MBWADUKE:OHOOO! BEKI KIBOKO YAO NI HUYU/ MAGOLI YA OVYO-OVYO SASA BAASS..!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Komentáře • 46

  • @charleslucas4365
    @charleslucas4365 Před 10 dny +3

    Mbwaduke nakukubali sana

  • @deogratiusdaud3577
    @deogratiusdaud3577 Před 9 dny +1

    Mkuu unaumanya kisawasawa mpira wa miguu
    Big up!

  • @lesemomole6286
    @lesemomole6286 Před 10 dny +1

    Mchambuzi wangu Bora wa muda wote huwa namaliza bando kwa kusikiliza uchambuzi wake
    God bless you brother

  • @user-cz7lp1le4e
    @user-cz7lp1le4e Před 10 dny +2

    Big up mbwaduke pamoja sana

  • @AbelJoseph-ef8bf
    @AbelJoseph-ef8bf Před 5 dny

    Baba unajua sana nakupenda unajua sana

  • @setheliazery8168
    @setheliazery8168 Před 9 dny +1

    Kweli umekuwa mwalim mzuri wa ball na enjoy sana kwa statistics unazotoa , thanks

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar3589 Před 10 dny +2

    Uchambuz mzur sana mwl wa mpira..

  • @nicholausrutayuga4458

    Asante Mbwaduke

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l Před 9 dny

    Anayejua anajua 🎉🎉🎉🎉

  • @Mariampaul-me7qo
    @Mariampaul-me7qo Před 6 dny

    We mchambuzi wangu boraa kwasasa❤

  • @AbdumajidAjnan
    @AbdumajidAjnan Před 5 dny

    Nakukubari sana we baba

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 5 dny

      Kwa taarifa rasmi ziIilizotolewa na Kamwe ni kwamba bado yupo kikosini Yanga.

  • @ramadhanimteluye9233
    @ramadhanimteluye9233 Před 9 dny

    Thanks alot mwamba, tupatie uchambuzi wa FADLU DAVIDS tafadhali

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius Před 9 dny

    Umbile mnara🔥🔥🔥🔥🔥

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya2758 Před 9 dny +2

    ❤❤❤❤❤❤💪💪💪💪💪💪💪

  • @WilliamFilipatali
    @WilliamFilipatali Před 9 dny

    Unajua sana

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Před 9 dny +1

    Magoli ya mangungu na wenzake hayo

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi461 Před 9 dny +1

    Kipaji kikubwa sana

  • @AllyAlly-g2o
    @AllyAlly-g2o Před 9 dny +1

    Kwel nakubal jaman huy mwamba huna mpinzan kwa style ya uchambuz wako

  • @peterzephania-n7z
    @peterzephania-n7z Před 9 dny

    Nakukubali sana kwa uchambuzi wa bori

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 Před 5 dny

    Kwani kuna anateseka kutokana na ubora wa mnyama kwenye rankings za caf

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Před 8 dny

    Faza,kwa niaba ya mashabiki wako naomba uweke na ule uwanja wa kudisplay pitch na mchezo tuone uchambuzi kwa position kabisa,ukiwa unafanya uchambuzi.ASANTE

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Před 6 dny

    Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 6 dny

      Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.

  • @user-kn1yw2oq3o
    @user-kn1yw2oq3o Před 9 dny

    Simba nguvu moyaaaa

  • @LababaZircoijoxboy-hm2ud

    Mwambaa,,,, mtu wa mahana kbs

  • @user-rz6bc6nf5z
    @user-rz6bc6nf5z Před 9 dny +1

    Baba mwaduke ww nimwalimu wa wachambuzi wote tz,

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 Před 9 dny

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TumainiSalufu-v4i
    @TumainiSalufu-v4i Před 9 dny

    Ilibidi uwe professor

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 9 dny

      Ha ha ha haaa. Tutamfikishia ujumbe wake Mzee wa Data.

  • @josephatisidori3060
    @josephatisidori3060 Před 9 dny +1

    Huyu mwamba ni mrithi wa Kashasha hazina ya taifa💪

  • @rahimsiraju9880
    @rahimsiraju9880 Před 9 dny

    Simba nguvu mojaaaa

  • @AbdallahChindo
    @AbdallahChindo Před 9 dny

    Mkuu tunaitaji utambulisho wakocha mpya wasimbaa

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 9 dny

      Soon...Mzee wa Data atafanya hivyo. Kaa tayari!

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 Před 8 dny

    Yaan wew ndo unatamanisha kukusikiliza si wajinga wanaolipwa kutwa kuchambua ujinga wape somo

  • @user-wg7cl1mc8n
    @user-wg7cl1mc8n Před 9 dny +4

    Mkuu tunahitaji ushambuzi wa kocha wa simba mpya ❤❤❤❤ plz

  • @PaulNyanda-g8h
    @PaulNyanda-g8h Před 9 dny

    Simba kuna thank you ngap?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 9 dny

      Mmmh...swali zuri lakini tusubiri wamalize mchakato huo.