sana huyu mzee pengine wao wasomi wanamuona hana akili lakini nikweli watoto wadogo wana beba madaftari mengi kuliko
Ni kweli kabisa Tena a naongea kwa hisia Sana.
Hivi huyu mbunge ni wa ccm au alitoka vyama vingine.
Duh.....
Akili na ukweli alionao ni ya hali ya juu Sana
Ila kwakua ni mwendo wa kukandamizana tu naamini hawatayajali hayo aongeayo huyu mbunge
Huyu Baba ni mwana harakati wa elimu nchini.
Kwakwel
i guess it's kinda randomly asking but do anybody know of a good place to watch newly released movies online?
Your real great thinker of this century, Africa we real need to wake up our mindset and change how we think and how we see things, poor mindset is real big problem for us
Mzee mungu akubariki sana wewe kweli ni mzazi mwenzangu umesema kweli kabisa tusaidie sisi wezako angalau bunge limekuwa na maana.
Ukisikiliza juu juu uwez elewa lakin uyu mzee Makin Sana kwenye kutafakar
Kama umemuelewa huyu Mzee like ziongezeke
Msicheke pumbavu lichukulieni siliasi hilotatizo mzee anahoja zuri mnafanya mzaha mzaha wanafiki majambazi waajabu!!!!!
Mzee ana akili kubwa sana
Kwa kweli asiyemuelewa huyu mzee basi kichwa yake mbovu yupo silius ndio maana wengine wanacheka yeye hacheki... binafsi nampongeza kwa mawazo mazuri sana amewatetea watanzania wote hasa wenye hali duni... Makauta 11 mtoto anatembea km 6 kwenda makurudi na njaaa!! Mungu akubariki mbunge wa wote!
Kwel kabisa maitaji ya shule ndo yanachosha kuliko elimu yenyewe
Huyu Mbunge Hakika yupo kazini
Mungu akubaliki watoto wafika wamechoka mzigo mzito wa makaunta books
Tungekuwa na mbuge Kama huyu mbozi magharibi ingekuwa 🔥🔥🔥🔥
Mzee wangu ushawafikishia dawa kaxi kwao wenye dhamana. Mwenyex mungu akupe umr mrefu zaid kusemea malaika/watoto wetu
Hongera sana mheshimiwa mbunge nimekuelewa vizuri sana umenena mengi sana mpka uchungu nikiangalia uhalisia dah
Upo vizuri Mbunge lakini binge Hilo la Ndugai ni sikio halisikii dawa Mbati alilalamika Sana na akatoa mwongozo hawakusikia wafundishe hawo nakuombea uwe spika muda ujao we Kishimba Suruhisho Itisheni wadau secta zote kaeni kitaifa ili tuone elimu yetu iweje siyo Kila Kona ubabe tunauwa nchi
Asanteee baba mungu akuweke muda mrefu uendelee kutufikishia ujumbe wetu Kwa wakuu
Kwangu Mimi huyu ni Mbunge Bora kabisa katika hili bunge
Nakupongezaa sana mbunge, big up sana
Uyu mzee nimemkubali Sana anaongea kitu kwa kuvaa ule ualisia ulvyo, nimependa point zake
Kweli kabisa tumpe tuzo
Great... Very impressive...
Yani baba mueshimiwa umeongea point sana
Safi sana maneno kuntu anaongea kama mzaha lakn ukisikiliza kwa umakini ni maneno yenye tija sana Ahsante sana gangana kwa kutusogezea hii kitu🙏🙏
Wewe ndo unajua wananchi wako wanataka nn mzee big up sana mzee nimekupenda kwa hoja zako.
Uyu mzee kwangu nimemuelewa Sana
Kishimba kwa ethics aah sikupingi baba ipe serikali mawazo haya chanya
Kweli kabisa huku Kwetu wanawatoa watoto shuleni saa11 jioni, Pia kuna zimwi la tuition linakula pesa kila siku, pia kuna jezi kuna na hela za Mitihani pia hii elimu sio bure tunalipia Nyuma ya pazia
Kwenu wapi huko?
Hujalazimishwa kupeleka tution
Hongera sana Kishimba
Ukweli ni KUWA wasukuma ni
Wazalendo sana katika Taifa
Msoga ni wezi na wapiga dili kwa kupakia TWIGA WETU kwa masrahi yao
Kwa nini wasikupe tu hiyo wizara ubadilishe mambo?Mawazo chanya kiukweli baba👏🏿👏🏿
This guy is lovely Member of the Parliament who scratches the heads of the bright Ministers of Tanzania. Kishimba is the best genius who have not gone to School but he is gives us best ideas ever seen in Tanzanian's Parliament
Watoto wanaumia Sana kuyabeba ma counter book hayo! Mabegi kwanza hayadumu yanachanika na kukatiia! Uko sawa kabisa! Kwenye elimu uko vizuri Sana!
Safi Sana Mzee Kwa hoja za msingi Allah akulipe
Safi sana mh Mbunge umeongea point hongera kwa kufkria mbali mh
Baraka za mungu zikufkie
Ndie huyo
Tunataka wabunge kama hawa! Ubunifu wa kizalendo!
Asante sana fikisha ujumbe wanakataza watoto kupeleka chakula shule na bado kupika ni matatizo,watoto wataelewa vip na njaa
Mbunge wangu umenitetea kihalali myonge,hongera sana
Munguuu akuwekeee miaka 10000 bungeniiii unapoint za kikubwaaa
Hongera sn mbunge
Huyu mbunge Ni genious
Unaweza chukulia mzaha ila mzee yupo sahihi
Yaani watoto wameshakuwa na.ulemavu wa mabega sababu ya.kubeba macounter book.
when the teacher is speaking and the class is making noise, then teacher is like.. ok am leaving nw, meet you in an exam.
Huyu Baba huwa namuelewaga 🤣🤣🤣🤣👍
Mzee umeongea K2 cha mana sana!!!
Kwa mbunge huyu, nataman kumuona ikulu, maAna anaonekana kua mzarendeo.
Sio kweli,mtoto wa miaka 8 hawez tumia counter book q 4,si kweli.Hizo nyeupe n njia mojawapo ya kuwafundisha watoto u smart na kua safi muda wote.Mnafurahia utopolo,this is Tz
Safi sana baba nimekuelewa
Uko sahii
Counterbook husaidia kuweka notes nyingi na kumsaidia mwanafunzi kutokupoteza notes. Lakini isiwelazima. Kuhusu sare ziendane na hali ya mahalia. Uzungu zungu tuache. Wazazi wachangie chakula cha watoto wao mchana hata angalau uji wa sukari. Wengine tulikunywa uji mchana na tukamaliza sekondari.
Umeeleweka mbunge tuko pamoja
Kishimba umeongea vizuri sana na una points nzuri mnoo, lkn wengine wanakodoa macho hawaelewi kwa kuwa wamezoea longolongo.
Safi sana umeongea kweli shule watu wanashindwa
Mh.Kishimba huwa nakuelewa sana. Baba huwa nakufuatilia hoja zako zote nakuelewa zaidi ya sana
Huyu mbunge anakili sana iko siku watamuelewa tuu
Huyu mbunge ni education currently
Miongoni mwa wabunge wenye fikira nzito
Salute sanaaa mheshimiwa mbunge
Wanafiki wanakucheka ila unatetea haki xetu mungu akutangulie kishimba
HONGERA SANA MBUNGE WETU WA KAHAMA UMEONYESHA UMAHILI MKUBWA KURA ZETU UNAZITENDEA HAKI .
Mzee yupo vizuri
Hakika huyu ana mtazamo chanya wa kielimu,Kwa haraka nilivyoelewa Mh.Kishimba anamaanisha Elimu kwa vipendo na mazingira.Heko kwa mbunge wangu Khm twn
Mimi nilijiuliza Mwanagu J3 mitihani na j5 na jmosi nmitihani sijui kusoma nilini na nmemkuta mwanangu. Kapigwa kisa hakwenda na pesa hivi chaki znazo tumika kuandika ubaon nizile zile nyeupe nilizo someshwa Mimi au za sasahivi zina rangi maana baada anipigie mtoto kwa kutopanda max na mm nyumbani nkamuongeza vboko mtoto anapgwa kwenye swala la pesa na mitihani mala 3 kwa wiki nkipimo Cha masomo ya siku ngapi kwa wiki Mm niseme Nina Jambo la kufanya na siku nitasikika nkilifanya
Huyu Baba anafaa kuwa Waziri wa Elimu
watu kama hao huwa hawapendwi
Kweli baba wengine tumesusiwa watoto na wanaume counter book nyingi tunapata wapi?
Nikweli watoto wetu wanaumwa vifua kila siku daftari 11 harafu bado daftari za msomi kwa ajiri ya twisheni.Tuna umia sana .
Vitabu bado umesahau
Kweli kabisa.wengine tunashindwa pa kusemea. Asante
Swadakta wallah
Ukiwa baba kama huyu unayo kazi maana yupo juu ni shidaa
Hata tukichanga chakula hakifikii wakati,unaweza ukakuta maharage yamebebwa umebaki unga matokeo hawali na mchango umetolewa.
Unasomea manunuzi,,unanunua nini miaka mitatu😆
Au ushirika, ushirika upi?
Nimekuelewa sana
Watoto wa shule za msingi wanalazimishwa kuwa na counter books na kusababisha kubeba mzigo wa madaftari, hii siyo sawa kabisa
Uko sawa kabisa shida ya inchi yetu nikuwa ni viongozi wenye masilahi binafs
Huyu mbunge hoja zake ziko very smart
Kaka nimemuelewa sana huyu mbunge
Tatizo raisi ndie anae takiwa awe kikao mbele kwa wananchi wanyonge jamani
Mwamba anafikiri sanaaa 👊
Huyu ni mzalendo kwelikweli
Na ndyo tunataka viongozi kama hawa ili inchi iende mbele zaidi
safi sana mbuge woyoooo
Duhh,leo kaongea point atareeeee,saaaaaafi
Huyu ndio pekee namba 1 Tanzania
AMA kweli mbunge kishimba wewe professor hongera sana unatukosha watanzania 🙏
Psmoja
Quite provocative thoughts there... Seems like the challenge of education systems not producing market-ready graduates is a problem that cuts across boundaries...
Tanzania. ni nchi TAJIRI ila TATIZO ni msingi tuliowekewa toka mwanzo kuwa sisi ni masikinin kwatokana na waliotutangulia
Jobu anacheka we mtani naona umemuerewa mtan wako, poa
Mh Kishimba unawasilishaga ukweli wa maisha. Na tena maisha ya kiafrika kabisa ila kwa kuwa tumeshajizunguka na kuwa wazungu weusi maskini nani akusikilize?
Nimekuelewa mkuu Ubalikiwe sana Mtumishi
very makini mr mbunge
ishi sanaaaa mzee wangu
Uko sawa kabisa baba,,Mungu akupe umri mrefu,, Elimu ya Tz ni kifungo Cha maisha
Wote wangekua hivi,walau hata nusu tu .tusingekuwa hapa
Hakika
Uko sawa kishimba kahama ni nuru kila siku.
Mzee yupo vzr sana
Nimekuelewa xana mzeee kweli kijijini elimu tabu
Mi hapo kugonga kuomba pesa ya kula shule na chenji hailudi.😁😁🚶🚶🚶🙏
hongera.sana.mzee.
Kishimba nakuelewa sana kaka gombea hata uraisi inchi utaiongoza vzr
Pamojaaa huyu ni mbunge halisi genius
Kwel
Wabunge msicheke hiyo ya msingi sana
Hivi haya Mabunge mengine ni kama Machawi yapo yapo tu Shenzi kbs
Asante Sanaaa,
Huyu mbunge yuko vizuri na anaongea vitu vya msingi sana japo wengi wanamcheka
Hapana wenye akili wanamuelewa
MUNGU AKUBARIKI SANA KIONGOZI MTETEZI WA WANANCHI