Profesa Kishimba: "Wasomi Walete Miti ya Miezi 6 I Wanakuona Mpuuzi I Inawezekana Wasipike na Wasile

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2021
  • "HOJA ZA PROFESA KISHIMBA BUNGENI"
    .
    .
    "Kuna sheria mpya imeanzishwa ambayo inamtaka mtu atakayekuwa na gunia moja la mkaa lazima apte kibali toka Halmashauri ya Wilaya na awe na EFD, labda wenzetu wangeangalia Jiografia ya nchi na maisha ya watu wetu. Tutarajie ndani ya mwezi mmoja kutatokea "chaos" kubwa ya mkaa na kwa kawaida itawezekana kweli watu wasipike na wasile?. Kuna majimbo kutoka makao makuu ya Halmashauri kwenda kijijini ni zaidi ya kilomita 200 kweli mwananchi mwenye gunia moja aende mpaka wilayani?"
    "Kwetu kanda ya Ziwa ukimwambia mtu apande miti kwa ajili ya mvua anakuona ni mpuuzi maana yake tuna mafuriko miaka miwili, mwananchi atakuuliza je unataka tupande miti ya kuzuia mvua maana ukiwaambia unataka miti ya mvua wanakuuliza kuzidi hii iliyopo leo. Sisi tuwaambie panda miti ya kutengeneza pesa"
    "Wakati mwingine mnasema tunawasakama wasomi, leo Tanzania ni nchi ya nne kwa ku-export mkaa wa magendo, sasa ukataaje kurasimisha ili upate pesa na wale wanaonunua wa magendo waje kununua pale kwenye soko.”
    “Haiwezekani baada ya miaka 60 tukawapeleka watoto wasome wawe mgambo wa kukamata wazazi wao, kazi ya elimu duniani ni kutatua matatizo.
    "Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba-Mbunge Kahama Mjini
    #KutokaBungeni
    #CloudsDigitalUpdates
  • Hudba

Komentáře • 128

  • @meshackkamduli8507
    @meshackkamduli8507 Před rokem +5

    Walio kupeleka bungeni mungu awabariki

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před rokem +1

    Hongera sana MHs MBUNGE KISHIMBA UKO Na mawazo muhimu yakipata wasikilizaji wTaokubali kufanyiwa kazi nchi itaamini askari Wa pori

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed8971 Před 3 lety +19

    Huyu mzee anaongea point sana ukikaa ukiskiliza bunge mara nying utaskia katika mipango yao tufanye hv kama nchi flani walivyofanya wakapata maendeleo hii inamaana nchi itaendeshwa kwa kucopy ya wengne. Hakuna nchi katika hizo walizotaja itakaa waseme tuige Tanzania. Hii inamaana elimu tunacopy kwa wazungu na maisha vilevile tunacopy. Ifikie hatua viongozi wakubwa kama wabunge watunge sheria kutokana na asili yao na maisha halisi ya mtanzania si kucopy kila kitu. Nchi kama China, iran,korea zimepiga hatua baada ya kuacha kucopy 100% yanayotoka nje. Lazma nchi ijiamulie kulingana na watu inao waongoza si kucopy

    • @philemonaminiel
      @philemonaminiel Před 2 lety

      Huu ni mfano wa kuigwa Wa huyu mbunge mwenye busara na hekima za kuona mbali mdadisi ,lakini cha kushangaza kwenye hili serikali za vijiji bado zunauza mashamba kwenye mapori yenye misitu minene na ulime lazima ukate MTU ndipo upunguze kivuli mmea update kukua vizuri ,au MTU achome miti yote bila faida au apewe Elimu ya kuibadilisha miti kuwa pesa mfano uchomaji wa mkaa serikali ipate ushuru au ichomwe biila faida kipi boraa? Maana vinavyoendelea mshambani nu vitu vya kusitisha sana miti inachomwa bila faida inaonekana tumelizika Sana'a mi mi naungana na mbunge serikali ilasimishe hayo mazao ya misitu kuweka katika magulio ili kuondokana na usumbufu hongera sana mheshimiwa j4 kishimba kwa mawazo endelevu ya kulijenga taifa Katika amani

    • @nestorymwezimpya4077
      @nestorymwezimpya4077 Před 2 lety

      Kuiga sio tatizo Ila hata biblia inasema ndugu zangu igeni mema musiige mabaya hii yote inasababisha na watawala wetu kutokusima sela na mipango inde haraka

    • @erickmasunga9939
      @erickmasunga9939 Před 2 lety

      Hawa viogoz hawana huruma na wananch wake hayupo aneumiza akil kuhusu wananch

    • @mcgabby
      @mcgabby Před rokem

      Huyu mzeee anakitu atafika mbalii anahojaaa asikilizweeee jamani

  • @Ezeakutelevision
    @Ezeakutelevision Před 3 lety +6

    Huyu kweli professa

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim5609 Před 2 lety +4

    Big up xana msukuma. Huwa unaongea point kuwazd had hao wanaojiita wasomi

  • @petrojohn8250
    @petrojohn8250 Před 3 lety +11

    Kuwa na mbunge kama Kishimba ni bahati sana,kahama mmepata mbunge,huyu ni zaidi ya profesor

  • @mwana4599
    @mwana4599 Před 2 lety +3

    Safi sana Prof. Kishimba.

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano7302 Před 3 lety +5

    Pf kishimba namuelewa sana huyu mzeee

  • @masoudrashid5480
    @masoudrashid5480 Před 2 lety +3

    Kwa kweli ikiwa tutapata wabunge wenye maona kama huyu mzee wananchi tutanufaika sana na rasilimali za nchi

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 Před 2 lety +2

    Huyu mzee huwa napenda kumsikiliza ana hoja nzuri sana

  • @dazk7861
    @dazk7861 Před 3 lety +4

    Kishimba shikamoo

  • @jumakivuma581
    @jumakivuma581 Před 3 lety +3

    So intelligent

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Před 2 lety +5

    Huyu mzee aliumbiwa busara sana

  • @jacksonluzwiro9374
    @jacksonluzwiro9374 Před 2 lety

    safi sana kishimba

  • @frankedwardmhoza6613
    @frankedwardmhoza6613 Před 2 lety

    Jamaan maarifa aliyonayo mzee kishimba inatakiwa ya fanyiwe kazi na wasomi wetu

  • @deusdeditkapenegele8919

    Mzee Kishimba KONGOLE unaeleza maisha halisi ya Mwananchi wa kawaida kabisa,wabunge wengine tuige mfano huo,sio kushindana kuonyesha Elimu zenu Bali Uwakilishi wenu Bungeni.
    ASANTE SANA MZEE MUNGU AKUBARIKI.

  • @kiharasadikiluca9377
    @kiharasadikiluca9377 Před 2 lety

    Sawa mzee uko vizuri ukomakini

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 3 lety +3

    Daaa Asee huyu Ni Mtu muhimu saana ktk uchangiaji hoja bungeni.

  • @plumbingtanzaniaplumber7570

    Safi

  • @LambertNandi-kf3ww
    @LambertNandi-kf3ww Před rokem

    Very smart

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 3 lety +1

    Ndio. Namwelewa.

  • @mtagaiwakarungula3547
    @mtagaiwakarungula3547 Před 2 lety

    Uko vizuri mkuu

  • @yohanamlowe704
    @yohanamlowe704 Před rokem

    Daaaa safi sana

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 Před 3 lety +7

    MUNGU akubariki sana mzee una akili sana babangu

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Před 2 lety

    Hakika kishimba hujawai kosea Mungu akubariki🙏

  • @faraimangoro9510
    @faraimangoro9510 Před rokem

    Shikamoo Profesa.

  • @kulwahdeusdedith2780
    @kulwahdeusdedith2780 Před rokem

    Kishimba Mimi nakupa udoctor michango yako ni bungeni yote inawahusu wananchi hongera sana

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 Před 3 lety +1

    safi sana mh kishimba sema watu chache ndo wanakuelewa

  • @wilsonnzowa3620
    @wilsonnzowa3620 Před 2 lety +2

    "hatutaki wasomi kuwa polisi"tunataka wasomi wanaotatua matatizo ya wananchi sio wanaogeuka kuwa miungu watu

  • @raufurajabu
    @raufurajabu Před rokem

    Nakuelewa sanaaa mzee wangu hawa watalam ni vilaza 2

  • @nrecords7222
    @nrecords7222 Před 3 lety +3

    Da! Ila hyu mbunge anajiamini Sana,ety kwasababu kasomea London 😂😂😂

  • @faustinejemsi1488
    @faustinejemsi1488 Před 2 lety +1

    Asante sana kishimba nakukubali

  • @renatusaugustine3410
    @renatusaugustine3410 Před 2 lety

    Safiiii

  • @vascomaguku2605
    @vascomaguku2605 Před 2 lety

    ❤️❤️

  • @chamwilambomusa4447
    @chamwilambomusa4447 Před 2 lety +1

    Anaupigaga mwingii saaaana kishimbaaa

  • @yesayamwambu4431
    @yesayamwambu4431 Před 2 lety

    Mheshimiwa mbunge unasema vitu vya msingi hongera

  • @essauchaula5436
    @essauchaula5436 Před 2 lety +1

    Namkubali Sana kishimba anaongea vitu halisi

  • @majidukalugendo4738
    @majidukalugendo4738 Před 2 lety +2

    Natamani sana kuendelea kumsikiliza huyu mzee wetu mhe. Kishimba kuliko kuwasikiza Maprofesa wetu ambao hawaeleweki Elimu zao zinasaidia Nini vizazi vyetu. Our elites must use their education to solve the locally existing challenges. But that is the case wanatuharibia upepo tu. Mzee huyu anaongelea masuala yaliyo ndani mwetu na anatoa suluhisho lakini hakuna aliye tayari kutumia mawazo yake kutatua matatizo kwa sababu hajasoma. MASIKINI TANZANIA, MASIKINI AFRIKA!!!!

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Před 2 lety

    Dah hatar

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 2 lety +1

    Hamna kitu hapo, gesi yenyewe imepanda ukizuia mkaa mbadala wake itakuwa nin,

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao Před 3 lety

    😎

  • @machilijuma8203
    @machilijuma8203 Před 2 lety

    Tunakuamin

  • @wechemoshy4305
    @wechemoshy4305 Před rokem

    Huyu Mh kumwita Professor ni kumkosea adabu Mamlaka za vyuo vikuu vijitafakari watu wa aina hii ndio wanaostahili kutunukiwa Udaktari waHeshima watu wenye mawazo mbadala Xante xana Mh Kishimba

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Před 2 lety +1

    Suluhu ya kukatwa miti ni serikali kupunguza gharama za umeme mafuta ya taa na gesi, zamani majiko ya mafuta taa yaliokoa miti, mkaa haukuwa dili ilikuwa biashara ya aibu.

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Před 2 lety +1

    Nasema huyu jamaa mpeni uraisi hakika

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Před rokem

    Yaani kwa kweli kuhuusu mkaa kweli waangalie namna maana wananyanyasika Sana" duhu wanakera saana"na maliasili wanakamata raia wanawanyanganya na wao wanauza 🤔🤔

  • @abdonsamson8182
    @abdonsamson8182 Před 2 lety

    Nitakupigia kura mzeee KISHIMBA.

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Před rokem

    Kweli kishimba ni kiboko cha maisha halisi ya watanzania

  • @odilompilipili7381
    @odilompilipili7381 Před rokem

    Huyu kweli ni msomi

  • @flaviankato1697
    @flaviankato1697 Před 3 lety +1

    Duh

    • @jamhurilibawa6505
      @jamhurilibawa6505 Před 3 lety +1

      apewe nafasi akafundishe chuo kikuu huyu ni professor kamilii hakuna longolongo! hivyo vyuo vikuu hamumuoni huyu mbunge kumpa hiyo honorable doctorate?

    • @mfwimimkemele1156
      @mfwimimkemele1156 Před 2 lety

      Good

  • @immamwandolela6851
    @immamwandolela6851 Před 2 lety

    Unatisha mzee

  • @veronicanangale4700
    @veronicanangale4700 Před rokem

    Kahama mtuludishie tena bungeni mhe. Kishimba.😁😄😁😄

  • @egidiusthadeo5573
    @egidiusthadeo5573 Před 2 lety

    Hivi kila hoja zinafanyiwa kazi

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 Před 2 lety

    Waambie hao wahusika wapunguze Bei ya gesi na waongeze usambazaji gesi kupunguza matumizi ya mkaa.

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 Před 2 lety

    Waambie hao mzee maana wanatungia sheria zao kwenye magora yenye viyoyozi
    Utalikuta lijitu limezaliwa na kukulia kijijini lakini leo limejisahau

    • @isikesamike
      @isikesamike Před 2 lety

      Aliyekulia kijijini wala hawezi kutunga sheria ya kijinga hivi. Tunasumbuliwa na vilaza waliokulia kwenye viyoyozi hawajui adha ya watu wa chini. Tuna wasomi ambao hata hawajutambui.

  • @henrysangiwa1731
    @henrysangiwa1731 Před 2 lety

    Hamjui tu kwamba issue ni wauza gesi wanahitaji soko lao likue kama ilivyo kwenye yard za magari hawauzi now inapigwa marufuku ya kuningiza magari chini ya 2010. Kesi ya uhujumu kukata mti ili wauze gesi ??? Hii nchi jamani

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před rokem

    Nyundo hiyo

  • @lazarochihoma2663
    @lazarochihoma2663 Před 2 lety

    9

  • @idysimba881
    @idysimba881 Před měsícem

    Mkaa ni endelevu

  • @moseskibozi1329
    @moseskibozi1329 Před 2 lety

    Baba naomba nikuone.....

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před rokem

    Huyu baba 10000

  • @franklawrence5452
    @franklawrence5452 Před 2 lety +2

    huyu mzee inabidi serikali ifanyie kazi mawazo yake

  • @stephanijeremia330
    @stephanijeremia330 Před 2 lety

    Da huyu Mzee apewe urais tu

  • @andrewsam364
    @andrewsam364 Před 2 lety +3

    Huyu angekua speaker Tanzania tungeendelea maana anafikiria nje ya box

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 Před 2 lety

      Hawampi hyu maanq huyu anqhuruma nq anaogopa dhambi

    • @nyambegamatoro6817
      @nyambegamatoro6817 Před 2 lety

      Sio uspika apewe urais. Anaweza rekebesha Mambo mengi kama Jpm(RIP)

    • @chistinaboa645
      @chistinaboa645 Před 2 lety

      Mungu ambariki Sana huyu mbunge nimemwelewa Sana.

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 Před 2 lety

    Akili kubwa huyu mzee

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 Před rokem

    Sehem zingine wamekamatwa wamepigwa faini 50000 Kila ng'ombe Moja.

  • @crissinkala3110
    @crissinkala3110 Před 2 lety

    Hii nchi kwa upande wa wasomi hatuna kabisa wengi polojo nyingi lkn uharisia wa elimu ni 0+0

  • @mcgabby
    @mcgabby Před rokem

    Huyu apewe hata umakamu wa uRahisi ikishindindikana saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana kuwa rahisi wa Nchi😂😂😂

  • @ezekielmahogwa2602
    @ezekielmahogwa2602 Před 2 lety

    Chukua fom ya uraisi baba nakukubali

  • @machilijuma8203
    @machilijuma8203 Před 2 lety

    Jamani iv mmesomea nn mawzili@ mnaongeatu tumieni akr jaman

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 Před 2 lety

    Ukifika chuo unafundishwa wizi sasa hapo akisimama mwenye digree hapo angesapot ujinga wakati wanajua kabisa asilimia kubwa watanzania wanategemea mkaa!

  • @godwinmongi5242
    @godwinmongi5242 Před 2 lety

    Mzee Juma haya mawazo Hadi nafurahi kuyasikiliza

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 Před 2 lety

    Maproffesa nchi hii wapo wachache sana kama sio Mh. Kishimba peke yake.

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon6193 Před 2 lety

    Unaakir nyingi Mh badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanaiongeza

  • @bockerbocker8495
    @bockerbocker8495 Před rokem

    Ni heri nimsikilize Mbunge mwenye elimu ya chini kuliko hawa wasomi wakubwa,hawa wanaojiona ni wasomi ndiyo hola kabisa yaa ni hovyo kabisa

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed8971 Před 3 lety +4

    Nchi kama china imeamua kuipa hata tiba za asili thamani na leo wanasifika lakin sisi wasomi wetu wa kwanza kupuuza tiba asili na mambo mengi ukipoboresha chako ulichonacho ukataman cha mwingne ni mwanzo wa kukosa maendeleo. Kuna mambo mengi na elim nying ya kiasili kama mtanzania anazikosa kwa kuaminishwa imepitwa na wakat ndo maana inafikia hatua mbunge anasema mashine iondolewe hospital kwa kuona taifa lake linaitiwa aib, hawa ndo wasomi tunapeleka bungeni na vyeti lukuki.

    • @bayonsileo2155
      @bayonsileo2155 Před 2 lety

      Uko vizuri kishimba

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 Před rokem

      Tiba asri nitam kuriko vidonge nisum Huyu baba namkumbuka makufuri Huyu baba apemaisha marefu

  • @shamteamiry6326
    @shamteamiry6326 Před 2 lety

    Bahati mbaya viongozi hawanamaono

  • @babumtarajiwa5892
    @babumtarajiwa5892 Před rokem

    Nawaomba kahama mtunzeni huyu Mzee nitunu kwataifa

  • @davidmwita3008
    @davidmwita3008 Před 2 lety

    Viongozi wetu wanasikitisha, wanajisahulisha waliko Toka, upuuzi kweli EFD na mkaa gunia moja

  • @shamteamiry6326
    @shamteamiry6326 Před 2 lety

    Wasomihovyoooooooo

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon6193 Před 2 lety

    Badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanazidi kuichochea

  • @cosmaslunyembeleka251

    Uyu jaa ikitokaea Ni Raisi tutatajirika wote.
    Uiangalia Nyumbu Ni wengi kuliko ng'ombe na mazingira hayana shida.
    Alafu wanadanganywa na wazungu hawana hata mbuzi.

  • @oblemongi4195
    @oblemongi4195 Před rokem

    Yupo mbunge yuleeeee daaa cjui nawaza nn

  • @kalla4alex146
    @kalla4alex146 Před 2 lety

    Wasukuma waanakili kweli kwli vichwa

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395 Před rokem

    Huyu mzee amebalikiwa xaana anaogea point tupu na kwa busala mnooooo,

  • @LydiaIsangi
    @LydiaIsangi Před měsícem

    Siku zote anaongeaga vitu vya msingi

  • @machilijuma8203
    @machilijuma8203 Před 2 lety

    Tulia jbu hoja tumia akr znguka vjjn usisetiwe ;!

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před rokem

    Baba ukosahihi wafunguke nawengine

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 Před 3 lety

    Kishimba nakuunha mkono uposawa kabisa

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq Před 7 měsíci

    Kwanini mutu abae ajasoma anakuwa navita sana nakwanni serikari mirebe wanatumia Kuni kwanini wasitumie nges kama kwenye maoteri

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Před 2 lety

    DR KUMBUKA

  • @dsk1tv749
    @dsk1tv749 Před měsícem

    czcams.com/video/Kc8tSo99ktU/video.htmlsi=Cwfv6clpoQEZMEHb Cheki anavyo pondea

  • @nestorymwezimpya4077
    @nestorymwezimpya4077 Před 2 lety

    Ndo maana tuiomba selikari ikamilishe mapema umeme kutoka bwawa la mwalimu nyelele ili tuondokane na iyi aza lakini kuendelea kuchelewa ni kusababisha jangwa katika hii nchi

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Před 3 lety +2

    Shikamo Mh prop

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před 2 lety

    Daaah ukiongea mpk nàmkumbuka rais magufur

  • @elimenson3150
    @elimenson3150 Před rokem

    Kishimba ww ni mashine ya serikali na ccm yote. Sijamuona msomi zaidi yako kishimba mbwa zingine zote ndani ya bunge nikuwaletea matatizo wananchi badla ya kuwatatulia matatizo

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Před rokem

    Unapochangia sipendi umalize bunge lingekuongezea muda namaoni yako wayafanyie kazi

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 Před rokem

    Haingii akilini=stupid? huyu kweli ni profesa

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 Před rokem

    Wauza mkaa.wakigoma je hali itakuwaje?sema wewe!

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂NAIPOKEA KWA MIKONO 3.