KISHIMBA BUNGENI TENA, ASEMA "UCHUMI WETU KAMA TEMBO ALIYEBEBWA NA SISIMIZI" AWAVUNJA MBAVU WABUNGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 06. 2021
  • June 18, 2021 Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia mapendekezo katika hotuba ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22

Komentáře • 112

  • @fredyjames4327
    @fredyjames4327 Před 3 lety +23

    Mzee unajua maisha halisi ya mtanzania mitano tena

  • @abdulmajidy5496
    @abdulmajidy5496 Před 3 lety +22

    Leo naomben like zenu namimi

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Před 3 lety +13

    Good point ukoseag wewe big up mbunge

  • @carolinakayet4149
    @carolinakayet4149 Před 3 lety +6

    Hongera sana Baba kwa hoja zako Mungu awabariki

  • @abdulazizahmed478
    @abdulazizahmed478 Před 3 lety +4

    Honorable kishimba my favorite Mp

  • @jacksonjoel6724
    @jacksonjoel6724 Před 3 lety +4

    CBE's ni vyuo vya watafuta ajira serikalini. Sio vyuo vya watu kujifunza kufanya biashara. Big up Mh. Kishimba.

  • @bashirimkilindi-ww7if

    Mh, kishimba uko vizuri mno? Sijui Kama wabunge wakuerewa.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @drhammo5709
    @drhammo5709 Před 3 lety +5

    Tunamuombea mwenyezi mungu ampe maisha marefu one day awe rais wa nchi

    • @nitumesokoni3164
      @nitumesokoni3164 Před 3 lety

      Itakuwa ngumu rafiki yangu. Katiba inalazimisha mgombea urais awe na digrii. Huyu jiniasi kaishia darasa la saba

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 3 lety +3

    Mtu anateuliwa , kuliko kuja na mikakati chanya, anaanza kukomalia machinga, 🧐🧐🧐🧐🧐, Wabunge wote tumuunge mkono kishimba kwa mawazo hayo.-💪💪💪

  • @omarialfaaruuq6643
    @omarialfaaruuq6643 Před 3 lety +11

    Mm nipo bagamoyo lakini mbunge wangu anaeniwakilisha bungeni mh jumanne Kishimba

  • @dominicksamwel7578
    @dominicksamwel7578 Před 3 lety +5

    Bunge wangu👏👏👏

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Před 3 lety +3

    Huyu Mweshimiwa nampenda sana, anaongea vitu vya maana sana kuliko wasomi, inabidi waheshimiwa wajifunze kutoka kwake namna ya kuchangua.

  • @emanuelmaro8471
    @emanuelmaro8471 Před 3 lety +8

    Kanywe chai kwa Shishi Food nitakulipia, 😁😁

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 Před 3 lety +3

    Hongera sana kishimba nondo zako zaukweli sana

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 Před 3 lety +9

    Hii nchi ya ajabu Sana Hili swala la wamachinga mbona hayati Jpm alilimakiza..mbona siasa na wamachinga haziishi jamani

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Před 3 lety +2

    God bless you hon MP

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 Před 3 lety +6

    CBE inatoa feki orginal wanatoa wamachinga

  • @paulinamassay5122
    @paulinamassay5122 Před 3 lety +4

    Duh!!! Mzee we unawaelewa Sana watu wa hali chini koliko kawaida, tuteteeeeee baba.

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 Před rokem

    Mwenyezi Mungu azidi kukuweka Baba, wenye akili watakuelewa. Binafsi naona unastahili kuwa Raisi wetu.

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Před rokem

    Mzee mungu akusimamie sana tunakuombea.

  • @hbdina
    @hbdina Před 3 lety +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿♥️♥️♥️♥️Asante sana Baba

  • @kitindifredy9436
    @kitindifredy9436 Před 3 lety +1

    Asante sana kwa hoja zakitaft

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 Před 3 lety +5

    Mzee anajuwa matatizo ya watanzania

  • @lansonmlehele7248
    @lansonmlehele7248 Před 3 lety

    Your very Bright jumanne kishimba

  • @jonsonjoani2448
    @jonsonjoani2448 Před 2 lety

    Hongera baba

  • @oscarsagara8813
    @oscarsagara8813 Před 3 lety +3

    K'shimba anawakusha mara nyingi wanaoitwa wasomi kutunga na kuamua kwa kutumia elimu utashi na siyo nadharia dhahania lakini hawaelewi.Ndio tunakataa watu wasifuge ng'ombe wengi ila wafuge ng'ombe wachache kwamba wataleta mafao kwao ,wakati huo huo wakianza kusema mafanikio ya mifugo watahesabu wote hata hao wanaosema hawana tija.Nadhani wanakua wanakimbia tatizo baadala ya kutatua,watu walime marisho kama wenzetu wanavo fanya...nusu ya wasomi walioaminiwa wanaamini sana vyeti vyao na mabosi wao kuliko uwezo asili waliojaliwa na Mungu...ndio maana tunampa wakili atuamue kwa kosa tunalolijua...

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 Před 3 lety +1

    Jamani hoja hizi hazihitaji mjadala zinahitaji kupitishwa za kishimba msukuma gwajima ziko vizuri sana

  • @economistshillajr.1317

    Mzee Kishimba ni Genius sana kwenye mambo mbalimbali hasa biashara, uwekezaji n.k Serikali iwatumie hawa Wazee

  • @feruzinangwalanya5315
    @feruzinangwalanya5315 Před 3 lety

    Kishimba ni noma

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 3 lety +2

    Mie nipo Zenji lakini mbunge wangu ni Jumanne Kishimba

    • @davidmagundu2285
      @davidmagundu2285 Před 3 lety

      Aisee tuko pamoja mi mwenyewe niko Morogoro lakini mbunge wangu ni J.4 Kishimba.

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji2872 Před 3 lety +1

    Kishimba ww ni mbunge unaakili sana na mungu atakujaalia

  • @mbarakambuguni3228
    @mbarakambuguni3228 Před 3 lety

    Mungu akubariki kishimba kweli anaesema machinga atoke hajui pia akumbuke ipo siku atatoka

  • @typeywatengwa2046
    @typeywatengwa2046 Před 3 lety +4

    Ww ndo Raisi wetu ajae,na WANANCHI Tunataka mtu kama ww,unastahili kuitwa BABA WA TAIFA kwa ss

  • @marthamarashi1913
    @marthamarashi1913 Před 3 lety

    Hongela. sana.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 3 lety

    Kishimba anajua maisha ya chini na ya juu kwani ameyaishi yote. Wengine hawana uchungu kwani hawajui shida .na hawajawai kuiishi. Nchi itambue mlipa Kodi makubwa ni mlaji wa Mwisho. Ambao wengi ni wenye maisha duni na wanatafuta riziki pia kwa mbinde. Eee Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz

  • @annahpsimon1156
    @annahpsimon1156 Před 3 lety +1

    Yan wewe Baba Mungu akuweke🙏🏿

  • @mbarakambuguni3228
    @mbarakambuguni3228 Před 3 lety

    Kishimba upo vizuri hao wanaosema machinga watoke hawajui maisha na hali za watu wa chini kahama oyeeeee

  • @bengang3265
    @bengang3265 Před 3 lety +1

    MZEE KISHIMBA FOR PRESIDENT

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 Před 3 lety +2

    Huyu Kishamba mtu makini Sana kwenye hoja zake...

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 Před 3 lety

    Mbunge makini sana huyu 🇹🇿 ❤️

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 Před 3 lety +4

    Ujawai kosea mzee

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 Před 3 lety

    Huyu jamaa ni jiniasi sana. Mungu ambariki.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před 3 lety +2

    Tatizo wabunge wengi ni wakoloni weusi. Hususani mbunge anayejiita Zungu. Huyo jamaa ni mkoloni mweusi. Anapendekeza tulipe kodi ya simu wakati pesa zilizopo zinaibiwa tu. Wizara ya pesa wamehujumu pesa za nchi hadi leo hakuna kauri yoyote ila mnawaza kuendelea kutukamua.

  • @naqillogistic5862
    @naqillogistic5862 Před 3 lety +3

    Huyu mzee anajitambuwa sana mungu azidi kumtunza na kumupa afya

  • @bashirmrisho8491
    @bashirmrisho8491 Před 3 lety

    Dah...umemaliza mzee j4

  • @drhammo5709
    @drhammo5709 Před 3 lety +2

    Huyu mzee natamani nionane nae live (ananipa mfano wa kiongozi mzalendo

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo2159 Před 3 lety

    Honorable presedent 2025👏

  • @sabinawambura6029
    @sabinawambura6029 Před 3 lety +1

    Professor

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 3 lety +2

    Unatema madini mzee ongela sana
    Kuna vijana wengine niwa sanii wamebweteka umo

  • @saulikinahi6703
    @saulikinahi6703 Před 3 lety +1

    Very bright mind🗞️

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 Před 2 lety

    Honorable mzee kishimba kwani serekali si mumpe uwaziri huyu mzee jamani

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 3 lety +3

    Hao wateule kinachowabughudhi ni kipii???
    Hebu Prof kishimba ajibiwe🤣🤣🤣🤣🤣
    Nikiwa USA 🇺🇸 huyo ndiye Mbunge wangu 100%

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Před 2 lety

    big up mzee

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 Před 3 lety +3

    We kidume

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber6038 Před 3 lety

    Nimeliaaaaaa sanaaaàaa..

  • @dominikishilali5980
    @dominikishilali5980 Před 3 lety +1

    Uyu angekuwa laisi tanzania mngeinyoi sana mana kapiga eseba mpka mishahala wapu wana lipwa siku mbili mshala mtu hana

  • @simonjonas1457
    @simonjonas1457 Před 3 lety +1

    We unajua mpka unaboa mzee

  • @chifupromise9575
    @chifupromise9575 Před 3 lety

    💯👍👍👍👍

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 Před 3 lety +1

    Wasomi wajifunze kupitia huyu mzee. Wasomi wanasoma vitabu vilivyotungwa na wazungu hawajui maisha halisi

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 3 lety +4

    Kikubwa mwaka 025 nakupa kura yangu! Hata usipogombea URAIS

  • @godwinhaule6100
    @godwinhaule6100 Před 3 lety +1

    Wnaotaka kuongezwa posho mnawaona viti vitupuuuuu Kama mashabiki wa Simba pumbavuu kabisa hongera kishimba kwa kuwawakilisha wananchi wako

  • @matildamtumishi8516
    @matildamtumishi8516 Před 2 lety

    Viongozi ni viburi hawasikirizi wala hawajali sijui tutafanyanye kwakweli ulieumba watu hawa utusaidie.

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Před 3 lety +1

    Baba yangu kishimba nakupenda sana kwenye hoja zako mm napenda kuziita hoja tukufu ila kwenye hili je wenye maduka makubwa ndo watoke wawaache machinga kwenye miji mikubwa je watapata wapi mali?

    • @ahmadmpinzire5649
      @ahmadmpinzire5649 Před 3 lety

      Hao machinga ni mawakala wa maduka makubwa,maan wenye maduka makubwa hawawezi kunuka jasho kwny jua na kubembeleza wateja mpaka kununua,machinga wachukua kwa maduka makubwa kwa mali kauli af waingia mstari wa mbele kutafuta cha juu,ndio maan weny maduka makubwa wako kimya wajua jinsi wanavyonufaika.

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa1586 Před 3 lety

    POINT TUPU.ANASTAHILI UPROFESA

  • @noelimafwele602
    @noelimafwele602 Před 3 lety

    Akili kubwa kishimba anaongelea uhalisia wa maisha halisi kabisa ya binadamu wa chini wenye kipato Cha kawaida

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 Před 3 lety +1

    Wanapewa vyeo wenye elimu wakati maarifa ndio kichwa kwenye maendeleo ya inchi

  • @yohanamichael2858
    @yohanamichael2858 Před 3 lety +2

    tumbo likijaa watu husahau asili yao

  • @yonakatoto4067
    @yonakatoto4067 Před 3 lety +1

    Rais mtarajiwa.

  • @rahmarahma920
    @rahmarahma920 Před 3 lety +1

    Wewe ni mzalendo wakweli

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Před 2 lety

    Huyu jamaa anawaza mbali asee...

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi1047 Před 3 lety +1

    Mh kanywe Soda kwa mangi

  • @lazarosteven7286
    @lazarosteven7286 Před 3 lety

    Ujawahi kosea mbunge wangu

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před 3 lety

    Mbona unapotosha...hakuna mtu aliyesema anatoa wamachinga....na serikali haijatamka kuwatoa...wamesema wanataka kuweka utaratibu mzuri...Mimi nashangaa kuona wabunge wa vijijini wanazungumzia machinga wa kariakoo...haiwezekani kuachia Hali Kama ile...kariakoo imejaa ndani ya miaka miwili hijayo itakuwa balaa maana kila mtu atakuwa machinga...serikali lazima ijena jibu ata ikiwezekana ata kununua maeneo kariakoo na ilala kujenga masoko makubwa ya wazi ya gorofa kusiwe na vizimba....tusijifanye tuna huruma na Hawa vijana kwa manufaa yetu kisiasa...tuumize vichwa ili kuwasaidia sio kuwaacha ili tupate kura zao...mkuu wa mkoa endelea na mpango wako

    • @pendomakali4115
      @pendomakali4115 Před 3 lety

      Wewe sio wao,wewe unajitosheleza,ndio maana unatoa idea za abunuwasi,khaaaa

  • @j_gh812
    @j_gh812 Před 3 lety +1

    Wamachinga elfu tano tu wakilipia viparata vya magufuli vya shilingi elfu ishirini kwa mwaka..Ni sawa na shilingi trillioni moja serikali imepata mapato hayo kutoka kwa wamachinga..hayati Magufuli alikua na akili ya ziada Sana..kweli baba ulisema tutakukumbuka.....

    • @absalimlufyagile4974
      @absalimlufyagile4974 Před 3 lety

      Kweli kachimba wewe mfano wa kuigwa ukumbuke ukitumbuliwa unaludi hukuhuku

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 Před 3 lety

    Mzee huyu ana akili hatari ,huyu mimi ndo mbunge wangu bora kwa sasa .

    • @MAFUNDISHO1
      @MAFUNDISHO1 Před 3 lety

      PROF. kishimba namkubali sana aisee

  • @josephbaraka8451
    @josephbaraka8451 Před 2 lety

    Mzee kishimba ama hakika unaongea vitu vyenye maono ndani yake MUNGU akuweke siku moja uwe rais wetu nchi inaitaji watu fct kama hawa ila wanao fikiria nje ya box watajibeba

  • @abdulmajidy5496
    @abdulmajidy5496 Před 3 lety

    😄

  • @benedictojanuary4930
    @benedictojanuary4930 Před 3 lety

    Huyu Kishimba si awe hata Raisi maana ana IQ kubwa sana ya kifikra. Kishimba Bonge LA kiongozi

  • @ramadhanmohamed6433
    @ramadhanmohamed6433 Před 3 lety

    Unastahili upewe nafasi ya uwaziri wa tamisemi , ama wizara ya fedha

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 Před 3 lety

    Matajiri wengi wafanya biashara na wengi walianza kama machinga kweli umachinga ni chuo kabisa

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před 3 lety

    Mimi ningeshauri serikali iunde kitengo cha wamachinga kama ewura ambacho kitatizima matatizo ya wachinga na changamoto zao kwa sababu ukiwasaidia wamachinga umesaidia kundi kubwa pili wamachinga wote watambuliwe kisheria hili TISS wanaweza maana ukisema kuna usajili wa wamachinga dar nzima watakuja, tatu kuwe na ufuatiliaji wa wamachinga kwa mfano wamachinga wanunue simu zile ndogo za 25,000 ambazo zitakuwa na namba maalum ambayo EMEI yake itakuwa kwenye database ya TRA na TRA washirikiane na mitandao ya simu, Hiyo simu itafanya wauze vitu vyao online kama vile MPESA, nne kuna mtu alifanya kitu kizuri sana pale soko la kariakoo nje alijenga viduka vidogo vidogo vizuri ambavyo wamachinga wanafanyia biashara kwa nin visingejegwa huku pembeni ya barabara vikawa kama urembo lakin watu wanapata ajira

  • @computersales-tz
    @computersales-tz Před 3 lety

    Nyundo

  • @mungaSapo
    @mungaSapo Před 9 měsíci

    Poa sana

  • @blueeyes5952
    @blueeyes5952 Před 3 lety +1

    Uyu ndio Muzalendo na mkweli kuwa kiongozi kura yangu utapata siku zote. Hawaa mafisadi matajiri yanawaza yana waza wanaweza kuwa matajiri bila maskini????? Ndugai fukuza wote wa bunge wenye akila za umalaya za kunyanyaza maskini, je mnasahau kama tz ni ya mukulima na mfugaji?? Machinga waleo njo wakulima je hawa ruhusa ya kufurahia nchi yao???

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 3 lety

      Tuna ndege saivi wewee😂😂. Tanzania ya ndege hii

  • @MrMachume
    @MrMachume Před 3 lety

    Huyu ndiye anatufaa kuleee mbeleni..

  • @bongozoom4834
    @bongozoom4834 Před 3 lety

    Elimu kitaa, kupitia biashara zime mpa kitu kikubwa sana kishimba, anaongea anacho kifahamu fika, tatizo kwetu wasomi tunazani kila mtu anatakiwa awe mkubwa

  • @HeddySonBrownjr
    @HeddySonBrownjr Před 3 lety

    Huyu fother anapatikana wap?

  • @josephlutatina9416
    @josephlutatina9416 Před 3 lety

    Huyu mzee apewe uwaziri hata Kama Hana degree

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 Před 3 lety

    Hichi ni kichwa, je serikali inayafanyia kazi mawazo yake? Huyu hana chuki na yoyote, please apewe kitengo hasa kwenye biashara na uwekezeji kama itawapendeza wakubwa.pia mh kumbuka kuandaa kitabu ili alama zako zibaki.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 3 lety +1

    Hivi hili la kuwatoa machinga limetokea wapi au kwa sababu walimpenda Sana magufuli mpaka wakaingia airport na mtu anayelisemea Sana ni makala hivi hawajui umuhimu was machinga ngoja tuwaache tuone

  • @emanuelmaro8471
    @emanuelmaro8471 Před 3 lety +4

    Kwani viongozi vinawauma Nini,? Waache watu wafanye kazi

    • @salimkinyashi562
      @salimkinyashi562 Před 3 lety +1

      Mzee kishimba umetisha sanaa we mzee una madini mdomoni mwako wewe ni mgodi unaotembea unaitaji mlinzi mzee mzeee.

    • @salimkinyashi562
      @salimkinyashi562 Před 3 lety +1

      Mitano tena kishimba.

    • @calistgwaydamuy8813
      @calistgwaydamuy8813 Před 3 lety

      Dahhhhh, Hadi raha watu wa kahama mitano tena

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 Před 3 lety

    Halafu na mpenda kiahimba hanaga Mambo mengi..sijuinkupongeza Sana Mara hivi yeye anajielekeza kwenye mada moja kwa moja

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem4889 Před 3 lety

    Yani machinga waendelee kublock barabara na kuchafua mandhari ya majiji
    Ndio kigezo cha uchumi hiko ?
    Duniani hakuna wafanya biashara kwenye barabara bwana huu ni uchafu tu
    Dunia yote inao machinga lakini wanatengewa maeneo yao kwa utaratibu mzuri wa kimazingira
    Huu ni uchafu tulonao tao tz
    Wakajifunze hata hapo rwanda kwa rafiki wa hayati wetu
    Waone kafanyaje kuhusu machinga