MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"
Vložit
- čas přidán 7. 04. 2022
- MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"
SPIKA Mpya wa Bunge, Dkt Tulia Ackson, leo Aprili 08, ameongoza kikao ikiwa ni mkutano wa kwanza tangu Bunge lirejeshwe 'LIVE'...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Kweli mzee!! Anaemkubali mzee huyu kama mmi like hapa
huyu mzee ni genious nimekuwa nikimfatilia sana ana hoja zenyetija sana
Kishimba point hiyo mungu akupe maishamarefu wewe nikichwa
Turuu.
KISHIMBA ni mbuge wa wanyonge kweli kweli, big up Mbunge wa Kahama shinyanga.
VERY NICE Mh MBUNGE. KISHIMBA upo vizuri Unajua Hali ya WANANCHI Kijijini.
ila jimbon olaa!
Namkubali uyu mzee Atari ana madini ya kiwango
Mbunge mwenye Akili Zaidi unaongea mpaka unaeleweka
Mzee Ana akili nyingi mpka nimeogopa,,,hongera Sana mzee wetu na hazina ya taifa letu Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu na akuepushe na kila Aina ubaya,,,umenifurahisha mno
Nampenda Sana huyu mbungenkishimba mara zote anaongeaga point tuu
Real sign of intelligence is revealed to this man
Yeah! Blessed. Full skills. Thanks
Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad
Ila wasukuma wanaakili sana na uzalendo wa hali ya juu sana basi tu
Huyu mbunge daaa 🙌🙌 Mh Rais mama yetu mpendwa mpe wizara mzee hatakuangusha
Akipewa uwaziri atanyamazishwa, nashauri abaki hivohivo ili tuendelee kupata madini zaidi!
Kweli, uwaziri ni kuzibwa mdomo kama Bashe
@@nelsonmgaya8391 sahihi
Mungu akupe maisha malefu kishimba
Huyu ndo Professor wa ukweli,
Genius.
Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad
Very logical!👏
Huyu baba anafaa nafasi yenye ubora hebu samia amtazame kwa jicho la million
This man is the great thinker
Mnapenda English sana..
You should've write..
"..This man is Great thinker." or
"..This man is the Greater/Greatest thinker."
though you've tried.
Nakubaree elimu ni kuwa na uwezo wa kupambana mambo congrats 👏👏👏👏👏👏 kishimba
Mzee Kishimba ni hatari sana 🙌🙌😂
Daaaaaa,,,!!!
Wasukuma wengi wana akili za kuzaliwa.
Hata wasiposoma.
Tuja hizo, Kashi ule mtumbfu
Nafikiri heshima yao hata akili inafikiria kwa afya....Yan njia mbadala wanazo kwa haraka sana
Wanaakili wanakula wanashiba na akili inashiba.wasukuma wanazaa sana kuliko kabila lolote
MUNGU ANATUONYESHA WATU WA BUSARA LAKINI SHETANI ANATUPA UPIFU WA KUTOKUKUBALI KUSHIMBA BARIKIWA SANA BUSARA ZAKO TUNAZIHITAJI👍🏿👍🏿👍🏿🙏🙏🙏
Born genius and philosophical. Wenye porojo nyingi wamepewa daktari wa heshima ila huyo hapati hata kutambuliwa!
Acha kabisa
Wasukuma huwa tunahakili sana
Sema kanda ya siwa huwa wanaakili
Wasukuma wanaakili kwasababu wanakula ugali na sato+sangara halafu wanashushia maziwa.halafu full kuchapa kazi.
NAKUBALI. GENIUS 👍🏻🔥
Mbali na point zake za msingi, anaonekana ana busara Sana. Big up Prof. Kishimba
WATU WENYE AKILI KAMA HII NI WACHACHE SANA.👏👏👏
Hahahaha kishimba mzee wangu uko vizuri
mama samia hyu jamaa mpe uwazir kwa kweli atasaidia nchi
This man is very brilliant and intelligent in his speech!
Yeeeeeah!
Kongore, kongore Dr. Professor kishimba, Siku nyingine wakupe Muda mrefu ulihutubie bunge,
Kuna wabunge humo wapigaji tu.
Uko vzuri mzee wangu good
Natamani ungekuwa walau hata waziri
I salute mr kishimba
Ingekuwa mawazo ya huyu mh kishimba yanafanyiwa Kazi nchi yetu ingekuwa mbali sana ni miaka Mingi nafuatilia hotuba zake yuko Vizuri sana kila eneo anagusa...
tatizo ni mfumo ya ulaji.mtu kama huyo wa kutengeneza hawezi kuingizwa kwenye maamuzi makubwa kwasababu kuna baadhi ya watu watakosa ulaji
Uko sawa kbs Mh Mbunge Kishimba umeishia darasa la 7 lkn kama Prof.vile kweli kusoma sana sio maalifa
Mungu akubariki
Gombea urahinsi mzee
Tutakupa kura mzee
Ahsante Mh:Jumanne Kishimba kwa hoja zako nzuri,niseme tu kwamba kwa habari ya mabati waruhusu wananch kuezekea bati zilizo ndani ya uwezo wao ila isiwe zaidi ya gage 32 pia waruhusu nyasi wasizuie,jambo lingine ni kuhusu mitihani kusimamiwa na Police kiukweli hakuna wanachozuia pale kama ni mitihani inabwa kama kawaida,Police wanatia hofu tu kwa wanafunzi,me nadhani serikali ijitafakali vizuri kuhusu mitihani wanafunzi wanafundishwa kuiba mitihani toka darasa la nne mpaka form six na vyuoni pia mbinu za ulaghai zinaendelea kutumika,mwisho wa siku tuna kuwa na viongozi wezi wasiokuwa na hofu ya Mungu,Nitoe ushauri kwa serikali wekeni adhabu kali juu ya shule zote walimu au wakurugenzi wa shule ambazo zinabainika kwa kuiba mitihani,serikali ina mkono mrefu tumieni wazalendo kuilinda elimu yetu isichakachuliwe,ikiwezekana pandikizeni wanafunzi mashushu kwenye shule watakao wasaidia taarifa zaidi,japo najua jambo hili ni gumu kutokana na watu wengi kuwa na tamaa ya kifedha wanaweza kuhongwa pia mambo yakaharibika,angalieni namna ya kufanya kunusuru mambo ya hovyohovyo kwenye mitihani,ahsante.
Akili kubwa sana hii 👏👏👏✅
Mimi napenda kukuita Prof kishimba
Asante chishimba, kwa ukwali mtu unaowaelekeza humo bungeni, wengine muuu,kazi ipo
Ukipata hata dk 15 tu za kukaa na Kishimba unapata madini mengi sana. Very intelligent and humble. No wonder he is a successful businessman
Nakupongeza sana mh. Kishimba
Ahasante baba
Mzee wangu nakukubali sana,,,,unamaarifa mengi sana ,
Asante 👏👏👏
Mzeee anaakili sana
Huyu jamaa ni genius no wonder jamaa ni successful entrepreneur.This is a disruptive thinking akili ya kawaida haiwezi kuelewa!
Na kaishia darasa lasaba nasikia
@@allymuhammad325 hajafika la saba, huyu ni darasa la nne ndugu fatilia
Nakushukuru mbunge kishimba kwa maharifa mapana zaidi mungu akubariki sana
Ndo mara yangu ya kwanza kuskia spich yako nimekuelewa sana mh. Pia siku moja wakumbushe huu upendeleo wa mikopo ya masomo ya juu kuwa alie soma shule binafsi hawapewi mikopo
We ndo unafaaa kuwa kiongoz wa nchi
Yupo vizuri sana,,,safi sana
Hongera sana wewe ndo mbunge WA wanyonge
Kishimba noma
Baba uko vizuri mno yaaani
Mjomba uko vzr Sana 🙏🏼 safi Sanaa Mr Jumanne
Kishimba hongera sana umesema nakutoa Hoja ya msingi sana.
Huyu jamaa anatisha 💪🏿💪🏿💪🏿🤣🤣🤣
Huyu mzee ana faa kupewa wizara ana akiri mbadala
Umejitaidi sana mubunge wetu
Uyu mzee Yuko na uhalisia sana kuliko wengine
Huyu mzee ni mzee yuko full sana kichwani
Hilo LA dinii noma
safi sana mzee kishimba
Asante
Ni sahii mheshimiwa🙏
Yahan Hata Wabunge wanaenjoy Kishimba akisimama
Mzee hakika unamaono
Kweli kishimba
Reasoning
Nomaaaaa
Smart sana
Kishimba kila usemalo au unaloongea uko vizuri
Mbunge makini
kishimba akili nyinga
Safi sana
👌👌
Safiiii mzeee
Huyu mubunge nikiboko ametumwa kweli nawanaichi wake wongera Baba waambie
Anakua ajawa.ona bunduki toka LA kwanza anakuja kuwaletea LA 4 na 7. Sio sawa
Very logical speech
Huyu mbunge namuelewa sana
kweli tz nchi inaenda kusivyo
Always great minds discuss ideas but Small minds discuss people and average mind discuss events
Hyu ndo Mbunge sasa
Safisana chishimba oyeeeeeeee
Genius 😀😀
Akuganula viswanu
Mwabhejha kishimba
👏👏💪
Mh.kishimba uko sawa lakini najua hao wanakusikiliza yanapita kule lakini uko sawa umetutetea sisi wanainchi masikin lakini najua wao vitu vyote ulivyosema hawavijui wamezaliwa mjini baba
Una pointi sana Kishimba
Akili kubwa sana
Mzee Kishimba huwa nakuelewa mno na hoja zako huwa zina mashiko. Kongole mheshimiwa Mbunge
Mie nipo Zenji lakini uyo msela ndio mbunge wangu 🤣🤣
Wa kwanza wazir wa fedha hovyo
Hakika mbunge Kishimba ww ni makufuli mwingine unastahili kuwa zaidi ya mbinge
Aisee Kuna baadhi ya wabunge wazuri
Msikize kwa makinii!
Siku zote ninasema wasomi wetu wengi wao ni vilaza sana mambo mengi wanaotuletea hayatekelezeki msomi analecta Sera ambayo imefanya kazi ulaya au Marekani kwao ndio wanaleta bila kujiuliza mazingira yetu na Yao nitofauti tunafanya tafiti zetu halafu zinaozea kwenye makabati lakini wanaotuletea za wazungu
Kweli bana Ni NI VILAZA KABISA.
Kishimba mm nakuelewa
Yaani huyu mbunge kishimba ndo nayapenda mawazo yake nimazuli Sana napenda kumsikliza