Msukuma awavaa mawaziri aikataa taarifa ya Kunambi" hii ni aibu, madudu mengi"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 11. 2022
  • Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma akichangia maoni yake kwenye taarifa ya kamati kuhusu ripoti za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2022

Komentáře • 66

  • @frankilunga1447
    @frankilunga1447 Před rokem +3

    Mungu akupe maisha marefu ipo siku utaongoza Tanzania kwa uwezo wa Mungu kwa mbalii namuona mwendazake anafurai kumuona kijana wake anavyosema ukweli

  • @madattarcharles1114
    @madattarcharles1114 Před rokem +2

    Comrade unajua kweli kabisa,huwa nafatilia speeches zako yaani unaongelea Ukweli, nakupenda Sana Msukuma%%%%%%%......

  • @sifathyunusu871
    @sifathyunusu871 Před rokem +4

    Msukuma sisi watanzania ndugu zako kaka zako TUNAKUPENDA kwa sababu ubunge unautendea haki sio kama wabunge wengine wanakaa bungeni bila kututetea lolote hii sio dili unafaa KTK nafasi hiyo mimi natoka KAGERA Muleba usiogope na usirudi nyuma unapokua unatenda haki ya kututetea Asante sana Mungu akubariki

  • @deusmtewele1599
    @deusmtewele1599 Před rokem +1

    C A G mwizi anakagua wezi Msukuma hiyo nimeipenda

  • @RehemaNchimbi-ji9jq
    @RehemaNchimbi-ji9jq Před měsícem

    Namkubali sana msukuma👍👍👍

  • @user-ge6fi8dk2g
    @user-ge6fi8dk2g Před rokem

    Upo vizuri sana Msukuma

  • @fellisianholle9431
    @fellisianholle9431 Před rokem +1

    Uko sawa sana mbuge msukuma kwa kulishauli bunge

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Před rokem

    Msukuma angalia sana CCM itakukolimba angalia sana wenye nchi yao toka awamu ya kwanza wanakuona

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Před rokem

    Tunakupenda msukuma MUNGU azidi kukutunza

  • @majurandaro1408
    @majurandaro1408 Před rokem

    wabunge wote wangekuwa kama msukuma bunge lingewa safi nawananchi wasinge kuwa na shida

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangonda Před měsícem

    Mzee nakuelewa sana ila msaidieni ata ally mlagila mbuge wa kyela Yani atetei ata wilaya yake mungu akubaliki

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangonda Před měsícem

    🎉🎉❤❤

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před rokem +1

    Musukuma hajui kitu, talk talk talk hajui hata katiba ya nchi!

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Před rokem +1

    Dah kwahiyo watu wa cag wanawazunguka wabunge na wabunge wanawazunguka dah Mungu tuokoe

  • @josephsengule3039
    @josephsengule3039 Před rokem

    Uko vizuri

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 Před rokem

    Hongera sn bro we n Kat ya wazalendo wa Nchi hii.

  • @benjaminbatano698
    @benjaminbatano698 Před rokem +2

    Mama yupo China anatafuta pesa hakuna shida ataziba mapengo ya pesa zilizoibiwa na mafisadi.

  • @DaudiMwanyombole-tm6hm
    @DaudiMwanyombole-tm6hm Před rokem +1

    Musukuma unayo yaongea nikweli kabisa wasomi wanatuangusha sana ukiangalia kazi zingine unakuta yamefanyika madudu tupu

  • @BarakaNestol-qw4bn
    @BarakaNestol-qw4bn Před rokem

    Kazi endlee

  • @user-fx3sk9kh1s
    @user-fx3sk9kh1s Před 4 měsíci

    Mama mpe uwaziri wa nishati mh msukuma

  • @fabianshibai3623
    @fabianshibai3623 Před rokem

    Good akiri kubwa

  • @davidchungu6598
    @davidchungu6598 Před rokem +3

    KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA 6 NA KWA LICHAMA HILI LA CCM MAJIZI MATUPU MSITUPIGIE MAKELELE HAPO

  • @stevumgaya6543
    @stevumgaya6543 Před rokem +1

    Tanzania tunajuwa kusema lakini hatuchukui hatua

  • @VumiliaMwakamisa
    @VumiliaMwakamisa Před 10 měsíci +1

    Huyu anaeitwa hasunga yupo bungeni kweli? Inamaana huku ,kwenyejimbo lake hakuna matatizo🙆???¿ Hiiiiii jaman

  • @KuruthumMichael-gh1vv

    Kenya

  • @mikesalii8568
    @mikesalii8568 Před 13 dny

    Katiba mpya ndiyo itungwe

  • @severinaseverinanyoni707

    😂😂😂😂😂msukuma nakupenda

  • @tekelosangala2278
    @tekelosangala2278 Před rokem

    Sema bwana nimekuelewa

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 Před rokem +1

    Safi king

  • @deusmtewele1599
    @deusmtewele1599 Před rokem

    Msukuma CAG aanzie ukaguzi bungeni humo ataona jinsi Covid 19 wanavyo kula hela zetu bila chama na nyinyi mmefumba macho

  • @paulmhelwa8403
    @paulmhelwa8403 Před rokem +1

    Uko sasa mbele ya mawaziri

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +1

    Kwa Tanzania tulipofika tunaka kiongozi kama magufuli. Magufuli alikuwa haangalia mtu. Usoni. Uwe kiongozi wa kigogo alikuwa anasumbuliwa. Tumechoka na wizi serikari

  • @mabugamussa2860
    @mabugamussa2860 Před rokem +1

    Katiba mpya muhimu

  • @naomijoram4622
    @naomijoram4622 Před rokem

    Safi sana Boniphase kapongezwa harafu akapewa yake mazingira machafu hahahaha wewe kama Mheshimiwa onyesha mfano usafi Boniphase

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před rokem +1

    Ewe msukuma nakuamini hata msomi hawezi kukupinga uko sawa

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 Před rokem +1

    Tunaeishi mbagala msukuma umetukosea chaurembo mbunge huyo msukuma analala na ng'ombe mbona Yuko bungeni?

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Před rokem

    Msukuma kichwa kweli hoteli ile inahitai eneo

  • @SiwemaSelemani-iq9oh
    @SiwemaSelemani-iq9oh Před rokem

    Mung akulide

  • @salehehussein5560
    @salehehussein5560 Před rokem

    Msukuma baba mwaka 2025 njo ugombee pangani Mana atuna mbunge wa kuisemea pangani tuna mbunge kapata bahat akapewa nafasi awe wazili wa maji lkini pangani bado tunashida ya mji

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před rokem +2

    msukuma kwa nn usiwe rais tu aaah

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Před rokem

    Sasa munaelekea kwenye sera za chadema mutajenga nchi kila mtu ana cheyo et aah achen ujinga magavana ndyo kila kitu

  • @joachimgolola1086
    @joachimgolola1086 Před rokem

    SEMA msukima

  • @jasonkalekezi1191
    @jasonkalekezi1191 Před rokem +1

    Achieni madaraka amuwezi kuongoza nchi ao wanaokura hela za watanzania wametokana na sera zenu ccm na wabunge hamna haki ya kukemea ubadhilifu huu ikiwa wengi wenu mko bungeni Kwa wizi wa kura me binafsi naona munajikosha tu wote ni wezi mumetengeneza mifumo ya wizi wenyewe,na wanaoiba hela za watanzania ndo wale wale mnawatumiaga kuiba kura .ndani ya ccm akuna msafi wote hati zenu ni chafu mno.

  • @SaidSiria
    @SaidSiria Před 3 měsíci

    😂😂😂😂

  • @JumaMnana-bf6bf
    @JumaMnana-bf6bf Před 10 měsíci

    No

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před rokem

    Ccm mnatakiwa muwe pembeni mmeshinda kutuongoza

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Před rokem +1

    Tunaupiga mwingi jamani, sifa kila cku zinamiminwa! Mie nadhan tusilaumu!
    Tuendeleeni tu kusifia!

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před rokem

    Musukuma unaupiga mwingi

  • @chrislwali5660
    @chrislwali5660 Před rokem

    Yani hii Tz cjui kwa nn nimekuja huku Bola ningebk hukohko

  • @mussasadick770
    @mussasadick770 Před rokem

    Kila mfanyakazi kwenye anakiwa kuwajibika Ili kutimiza malengo ya serikali

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před rokem

    Msukuma una hoja nimependa,ile hotel ilijengwa bila akili nyingi hata eneo la parking lilipatikana bdae,ni kutokufikiria

  • @NaaminiNgwatu
    @NaaminiNgwatu Před rokem

    Unaongea ukweli baba lakini haupat sapot

  • @shabirumsagati9369
    @shabirumsagati9369 Před rokem

    Msukuma cyo tu mbunge ni mbunge pekee!!

  • @kongatulia6231
    @kongatulia6231 Před rokem

    Wapinzani walikuwa wanasaidia ila sasa mmm

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před rokem

    sasa wote wa mama mmoja hakuna kudhuriana ! Hakuna jipya hapo !!

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před rokem

      Kwan wakiwepo wapinzani wanaongeza nn sasa ?

    • @jacksonsawe2301
      @jacksonsawe2301 Před rokem

      Ukweli kuvunja Paradaiz Cinema Jengo alama ya mji mkongwe wenzetumajengo yanakuwa kumbukumbu sisi tunabomoa

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před rokem

    Wote wezi nyie acheni kutudanganya nyinyi wajinga!

  • @deusmtewele1599
    @deusmtewele1599 Před rokem

    Msukuma wasukume wajinga hao

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangonda Před měsícem

    🎉🎉❤❤

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangonda Před měsícem

    🎉🎉❤❤