Msukuma alipuka "Alikuwa Mpina hapo..Huu ni utapeli unataka kutuingiza, Unatakiwa kuwa mjinga sana"
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2023
- Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Kirumbe Ngenda akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka 2023/2024, Bungeni jijini Dodoma leo.
Duuu uko vizuri Sana Msukuma ..Tz Tz.
Uko vizuri msukuma
Haya ni yale yale kutuficha riport ya VAG
very intelligent
Mh Msukuma Karama Yako ya Uongozi ni Kubwa Sana Basi tu ! , Mimi Nakumbuka huko Nyuma Kulikuwa na Waziri Asie kuwa na Wizara Maharumu ingerudi iyo ingekufaa Sana Kusukuma gurudumu la Maendeleo ,.!.
Hii nchi ya kiwaki sana
Tanzania bn et ngombe anavaa herin😂😂
Hapo hakuna mawaziri wapuuzi watupu
Ccm imeshindwa kutuongoza siku nyingi sana
9
Wasukuma oyee
Tanzania 🇹🇿 yangu tutauza nchi nzima tusipo angalia na leo nmegundua Magufuli alikua sahihi kutuongoza kwa kidikteta kama walivokua wanasema wasio mpenda mwenda zake.
Ujinga tu