😂😂😂 Siku zote huwa nazielewa sana hoja zako sababu unajua kuzijengea wigo.👏👏👏🇹🇿❤🇹🇿
Akili yake naielewaga sana asee,, yuko vzur sana,,bora sana hii
Ahsante kishimba
Uyu Mzee anaongeaga point sana Sijui kama bunge mnamuelewa.
wazo zuri san
Nataman Angekuw mbunge wa Moshi vijijini
Nakubaliana nawewe mheshimiwa mbunge ila sidhani kama itawezekana kwa sababu hicho chuo kinatakiwa kuwa na mwizi au wezi watakafundisha mbinu za wizi lakini ni mwizi gani atajitoa mhanga kufundisha chuo hicho. Maana hata huyo mwizi atakayejitoa mhanga atakuwa akiogopa akijua jela inamhusu. Mwalimu anajua anacholkifundisha hivyo ni mwizi pekee anayeweza fundisha kuhusu wizi
Yan itakuw vyema kama kitatoa na diploma ya ukabaji na degree ya ujambazi hasa katika upande wa IT
🙏🙏🙏🙏....
Uko vzr mno mno mno
Anajua huyu jamaa balaa yaani hoja yake kaificha kabisa ..Maana yake ni kutoa courses zinazohusiana na kubaini mbinu za wezi kwenye Taasisi .
Mnanyima Kishimba PHD mnampa Taletale ..Dunia haiko fair 😁
Naelewa point zake huyu mzeee😂😂😂
Mzee kishimba huwa unanifurahisha sana
Dha! ni STD 7 lakini ana hoja kwelikweli sidhani wabunge wanamwelewa
😂😂
Hata us wameajili watu walokua majangili katka bank. Huyu mzee anajua
😂😂😂😂😂
Jembe letu la kahama hiloooo
Chuo. Cha kunyakua
Huyu jamaa na akili mpaka anapindukia
Wachaga wawe wa kwanza kwenda huko chuoni
ila uyu baba ana point kama ukifikiria kwa makini
Kikianzishwa hicho chuo waweke kusoma iwe bure ili tusome wengi.
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mwamba from kanda ya ziwaa ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️