Kishimba: Mwaka Mmoja Madarasa Manne | Mtoto Ambaye Hajasoma Ndiye Mwenye Faida
Vložit
- čas přidán 13. 05. 2019
- Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu amesema elimu ya Tanzania ni kama kifungo cha maisha.
Ameeleza kuwa ni vyema mwaka mmoja mwanafunzi asome madarasa matatu ili kuokoa muda wa kuchukua miaka mingi kabla ya kumaliza shule huku akihoji ni utafiti gani unaoeleza ubongo wa binadamu kila mwaka usome darasa moja?
Tazama hoja mbalimbali za mbunge huyo hapa.
#CloudsDigitalUpdates #KutokaBungeni - Zábava
Wangapi mmekuja humu baada ya mama kumsema em twende pamoja kwa like basi japo kiduuch....
Wazo kubwa sana mwaka mmoja piga la kwanza mpka la 3
Yani Baba ukovizuri Sana hawajakosea kukuchagua Mungu akulinde Sana na mikono ya Adui
Fact.
Tunapotezewa muda sana hapa TZ.
Digrii zetu hazina maana kabisa
Siku hizi; mzee umeongea ukweli mtupu.
Matumaini ya watoto na wazazi tulioaminishwa Elimu ni ufunguo wa maisha. Elimu imegeuka kifungo cha maisha.
well done mp.
Na hela nyingi inapotea huko
Mzee tumekupata sana, Mm mtoto wangu amegoma kwenda Chuo kikuu kwa ajili ya hayohayo, ameamua kujiajiri.
sorry to be so off topic but does anybody know of a tool to get back into an instagram account?
I somehow lost my login password. I would appreciate any tips you can offer me
#Davis_Dorian 👇👆
Uko sawa kabisa mhe kishimba, kwel watu wanazeekea shuleni muda wakusoma upunguzwe
Asante baba etu hakika upo sawa kabitha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️✔️🇹🇿🇹🇿❤️
Mfano Hali ni kwa mm mwenyew na fanya kazi za ndani natumwa natukanwa hadi na watoto lakini yote nitafute Ada shing milin1 kwa mwaka bada ya miak3 mtoto anakuja namakartas tuu anze Tena kuhangaika kutafuta ajira kweli baba umenifungua Macho naumelifungua Macho taifa barikiwa Sana
Bungeni wabunge ni 2 ni king msukuma na kishimba. Point sana.
Bashe umemsahau
Kuna mwamba anaitwa john heche hatali sana
Huyu mzee haongeagi pumba kila akisimama lazima aje na kitu kipya ndani ya Bunge, Huyu mzee angepewa angalau uwaziri tuone maono yake huyu mzee anaona mbali sana, huyu mzee Kama professor PHD
Kweli kabsa
Kishimba oyeeeee
Mzee nimekubali unauwezo mkubwa sana wa kufikiri,hayupo alie fanya research kila baada ya mwaka darasa moja
Nikweli kabisa alicho kisema Mh kishimba
Point sana jumanne kishimba mungu akuwek sana
Anaongea Point sana🙏🏾🙏🏾
Asante sana mzee mawazo yako ni cake ya taifa
Wewe nizaidi maono safii Sana mh,kishimba
Good kishimba
Huyu mzee huwa anaongea point sana kwa busara sana atakuwa rafiki yangu nitamtafuta nijifunze mengi kwake
Huyu jamaa ana mafile sana🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯 he is not caping
Point taken
safi sana free minded ideas
Dah kwel
Very true
Kiukweriii kishimba hongeraa
Huyu baba yuko vizuri,anajaribu kutuvua mambo ya uzungu zungu
Sema baba
Wakuuu chukueni mawazo ya huyu mzee msione aibu, Watoto wanazeekea shule, napo akimaliza ajira Undugulization unatawala wala hawaangalii ufanisi wa kz.
Fact
hongela sana mzee
Aisee
Huyu mbunge anaelewa Life kuhusu elimu ni kweli wizara elimu wafikirie
Kishimba is right.
Nice
Hatariii
Yan huyu jamaa huwezi amini darasa la saba. Anatema cheche
Point
Mzee big up xna
Sawa mzee
big up Prof
Mzee kaongea point sana
Nikweli muda wa kusoma upunguzwe kwasababu vijana wanazeekea shuleni
Kwa mara ya kwanza mh Kishimba kuongea point mwaka 2020 wabunge ni hapa kazi tu
Waliokuja baada ya Mh rais kwenye kikao cha wakuu wa idara tujuane
Wabeja baba
Siyo TRA TU. MH. NAFASI ZA UALIMU ZILITANGAZWA 4500
WAKAJITOKEZA 90000. Afya watangaza nafasi 850 wakajitokeza 26000
😂😂nimemwelewa Sana na nimempenda sana
Jamaa ukimckilza vizur utapata maana nzuri
unamaono mzee safi
Mawazo yako nimapya kabisa mengi upo sahihi
Kishimba endelea kutupazia sauti Mama atufikirie keshaanza kukusapoti
Ajengewe sanamu kwa mchango huu.
Good
👍👍👍👍👍
Mh Raisi Samia "mama" ameliona hili
Baba umesema kweli nasi tumearhirika sana
lait Serekali ingetumia busara za Pr kishimba kufanyia kazi mimi nadhani tungefika mbali
Elimu ni kumfundisha mtoto kujitegemea ili isiwe kifungo cha Maisha tutaisha,
Bila hivyo kila Mbunge aongoze kulingana na anavyo weza ,
Ili kila mzazi achague Jimbo ambalo linatoa Elimu anayo hitaji kwa mwanae,
Tume zimeundwa toka nimezaliwa nimechoka kusikia neno tume na Silipendi
Nice xana...2napewa xhahada ya elimu badala ya xhahada ya akil*
Mpeni uraisi anafaa huyu jamaa
Mama,, muongezee ulinzi j4
Kishimba hali ni mbaya sana ajira hakuna kabisa
Kweli ni la kuchekesha
Huyu Mzee Ni Kichwa sana. Anaongea mambo ya msingi sana.
Aisee huyu akiw raisi mambo yatakuwa sawia nahisi
Huyu jamaa namuelewa sana
OK
Kweli umenyonya ziwa la mama miaka miwili 2 yaani unahakiri mpk basi harudiagi maneno pont
Hivi kwa nn mawazo ya huyu mzee yasiwekwe kwenye vitendo?
Huyu ndoninae mkubalisana
Mweshimiwa mbunge kishimba mchango yako ni kwanufaa ya taifa
Wew ndio mbunge ninae kuelewa san
Huyu mzee ndio wale wenye Akili, maana akili ni kile kinchobaki ukitoa yote ya darasani
Siku zote mm nasema walioishia la saba ndo viongoz bora wa nchi hii. 2achane na maprofessa wa makaratasi
Hii definition nimeikubali sana 😁
Huyu mbunge ana akili Pana
Watu wafundishwe elimu ya ujasiliamali
Huyu mbunge namfuatilia sana point anazo ongea ni ngumu kumuelewa kwa sasa lakini anachoongea ni muhimu sana kwa taifa letu kwani elimu ya tz kwa sasa tunatengenezewa mabomu amabayo yatakuja kulipuka baadae.
Huwa na mwelewa huyu mbunge mpaka nataman awe mbunge wetu
Akili ya kuzaliwa
Kweli madalasa meng muno
Hahaaaa hii balaaa wasome miaka 3 darasa moja
Kasema mwaka mmoja madarasa 3, ili wasipoteze Muda mwingi mashulei
We mzee 25/30 ukagombee urais
Utakuta mzazi anamdomesha mtoto kwa shida hatimae anakuja mtaani anaokota makopo
Huyu baba ni balaa
lakuongeza apo nikupunguza na miaka ya utumishi watumishi ukome kwa miaka 8
Mpaka sasa wengine wamekuwa kama machizi kwa kukosa ajira kishimba usemacho ni sawasawa
Mzeee unabaraaaaa
anaongea kama mzazi huyu alipaswa kuwa waziri wa elimu
Bonge la msomi japo halikufika mbali kimasomo
Huyu Kwa nn asipewe uwaziri mnasubiria nn nyie CCM
Huyu jamaa ni mkweli
Mzee huyu uwezo wake niwaajabu kabisa.
pointi tupu
Nachokisema mbuge kwaswala laelim nisahihi kabisa
Kiongozi na Pia Mzee wetu mwenye hekima tumekuelewa, isipokuwa wengi kati ya waliokuzunguka hawako tayari kuyafanyia kazi hayo maono. Ndio maana wanakuhisi kama unafanya Comedy vile na kuishia kucheka tu, sio kuwa tayati kwa mageuzi.
Hivi kwa nini wasomi wengi hawana maono.Huyu mbunge amerithishwa maono sana
Mfumo wa shule hudumaza akili. Huyu hakusoma sana.
Aliesoma mchango wake mpka , points za advantages ingie google 😂😂😂
Clip fupi
Fact
Hatariii
Nice
Yan uyu kwer proof
Fact
Karne ya 21 haiangalii vyeti mtu ana A ngapi au GPA first class. Kubadili sera ya Elimu hakuepukiki ili kizazi cha Tanzania kuweza kuchangamana na dunia ya leo
Fact
Jaman wanangu wenyee degree tufanyeje
Hatujui kulima wasomi uongo