Kishimba aja na mapya, apendekeza Wizara ya Malalamiko na Matatizo "TUWE NA WIZARA YA KERO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 04. 2023
  • Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba ametaka Serikali kuunda Wizara mbili za Kero na Matumizi.
    Hata hivyo Kishimba amependekeza kuwa huu ni wakati wa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuanza ukaguzi mapendekezo kabla ya kuanza kwa Ujenzi wa miradi.
    Ametoa kauli hiyo leo Jumatano April 12,2023 mbele ya Bunge ambapo amesema hakuna anachosaidia CAG ikiwa anakwenda kufanya ukaguzi wakati matukio yakiwa yametendeka.

Komentáře • 60

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +11

    Iyo wizara ya kero muhimu sana tena iwe na call center kama tigo ili simu hadi za wananchi ziingie nakupewa reference number ambazo unaweza kutrack maendeleo ya kero 👏👏

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Před rokem +12

    Nampenda sana Huyu Mzee! Ana logic Sanaa

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Před rokem

      Japo hakwenda shule lakini ana mawazo kibao.....logic

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo2432 Před rokem +14

    Siku zote wenye uwezo wa kufikiri tofauti na wenzao ndio Huwa wanafanikiwa kishimba big up

    • @stanleyamlima2085
      @stanleyamlima2085 Před rokem +1

      Ndio kabisa!!! Hii ndio inaitwa logic au intuition

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před rokem +3

      Yaani huyu baba ni hekima na busara sana na anatoa maoni mazuri mungu ampe nguvu na aendelee na ubunge

  • @albertchubwa2546
    @albertchubwa2546 Před rokem +4

    Huyu ndo mbunge wetu kahama, fahari ya Kahama

  • @user-bp5pq8nw3f
    @user-bp5pq8nw3f Před 7 měsíci

    Namkubali sana huyu mzee anaongea point kuliko hata wenye PHD💪💪💪

  • @Franklin-px9ee
    @Franklin-px9ee Před rokem +8

    Mzee uwa ana point za maana sana.

  • @daccordaurevoir5526
    @daccordaurevoir5526 Před rokem +3

    Mara zoote Sheikh Kishimba huwa anazungumza kama anakosea ila huwa anazungumza ukweli mtupu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před rokem +2

    huyu mzee yupo vizur sana nampenda❤

  • @gerisonsilayo.6733
    @gerisonsilayo.6733 Před měsícem

    Huyu mwamba huwa anahoja za Peke yake.. Great thinker

  • @abubakaryrashidi1439
    @abubakaryrashidi1439 Před rokem +1

    Nakukubali sana boss wangu ukweli serikali ikisikiliza na kufata hoja bass matatizo mengi yataisha na tutaishi ktk haki stahiki mtuyoyote aliyewahi kufanya kazi na huyu mtu bac atanielewa pia nakushukuru sana bass kwa kile ulichonifundisha nimeshika na nakushikilia ulichonifunza na kimsaada mkubwa maishani mwangu

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 Před rokem +3

    Baba Kishimba nakuunga mikono Sana, mapesa yaliyotumika Vibaya kujenga masoko ya gorofa, angalia hapo Magomeni, Kwa mfano halisi, like soko lingeweza kujenga masoko ya chini, Ila, buguruni manzese n.k.aliyeamua ni mwanasiasa au mwana sayansi..waliofanya huo uamuazi katiba mpya iwawajibishe ..

  • @thomasmazik1962
    @thomasmazik1962 Před rokem +3

    mungu atutangulie wananchi wa kahama maana kwa mbunge kama huyu mmmh

    • @abdalaalmas2535
      @abdalaalmas2535 Před rokem

      Mbunge wetu ni mbunge mwenye point sana na anawafuasi wengi sana hapa Tz.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +1

    Mwanazengo nakupenda sana una maoni mazuri sana unayotoa bungeni

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Před rokem +1

    Nashangaa mpaka sana hata unaibu waziri hawaja mpya wangemtumia hata kuwa mshauri wa serikali watu wenye uzalendo hawapewi nafasi

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 Před rokem +10

    Huwezi sikia vyuo vyetu vya ndani vimemtunuku udakitari huyu mwamba lakini ukisikia mawazo yake huyu mh ni zaidi ya maprofesa.

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 Před rokem +1

    HUYU Mzee Huwa anafikiri nje ya box. Tatizo hatuwatumii ipasavyo watu kama hawa.

  • @bennettbennett2915
    @bennettbennett2915 Před rokem

    Mi nitakua rol model wako kwakweli napenda Sana unapochangia,,,yani Big up kwako Mzee kishimba

  • @masoudymichael
    @masoudymichael Před rokem +1

    Huyu ndiyo anatakiwa kupewa udaktari siyo Dr taletale

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Před rokem +3

    Umenena vema baba

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 Před rokem

    mheshimiwa mwenyekiti unaitaja sana usiwe muoga kihivyo, jiamini

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Před rokem +1

    Genius

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 Před rokem +1

    Safi kabisa kishimba nikopamojana ww

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc Před rokem

    THANKS MR ONLY 1 ✅

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 Před rokem +1

    Kabla hatujaenda kwenye biashara ½ya hela imeobiwa daaaah nimecheka Sana huyu dingi ni mnoma

  • @thechosenone.9169
    @thechosenone.9169 Před rokem +1

    Professor wa kuzaliwa.

  • @outzone66
    @outzone66 Před rokem +1

    Kishimba kwa hoja na udadavuaji yeye ni bora.

  • @denhotv9019
    @denhotv9019 Před rokem

    kabla hatujaanza biashara nusu ya hela imeibiwa. Hii nchi kuna watu wanatuchanganya sana hii.😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AmiriKutika-zk5lg
    @AmiriKutika-zk5lg Před rokem

    Guud,sanaaaaa

  • @babailacharles7199
    @babailacharles7199 Před rokem

    Nakukubali sana mkuu we ndo mbunge kipenzi changu

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před rokem

    Shida ya Tz wanaoenda kucheka mambo ya msingi , BADALA YA KITAFUTA CONCEPT YA MZUNGUMZAJI , wakifanyia KAZI HOJA zao zinafaida

  • @happymerry8675
    @happymerry8675 Před rokem

    I love you mzee

  • @emjay1016
    @emjay1016 Před rokem +1

    Najionaga naakili sana ila hii njemba imenizidi kilometa za kutosha upande huo.

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 Před rokem +1

    Wala blueband😂😂😂😂😂

  • @maumabennett8597
    @maumabennett8597 Před rokem

    Mh. Kishimba uko sawa

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 Před rokem

    Kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa wa Mazingira No. 20 ya 2004 (EMA 20 of 2002) kuna miradi iliyoainishwa kwa msana kuwa miradi ya aina hiyo isitekelezwe bila kufanyiwa uchunguzi wa Athari zake kwa mazingira na kwa ustawi au maendeleo ya jamii kwa ujumla. Masoko ni miongoni mwa miradi iliyoainishwa. Hakika sheria hii inavunjwa na wananchi wanatiwa hasara na serikali inapata hasara zisizoelezeka. Tuyaongelee wapi haya ili tusikike? Tuinue mabango Waziri Jafo, Waziri Mkuu au Mama wajapo kwetu? Kishimba wambie wasimamie sheria . Na pia watuoneshe Repoti za Uchunguzi wa Ahari za Miradi kwa miradi uliyoitaja

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Před rokem

    Kishimba genius 😂😂

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Před rokem

    Soko la gholofa uweke nyanya

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Před rokem

    Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani

  • @marconyangoha1331
    @marconyangoha1331 Před rokem

    Nchi yetu inahitaji wabunge Kama huyu, anagusa mahitaji ya wahitaji.

  • @mwalumogomsigwa856
    @mwalumogomsigwa856 Před rokem

    Mzee ni kichwa anaongea kwa hoja Sana nampenda bure

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Před rokem

    Huyu mzee ni chuma

  • @Dantaata
    @Dantaata Před rokem +1

    serikali hii kila siku ni wizi tu,, mbona mi sioni cha kuiba

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Před rokem

    Huyu Jamaa ndo maana ni biluonea

  • @philemonkingdom4065
    @philemonkingdom4065 Před rokem

    Akili ya kuzaliwa ikifanya kazi yake barabara

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Před rokem +1

    Tutajuta kuruhusu wajinga kuwa wawakilishi.. MwanaKahama yupi aliemtuma hayo?

  • @bwilumarigo
    @bwilumarigo Před rokem +1

    Huyu mzee hajaenda shule hoja zake zote ni pumba tupu

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 Před rokem

      Basi we ndo basi tu.

    • @lucasmasumbuko2098
      @lucasmasumbuko2098 Před rokem +1

      Wewe utakuwa unakanyagwa Sasa na matai ya mwigulu

    • @babailacharles7199
      @babailacharles7199 Před rokem

      Nakukubali sana

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před rokem

      @Bwilu Uko sahihi.. Huyu jamaa Ni pumba tupu. Mjinga sana. Waliomchagua wanajuta. Hebu fikiria Jimbo lake Ni eneo la manispaa Hana barabara za kutosha, anasema bungeni mapanya yamezidi jimboni kwake sababu Wafugaji wananyimwa kuchungia mifugo mjini. Yaani upumbavu kabisa.

  • @filbertladislaus1959
    @filbertladislaus1959 Před rokem +1

    huyu jamaa nafikiria tofauti na fikira za wabunge wengi

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Před rokem

    Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani