Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
yup..tatizo mifumo yetu imekaa kiingereza zaidi badala ya uhalisia wa maisha yetu huyu jamaa anakita kihalisia. sio tu ili mradi tusome. tusome kwa maendeleo yetu ya kitanzania.
Mheshimiwa spika naomba umpatie Prof.Kishimba muda wa kutosha atoe hoja na zifanyiwe tafiti na kutekelezwa.Haya anayosema yapo kiuhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Mtanzania.
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Fact sana, nchi hii inawatu wenye upeowakuona fursa. Akili mingi ilatunaongozwa na wenyekuangalia nyakatizao that's why nchi kamanchi haina maono yamdamrefu kila anaetawala anakuja na jambolake kilakiongozi anakujana yake. Taifa halina dira . Ndoo maana tunakwama kila anaeongoza analinda chama chake na mudawake atakaokua madarakani akiondoka anasepa namipsngoyake anaekuja tunaanza upya. Tatuendelei pale slipokomea.mwenzie utasikia mimi ndookiongozi wenu kwasasa. Huyu wasasaiv kacheza muvi na mzunguwake anaupigamwingi anganituu kulitangaza taifa 😇😇 nasisitiza yaani
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Mzee wangu jumanne kishimba mawazo yako ni mazuri sana Ila shida ni yule anaeshauriwa(serikali). Labda ushauri wako utafanyiwa kazi ukitoka duniani maaana mawazo ya mtu huthaminiwa akifa, akiwa hai huonekana Hana maaana yoyote. Ndio mifumo yetu ya kiutawala ya kiafrika
Ukweli mtupu, mfano mzuri mtoto wa miaka 11 alietengeneza kemgele kwa ajili ya vipofu na viziwi, wanabaki tu kisifia badala ya kuwakuza watoto ktk ujuzi wa namna hiyo
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Daah.. mbuge wa Jimbo langu ahsante sana kwa kukutetea elimu yetu ya Tanzania ila navyojua mimi hapo ulikuwa unapoteza mda tu hakuna anaethamini mchango wako jaman wengi wanachukulia kama utani na pia wanaona hauna maana, nakuelewa sana mbuge wangu Jumanne K. Kishimba
@@malopemaliyamungu5243 Weeee! Naomba utulie hivyohivyo we ulitaka akuletee maendeleo mpaka unapolala kama huoni pia huwezi kuelewa, Nyoo' huna hata haya 'ety amekalia kukimbizana kunyang'anya vi'plot vya watu hapo kwanza nicheke😄😄😄 unafikiri yule ni wewe kama umezoea hizo mambo ni wewe acha kuchafua watu pambana na maisha yako au unda serikali ya kwako pekee yako ili ujiletee maendeleo mpaka unapolala
@@selemaniismail4406 Muulize mbunge wako alishiriki vikao vya Road Board mkoani lini au mara ngapi tangu aingie madarakani? Kahama barabara zipo 2 tu tena za Tanroad, za TARURA hazipo. Shukuruni Mkurugenzi wenu hayumbishwi na anachapa kazi. Mngekuwa Shamba la Bibi.. vidimbwi nyie. Mji hauna mitaro.. mvua ikinyesha mji unaoza.. mmebaki kusifia River Mark na Chillers.. wazinifu wakubwa. Siupendi huo mji wenu.
@@selemaniismail4406 Watu wamefight muda mrefu Kahama iwe manispaa ili baadae pawe mkoa mbunge wako Leo anasema Watu waruhusiwe kuchungia ng'ombe mjini.. upuuzi gani? Watu wanawazia mkoa yeye analeta kupimisha Viwanja vya HD (15*25) na anagombania vistempu hivo, Ushamba tu. Yeye ndio angeongoza wabunge wenzie maana hapo ndio center. Hawazi hata kupeleka kwa Madiwani wenzie kuchkua maeneo makubwa huko Kinaga kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa kwa Kanda yenu kuhudumia Hospitali za Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama na ingejengwa hapo itakuwa na chuo, itahudumia wananchi wa karibu ambao ni wa Jimbo lake, Hospitali ya Rufaa itashawishi na miradi mingine Kama barabara na maji.. Hana wazo kazi kula viazi na karanga tu. Hovyo sana. Mtakaa sana na mji wenu vinyumba viko karibu karibu Kama mabatini mwanza.. hamna mitaro maji ya chumvi yatakula nyumba zenu mpaka mkome na vibajaji vyenu.
@@malopemaliyamungu5243 Kheee' jaman mbona povu lakutoka,, We huoni kuwa hospital ya wilaya ya Kahama ndio itakuwa hospital ya Rufaa kwa sasa inaendelea na maboresho alf itakayokuw hospital ya wilaya ya Kahama ipo Nyasubi jaman na kuhusu Kahama kuwa mkoa hiyo haiwezekani kabisaa, Kahama ni sehemu ya wakulima na wafugaji kwaiyo waache wachunge ngo'mbe mpaka katikati ya mji sàwa, acha makasiriko huyo ni chaguo letu, tulimpenda wenyewe upooo kubanana kwa mji hiyo ndio sifa kuu ya mji unaoendelea hata hatuhitaji mitaro kwa taarifa yako huku hamna maji ya chumvi upooooo' bi kaka wewe naona povu lakutoka sana au uligombea ukapigwa kwa maan 🤣🤣 povu la kutoka kweli jaman jihurumie mwenyewe kwanza alf ndio utuhurumie na sisi, me nilijua wakati unakosoa labda utakuwa umeshaanza ujenzi wa mitaro jaman ....punguza makasiriko saaawa.
Umenipa idea kubwa mheshimiwa ujengewe sanamu ya kumbukumbu. Nimepata business idea kutoka kwenye maneno ya mheshimiwa na ndani ya mwaka mmoja nitakuwa milionea guess what!
Jamani si kila kitu kulaumu uongozi. Haya wewe na mimi tunamsifia sana Mhe. Kishimba lakini tujiulize darsa tukuka analotoa mhe. Sisi tumelifanyia nini? Kuandika na kulaumu serikali na hata kuidhalilisha aaah tu mahodari sana lakini tungekuwa tunaenda mbali zaidi kujiandalia maisha yetu wenyewe kwa asilimia 70 na 30 ni sapoti ya serikali na wadau wengine. Hata shuleni mwl anakupa asilimia kadhaa na mwanafunzi na mzazi/mlezi wanatafuta asilimia zingine, ukitegemea serikali kila kitu utakosa kila kitu.
Sina full history ya maisha ya mhe.kishimba lakini nasikia hata la 7 hakufika lakini kajiendeleza mwenyewe na kufika huku tunako muona ki elimu na utajiri
Wewe Mh. Kishimba una Mchango mzuri ila sio Kila Elimu iwe ya Darasani na iwe na mitaala. Elimu nyingine ni kutokana na maisha ya Kila siku ya familia na jamiii.. Ndiyo maana inaitwa msingi.. Hayo ya kutengeneza samli, minyoo, vyungu, kuhifadhi milenda, kukaanga senene, kumbikumbi ni ya maisha ya Kila siku au msimu. Mbona watoto wa waganga wa kienyeji wanajua tiba za wazee wao?
Kishimba ni Kweli, mawazo yako ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Jamani serikali naomba mawazo ya huyu baba huyu mngefanyia kazi ukweli ni kwamba tulibebeshwa vitu vizuto sana kwenye elimu na havina uhusiano wowote mfano mpaka Leo sion maana ya revolution of man in history inanisaidia Nini kitu nisichokuwa na reality yake yaan sio kwamba watu wanafeli kwamba hawana akili but mzigo ni mzito
Nakupongeza mbunge wetu ni kweli kabisa hata mbolea ingetengenezwa kwa samadi ya ng'ombe kitaalamu kabisa na Sido ingepata nafasi ya kufundisha utalaamu wao wakishirikiana na watalaamu wetu wa kilimo wangeshauri wakatengeneza kiwanda cha mbolea tena iliyo bora siyo tutegemee watu wa nje kututengenezea mbolea duh Bunge hoye tunaomba wasikilizwe na kupokea ushauri
What a man in this country. I love the way he thinks. This man is genius.
Big Brains Kishimba! This Man is a National Treasure
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
This man is talking in natural base on common and reality sense in daily life...
yup..tatizo mifumo yetu imekaa kiingereza zaidi badala ya uhalisia wa maisha yetu huyu jamaa anakita kihalisia.
sio tu ili mradi tusome. tusome kwa maendeleo yetu ya kitanzania.
Hilo ndo darasa la IV la zamani ni zaidi ya PhD ya sasa. Hongera sana mzee kwa mawazo mbadala!
Kashimba fact nakupenda sana tena bule mungu awe dereva wako
I real love this guy he's so brilliant,always argue the natural reality
Very good Mr.Mp Kishimba
From Kahama State!
Mungu akulinde mzee wetu.. 🙏
Mtoto.wangu.kamaliza.chuo.kikuu.lakini.hana.ajira.kweli.tz.tunayo.Nazi.ngum.kwel.kwel
Kishimba the Real intelligent man..💥
Mheshimiwa spika naomba umpatie Prof.Kishimba muda wa kutosha atoe hoja na zifanyiwe tafiti na kutekelezwa.Haya anayosema yapo kiuhalisia kwenye maisha ya kila siku ya Mtanzania.
He speaks the language of the common man
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Mzee anaongeaga facts sana ila Huwa wanadhani anafanya comedy. One day yes mawazo Yako yatafanyiwa kazi..✊✊
Hongera sn Mheshimiwa Kishimba umezungumza Mambo Mazuri sn 👏👏👏👏👏👏👏👏
This man is extra ordinary
Huyu mzeee anaonaga mbali sanaaa sema Tanzania siasa nyingi
Fact sana MP Kishimba! Critical thought, endelea kutupatia madini.
Huyuu jamaa angepewa uwazirii wa elimu angebadilii vityuu vyingi sanaah elimu yetu ni ya hovyoo sanaah kwa kwelii
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Mheshimiwa kishimba mminakuerewa sana Tena nishabikiwako sana mungu akupe maisha marefu🙏
Hunizidi mimi Yani jamani lakini hawamsikilizi jamani
Fact sana, nchi hii inawatu wenye upeowakuona fursa. Akili mingi ilatunaongozwa na wenyekuangalia nyakatizao that's why nchi kamanchi haina maono yamdamrefu kila anaetawala anakuja na jambolake kilakiongozi anakujana yake. Taifa halina dira . Ndoo maana tunakwama kila anaeongoza analinda chama chake na mudawake atakaokua madarakani akiondoka anasepa namipsngoyake anaekuja tunaanza upya. Tatuendelei pale slipokomea.mwenzie utasikia mimi ndookiongozi wenu kwasasa. Huyu wasasaiv kacheza muvi na mzunguwake anaupigamwingi anganituu kulitangaza taifa 😇😇 nasisitiza yaani
Big up sana Mh. Kishimba nakukubali sana.
Asiemuelewa huyu mzee kishimba hawezi kuelewa tena
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Safi sana prof....kwa ufafanuzi Mzuri na wenye Tija kwa Taifa.
Asante sana mh kishimba unatoaga hoja zilizo makini💪
Huyu mzee angepelekwa shule za mkoloni angekuwa prof sasa hv..😂😂🙌
Baba kishimba na kupenda kwa ajiri ya Mungu na Mungu akuinuwe mawazo yako yanafanya nimuone Magufuri kwa mbaaaaaaaarih
Mzee wangu jumanne kishimba mawazo yako ni mazuri sana Ila shida ni yule anaeshauriwa(serikali). Labda ushauri wako utafanyiwa kazi ukitoka duniani maaana mawazo ya mtu huthaminiwa akifa, akiwa hai huonekana Hana maaana yoyote. Ndio mifumo yetu ya kiutawala ya kiafrika
Mungu akulinde Kishimba ...daaa!
Very Genius
Ukweli mtupu, mfano mzuri mtoto wa miaka 11 alietengeneza kemgele kwa ajili ya vipofu na viziwi, wanabaki tu kisifia badala ya kuwakuza watoto ktk ujuzi wa namna hiyo
Mbunge mwenye akili kuliko wote...mpaka raisi na mawazili wake..
Kishimba ni Kweli, mawazo yake ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
Kweli mh kishimba yupo vizuri kwa mawazo yako
Huyu mzee ni kichwa sana ana mawazo mazuri sana
Huyu mzee namkubali sna Akili nyingi sna
Waoooh mzee nakuelewa sana,hakika uko vizuri sana Mheshiwa
Huyu mzee angekuwa Rais na akayaweza anayoyafikiria ingekuwa ni Zaid ya ukombozi
Huyu baba ana brain kali sana. Anajua anachokiongea.
Sijawai kmsikiriza kishimba na nisimuerewe kweri digrii ni yakuzariwa tu Asante kitco
Your my role model Mr Kishimba
Daah.. mbuge wa Jimbo langu ahsante sana kwa kukutetea elimu yetu ya Tanzania ila navyojua mimi hapo ulikuwa unapoteza mda tu hakuna anaethamini mchango wako jaman wengi wanachukulia kama utani na pia wanaona hauna maana, nakuelewa sana mbuge wangu Jumanne K. Kishimba
Mbunge wako amesaidia Nini Jimbo na wapiga kura wake? zaidi ya kukimbizana kunyang'anya vi-plot vya watu
@@malopemaliyamungu5243 Weeee! Naomba utulie hivyohivyo we ulitaka akuletee maendeleo mpaka unapolala kama huoni pia huwezi kuelewa, Nyoo' huna hata haya 'ety amekalia kukimbizana kunyang'anya vi'plot vya watu hapo kwanza nicheke😄😄😄 unafikiri yule ni wewe kama umezoea hizo mambo ni wewe acha kuchafua watu pambana na maisha yako au unda serikali ya kwako pekee yako ili ujiletee maendeleo mpaka unapolala
@@selemaniismail4406 Muulize mbunge wako alishiriki vikao vya Road Board mkoani lini au mara ngapi tangu aingie madarakani? Kahama barabara zipo 2 tu tena za Tanroad, za TARURA hazipo. Shukuruni Mkurugenzi wenu hayumbishwi na anachapa kazi. Mngekuwa Shamba la Bibi.. vidimbwi nyie. Mji hauna mitaro.. mvua ikinyesha mji unaoza.. mmebaki kusifia River Mark na Chillers.. wazinifu wakubwa. Siupendi huo mji wenu.
@@selemaniismail4406 Watu wamefight muda mrefu Kahama iwe manispaa ili baadae pawe mkoa mbunge wako Leo anasema Watu waruhusiwe kuchungia ng'ombe mjini.. upuuzi gani? Watu wanawazia mkoa yeye analeta kupimisha Viwanja vya HD (15*25) na anagombania vistempu hivo, Ushamba tu. Yeye ndio angeongoza wabunge wenzie maana hapo ndio center. Hawazi hata kupeleka kwa Madiwani wenzie kuchkua maeneo makubwa huko Kinaga kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa kwa Kanda yenu kuhudumia Hospitali za Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama na ingejengwa hapo itakuwa na chuo, itahudumia wananchi wa karibu ambao ni wa Jimbo lake, Hospitali ya Rufaa itashawishi na miradi mingine Kama barabara na maji.. Hana wazo kazi kula viazi na karanga tu. Hovyo sana. Mtakaa sana na mji wenu vinyumba viko karibu karibu Kama mabatini mwanza.. hamna mitaro maji ya chumvi yatakula nyumba zenu mpaka mkome na vibajaji vyenu.
@@malopemaliyamungu5243 Kheee' jaman mbona povu lakutoka,, We huoni kuwa hospital ya wilaya ya Kahama ndio itakuwa hospital ya Rufaa kwa sasa inaendelea na maboresho alf itakayokuw hospital ya wilaya ya Kahama ipo Nyasubi jaman na kuhusu Kahama kuwa mkoa hiyo haiwezekani kabisaa, Kahama ni sehemu ya wakulima na wafugaji kwaiyo waache wachunge ngo'mbe mpaka katikati ya mji sàwa, acha makasiriko huyo ni chaguo letu, tulimpenda wenyewe upooo kubanana kwa mji hiyo ndio sifa kuu ya mji unaoendelea hata hatuhitaji mitaro kwa taarifa yako huku hamna maji ya chumvi upooooo' bi kaka wewe naona povu lakutoka sana au uligombea ukapigwa kwa maan 🤣🤣 povu la kutoka kweli jaman jihurumie mwenyewe kwanza alf ndio utuhurumie na sisi, me nilijua wakati unakosoa labda utakuwa umeshaanza ujenzi wa mitaro jaman ....punguza makasiriko saaawa.
Great thinker
Mfanyabiashara yoyote n kiongozi wachunguze n watu wa Hesabu
Kishimba hongera Sana
Angekuwepo magu ungekuwa mbali sana
Bright sir.
Prof. Kishimba ana hoja za kawaida lakini za msingi na zenye mashiko🤣
Miaka buku kwake kishimba🙌🙌
Big up Mzee wangu
Ingenius
Uko sahih pro
Big brain
Uko sawa boss wangu
Big Up Kishimba
Nakubali sana Kishimba wailimishe
Wanataka mpaka ukasome UK au US ndo wakupe kazi Mzee Wang
Very facts.
Dah!,Mzee unaongea uhalisia zaidi na kwa fikra zangu sidhani kama bado uhalisia ni kipaumbele,😁😁😁
Yaani nimekupenda sana
Huyu mzee anadensity ya juu sana 😀😀
kabisaa
safi sana, aliyoongea mfundishe watoto zenu msisubiri serikali iwafanyie maana haitafanya
Big minds
Huyu mzee ajengewe sanamu lake ,harafu kwanini asipewe hata unaibu waziri anamawazo current sana huyu mzee
Mzee kishimba Rais alitakiwa akupe wizala ya Elimu maana Una mawazo mazuri sana yakichukuliwa wakafanyia kazi itasadia
Yes
Nakuelewa sana
Mawazo yako yatakuja siku moja kufanyiwa kazi.
Huyu Baba anakitu cha kuwa saidia watanzania hasa kwenye sekta ya elimu.
safi sana
Kishimba nakuelewa Sana
Kishimba safiiiiii sanaaa
hongera Sana mh.kishimba umezungumza nondo Sana sema wizara ya elimu wayafanyie kazi hayo mawazo.
Hi ndyo maana halis ya kuwa professor unakuwa na kitu tofauti na wengne.
Umenipa idea kubwa mheshimiwa ujengewe sanamu ya kumbukumbu. Nimepata business idea kutoka kwenye maneno ya mheshimiwa na ndani ya mwaka mmoja nitakuwa milionea guess what!
Kichwa hatar sana lakini maoni yanakwenda kwenye uongozi dhaifu.
Jamani si kila kitu kulaumu uongozi. Haya wewe na mimi tunamsifia sana Mhe. Kishimba lakini tujiulize darsa tukuka analotoa mhe. Sisi tumelifanyia nini? Kuandika na kulaumu serikali na hata kuidhalilisha aaah tu mahodari sana lakini tungekuwa tunaenda mbali zaidi kujiandalia maisha yetu wenyewe kwa asilimia 70 na 30 ni sapoti ya serikali na wadau wengine. Hata shuleni mwl anakupa asilimia kadhaa na mwanafunzi na mzazi/mlezi wanatafuta asilimia zingine, ukitegemea serikali kila kitu utakosa kila kitu.
Sina full history ya maisha ya mhe.kishimba lakini nasikia hata la 7 hakufika lakini kajiendeleza mwenyewe na kufika huku tunako muona ki elimu na utajiri
Hakika yuko vzur sana Ila tatzo bado lipo kwa hao viongozi wa juu wanaopewa mawazo mazur kama hayo.
Huku kitaa kuna wasomi hawajui kufunga kamba za viatu, wanapiga miayo bila kufunika mdomo
Tena unakuta lingine linakucheulia wala haligeukii pembeni wala kufunga kinywa!,,,chefuuu!
🤝
Wewe Mh. Kishimba una Mchango mzuri ila sio Kila Elimu iwe ya Darasani na iwe na mitaala. Elimu nyingine ni kutokana na maisha ya Kila siku ya familia na jamiii..
Ndiyo maana inaitwa msingi..
Hayo ya kutengeneza samli, minyoo, vyungu, kuhifadhi milenda, kukaanga senene, kumbikumbi ni ya maisha ya Kila siku au msimu.
Mbona watoto wa waganga wa kienyeji wanajua tiba za wazee wao?
Una akili sana wewe
Huyu mzee kichwa chake ni madini matupu
💯💯💯
👏👏👏👏👏👏
Kishimba ni Kweli, mawazo yako ni ya uhalisia kabisa, kabisa, Ila tatizo ni kwamba Dunia haitaki watu wanaofikiri, inataka wajinga, Watakao sapoti ujinga wao.
🤝🤝
Huyu Mzee anaakili sana
Mzee kishimba, jmni agombee uraisi miaka 10 nchi itakuwa imebadilika snaaa maana anaangalia wananchi wa chini. Kma magufuli,
nakukubali sana pekee yako unayefikilia
Ndio maana ni tajiri ana akili kupita hadi wasomi anaongeaga critical sana
Baba nakukubali sana unahoja zamsingi sana kilichobaki kupigania kiti cha uraisi
Wasomi inabidi mjipange upya coz tunapata mawazo mazuri kutoka kwa watu wa kawaida sana.wasio na elimu kubwa tutakua tunawapitisha kwa kishindo
Wape mondo mzee mishimba
Jamani kwani serikali hawaoni kuwa anaongea mambo yanayofaa kufanyiwa kazi?
Duh! Tanzania yangu nakupenda nchi yangu.
Serikali inajikita sana kwenye point za michongo yao kama wanaona hakuna maslahi yao binafsi wanapuuza
Umeongea point Sana mh.kishimba lakini Nini kifanyike ?
Inauma sana hoja anazozitoa hazifanyiwi kazi kilichobakii ni sisi kujikwamua wenyewe
Uyu mbunge uwabanaongeaga point sana uwaga napendaga kila siku aongee yeye anasema vitu sijui uwaga anafikiriaga wap yan zaid ya phd
💪word
Huyu ndio mbunge wangu,,😁naburudika saana..
Na kingine Tanzania siasa nyingi maendeleo ni machache mnoo
Jamani serikali naomba mawazo ya huyu baba huyu mngefanyia kazi ukweli ni kwamba tulibebeshwa vitu vizuto sana kwenye elimu na havina uhusiano wowote mfano mpaka Leo sion maana ya revolution of man in history inanisaidia Nini kitu nisichokuwa na reality yake yaan sio kwamba watu wanafeli kwamba hawana akili but mzigo ni mzito
Wanadhani anachekesha watu lakini ukweli mnaufahamu.
Akili kubwa sana
Hvi haya mawazo yanachukuliwaga kweli?, maana huyu mzee anaongeaga facts sanaaa Ila basi hii nchi bna hta sielewi
Hawa ndio wabunge wanaojitambua hata uliempigia kula huumii kwa kupoteA muda wa kupiga kula
Huyu jamaaaa Kwanini hicho Chama chake Kisi muweke kama mgombea wa uraisi au hata uwaziri mkuu maana ana kituuuuu huyu mzeeee😂
Nimekupenda bure akili nyingi!
Nakupongeza mbunge wetu ni kweli kabisa hata mbolea ingetengenezwa kwa samadi ya ng'ombe kitaalamu kabisa na Sido ingepata nafasi ya kufundisha utalaamu wao wakishirikiana na watalaamu wetu wa kilimo wangeshauri wakatengeneza kiwanda cha mbolea tena iliyo bora siyo tutegemee watu wa nje kututengenezea mbolea duh Bunge hoye tunaomba wasikilizwe na kupokea ushauri