Kishimba aliacha Bunge hoi, ataka wanaoishia njiani wakisoma "degree" wapewe vyeti vya nusu "degree"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba ameishauri serikali kuanzisha somo la kutafuta na kutunza fedha lianze kufundishwa kuanzia darasa la kwanza ili taifa lipate watu wanaojuwa kutafuna na kutunza fedha.
    Kishimba ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, jijini Dodoma leo Mei 8, 2024.

Komentáře • 12