Kishimba aliacha Bunge hoi, ataka wanaoishia njiani wakisoma "degree" wapewe vyeti vya nusu "degree"
Vložit
- čas přidán 7. 05. 2024
- Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba ameishauri serikali kuanzisha somo la kutafuta na kutunza fedha lianze kufundishwa kuanzia darasa la kwanza ili taifa lipate watu wanaojuwa kutafuna na kutunza fedha.
Kishimba ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, jijini Dodoma leo Mei 8, 2024.
Huwa naweka bando kukufuatilia wewe tu,mbunge unaejielewa ❤
Uyu mbunge yuko vizuri sanaaa
Genius sana mheshimiwa
Like kwa Professa
Sanaaaaaaaaa
😊❤
Akili kubwa saaana
❤
Kishimba
Akili kubwa xn
Mbuge pekee
Sanaaaaaaaaa