KISHIMBA AIBUKA NA JINGINE “WATU WALIOSOMA KULE KIJIJINI NDIO WANAOCHEKWA, HIVI HAWA PANYA ROAD"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 05. 2022

Komentáře • 175

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Před 2 lety +33

    What a man in this country. I love the way he thinks. This man is genius.

  • @Baron_Kigume
    @Baron_Kigume Před 2 lety +27

    Big Brains Kishimba! This Man is a National Treasure

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety +1

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 2 lety +22

    This man is talking in natural base on common and reality sense in daily life...

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      yup..tatizo mifumo yetu imekaa kiingereza zaidi badala ya uhalisia wa maisha yetu huyu jamaa anakita kihalisia.
      sio tu ili mradi tusome. tusome kwa maendeleo yetu ya kitanzania.

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Před 2 lety +11

    Hilo ndo darasa la IV la zamani ni zaidi ya PhD ya sasa. Hongera sana mzee kwa mawazo mbadala!

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před 2 lety +2

    Kashimba fact nakupenda sana tena bule mungu awe dereva wako

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 Před 2 lety +6

    I real love this guy he's so brilliant,always argue the natural reality
    Very good Mr.Mp Kishimba
    From Kahama State!

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 Před 2 lety +12

    Mungu akulinde mzee wetu.. 🙏

    • @InfinixTechnology
      @InfinixTechnology Před 2 lety

      Mtoto.wangu.kamaliza.chuo.kikuu.lakini.hana.ajira.kweli.tz.tunayo.Nazi.ngum.kwel.kwel

  • @hamadtv294
    @hamadtv294 Před 2 lety +5

    Kishimba the Real intelligent man..💥

  • @damianoadam1041
    @damianoadam1041 Před 2 lety +5

    Mheshimiwa spika naomba umpatie Prof.Kishimba muda wa kutosha atoe hoja na zifanyiwe tafiti na kutekelezwa.Haya anayosema yapo kiuhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Mtanzania.

  • @paritsaruni5019
    @paritsaruni5019 Před 2 lety +12

    He speaks the language of the common man

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @gabbymasota8693
    @gabbymasota8693 Před 2 lety +5

    Mzee anaongeaga facts sana ila Huwa wanadhani anafanya comedy. One day yes mawazo Yako yatafanyiwa kazi..✊✊

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Před 2 lety +3

    Hongera sn Mheshimiwa Kishimba umezungumza Mambo Mazuri sn 👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Před 2 lety +5

    This man is extra ordinary

  • @godlivingkileo4031
    @godlivingkileo4031 Před 2 lety +6

    Huyu mzeee anaonaga mbali sanaaa sema Tanzania siasa nyingi

  • @sijasamweli6889
    @sijasamweli6889 Před 2 lety +2

    Fact sana MP Kishimba! Critical thought, endelea kutupatia madini.

  • @lilgicky484
    @lilgicky484 Před 2 lety +5

    Huyuu jamaa angepewa uwazirii wa elimu angebadilii vityuu vyingi sanaah elimu yetu ni ya hovyoo sanaah kwa kwelii

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 Před 2 lety +7

    Mheshimiwa kishimba mminakuerewa sana Tena nishabikiwako sana mungu akupe maisha marefu🙏

  • @DM_15
    @DM_15 Před 2 lety +5

    Fact sana, nchi hii inawatu wenye upeowakuona fursa. Akili mingi ilatunaongozwa na wenyekuangalia nyakatizao that's why nchi kamanchi haina maono yamdamrefu kila anaetawala anakuja na jambolake kilakiongozi anakujana yake. Taifa halina dira . Ndoo maana tunakwama kila anaeongoza analinda chama chake na mudawake atakaokua madarakani akiondoka anasepa namipsngoyake anaekuja tunaanza upya. Tatuendelei pale slipokomea.mwenzie utasikia mimi ndookiongozi wenu kwasasa. Huyu wasasaiv kacheza muvi na mzunguwake anaupigamwingi anganituu kulitangaza taifa 😇😇 nasisitiza yaani

  • @__B.O.B
    @__B.O.B Před 2 lety +4

    Big up sana Mh. Kishimba nakukubali sana.

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 2 lety +9

    Asiemuelewa huyu mzee kishimba hawezi kuelewa tena

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @gibsonsilas6342
    @gibsonsilas6342 Před 2 lety +2

    Safi sana prof....kwa ufafanuzi Mzuri na wenye Tija kwa Taifa.

  • @peterpallangyo5744
    @peterpallangyo5744 Před 2 lety

    Asante sana mh kishimba unatoaga hoja zilizo makini💪

  • @matobholwamanonu5919
    @matobholwamanonu5919 Před 2 lety +1

    Huyu mzee angepelekwa shule za mkoloni angekuwa prof sasa hv..😂😂🙌

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Před 2 lety +2

    Baba kishimba na kupenda kwa ajiri ya Mungu na Mungu akuinuwe mawazo yako yanafanya nimuone Magufuri kwa mbaaaaaaaarih

  • @husseinbongo7447
    @husseinbongo7447 Před 2 lety +3

    Mzee wangu jumanne kishimba mawazo yako ni mazuri sana Ila shida ni yule anaeshauriwa(serikali). Labda ushauri wako utafanyiwa kazi ukitoka duniani maaana mawazo ya mtu huthaminiwa akifa, akiwa hai huonekana Hana maaana yoyote. Ndio mifumo yetu ya kiutawala ya kiafrika

  • @eddyempire9797
    @eddyempire9797 Před 2 lety +2

    Mungu akulinde Kishimba ...daaa!

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 2 lety +1

    Very Genius

  • @elizabethwilliam6087
    @elizabethwilliam6087 Před 2 lety +2

    Ukweli mtupu, mfano mzuri mtoto wa miaka 11 alietengeneza kemgele kwa ajili ya vipofu na viziwi, wanabaki tu kisifia badala ya kuwakuza watoto ktk ujuzi wa namna hiyo

  • @ediusgabriely615
    @ediusgabriely615 Před 2 lety +9

    Mbunge mwenye akili kuliko wote...mpaka raisi na mawazili wake..

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

    • @ojcreationtz9838
      @ojcreationtz9838 Před rokem

      Kweli mh kishimba yupo vizuri kwa mawazo yako

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před 2 lety +2

    Huyu mzee ni kichwa sana ana mawazo mazuri sana

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 Před 2 lety +2

    Huyu mzee namkubali sna Akili nyingi sna

  • @eliahsamwel6282
    @eliahsamwel6282 Před 2 lety

    Waoooh mzee nakuelewa sana,hakika uko vizuri sana Mheshiwa

  • @mfalmekeffah5049
    @mfalmekeffah5049 Před 2 lety +5

    Huyu mzee angekuwa Rais na akayaweza anayoyafikiria ingekuwa ni Zaid ya ukombozi

  • @edimundrevelian1246
    @edimundrevelian1246 Před 2 lety +1

    Huyu baba ana brain kali sana. Anajua anachokiongea.

  • @leonardroya6299
    @leonardroya6299 Před 2 lety

    Sijawai kmsikiriza kishimba na nisimuerewe kweri digrii ni yakuzariwa tu Asante kitco

  • @lichenjeleally6430
    @lichenjeleally6430 Před rokem

    Your my role model Mr Kishimba

  • @selemaniismail4406
    @selemaniismail4406 Před 2 lety +3

    Daah.. mbuge wa Jimbo langu ahsante sana kwa kukutetea elimu yetu ya Tanzania ila navyojua mimi hapo ulikuwa unapoteza mda tu hakuna anaethamini mchango wako jaman wengi wanachukulia kama utani na pia wanaona hauna maana, nakuelewa sana mbuge wangu Jumanne K. Kishimba

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety +1

      Mbunge wako amesaidia Nini Jimbo na wapiga kura wake? zaidi ya kukimbizana kunyang'anya vi-plot vya watu

    • @selemaniismail4406
      @selemaniismail4406 Před 2 lety

      @@malopemaliyamungu5243 Weeee! Naomba utulie hivyohivyo we ulitaka akuletee maendeleo mpaka unapolala kama huoni pia huwezi kuelewa, Nyoo' huna hata haya 'ety amekalia kukimbizana kunyang'anya vi'plot vya watu hapo kwanza nicheke😄😄😄 unafikiri yule ni wewe kama umezoea hizo mambo ni wewe acha kuchafua watu pambana na maisha yako au unda serikali ya kwako pekee yako ili ujiletee maendeleo mpaka unapolala

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety +1

      @@selemaniismail4406 Muulize mbunge wako alishiriki vikao vya Road Board mkoani lini au mara ngapi tangu aingie madarakani? Kahama barabara zipo 2 tu tena za Tanroad, za TARURA hazipo. Shukuruni Mkurugenzi wenu hayumbishwi na anachapa kazi. Mngekuwa Shamba la Bibi.. vidimbwi nyie. Mji hauna mitaro.. mvua ikinyesha mji unaoza.. mmebaki kusifia River Mark na Chillers.. wazinifu wakubwa. Siupendi huo mji wenu.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety

      @@selemaniismail4406 Watu wamefight muda mrefu Kahama iwe manispaa ili baadae pawe mkoa mbunge wako Leo anasema Watu waruhusiwe kuchungia ng'ombe mjini.. upuuzi gani? Watu wanawazia mkoa yeye analeta kupimisha Viwanja vya HD (15*25) na anagombania vistempu hivo, Ushamba tu. Yeye ndio angeongoza wabunge wenzie maana hapo ndio center. Hawazi hata kupeleka kwa Madiwani wenzie kuchkua maeneo makubwa huko Kinaga kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa kwa Kanda yenu kuhudumia Hospitali za Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama na ingejengwa hapo itakuwa na chuo, itahudumia wananchi wa karibu ambao ni wa Jimbo lake, Hospitali ya Rufaa itashawishi na miradi mingine Kama barabara na maji.. Hana wazo kazi kula viazi na karanga tu. Hovyo sana. Mtakaa sana na mji wenu vinyumba viko karibu karibu Kama mabatini mwanza.. hamna mitaro maji ya chumvi yatakula nyumba zenu mpaka mkome na vibajaji vyenu.

    • @selemaniismail4406
      @selemaniismail4406 Před 2 lety

      @@malopemaliyamungu5243 Kheee' jaman mbona povu lakutoka,, We huoni kuwa hospital ya wilaya ya Kahama ndio itakuwa hospital ya Rufaa kwa sasa inaendelea na maboresho alf itakayokuw hospital ya wilaya ya Kahama ipo Nyasubi jaman na kuhusu Kahama kuwa mkoa hiyo haiwezekani kabisaa, Kahama ni sehemu ya wakulima na wafugaji kwaiyo waache wachunge ngo'mbe mpaka katikati ya mji sàwa, acha makasiriko huyo ni chaguo letu, tulimpenda wenyewe upooo kubanana kwa mji hiyo ndio sifa kuu ya mji unaoendelea hata hatuhitaji mitaro kwa taarifa yako huku hamna maji ya chumvi upooooo' bi kaka wewe naona povu lakutoka sana au uligombea ukapigwa kwa maan 🤣🤣 povu la kutoka kweli jaman jihurumie mwenyewe kwanza alf ndio utuhurumie na sisi, me nilijua wakati unakosoa labda utakuwa umeshaanza ujenzi wa mitaro jaman ....punguza makasiriko saaawa.

  • @mauthamani
    @mauthamani Před 2 lety

    Great thinker

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 Před 2 lety +2

    Mfanyabiashara yoyote n kiongozi wachunguze n watu wa Hesabu

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Před rokem

    Kishimba hongera Sana

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před rokem

    Angekuwepo magu ungekuwa mbali sana

  • @manyerereomary9266
    @manyerereomary9266 Před 2 lety

    Bright sir.

  • @jackobgalish5742
    @jackobgalish5742 Před 2 lety +1

    Prof. Kishimba ana hoja za kawaida lakini za msingi na zenye mashiko🤣

  • @saimonlucas6756
    @saimonlucas6756 Před 2 lety

    Miaka buku kwake kishimba🙌🙌

  • @barakaswillah635
    @barakaswillah635 Před rokem

    Big up Mzee wangu

  • @blackwarrior-animations593

    Ingenius

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 Před rokem

    Uko sahih pro

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773 Před 2 lety

    Big brain

  • @janealoyce3866
    @janealoyce3866 Před 2 lety

    Uko sawa boss wangu

  • @apostlefrankemarema8246

    Big Up Kishimba

  • @athumanimssi297
    @athumanimssi297 Před 2 lety

    Nakubali sana Kishimba wailimishe

  • @brunohenry5897
    @brunohenry5897 Před 2 lety +3

    Wanataka mpaka ukasome UK au US ndo wakupe kazi Mzee Wang

  • @emanuelkaroli2817
    @emanuelkaroli2817 Před 2 lety

    Very facts.

  • @rusanzurubigo7791
    @rusanzurubigo7791 Před 2 lety

    Dah!,Mzee unaongea uhalisia zaidi na kwa fikra zangu sidhani kama bado uhalisia ni kipaumbele,😁😁😁

  • @julianandoweka7165
    @julianandoweka7165 Před 2 lety

    Yaani nimekupenda sana

  • @geeva99
    @geeva99 Před 2 lety +2

    Huyu mzee anadensity ya juu sana 😀😀

  • @kamanda007
    @kamanda007 Před 2 lety

    safi sana, aliyoongea mfundishe watoto zenu msisubiri serikali iwafanyie maana haitafanya

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Před 2 lety

    Big minds

  • @cascanicolnicol2008
    @cascanicolnicol2008 Před 2 lety +1

    Huyu mzee ajengewe sanamu lake ,harafu kwanini asipewe hata unaibu waziri anamawazo current sana huyu mzee

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 Před 2 lety

    Mzee kishimba Rais alitakiwa akupe wizala ya Elimu maana Una mawazo mazuri sana yakichukuliwa wakafanyia kazi itasadia

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 Před rokem

    Yes

  • @ramadhanirashidi4175
    @ramadhanirashidi4175 Před rokem

    Nakuelewa sana

  • @fidelismichaelmichaelmpond3387

    Mawazo yako yatakuja siku moja kufanyiwa kazi.

  • @pascaldomel1551
    @pascaldomel1551 Před 2 lety +2

    Huyu Baba anakitu cha kuwa saidia watanzania hasa kwenye sekta ya elimu.

  • @simoninmwangatwa5127
    @simoninmwangatwa5127 Před 2 lety

    safi sana

  • @mdmachungu7424
    @mdmachungu7424 Před 2 lety

    Kishimba nakuelewa Sana

  • @johnfabianmahenge.5661

    Kishimba safiiiiii sanaaa

  • @stevenkataluka1003
    @stevenkataluka1003 Před 2 lety

    hongera Sana mh.kishimba umezungumza nondo Sana sema wizara ya elimu wayafanyie kazi hayo mawazo.

  • @georgemalahyageorgemalahya5347

    Hi ndyo maana halis ya kuwa professor unakuwa na kitu tofauti na wengne.

  • @MilioneaTv
    @MilioneaTv Před 2 lety +1

    Umenipa idea kubwa mheshimiwa ujengewe sanamu ya kumbukumbu. Nimepata business idea kutoka kwenye maneno ya mheshimiwa na ndani ya mwaka mmoja nitakuwa milionea guess what!

  • @mohamedhamad2374
    @mohamedhamad2374 Před 2 lety +3

    Kichwa hatar sana lakini maoni yanakwenda kwenye uongozi dhaifu.

    • @yateramadavaathumanmmbaga7776
      @yateramadavaathumanmmbaga7776 Před 2 lety

      Jamani si kila kitu kulaumu uongozi. Haya wewe na mimi tunamsifia sana Mhe. Kishimba lakini tujiulize darsa tukuka analotoa mhe. Sisi tumelifanyia nini? Kuandika na kulaumu serikali na hata kuidhalilisha aaah tu mahodari sana lakini tungekuwa tunaenda mbali zaidi kujiandalia maisha yetu wenyewe kwa asilimia 70 na 30 ni sapoti ya serikali na wadau wengine. Hata shuleni mwl anakupa asilimia kadhaa na mwanafunzi na mzazi/mlezi wanatafuta asilimia zingine, ukitegemea serikali kila kitu utakosa kila kitu.

    • @yateramadavaathumanmmbaga7776
      @yateramadavaathumanmmbaga7776 Před 2 lety

      Sina full history ya maisha ya mhe.kishimba lakini nasikia hata la 7 hakufika lakini kajiendeleza mwenyewe na kufika huku tunako muona ki elimu na utajiri

    • @mohamedhamad2374
      @mohamedhamad2374 Před 2 lety

      Hakika yuko vzur sana Ila tatzo bado lipo kwa hao viongozi wa juu wanaopewa mawazo mazur kama hayo.

  • @lamlanyava6153
    @lamlanyava6153 Před 2 lety +2

    Huku kitaa kuna wasomi hawajui kufunga kamba za viatu, wanapiga miayo bila kufunika mdomo

    • @brightluvanda2795
      @brightluvanda2795 Před 2 lety

      Tena unakuta lingine linakucheulia wala haligeukii pembeni wala kufunga kinywa!,,,chefuuu!

  • @saimonmlay4295
    @saimonmlay4295 Před 2 lety

    🤝

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety +1

    Wewe Mh. Kishimba una Mchango mzuri ila sio Kila Elimu iwe ya Darasani na iwe na mitaala. Elimu nyingine ni kutokana na maisha ya Kila siku ya familia na jamiii..
    Ndiyo maana inaitwa msingi..
    Hayo ya kutengeneza samli, minyoo, vyungu, kuhifadhi milenda, kukaanga senene, kumbikumbi ni ya maisha ya Kila siku au msimu.
    Mbona watoto wa waganga wa kienyeji wanajua tiba za wazee wao?

  • @loveofficial74
    @loveofficial74 Před 2 lety +1

    Huyu mzee kichwa chake ni madini matupu

  • @lincnobel7299
    @lincnobel7299 Před 2 lety

    💯💯💯

  • @stanleyevanda797
    @stanleyevanda797 Před 2 lety

    👏👏👏👏👏👏

  • @UfunuoSt
    @UfunuoSt Před 2 lety +2

    Kishimba ni Kweli, mawazo yako ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.

  • @anwarihassan
    @anwarihassan Před 2 lety

    🤝🤝

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe9842 Před 2 lety +1

    Huyu Mzee anaakili sana

  • @albetoemmanuel93
    @albetoemmanuel93 Před 2 lety

    Mzee kishimba, jmni agombee uraisi miaka 10 nchi itakuwa imebadilika snaaa maana anaangalia wananchi wa chini. Kma magufuli,

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před 2 lety

    nakukubali sana pekee yako unayefikilia

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 Před 2 lety +1

    Ndio maana ni tajiri ana akili kupita hadi wasomi anaongeaga critical sana

  • @saidmgoso3076
    @saidmgoso3076 Před 2 lety

    Baba nakukubali sana unahoja zamsingi sana kilichobaki kupigania kiti cha uraisi

  • @fanuellingson
    @fanuellingson Před 2 lety +1

    Wasomi inabidi mjipange upya coz tunapata mawazo mazuri kutoka kwa watu wa kawaida sana.wasio na elimu kubwa tutakua tunawapitisha kwa kishindo

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Před rokem

    Wape mondo mzee mishimba

  • @kaswalala122
    @kaswalala122 Před 2 lety +7

    Jamani kwani serikali hawaoni kuwa anaongea mambo yanayofaa kufanyiwa kazi?
    Duh! Tanzania yangu nakupenda nchi yangu.

    • @TinyKideo
      @TinyKideo Před 2 lety

      Serikali inajikita sana kwenye point za michongo yao kama wanaona hakuna maslahi yao binafsi wanapuuza

    • @mnyagamasinde6860
      @mnyagamasinde6860 Před 2 lety

      Umeongea point Sana mh.kishimba lakini Nini kifanyike ?

  • @octaviantega5600
    @octaviantega5600 Před 2 lety

    Inauma sana hoja anazozitoa hazifanyiwi kazi kilichobakii ni sisi kujikwamua wenyewe

  • @fahimunyawi5318
    @fahimunyawi5318 Před 2 lety

    Uyu mbunge uwabanaongeaga point sana uwaga napendaga kila siku aongee yeye anasema vitu sijui uwaga anafikiriaga wap yan zaid ya phd

  • @marymichaeltz
    @marymichaeltz Před 2 lety

    💪word

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 2 lety

    Huyu ndio mbunge wangu,,😁naburudika saana..

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před 2 lety

    Na kingine Tanzania siasa nyingi maendeleo ni machache mnoo

  • @julianandoweka7165
    @julianandoweka7165 Před 2 lety +1

    Jamani serikali naomba mawazo ya huyu baba huyu mngefanyia kazi ukweli ni kwamba tulibebeshwa vitu vizuto sana kwenye elimu na havina uhusiano wowote mfano mpaka Leo sion maana ya revolution of man in history inanisaidia Nini kitu nisichokuwa na reality yake yaan sio kwamba watu wanafeli kwamba hawana akili but mzigo ni mzito

  • @octaviantega5600
    @octaviantega5600 Před 2 lety

    Wanadhani anachekesha watu lakini ukweli mnaufahamu.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 2 lety

    Akili kubwa sana

  • @adrianosimalimoto6485
    @adrianosimalimoto6485 Před 2 lety

    Hvi haya mawazo yanachukuliwaga kweli?, maana huyu mzee anaongeaga facts sanaaa Ila basi hii nchi bna hta sielewi

  • @pascarmwatosya6815
    @pascarmwatosya6815 Před rokem

    Hawa ndio wabunge wanaojitambua hata uliempigia kula huumii kwa kupoteA muda wa kupiga kula

  • @mcgabby
    @mcgabby Před rokem

    Huyu jamaaaa Kwanini hicho Chama chake Kisi muweke kama mgombea wa uraisi au hata uwaziri mkuu maana ana kituuuuu huyu mzeeee😂

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 Před 2 lety +1

    Nimekupenda bure akili nyingi!

  • @didacianapeyton5798
    @didacianapeyton5798 Před 2 lety

    Nakupongeza mbunge wetu ni kweli kabisa hata mbolea ingetengenezwa kwa samadi ya ng'ombe kitaalamu kabisa na Sido ingepata nafasi ya kufundisha utalaamu wao wakishirikiana na watalaamu wetu wa kilimo wangeshauri wakatengeneza kiwanda cha mbolea tena iliyo bora siyo tutegemee watu wa nje kututengenezea mbolea duh Bunge hoye tunaomba wasikilizwe na kupokea ushauri