KISHIMBA BUNGENI TENA, ASEMA "UCHUMI WETU KAMA TEMBO ALIYEBEBWA NA SISIMIZI" AWAVUNJA MBAVU WABUNGE
Vložit
- čas přidán 18. 06. 2021
- June 18, 2021 Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia mapendekezo katika hotuba ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22
Mzee unajua maisha halisi ya mtanzania mitano tena
Leo naomben like zenu namimi
Good point ukoseag wewe big up mbunge
Hongera sana Baba kwa hoja zako Mungu awabariki
Honorable kishimba my favorite Mp
CBE's ni vyuo vya watafuta ajira serikalini. Sio vyuo vya watu kujifunza kufanya biashara. Big up Mh. Kishimba.
Mh, kishimba uko vizuri mno? Sijui Kama wabunge wakuerewa.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tunamuombea mwenyezi mungu ampe maisha marefu one day awe rais wa nchi
Itakuwa ngumu rafiki yangu. Katiba inalazimisha mgombea urais awe na digrii. Huyu jiniasi kaishia darasa la saba
Mtu anateuliwa , kuliko kuja na mikakati chanya, anaanza kukomalia machinga, 🧐🧐🧐🧐🧐, Wabunge wote tumuunge mkono kishimba kwa mawazo hayo.-💪💪💪
Mm nipo bagamoyo lakini mbunge wangu anaeniwakilisha bungeni mh jumanne Kishimba
Bunge wangu👏👏👏
Huyu Mweshimiwa nampenda sana, anaongea vitu vya maana sana kuliko wasomi, inabidi waheshimiwa wajifunze kutoka kwake namna ya kuchangua.
Kanywe chai kwa Shishi Food nitakulipia, 😁😁
Hongera sana kishimba nondo zako zaukweli sana
Hii nchi ya ajabu Sana Hili swala la wamachinga mbona hayati Jpm alilimakiza..mbona siasa na wamachinga haziishi jamani
God bless you hon MP
CBE inatoa feki orginal wanatoa wamachinga
Duh!!! Mzee we unawaelewa Sana watu wa hali chini koliko kawaida, tuteteeeeee baba.
Mwenyezi Mungu azidi kukuweka Baba, wenye akili watakuelewa. Binafsi naona unastahili kuwa Raisi wetu.
Mzee mungu akusimamie sana tunakuombea.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿♥️♥️♥️♥️Asante sana Baba
Asante sana kwa hoja zakitaft
Mzee anajuwa matatizo ya watanzania
Your very Bright jumanne kishimba
Hongera baba
K'shimba anawakusha mara nyingi wanaoitwa wasomi kutunga na kuamua kwa kutumia elimu utashi na siyo nadharia dhahania lakini hawaelewi.Ndio tunakataa watu wasifuge ng'ombe wengi ila wafuge ng'ombe wachache kwamba wataleta mafao kwao ,wakati huo huo wakianza kusema mafanikio ya mifugo watahesabu wote hata hao wanaosema hawana tija.Nadhani wanakua wanakimbia tatizo baadala ya kutatua,watu walime marisho kama wenzetu wanavo fanya...nusu ya wasomi walioaminiwa wanaamini sana vyeti vyao na mabosi wao kuliko uwezo asili waliojaliwa na Mungu...ndio maana tunampa wakili atuamue kwa kosa tunalolijua...
Umenena kweli tupu
Jamani hoja hizi hazihitaji mjadala zinahitaji kupitishwa za kishimba msukuma gwajima ziko vizuri sana
Mzee Kishimba ni Genius sana kwenye mambo mbalimbali hasa biashara, uwekezaji n.k Serikali iwatumie hawa Wazee
Wendo mzarendo mitano tena
Kishimba ni noma
Mie nipo Zenji lakini mbunge wangu ni Jumanne Kishimba
Aisee tuko pamoja mi mwenyewe niko Morogoro lakini mbunge wangu ni J.4 Kishimba.
Kishimba ww ni mbunge unaakili sana na mungu atakujaalia
Mungu akubariki kishimba kweli anaesema machinga atoke hajui pia akumbuke ipo siku atatoka
Ww ndo Raisi wetu ajae,na WANANCHI Tunataka mtu kama ww,unastahili kuitwa BABA WA TAIFA kwa ss
Hongela. sana.
Kishimba anajua maisha ya chini na ya juu kwani ameyaishi yote. Wengine hawana uchungu kwani hawajui shida .na hawajawai kuiishi. Nchi itambue mlipa Kodi makubwa ni mlaji wa Mwisho. Ambao wengi ni wenye maisha duni na wanatafuta riziki pia kwa mbinde. Eee Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
Yan wewe Baba Mungu akuweke🙏🏿
Kishimba upo vizuri hao wanaosema machinga watoke hawajui maisha na hali za watu wa chini kahama oyeeeee
MZEE KISHIMBA FOR PRESIDENT
Huyu Kishamba mtu makini Sana kwenye hoja zake...
Mbunge makini sana huyu 🇹🇿 ❤️
Ujawai kosea mzee
Huyu jamaa ni jiniasi sana. Mungu ambariki.
Tatizo wabunge wengi ni wakoloni weusi. Hususani mbunge anayejiita Zungu. Huyo jamaa ni mkoloni mweusi. Anapendekeza tulipe kodi ya simu wakati pesa zilizopo zinaibiwa tu. Wizara ya pesa wamehujumu pesa za nchi hadi leo hakuna kauri yoyote ila mnawaza kuendelea kutukamua.
Huyu mzee anajitambuwa sana mungu azidi kumtunza na kumupa afya
Dah...umemaliza mzee j4
Huyu mzee natamani nionane nae live (ananipa mfano wa kiongozi mzalendo
Njoo kahama anaongea na Kila mtu ndugu
Honorable presedent 2025👏
Professor
Unatema madini mzee ongela sana
Kuna vijana wengine niwa sanii wamebweteka umo
Very bright mind🗞️
Honorable mzee kishimba kwani serekali si mumpe uwaziri huyu mzee jamani
Hao wateule kinachowabughudhi ni kipii???
Hebu Prof kishimba ajibiwe🤣🤣🤣🤣🤣
Nikiwa USA 🇺🇸 huyo ndiye Mbunge wangu 100%
😂😂😂
big up mzee
We kidume
Nimeliaaaaaa sanaaaàaa..
Uyu angekuwa laisi tanzania mngeinyoi sana mana kapiga eseba mpka mishahala wapu wana lipwa siku mbili mshala mtu hana
We unajua mpka unaboa mzee
💯👍👍👍👍
Wasomi wajifunze kupitia huyu mzee. Wasomi wanasoma vitabu vilivyotungwa na wazungu hawajui maisha halisi
Kikubwa mwaka 025 nakupa kura yangu! Hata usipogombea URAIS
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Wnaotaka kuongezwa posho mnawaona viti vitupuuuuu Kama mashabiki wa Simba pumbavuu kabisa hongera kishimba kwa kuwawakilisha wananchi wako
Viongozi ni viburi hawasikirizi wala hawajali sijui tutafanyanye kwakweli ulieumba watu hawa utusaidie.
Baba yangu kishimba nakupenda sana kwenye hoja zako mm napenda kuziita hoja tukufu ila kwenye hili je wenye maduka makubwa ndo watoke wawaache machinga kwenye miji mikubwa je watapata wapi mali?
Hao machinga ni mawakala wa maduka makubwa,maan wenye maduka makubwa hawawezi kunuka jasho kwny jua na kubembeleza wateja mpaka kununua,machinga wachukua kwa maduka makubwa kwa mali kauli af waingia mstari wa mbele kutafuta cha juu,ndio maan weny maduka makubwa wako kimya wajua jinsi wanavyonufaika.
POINT TUPU.ANASTAHILI UPROFESA
Akili kubwa kishimba anaongelea uhalisia wa maisha halisi kabisa ya binadamu wa chini wenye kipato Cha kawaida
Wanapewa vyeo wenye elimu wakati maarifa ndio kichwa kwenye maendeleo ya inchi
tumbo likijaa watu husahau asili yao
Rais mtarajiwa.
Wewe ni mzalendo wakweli
Huyu jamaa anawaza mbali asee...
Mh kanywe Soda kwa mangi
Ujawahi kosea mbunge wangu
Mbona unapotosha...hakuna mtu aliyesema anatoa wamachinga....na serikali haijatamka kuwatoa...wamesema wanataka kuweka utaratibu mzuri...Mimi nashangaa kuona wabunge wa vijijini wanazungumzia machinga wa kariakoo...haiwezekani kuachia Hali Kama ile...kariakoo imejaa ndani ya miaka miwili hijayo itakuwa balaa maana kila mtu atakuwa machinga...serikali lazima ijena jibu ata ikiwezekana ata kununua maeneo kariakoo na ilala kujenga masoko makubwa ya wazi ya gorofa kusiwe na vizimba....tusijifanye tuna huruma na Hawa vijana kwa manufaa yetu kisiasa...tuumize vichwa ili kuwasaidia sio kuwaacha ili tupate kura zao...mkuu wa mkoa endelea na mpango wako
Wewe sio wao,wewe unajitosheleza,ndio maana unatoa idea za abunuwasi,khaaaa
Wamachinga elfu tano tu wakilipia viparata vya magufuli vya shilingi elfu ishirini kwa mwaka..Ni sawa na shilingi trillioni moja serikali imepata mapato hayo kutoka kwa wamachinga..hayati Magufuli alikua na akili ya ziada Sana..kweli baba ulisema tutakukumbuka.....
Kweli kachimba wewe mfano wa kuigwa ukumbuke ukitumbuliwa unaludi hukuhuku
Mzee huyu ana akili hatari ,huyu mimi ndo mbunge wangu bora kwa sasa .
PROF. kishimba namkubali sana aisee
Mzee kishimba ama hakika unaongea vitu vyenye maono ndani yake MUNGU akuweke siku moja uwe rais wetu nchi inaitaji watu fct kama hawa ila wanao fikiria nje ya box watajibeba
😄
Huyu Kishimba si awe hata Raisi maana ana IQ kubwa sana ya kifikra. Kishimba Bonge LA kiongozi
Unastahili upewe nafasi ya uwaziri wa tamisemi , ama wizara ya fedha
Matajiri wengi wafanya biashara na wengi walianza kama machinga kweli umachinga ni chuo kabisa
Mimi ningeshauri serikali iunde kitengo cha wamachinga kama ewura ambacho kitatizima matatizo ya wachinga na changamoto zao kwa sababu ukiwasaidia wamachinga umesaidia kundi kubwa pili wamachinga wote watambuliwe kisheria hili TISS wanaweza maana ukisema kuna usajili wa wamachinga dar nzima watakuja, tatu kuwe na ufuatiliaji wa wamachinga kwa mfano wamachinga wanunue simu zile ndogo za 25,000 ambazo zitakuwa na namba maalum ambayo EMEI yake itakuwa kwenye database ya TRA na TRA washirikiane na mitandao ya simu, Hiyo simu itafanya wauze vitu vyao online kama vile MPESA, nne kuna mtu alifanya kitu kizuri sana pale soko la kariakoo nje alijenga viduka vidogo vidogo vizuri ambavyo wamachinga wanafanyia biashara kwa nin visingejegwa huku pembeni ya barabara vikawa kama urembo lakin watu wanapata ajira
Nyundo
Poa sana
Uyu ndio Muzalendo na mkweli kuwa kiongozi kura yangu utapata siku zote. Hawaa mafisadi matajiri yanawaza yana waza wanaweza kuwa matajiri bila maskini????? Ndugai fukuza wote wa bunge wenye akila za umalaya za kunyanyaza maskini, je mnasahau kama tz ni ya mukulima na mfugaji?? Machinga waleo njo wakulima je hawa ruhusa ya kufurahia nchi yao???
Tuna ndege saivi wewee😂😂. Tanzania ya ndege hii
Huyu ndiye anatufaa kuleee mbeleni..
Elimu kitaa, kupitia biashara zime mpa kitu kikubwa sana kishimba, anaongea anacho kifahamu fika, tatizo kwetu wasomi tunazani kila mtu anatakiwa awe mkubwa
Huyu fother anapatikana wap?
Khm,shy Tz
Huyu mzee apewe uwaziri hata Kama Hana degree
Hichi ni kichwa, je serikali inayafanyia kazi mawazo yake? Huyu hana chuki na yoyote, please apewe kitengo hasa kwenye biashara na uwekezeji kama itawapendeza wakubwa.pia mh kumbuka kuandaa kitabu ili alama zako zibaki.
Hivi hili la kuwatoa machinga limetokea wapi au kwa sababu walimpenda Sana magufuli mpaka wakaingia airport na mtu anayelisemea Sana ni makala hivi hawajui umuhimu was machinga ngoja tuwaache tuone
Kwani viongozi vinawauma Nini,? Waache watu wafanye kazi
Mzee kishimba umetisha sanaa we mzee una madini mdomoni mwako wewe ni mgodi unaotembea unaitaji mlinzi mzee mzeee.
Mitano tena kishimba.
Dahhhhh, Hadi raha watu wa kahama mitano tena
Halafu na mpenda kiahimba hanaga Mambo mengi..sijuinkupongeza Sana Mara hivi yeye anajielekeza kwenye mada moja kwa moja
Yani machinga waendelee kublock barabara na kuchafua mandhari ya majiji
Ndio kigezo cha uchumi hiko ?
Duniani hakuna wafanya biashara kwenye barabara bwana huu ni uchafu tu
Dunia yote inao machinga lakini wanatengewa maeneo yao kwa utaratibu mzuri wa kimazingira
Huu ni uchafu tulonao tao tz
Wakajifunze hata hapo rwanda kwa rafiki wa hayati wetu
Waone kafanyaje kuhusu machinga