KISHIMBA AIBUKA NA HOJA NA KUKODISHA WANAUME “KWETU KULE KUNA MABANGO YA KUKODI WANAUME"

Sdílet
Vložit

Komentáře • 69

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 Před 2 lety +6

    Genius man. Viva forever Royal brother Prince Kishimba

    • @flova7022
      @flova7022 Před 2 lety

      How? I only see madness in him from his points

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 Před 2 lety +17

    Kwa bunge la sasa huyu ndo anaongelea maisha halisia na mh tabasam wengine wote waliobaki niwa namshukuru mh raisi kuliko hata Mungu

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 Před 2 lety +3

    Safi Sana kishimba kiboko ya wanafiki na wasanii wenye makaratasi badala ya elimu

  • @isayamaige7300
    @isayamaige7300 Před 2 lety +5

    Safi kabisa mh jumanne kishimba kwa hoja nzuri kabisa Safi kabisa

  • @emmanuelmarko8442
    @emmanuelmarko8442 Před 2 lety +3

    Kweli huyu kishimba yupo vizuri kwa hoja zake. Kama mm siwezi kwenda kabisa. Huu utaratibu ni waajabu kabisa kama mm naenda huko kufanya nini? Aliyepewa kazi ya kubeba mimba ni wanawake je! Wanaume wanaenda kuthibitisha wao ndio wamempatia mimba au ni nini jamani nilijiuliza sana lakini sijapata jibu kiukweli hii serikali inatuvua nguo. Hoja yako mh kishimba iko poa sana na hivyo ndio vitu vya muhimu katika maisha sio kupoteza dakika moja. Au hio ndio haki sawa?

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před 2 lety +1

    Ni kweli kabisa kama hujaenda na mume kwenye foleni utakuwa wa mwisho lakini ukienda na mwanaume unakuwa wa kwanza

  • @alexsimon5576
    @alexsimon5576 Před 2 lety +2

    Wanawake wengi huwa wanakonda wakifikri jinsi ya kwenda kliniki,mana baba hataki kabisa kusikia upuuzi kama huo!

  • @eliezamashimba4062
    @eliezamashimba4062 Před 2 lety +3

    Safi Sana mzee

  • @PhilopoDamiani
    @PhilopoDamiani Před rokem

    Nakubali sana mh jumanne hoja zako

  • @flova7022
    @flova7022 Před 2 lety +4

    Huu ndio ujinga nsiopenda...hivi wadhani kwenda na mwanaume wanasahau kuwa lengo ni afya ya mtoto..suppose Baba ni HIV positive..na mama ni negative huoni ni risk mtoto kuzaliwa positive kama hakuna intervention

    • @edwardpaulo3351
      @edwardpaulo3351 Před 2 lety

      Wewe ndokukuwale wakisasa muuluze mama yako amekwenda malanagpi na bb ako kilimik

    • @prosperjuma905
      @prosperjuma905 Před 2 lety +1

      Ndio shida ya kuwa na wabunge wasio na elimu ya kutosha.

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia Před 2 lety +1

    Genious sana

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 Před 2 lety +2

    Huyu mbunge ni kichwa hakika.
    Tunataka wabunge kama huyu.
    Ametulia ana
    Mapoint tupu,anajielewa.
    Ana akili na macho ya kuona mbali na kwenda na wakati...
    Sio hawa mapoyoyo wa ndiyoooooo

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 Před 2 lety +3

    Mzee kishimba unahoja nzuri sana lakini dawa hospital zetu hakuna unaandikiwa kwenda kununua maduka ya nje i

    • @peterhano8706
      @peterhano8706 Před 2 lety

      Hakika hakuna kama J4Kishimba kahama oyeeee

    • @lewisjovin
      @lewisjovin Před rokem

      Kwa hoja hii duka la dawa zinalo

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 2 lety +1

    tunajaribu kuiga ulaya eti,kwani huku ni kitu cha kawaida ...'supporting each other' TUACHE KUIGA CULTURE ZISIZO ZETU

  • @hamisisteven2018
    @hamisisteven2018 Před 2 lety +3

    Kishimba upo vozuli Sana hebu zungumuzia naswala la michango mashuleni imekuwa shida Hasa shule za mkoa wa mbeya

    • @jamesmasanja1963
      @jamesmasanja1963 Před rokem

      🤣 🤣 Yani tungepata nafasi ya kumpa kero za huku mtaani

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 2 lety +1

    hii ya kwenda ukapate dawa hospital na umezee hosoital hii haiko sawa,wauguzi na dr wana majukumu mengi ya kufanya,muwaongezee nahili?mtu unaumwa ni wajibu wako kumeza dawa au kutokumeza

  • @nassoribrahim5288
    @nassoribrahim5288 Před 2 lety +2

    💯💯💯💯

  • @ngwavi2886
    @ngwavi2886 Před 2 lety +2

    Huyu ndio MBUNGE

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Před rokem

    Kwel kabisa MZee unaongea point

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Před 2 lety +1

    Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 Před 2 lety

    Nakubalii

  • @fimboezekiel9654
    @fimboezekiel9654 Před 2 lety +2

    Genius

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 Před 2 lety

    Upo sahihiii

  • @zephaniahnestory2191
    @zephaniahnestory2191 Před 2 lety

    Kweli we profesa.

  • @lilymsophe1475
    @lilymsophe1475 Před 2 lety +1

    Lakin kwenda kiliniki Na mume ni nzuri ni kwaajili ya Afya kwa baba ,mama,mtoto ,,wangap.wanakutwa positive ilhali mwenz wake ni negative ,we mbunge fikiria vizur

  • @nurudinmwakisale1509
    @nurudinmwakisale1509 Před rokem

    Wa afyaaa

  • @paulojalango898
    @paulojalango898 Před 2 lety

    Daaaa huyu kichwa kweli kweli

  • @macleanmwakasangula7639
    @macleanmwakasangula7639 Před 2 lety +1

    Kujifungua n elfu 70

  • @perfectmasawe5870
    @perfectmasawe5870 Před 2 lety

    😂😂😂😂 Mh Kishimba

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 Před 2 lety

    Nilipoelewa zaidi amesema haiwezekani mimba zote ziwe na matatizo manàake Ka kuna ulazima wa kuhitajika mwanaume iwe ni Kwa issue special tu mimba ina matatizo

  • @abdallahmapila7939
    @abdallahmapila7939 Před 2 lety

    Kweli hatumalizi dozii aise ni kweli

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Před rokem

    Hani we MZee unaakili ngingisana hujawahi kukosea

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 2 lety

    Hapa inahitajika Elimu. Mbona ni jambo zuri kwenda na mke wako hosp.
    Lazima tutoke huko. Watu wajue kuwa suala la mimba ni la wote wawili.

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 2 lety +1

    Siyo kijijini tu hata mjini yapo

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 Před 2 lety

    Zee la hoja nyepesix2

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 Před rokem

    Muongeze wahudumu wa kugawa dawa maana follen itakuwa ni kubwa,

  • @abdallahmapila7939
    @abdallahmapila7939 Před 2 lety

    We mwamba

  • @msafirindalu122
    @msafirindalu122 Před 2 lety

    Mbunge anaejielewa

  • @nurudinmwakisale1509
    @nurudinmwakisale1509 Před rokem

    Uyu apewe uwaziri

  • @hamisikidabadaba8938
    @hamisikidabadaba8938 Před 2 lety +1

    eti Tanga na Pwani 🤣🤣

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Před 2 lety

    Wanampa mda mdg huyu mwamba

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Před 10 měsíci

    Rais kishimba wape darasa maporfesa mbumbu nafulahi hoja zako

  • @dullahyunusu3072
    @dullahyunusu3072 Před 2 lety +1

    Huyu mh anastahili kuwa makamu wa rais ama waziri mkuu

  • @annaniasbyarugaba5788

    Tanga & Pwani😂😂😂

  • @albetoemmanuel93
    @albetoemmanuel93 Před 2 lety +1

    Unastahili kuwa raisi, baba unajicho la mbali snaaa

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 Před 2 lety

    Kishimba ukigombea Urasi mwaka 2025 utashinda maana Una akili sana unaongea maisha Ali ya wanyonge

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 Před 2 lety

    Hakuna kitu kibaya kwa mwanaume kwenda na mke wake ambaye ni mjamzitu. Mwanaume kwenda hospitali mke mjamzito ina saidi familia kuwa imari (will improve relationship and bonding to unborn child)

    • @abdirizakhtuke2882
      @abdirizakhtuke2882 Před 2 lety +2

      Wewe mzungu , sisi waafrika.

    • @deohaule8161
      @deohaule8161 Před 2 lety

      @@abdirizakhtuke2882 ishu sio uzungu, itasaidia wanau kupunguza kusabibisha mimba zisizo na lazima kutokana na majukumu ya kulea

    • @johnngowi6619
      @johnngowi6619 Před 2 lety +1

      @@deohaule8161 wewe mzungu sisi waa frika broo

    • @deohaule8161
      @deohaule8161 Před 2 lety

      @@johnngowi6619 hamna uzungu au uafrika, watu wanazaa kama ng’ombe hawa wajali watoto wao. Serikali iendelea kufanya hivyo hivyo kupunguza watoto wa mitaani. Kwasababu malezi ya mtoto ni yawatu wawili mume na mke, na malezi haya yanaanza tangia mtoto yupo tumboni.

    • @boyfromtansania7788
      @boyfromtansania7788 Před 2 lety +1

      Sisi tunalengo la kuongezeka kuwa wengi ww unazungumzia kupunguza hizo ndo fikra za kisungu kisaikolojia waafrika tuzid kupungua

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Před 2 lety +1

    Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj