Awwww this is so cute jamani...nilisafiri two weeks nilivyorudi paka wangu(Tamaya) alikuwa na vibe zaidi ya Manunu...so namuelewa Wema this love is really...no faking or showing off...hawa pets wana upendo hasaaa😊
Ni afadhali ukachukue yatima mmoja umtunze kwa hizo gharama za kumtunza mbwa na Mungu atakukumbuka ktk hitaji lako, kuliko kutunza mbwa ambaye hupati dhawabu yoyote kwa Mungu!
Kweli kabisa si tulioko huku nje tunajionea mengi, mbwa anatunzwa zaidi hata ya binadamu, paka yaani hata kuna mbwa wanaishi maisha ya kifahari kuliko hata mimi maisha yangu😂acha mtu ajitunzie kambwa kake
Bora upende wanyama cz wanamapenzi ya kweli kuliko binadam, Nakuombea upate mtoto jmn wema❤❤❤
Mungu akujaalie upate mtoto wa halali,,,,, Insha! Allah!!
Mwenyezi Mungu akujaalie kheri Wema upate mtoto inshaallah
Awwww this is so cute jamani...nilisafiri two weeks nilivyorudi paka wangu(Tamaya) alikuwa na vibe zaidi ya Manunu...so namuelewa Wema this love is really...no faking or showing off...hawa pets wana upendo hasaaa😊
Ni afadhali ukachukue yatima mmoja umtunze kwa hizo gharama za kumtunza mbwa na Mungu atakukumbuka ktk hitaji lako, kuliko kutunza mbwa ambaye hupati dhawabu yoyote kwa Mungu!
Dah Mungu atamjalia inshallah 😢
Bora 😂😂mmbwa kuliko 😂😂wanadamu 😢😢
Akili yako haina akili
@@jumakapilima7295Ubarikiwe sana my dear wangu 💃♥️
Kabisaaa bora manunu wake kuliko binadamu wanafiki 😂😂
Mwenyewe mbwa na paka wangu wanavyonipokeaga kwa furaha wee,nikisafiri uwa mpaka nalia kuwaacha
Mungu mfanyie huyu dada wepesi apate mtoto
Mungu ni Mwema atakujalia utapata Mtoto
Had Raha ❤❤
Hadi nae kashangaa❤
Waooooooooo
Sema nini?Mbwa wana upendo sana.
Nyie wema ana hatariii
Duu mama mbwaa.
Yani wabongo bado sana kila kitu kwenu maneno hayo mambo ya kizungu wazungu mbwa anakatiwa hadi bima kama hamjui😊
Inshaallah atapata mtoto
Mwacheni na furaha yake hajakosea ni mbwa wake na anampenda hakuna shida
Nikweli kama unajafuga mbwa au mnyama yeyote hawezi kujua mana yake penda wema
Ila wanyam ukimpenda mm nilikuwa na nyau nyauu 😂😂😂 nyau alikuwa ananifataaaaa fataaaa
Unachezea na kizaziiii😂😂😂😂😂
Manunu say welcome back home mum where is your dad idriss manunu
Mtangazaji bana, etu mtu wa kwanza kumpokea Wema ni Manunu😂
Pole na hongera. But adapt a kid. Utapata furaha ya ndani kabisa.
Hata mimi napenda mbwa😂😂😂 jamani
MBONA UME0OKELEWA NA MANONO WOZU YUKO WAPI
Mhhh mbwa jamani
Manunu anampenda sana wema wake jmn
Mtu wa kwanza mbwa😂
Kua namfugo siombaya kama unamzingatia wenyemakasiriko ndio watakuongelea vibaya wanatamani wao ndio wawe huyo mbwa manunu bhasi naroho zao zachuki
Millard saiv mnapost usenge
Watanzania watu waajabu hata walojaaliwa watoto pia wanafuga mbwa😅😅😅
Nilikuwa na paka km hivi jamani😢😢😢lakini walimuua😢😢 nyie
Pole
😢😢 mim napenda sana paka na wao wananipenda hata paka wa mtaan nikuwaita wanatulia kwanza
@marimchawioiiiiamdullazy8166
Mapenzi wake ajae
Mbwa ni marafiki zetu
Ukiona mbwa anatakiwa mkia ujue anakuwa na furaha
Mpende mway mbwa wako binadamu hawapendeki
Yani nyie endeleeni kumkufulu mungu tu
Mtu wa kwanza kumpokea ni mbwa wake manunu😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Kwanini asi mnyanyuetu 😢
Lazina ampende sindo mtoto wake uto
Mwisho atamlala tuu na kumfira make😂😂😂
Hahaha@ivanamkapa2369
Kwani hana watoto ata wakwanza awe mbwa?
Huyo ni bwana wako
Mwisho atamlala huyo mbwa sii kwa mapenzi hayo
Astaghfirullah
Mbona tial😊😊😊😊
We nzako wanapokelewa na Watoto we na Mbwa mpumbavu
wafanye wazungu tu wakifanya wenzenu aah....ni funy video hata si mpenz wa mbwa unapenda kilichofanyika acheni chuki na ushamba
Kweli kabisa si tulioko huku nje tunajionea mengi, mbwa anatunzwa zaidi hata ya binadamu, paka yaani hata kuna mbwa wanaishi maisha ya kifahari kuliko hata mimi maisha yangu😂acha mtu ajitunzie kambwa kake
@theresiagideon2178 Akili. Viaziiiii
Nimjinga watoto yatima kibao haonii tafteni habar zamaana
Unaroho mbay