MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 04. 2022
  • MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"
    SPIKA Mpya wa Bunge, Dkt Tulia Ackson, leo Aprili 08, ameongoza kikao ikiwa ni mkutano wa kwanza tangu Bunge lirejeshwe 'LIVE'...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 208

  • @edgaredmund3692
    @edgaredmund3692 Před 2 lety +87

    Kweli mzee!! Anaemkubali mzee huyu kama mmi like hapa

  • @jumaamiri9372
    @jumaamiri9372 Před 2 lety +16

    huyu mzee ni genious nimekuwa nikimfatilia sana ana hoja zenyetija sana

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 Před 2 lety +24

    Kishimba point hiyo mungu akupe maishamarefu wewe nikichwa

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Před 2 lety +7

    KISHIMBA ni mbuge wa wanyonge kweli kweli, big up Mbunge wa Kahama shinyanga.

  • @ramadhanshiganza4926
    @ramadhanshiganza4926 Před 2 lety +19

    VERY NICE Mh MBUNGE. KISHIMBA upo vizuri Unajua Hali ya WANANCHI Kijijini.

  • @salumntanyi4293
    @salumntanyi4293 Před 2 lety +13

    Namkubali uyu mzee Atari ana madini ya kiwango

  • @emmanuelmuhando1052
    @emmanuelmuhando1052 Před 2 lety +14

    Mbunge mwenye Akili Zaidi unaongea mpaka unaeleweka

  • @simonmollel765
    @simonmollel765 Před 2 lety +6

    Mzee Ana akili nyingi mpka nimeogopa,,,hongera Sana mzee wetu na hazina ya taifa letu Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu na akuepushe na kila Aina ubaya,,,umenifurahisha mno

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 Před 2 lety

      Nampenda Sana huyu mbungenkishimba mara zote anaongeaga point tuu

  • @boscomyinga5280
    @boscomyinga5280 Před 2 lety +22

    Real sign of intelligence is revealed to this man

    • @nurdinngwegwe2943
      @nurdinngwegwe2943 Před 2 lety

      Yeah! Blessed. Full skills. Thanks

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety

      Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
      Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
      Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
      Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu4372 Před 2 lety +7

    Ila wasukuma wanaakili sana na uzalendo wa hali ya juu sana basi tu

  • @adamumbise9755
    @adamumbise9755 Před 2 lety +11

    Huyu mbunge daaa 🙌🙌 Mh Rais mama yetu mpendwa mpe wizara mzee hatakuangusha

  • @ezembwilo5948
    @ezembwilo5948 Před 2 lety +7

    Mungu akupe maisha malefu kishimba

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Před 2 lety +11

    Huyu ndo Professor wa ukweli,
    Genius.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety +1

      Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
      Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
      Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
      Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad

  • @georgeoballah1764
    @georgeoballah1764 Před 2 lety +12

    Very logical!👏

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 2 lety +11

    Huyu baba anafaa nafasi yenye ubora hebu samia amtazame kwa jicho la million

  • @matwerangulichedr3985
    @matwerangulichedr3985 Před 2 lety +5

    This man is the great thinker

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety

      Mnapenda English sana..
      You should've write..
      "..This man is Great thinker." or
      "..This man is the Greater/Greatest thinker."
      though you've tried.

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 Před 2 lety +2

    Nakubaree elimu ni kuwa na uwezo wa kupambana mambo congrats 👏👏👏👏👏👏 kishimba

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 Před 2 lety +4

    Mzee Kishimba ni hatari sana 🙌🙌😂

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Před 2 lety +15

    Daaaaaa,,,!!!
    Wasukuma wengi wana akili za kuzaliwa.
    Hata wasiposoma.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety

      Tuja hizo, Kashi ule mtumbfu

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 Před 2 lety +1

      Nafikiri heshima yao hata akili inafikiria kwa afya....Yan njia mbadala wanazo kwa haraka sana

    • @chomasongidion6047
      @chomasongidion6047 Před 2 lety +1

      Wanaakili wanakula wanashiba na akili inashiba.wasukuma wanazaa sana kuliko kabila lolote

  • @jessicamagoke6800
    @jessicamagoke6800 Před 2 lety +2

    MUNGU ANATUONYESHA WATU WA BUSARA LAKINI SHETANI ANATUPA UPIFU WA KUTOKUKUBALI KUSHIMBA BARIKIWA SANA BUSARA ZAKO TUNAZIHITAJI👍🏿👍🏿👍🏿🙏🙏🙏

  • @eatlawe
    @eatlawe Před 2 lety +1

    Born genius and philosophical. Wenye porojo nyingi wamepewa daktari wa heshima ila huyo hapati hata kutambuliwa!

  • @bonifansimatias6951
    @bonifansimatias6951 Před 2 lety +14

    Wasukuma huwa tunahakili sana

    • @African511
      @African511 Před 2 lety +1

      Sema kanda ya siwa huwa wanaakili

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 Před 2 lety +1

      Wasukuma wanaakili kwasababu wanakula ugali na sato+sangara halafu wanashushia maziwa.halafu full kuchapa kazi.

  • @lupironewstv4645
    @lupironewstv4645 Před 2 lety +2

    NAKUBALI. GENIUS 👍🏻🔥

  • @muttae2
    @muttae2 Před 2 lety +4

    Mbali na point zake za msingi, anaonekana ana busara Sana. Big up Prof. Kishimba

  • @fabianmayunga1166
    @fabianmayunga1166 Před 2 lety +3

    WATU WENYE AKILI KAMA HII NI WACHACHE SANA.👏👏👏

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 Před 2 lety +5

    Hahahaha kishimba mzee wangu uko vizuri

  • @suleimanamour3295
    @suleimanamour3295 Před 2 lety +5

    mama samia hyu jamaa mpe uwazir kwa kweli atasaidia nchi

  • @jonasmwenda8812
    @jonasmwenda8812 Před 2 lety +20

    This man is very brilliant and intelligent in his speech!

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Před 2 lety +4

    Kongore, kongore Dr. Professor kishimba, Siku nyingine wakupe Muda mrefu ulihutubie bunge,
    Kuna wabunge humo wapigaji tu.

  • @jumajumanne4997
    @jumajumanne4997 Před 2 lety +4

    Uko vzuri mzee wangu good

  • @bahizimichael1219
    @bahizimichael1219 Před 2 lety +4

    Natamani ungekuwa walau hata waziri

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Před rokem

    I salute mr kishimba

  • @mcpaulmkopa4798
    @mcpaulmkopa4798 Před 2 lety +1

    Ingekuwa mawazo ya huyu mh kishimba yanafanyiwa Kazi nchi yetu ingekuwa mbali sana ni miaka Mingi nafuatilia hotuba zake yuko Vizuri sana kila eneo anagusa...

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      tatizo ni mfumo ya ulaji.mtu kama huyo wa kutengeneza hawezi kuingizwa kwenye maamuzi makubwa kwasababu kuna baadhi ya watu watakosa ulaji

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 2 lety +1

    Uko sawa kbs Mh Mbunge Kishimba umeishia darasa la 7 lkn kama Prof.vile kweli kusoma sana sio maalifa

  • @mtagaiwakarungula3547
    @mtagaiwakarungula3547 Před 2 lety

    Mungu akubariki
    Gombea urahinsi mzee
    Tutakupa kura mzee

  • @amosipaulo2411
    @amosipaulo2411 Před 2 lety

    Ahsante Mh:Jumanne Kishimba kwa hoja zako nzuri,niseme tu kwamba kwa habari ya mabati waruhusu wananch kuezekea bati zilizo ndani ya uwezo wao ila isiwe zaidi ya gage 32 pia waruhusu nyasi wasizuie,jambo lingine ni kuhusu mitihani kusimamiwa na Police kiukweli hakuna wanachozuia pale kama ni mitihani inabwa kama kawaida,Police wanatia hofu tu kwa wanafunzi,me nadhani serikali ijitafakali vizuri kuhusu mitihani wanafunzi wanafundishwa kuiba mitihani toka darasa la nne mpaka form six na vyuoni pia mbinu za ulaghai zinaendelea kutumika,mwisho wa siku tuna kuwa na viongozi wezi wasiokuwa na hofu ya Mungu,Nitoe ushauri kwa serikali wekeni adhabu kali juu ya shule zote walimu au wakurugenzi wa shule ambazo zinabainika kwa kuiba mitihani,serikali ina mkono mrefu tumieni wazalendo kuilinda elimu yetu isichakachuliwe,ikiwezekana pandikizeni wanafunzi mashushu kwenye shule watakao wasaidia taarifa zaidi,japo najua jambo hili ni gumu kutokana na watu wengi kuwa na tamaa ya kifedha wanaweza kuhongwa pia mambo yakaharibika,angalieni namna ya kufanya kunusuru mambo ya hovyohovyo kwenye mitihani,ahsante.

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 Před 2 lety +1

    Akili kubwa sana hii 👏👏👏✅

  • @African511
    @African511 Před 2 lety

    Mimi napenda kukuita Prof kishimba

  • @allyngelenge9475
    @allyngelenge9475 Před 2 lety

    Asante chishimba, kwa ukwali mtu unaowaelekeza humo bungeni, wengine muuu,kazi ipo

  • @mtotowamkulima5466
    @mtotowamkulima5466 Před 2 lety

    Ukipata hata dk 15 tu za kukaa na Kishimba unapata madini mengi sana. Very intelligent and humble. No wonder he is a successful businessman

  • @lucasferuzmilenge5580
    @lucasferuzmilenge5580 Před 2 lety

    Nakupongeza sana mh. Kishimba

  • @alextzatv
    @alextzatv Před 2 lety

    Ahasante baba

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi1047 Před 2 lety

    Mzee wangu nakukubali sana,,,,unamaarifa mengi sana ,

  • @albabird240
    @albabird240 Před 2 lety

    Asante 👏👏👏

  • @fadhilmtunha4070
    @fadhilmtunha4070 Před 2 lety

    Mzeee anaakili sana

  • @pemdumi
    @pemdumi Před 2 lety +3

    Huyu jamaa ni genius no wonder jamaa ni successful entrepreneur.This is a disruptive thinking akili ya kawaida haiwezi kuelewa!

    • @allymuhammad325
      @allymuhammad325 Před 2 lety

      Na kaishia darasa lasaba nasikia

    • @vianmarcel818
      @vianmarcel818 Před 2 lety

      @@allymuhammad325 hajafika la saba, huyu ni darasa la nne ndugu fatilia

  • @jameskaizilege1692
    @jameskaizilege1692 Před 2 lety

    Nakushukuru mbunge kishimba kwa maharifa mapana zaidi mungu akubariki sana

  • @edwardmagige874
    @edwardmagige874 Před 2 lety +1

    Ndo mara yangu ya kwanza kuskia spich yako nimekuelewa sana mh. Pia siku moja wakumbushe huu upendeleo wa mikopo ya masomo ya juu kuwa alie soma shule binafsi hawapewi mikopo

  • @emmanuelwilson8766
    @emmanuelwilson8766 Před 2 lety +2

    We ndo unafaaa kuwa kiongoz wa nchi

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi1047 Před 2 lety

    Yupo vizuri sana,,,safi sana

  • @hilarywilliam9370
    @hilarywilliam9370 Před 2 lety

    Hongera sana wewe ndo mbunge WA wanyonge

  • @AliAdam-ve4ms
    @AliAdam-ve4ms Před měsícem

    Kishimba noma

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 Před 2 lety

    Baba uko vizuri mno yaaani

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před 2 lety

    Mjomba uko vzr Sana 🙏🏼 safi Sanaa Mr Jumanne

  • @nkondokubini7618
    @nkondokubini7618 Před 2 lety

    Kishimba hongera sana umesema nakutoa Hoja ya msingi sana.

  • @joshuabartonpolelaab4985

    Huyu jamaa anatisha 💪🏿💪🏿💪🏿🤣🤣🤣

  • @hilarymugerambavu5782
    @hilarymugerambavu5782 Před 2 lety +3

    Huyu mzee ana faa kupewa wizara ana akiri mbadala

  • @sibosamary5572
    @sibosamary5572 Před 2 lety

    Umejitaidi sana mubunge wetu

  • @sabunisop1050
    @sabunisop1050 Před 2 lety

    Uyu mzee Yuko na uhalisia sana kuliko wengine

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Před 2 lety

    Huyu mzee ni mzee yuko full sana kichwani

  • @sneiperstz4800
    @sneiperstz4800 Před 2 lety

    Hilo LA dinii noma

  • @sekelasambo229
    @sekelasambo229 Před 2 lety

    safi sana mzee kishimba

  • @abelsabibi8836
    @abelsabibi8836 Před 2 lety

    Asante

  • @enjoythegoodmusic7439
    @enjoythegoodmusic7439 Před 2 lety

    Ni sahii mheshimiwa🙏

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 Před 2 lety

    Yahan Hata Wabunge wanaenjoy Kishimba akisimama

  • @brittoyes7747
    @brittoyes7747 Před 2 lety

    Mzee hakika unamaono

  • @elitusmajaliwa5479
    @elitusmajaliwa5479 Před 2 lety +1

    Kweli kishimba

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 Před 2 lety

    Reasoning

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 2 lety

    Nomaaaaa

  • @abdillahmkaikuta3033
    @abdillahmkaikuta3033 Před 2 lety

    Smart sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 lety

    Kishimba kila usemalo au unaloongea uko vizuri

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 2 lety +3

    Mbunge makini

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před 2 lety +1

    kishimba akili nyinga

  • @nikolaskabogo7796
    @nikolaskabogo7796 Před 2 lety

    Safi sana

  • @rosemartin3914
    @rosemartin3914 Před 2 lety

    👌👌

  • @anangisyemapunda7686
    @anangisyemapunda7686 Před 2 lety

    Safiiii mzeee

  • @rodrickjohn8007
    @rodrickjohn8007 Před 2 lety

    Huyu mubunge nikiboko ametumwa kweli nawanaichi wake wongera Baba waambie

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Před 2 lety +1

    Anakua ajawa.ona bunduki toka LA kwanza anakuja kuwaletea LA 4 na 7. Sio sawa

  • @mwangombehassan3026
    @mwangombehassan3026 Před 2 lety

    Very logical speech

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 2 lety

    Huyu mbunge namuelewa sana

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 lety +1

    kweli tz nchi inaenda kusivyo

  • @zephaniadeus3131
    @zephaniadeus3131 Před rokem

    Always great minds discuss ideas but Small minds discuss people and average mind discuss events

  • @norahmosamba9326
    @norahmosamba9326 Před 2 lety

    Hyu ndo Mbunge sasa

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 Před 2 lety

    Safisana chishimba oyeeeeeeee

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 2 lety

    Genius 😀😀

  • @chomachallo8602
    @chomachallo8602 Před 2 lety

    Akuganula viswanu

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před 2 lety

    Mwabhejha kishimba

  • @fabianmayunga1166
    @fabianmayunga1166 Před 2 lety

    👏👏💪

  • @benymasanyiwa1052
    @benymasanyiwa1052 Před 2 lety

    Mh.kishimba uko sawa lakini najua hao wanakusikiliza yanapita kule lakini uko sawa umetutetea sisi wanainchi masikin lakini najua wao vitu vyote ulivyosema hawavijui wamezaliwa mjini baba

  • @petermangama330
    @petermangama330 Před 2 lety

    Una pointi sana Kishimba

  • @newgeneration9524
    @newgeneration9524 Před 2 lety

    Akili kubwa sana

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 Před 2 lety

    Mzee Kishimba huwa nakuelewa mno na hoja zako huwa zina mashiko. Kongole mheshimiwa Mbunge

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 2 lety

    Mie nipo Zenji lakini uyo msela ndio mbunge wangu 🤣🤣

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 2 lety

    Wa kwanza wazir wa fedha hovyo

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Před 2 lety

    Hakika mbunge Kishimba ww ni makufuli mwingine unastahili kuwa zaidi ya mbinge

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Před 2 lety

    Aisee Kuna baadhi ya wabunge wazuri

  • @micahmungasia9174
    @micahmungasia9174 Před 2 lety

    Msikize kwa makinii!

  • @saidimkurago6893
    @saidimkurago6893 Před 2 lety +4

    Siku zote ninasema wasomi wetu wengi wao ni vilaza sana mambo mengi wanaotuletea hayatekelezeki msomi analecta Sera ambayo imefanya kazi ulaya au Marekani kwao ndio wanaleta bila kujiuliza mazingira yetu na Yao nitofauti tunafanya tafiti zetu halafu zinaozea kwenye makabati lakini wanaotuletea za wazungu

  • @vedastusjuma2870
    @vedastusjuma2870 Před 2 lety

    Kishimba mm nakuelewa

  • @muyamndiga6683
    @muyamndiga6683 Před 2 lety

    Yaani huyu mbunge kishimba ndo nayapenda mawazo yake nimazuli Sana napenda kumsikliza