#Dondoo
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Hapa tumekuletea Mtalamu wa mazoezi na Trainer Obote Iner anatupa Dondoo za namna ya kupunguza kitambi bila kutumia Dawa au kifaa chochote.
#mazoezi_ya_kukata_tumbo #mazoezi_ya_kupunguza_mwili #mazoezi_ya_kupunguza_tumbo #mazoezi_ya_kuongeza_shepu #mazoezi_ya _kutoa_kitambi #gym #jinsi_ya_kutoa_kitambi #mazoezi_ya_six_packs #aboutbongotv #dondoo
#motivation
#motivationalvideos
#motivational
#motivationalspeaker
#motivationalvideo
#inspiration
#success
#inspirational
#nevergiveup
Ni vyakula gani unapaswa kula ukiwa kwenye program ya kupunguza tumbo lote
Sijui
Nataka kujua
Trainer nakukubali sana Mimi natamani kujufunza zaid kutoka kwako be blessed kwa moyo wa kufundisha watu ,wapate afya njema.🙌🙌🙌
Hongera na asante kwa mafundisho mazuri sana. BARIKIWA NDUGU
Kaka namshukuru kwa somo lako nimelielewa na nimelipenda sasa naomba unisaidie kunipa mpangilio wa vyakula gani ambavyo napaswa kula ili nipungua na vyakula gani naomba kwa hili nisaidie
Asante sana tumboo la china linasumbua
Nipo Kenya nitafabyia nyumbani thanks and be Blessed 🙏
God bless you bro
Asante Sana bro mungu akubariki kutupa elimu Kwa ufupi❤
Ahsante sana kakaangu
Hongera had raha mimi kuinuka sasa mwili mzito
Xaxa hih kaka
Tumbo la juu kaka linasumbua sana
Bei gani kwa siku gym
nmekupata kakak....uko vzr
Thanks broo haki mimi nitafatilia hii mpaka niwe sawa haki najichukia nahili tumbo mimi😢😢😢😢😢
Thanks kababaa
Unyama ni mwingi Sana brother asanteee Sana 💥
Asante kaka mimi ninachangamoto ya tumbo na mikono
Asante big
Shukrani sana ubarikiwe
Asante kaka mafunzo yako mazuri
Wafundisha vizuri maashaaAllah mungu akubariki mno
Bravo teacher
Asantee
Asnte sana kk
Asante mkuu
Ubarikiwe kaka
Hapo kwenye chakula sijaelewa vzr
Ahsante bro
Nimependa sana
ZOEZI DOGO ILA LINA MAANA KUBWA SANAA SEMA WABONGO HATUZNGATII TU
Asanteh,, pia nilitaka niulize,,, kitambi cha ghafra au tumbo kuwa kubwa ghafra husababishwa na nini? Isije tunapunguza afu tunaliongeza bila kujua ko work done = 0
Sawa kaka
Asante kaka
je pia na kuruka kamba inasaidia kupunguza tumbo..... niko hapa nafanya mazoezi yako aiseee mpaka tumbo lote liishe
Asante sana kaka
Habari trainer mm nnaulemavu wa mguu mmoja na tumbo la pembeni nnalo nafanyaje
Asnte sana bro
Bro upo gd sana nataman nifike kwako
Nimekuelewa kaka angu
Asnt kwa mafunzo manzur
Thanks
You are welcome
Bro uko sehem gan
Nimepata elimu nzuri kupitia maelezo yako
❤❤
Bro samahani hv zile protein za kujaza mwili hazina mazara?
Ansate kaka nitakufatilia
Samahan kaka mi nataka msada tombo langu hapana😰😰😰
Samahani bro mm nko na tumbo kubwa nko naibu nalo nifanyeje bro nko nko na operation naeza fanya mazoez ama nifanyeje ni jibu plzzzx🙏🙏🙏🙏🙏
Uko wapi
Hata mimi
Kunywa maji ya moto asubh
Nimepata elim nzurishida yangu Mimi nikifanya mazoezi kiunokinaniuma Kama kidonda cjui nini
Ubalikiwe nimepata manufaa sasa nimepungua
Mpangilio wa chakula jmn😢
Je kwamazoezi hayo kwa wanawake hatuwezi jazia mikono
Mechek kujazia mikon😅😅
Oky nimekuelewa bro
Ninaitwa MARWA naomba unisaidie nitoe kitambi kinanitesa
Kaka mimi nafatilia maafunfisho yako but nikifanya nasikia tumbo langu nikama tumbo linakandwa
Kaka naomba utengeneze video ya mazoezi kwa wale wanaotaka kupunguza miguu
Mm naomba unifundshe yakutengeneza shepu
nimekuelewa zowezi lako
Ukitaka kutoaa vyote kwa pamoja??
Asant
Unapatikana wap
Unapatikana sehemu gani kwa dar
Djamani mbona nikiinuka sifkilii viatu duuh hatari
unapatikana wap
Uko wap nije mwalim kama kitamb hiki cjui kama kitapungua😂
Naomba namba yako tafadhali
Mimi shida kiuno nikifanya mazowezi tu kiuno kinaniuma kama kidonda
Ni mm kabsa
p
Kwahio nakula kwaza ndio nifanye zoezi
Hata mi sjaelewa hapo
Uko whatsapp
❤❤