Kishimba: Mwaka Mmoja Madarasa Manne | Mtoto Ambaye Hajasoma Ndiye Mwenye Faida

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 05. 2019
  • Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu amesema elimu ya Tanzania ni kama kifungo cha maisha.
    Ameeleza kuwa ni vyema mwaka mmoja mwanafunzi asome madarasa matatu ili kuokoa muda wa kuchukua miaka mingi kabla ya kumaliza shule huku akihoji ni utafiti gani unaoeleza ubongo wa binadamu kila mwaka usome darasa moja?
    Tazama hoja mbalimbali za mbunge huyo hapa.
    #CloudsDigitalUpdates #KutokaBungeni
  • Zábava

Komentáře • 116

  • @usserusser516
    @usserusser516 Před 3 lety +26

    Wangapi mmekuja humu baada ya mama kumsema em twende pamoja kwa like basi japo kiduuch....

    • @piusgodfrey8558
      @piusgodfrey8558 Před 3 lety +1

      Wazo kubwa sana mwaka mmoja piga la kwanza mpka la 3

  • @christinakomba3524
    @christinakomba3524 Před 3 lety +6

    Yani Baba ukovizuri Sana hawajakosea kukuchagua Mungu akulinde Sana na mikono ya Adui

  • @anordefta2853
    @anordefta2853 Před 4 lety +5

    Fact.
    Tunapotezewa muda sana hapa TZ.
    Digrii zetu hazina maana kabisa
    Siku hizi; mzee umeongea ukweli mtupu.
    Matumaini ya watoto na wazazi tulioaminishwa Elimu ni ufunguo wa maisha. Elimu imegeuka kifungo cha maisha.
    well done mp.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 3 lety

      Na hela nyingi inapotea huko

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 3 lety +15

    Mzee tumekupata sana, Mm mtoto wangu amegoma kwenda Chuo kikuu kwa ajili ya hayohayo, ameamua kujiajiri.

    • @davisdorian9985
      @davisdorian9985 Před 2 lety

      sorry to be so off topic but does anybody know of a tool to get back into an instagram account?
      I somehow lost my login password. I would appreciate any tips you can offer me

    • @horacemnyasa5400
      @horacemnyasa5400 Před 2 lety

      #Davis_Dorian 👇👆

  • @denismayunga4594
    @denismayunga4594 Před 4 lety +3

    Uko sawa kabisa mhe kishimba, kwel watu wanazeekea shuleni muda wakusoma upunguzwe

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Před 3 lety +2

    Asante baba etu hakika upo sawa kabitha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️✔️🇹🇿🇹🇿❤️

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Před 3 lety +3

    Mfano Hali ni kwa mm mwenyew na fanya kazi za ndani natumwa natukanwa hadi na watoto lakini yote nitafute Ada shing milin1 kwa mwaka bada ya miak3 mtoto anakuja namakartas tuu anze Tena kuhangaika kutafuta ajira kweli baba umenifungua Macho naumelifungua Macho taifa barikiwa Sana

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 Před 4 lety +11

    Bungeni wabunge ni 2 ni king msukuma na kishimba. Point sana.

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 Před 3 lety +15

    Huyu mzee haongeagi pumba kila akisimama lazima aje na kitu kipya ndani ya Bunge, Huyu mzee angepewa angalau uwaziri tuone maono yake huyu mzee anaona mbali sana, huyu mzee Kama professor PHD

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Před rokem

    Kishimba oyeeeee

  • @moriskalegeleshusha2619

    Mzee nimekubali unauwezo mkubwa sana wa kufikiri,hayupo alie fanya research kila baada ya mwaka darasa moja

  • @SharuBoy
    @SharuBoy Před 5 lety +6

    Nikweli kabisa alicho kisema Mh kishimba

  • @bensonmtigo8078
    @bensonmtigo8078 Před 3 lety +1

    Point sana jumanne kishimba mungu akuwek sana

  • @kamarabagumaerick555
    @kamarabagumaerick555 Před 2 lety +1

    Anaongea Point sana🙏🏾🙏🏾

  • @thomdan5457
    @thomdan5457 Před 3 lety +2

    Asante sana mzee mawazo yako ni cake ya taifa

  • @williamnguta5683
    @williamnguta5683 Před 4 lety +1

    Wewe nizaidi maono safii Sana mh,kishimba

  • @eliasgregory9733
    @eliasgregory9733 Před 3 lety +1

    Good kishimba

  • @danielbrazius3469
    @danielbrazius3469 Před 3 lety +1

    Huyu mzee huwa anaongea point sana kwa busara sana atakuwa rafiki yangu nitamtafuta nijifunze mengi kwake

  • @InitialMatemu
    @InitialMatemu Před 3 lety +5

    Huyu jamaa ana mafile sana🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯 he is not caping

  • @teacherdenniskauga1720

    Point taken

  • @gipsonmwankobela2825
    @gipsonmwankobela2825 Před 2 lety

    safi sana free minded ideas

  • @amouryona4219
    @amouryona4219 Před 5 lety +1

    Dah kwel

  • @millarnassibu7070
    @millarnassibu7070 Před 4 lety +1

    Very true

  • @Beststar0944
    @Beststar0944 Před 3 lety

    Kiukweriii kishimba hongeraa

  • @rosekomu1896
    @rosekomu1896 Před 3 lety +10

    Huyu baba yuko vizuri,anajaribu kutuvua mambo ya uzungu zungu

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 5 lety +2

    Sema baba

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 3 lety +5

    Wakuuu chukueni mawazo ya huyu mzee msione aibu, Watoto wanazeekea shule, napo akimaliza ajira Undugulization unatawala wala hawaangalii ufanisi wa kz.

  • @kashetomaduhu2306
    @kashetomaduhu2306 Před 4 lety +2

    Fact

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 Před 3 lety

    hongela sana mzee

  • @andrewwilliam6066
    @andrewwilliam6066 Před rokem

    Aisee

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 Před rokem

    Huyu mbunge anaelewa Life kuhusu elimu ni kweli wizara elimu wafikirie

  • @aymanhusseinaslam7266
    @aymanhusseinaslam7266 Před 3 lety +1

    Kishimba is right.

  • @nhawalala276
    @nhawalala276 Před 2 lety

    Nice

  • @nickaswasena4997
    @nickaswasena4997 Před 4 lety +1

    Hatariii

  • @dottocharles1636
    @dottocharles1636 Před 3 lety +3

    Yan huyu jamaa huwezi amini darasa la saba. Anatema cheche

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482 Před 3 lety

    Point

  • @leonardmayunganyamfanka9623

    Mzee big up xna

  • @danielichaula7186
    @danielichaula7186 Před 3 lety

    Sawa mzee

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Před 2 lety

    big up Prof

  • @dazk7861
    @dazk7861 Před 3 lety

    Mzee kaongea point sana

  • @libetvsports4723
    @libetvsports4723 Před 4 lety +6

    Nikweli muda wa kusoma upunguzwe kwasababu vijana wanazeekea shuleni

  • @julianamasanja8301
    @julianamasanja8301 Před 3 lety +1

    Kwa mara ya kwanza mh Kishimba kuongea point mwaka 2020 wabunge ni hapa kazi tu

  • @faustamarussu5546
    @faustamarussu5546 Před 3 lety +6

    Waliokuja baada ya Mh rais kwenye kikao cha wakuu wa idara tujuane

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba4715 Před 4 lety +2

    Wabeja baba

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Před 4 lety +3

    Siyo TRA TU. MH. NAFASI ZA UALIMU ZILITANGAZWA 4500
    WAKAJITOKEZA 90000. Afya watangaza nafasi 850 wakajitokeza 26000

  • @glorynjau-gf4uo
    @glorynjau-gf4uo Před rokem

    😂😂nimemwelewa Sana na nimempenda sana

  • @shukurukinzasa53
    @shukurukinzasa53 Před 2 lety

    Jamaa ukimckilza vizur utapata maana nzuri

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 Před 3 lety

    unamaono mzee safi

  • @issarashid1421
    @issarashid1421 Před 4 lety +6

    Mawazo yako nimapya kabisa mengi upo sahihi

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 Před 3 lety

    Kishimba endelea kutupazia sauti Mama atufikirie keshaanza kukusapoti

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 Před 3 lety +6

    Ajengewe sanamu kwa mchango huu.

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 Před 3 lety +1

    👍👍👍👍👍

  • @jk-or9jq
    @jk-or9jq Před 3 lety +1

    Mh Raisi Samia "mama" ameliona hili

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 3 lety +1

    Baba umesema kweli nasi tumearhirika sana

  • @joelllemi7849
    @joelllemi7849 Před 2 lety

    lait Serekali ingetumia busara za Pr kishimba kufanyia kazi mimi nadhani tungefika mbali

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 Před rokem

    Elimu ni kumfundisha mtoto kujitegemea ili isiwe kifungo cha Maisha tutaisha,
    Bila hivyo kila Mbunge aongoze kulingana na anavyo weza ,
    Ili kila mzazi achague Jimbo ambalo linatoa Elimu anayo hitaji kwa mwanae,
    Tume zimeundwa toka nimezaliwa nimechoka kusikia neno tume na Silipendi

  • @fredrickmathias7242
    @fredrickmathias7242 Před 3 lety

    Nice xana...2napewa xhahada ya elimu badala ya xhahada ya akil*

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Před 2 lety

    Mpeni uraisi anafaa huyu jamaa

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 3 lety +1

    Mama,, muongezee ulinzi j4

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 lety

    Kishimba hali ni mbaya sana ajira hakuna kabisa

  • @shijasalaganda2226
    @shijasalaganda2226 Před 4 lety +1

    Kweli ni la kuchekesha

  • @derickkahabwa3391
    @derickkahabwa3391 Před 3 lety +1

    Huyu Mzee Ni Kichwa sana. Anaongea mambo ya msingi sana.

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 Před 2 lety +1

    Aisee huyu akiw raisi mambo yatakuwa sawia nahisi

  • @saidimajidi5526
    @saidimajidi5526 Před 3 lety

    Huyu jamaa namuelewa sana

  • @zungujohn9355
    @zungujohn9355 Před 3 lety

    OK

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před 2 lety

    Kweli umenyonya ziwa la mama miaka miwili 2 yaani unahakiri mpk basi harudiagi maneno pont

  • @lightnesschrispine2446

    Hivi kwa nn mawazo ya huyu mzee yasiwekwe kwenye vitendo?

  • @SelestinLukonde-nx6dx

    Huyu ndoninae mkubalisana

  • @allexodongo4505
    @allexodongo4505 Před rokem

    Mweshimiwa mbunge kishimba mchango yako ni kwanufaa ya taifa

  • @samwelmushi4741
    @samwelmushi4741 Před rokem

    Wew ndio mbunge ninae kuelewa san

  • @diamondmwenga9518
    @diamondmwenga9518 Před 3 lety +3

    Huyu mzee ndio wale wenye Akili, maana akili ni kile kinchobaki ukitoa yote ya darasani

    • @richardibrahim5609
      @richardibrahim5609 Před 2 lety

      Siku zote mm nasema walioishia la saba ndo viongoz bora wa nchi hii. 2achane na maprofessa wa makaratasi

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 Před rokem

      Hii definition nimeikubali sana 😁

  • @rameckrobert9173
    @rameckrobert9173 Před 2 lety

    Huyu mbunge ana akili Pana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 3 lety

    Watu wafundishwe elimu ya ujasiliamali

  • @oswiitvonline6514
    @oswiitvonline6514 Před 2 lety

    Huyu mbunge namfuatilia sana point anazo ongea ni ngumu kumuelewa kwa sasa lakini anachoongea ni muhimu sana kwa taifa letu kwani elimu ya tz kwa sasa tunatengenezewa mabomu amabayo yatakuja kulipuka baadae.

  • @giftmandar582
    @giftmandar582 Před 2 lety

    Huwa na mwelewa huyu mbunge mpaka nataman awe mbunge wetu

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 3 lety

    Akili ya kuzaliwa

  • @mrishomteule637
    @mrishomteule637 Před 3 lety

    Kweli madalasa meng muno

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 3 lety

    Hahaaaa hii balaaa wasome miaka 3 darasa moja

    • @diamondmwenga9518
      @diamondmwenga9518 Před 3 lety

      Kasema mwaka mmoja madarasa 3, ili wasipoteze Muda mwingi mashulei

  • @kenedytigawa3120
    @kenedytigawa3120 Před 3 lety

    We mzee 25/30 ukagombee urais

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před 2 lety

    Utakuta mzazi anamdomesha mtoto kwa shida hatimae anakuja mtaani anaokota makopo

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 3 lety

    Huyu baba ni balaa

  • @ramaally1644
    @ramaally1644 Před 2 lety

    lakuongeza apo nikupunguza na miaka ya utumishi watumishi ukome kwa miaka 8

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 lety

    Mpaka sasa wengine wamekuwa kama machizi kwa kukosa ajira kishimba usemacho ni sawasawa

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 Před 3 lety

    Mzeee unabaraaaaa

  • @faisalyahya7186
    @faisalyahya7186 Před 3 lety

    anaongea kama mzazi huyu alipaswa kuwa waziri wa elimu

  • @manenocharles3772
    @manenocharles3772 Před 2 lety

    Bonge la msomi japo halikufika mbali kimasomo

  • @paulmassawe1591
    @paulmassawe1591 Před 2 lety

    Huyu Kwa nn asipewe uwaziri mnasubiria nn nyie CCM

  • @monicaemmanuel8459
    @monicaemmanuel8459 Před 4 lety

    Huyu jamaa ni mkweli

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395 Před rokem

    Mzee huyu uwezo wake niwaajabu kabisa.

  • @franklaurent216
    @franklaurent216 Před 3 lety

    pointi tupu

  • @lazaronkukwe7562
    @lazaronkukwe7562 Před 2 lety

    Nachokisema mbuge kwaswala laelim nisahihi kabisa

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 Před 2 lety

    Kiongozi na Pia Mzee wetu mwenye hekima tumekuelewa, isipokuwa wengi kati ya waliokuzunguka hawako tayari kuyafanyia kazi hayo maono. Ndio maana wanakuhisi kama unafanya Comedy vile na kuishia kucheka tu, sio kuwa tayati kwa mageuzi.

  • @majimotomalole9812
    @majimotomalole9812 Před 3 lety

    Hivi kwa nini wasomi wengi hawana maono.Huyu mbunge amerithishwa maono sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 3 lety

      Mfumo wa shule hudumaza akili. Huyu hakusoma sana.

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 Před 8 měsíci

      Aliesoma mchango wake mpka , points za advantages ingie google 😂😂😂

  • @hamicgaga7023
    @hamicgaga7023 Před 3 lety

    Clip fupi

  • @bony2883
    @bony2883 Před 5 lety +1

    Fact

  • @nickaswasena4997
    @nickaswasena4997 Před 4 lety

    Hatariii

  • @josephmatanda7028
    @josephmatanda7028 Před 3 lety

    Nice

  • @medystarter
    @medystarter Před 5 lety +1

    Fact

    • @Komborama
      @Komborama Před 5 lety

      Karne ya 21 haiangalii vyeti mtu ana A ngapi au GPA first class. Kubadili sera ya Elimu hakuepukiki ili kizazi cha Tanzania kuweza kuchangamana na dunia ya leo

  • @pashmaiko7722
    @pashmaiko7722 Před 5 lety +1

    Fact