Komentáře •

  • @FrankoLugendo
    @FrankoLugendo Před měsícem

    Mwamba from kanda ya ziwaa ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @jobamampuya5933
    @jobamampuya5933 Před 4 lety +2

    😂😂😂 Siku zote huwa nazielewa sana hoja zako sababu unajua kuzijengea wigo.👏👏👏🇹🇿❤🇹🇿

  • @Nzinyangwa
    @Nzinyangwa Před 4 lety +2

    Akili yake naielewaga sana asee,, yuko vzur sana,,bora sana hii

  • @user-bv7ew4dm7b
    @user-bv7ew4dm7b Před rokem

    Ahsante kishimba

  • @annalufinyo7967
    @annalufinyo7967 Před 4 lety

    Uyu Mzee anaongeaga point sana Sijui kama bunge mnamuelewa.

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py Před rokem

    wazo zuri san

  • @dadianmunish136
    @dadianmunish136 Před 3 lety

    Nataman Angekuw mbunge wa Moshi vijijini

  • @carlinkikoyo2752
    @carlinkikoyo2752 Před 3 lety +1

    Nakubaliana nawewe mheshimiwa mbunge ila sidhani kama itawezekana kwa sababu hicho chuo kinatakiwa kuwa na mwizi au wezi watakafundisha mbinu za wizi lakini ni mwizi gani atajitoa mhanga kufundisha chuo hicho. Maana hata huyo mwizi atakayejitoa mhanga atakuwa akiogopa akijua jela inamhusu. Mwalimu anajua anacholkifundisha hivyo ni mwizi pekee anayeweza fundisha kuhusu wizi

  • @charlescosmas7823
    @charlescosmas7823 Před 4 lety +1

    Yan itakuw vyema kama kitatoa na diploma ya ukabaji na degree ya ujambazi hasa katika upande wa IT
    🙏🙏🙏🙏....

  • @Moresa196
    @Moresa196 Před 4 lety

    Mzee Mwenye Maneno Amazing

  • @edssonkashaija6458
    @edssonkashaija6458 Před 4 lety

    Uko vzr mno mno mno

  • @user-xq1cx7qg5s
    @user-xq1cx7qg5s Před 2 měsíci

    Anajua huyu jamaa balaa yaani hoja yake kaificha kabisa ..Maana yake ni kutoa courses zinazohusiana na kubaini mbinu za wezi kwenye Taasisi .

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před rokem

    Mnanyima Kishimba PHD mnampa Taletale ..Dunia haiko fair 😁

  • @novathpanga8216
    @novathpanga8216 Před 3 lety

    Naelewa point zake huyu mzeee😂😂😂

  • @florameza9529
    @florameza9529 Před 4 lety

    Mzee kishimba huwa unanifurahisha sana

  • @josephrichard3967
    @josephrichard3967 Před 10 dny

    😂😂

  • @lucyleonard8537
    @lucyleonard8537 Před 4 lety

    Hata us wameajili watu walokua majangili katka bank. Huyu mzee anajua

  • @fattyboe6393
    @fattyboe6393 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂

  • @jozzsimbatv1199
    @jozzsimbatv1199 Před 4 lety

    Jembe letu la kahama hiloooo

  • @omaryrashid1873
    @omaryrashid1873 Před 4 lety

    Chuo. Cha kunyakua

  • @muhajiryayub7406
    @muhajiryayub7406 Před 3 lety

    Huyu jamaa na akili mpaka anapindukia

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 Před 4 lety

    Wachaga wawe wa kwanza kwenda huko chuoni

  • @piusthomas5713
    @piusthomas5713 Před 4 lety

    ila uyu baba ana point kama ukifikiria kwa makini

  • @mikingamojuma1463
    @mikingamojuma1463 Před 4 lety

    Kikianzishwa hicho chuo waweke kusoma iwe bure ili tusome wengi.

  • @fasconeroh8740
    @fasconeroh8740 Před 4 lety

    😂😂😂😂

  • @novathpanga8216
    @novathpanga8216 Před 3 lety

    😂😂😂😂😂