ALLY KAMWE" WAMEFUNGWA NA TIMU YA DARAJA LA 6/YANGA NDIO TIMU TISHIO/WAJIANDAE KUPOKEA GOLI 10

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Leo July 17,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC.
    Aidha Ally Kamwe amesema kikosi chao kimekamilika kwa Asilimia zote na kipo tayari kutoa ushindani mkubwa kwenye mashindano yote watakayoshiriki na watafanya vizuri

Komentáře • 36

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Před měsícem +2

    KIUKWELI Kabisa yaani APO KWENYE Thank you NIMEKUKUBALI SANA Positive

  • @user-uf8ot1mq8c
    @user-uf8ot1mq8c Před měsícem +4

    Mwaga makopa Ally Kamwe

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před měsícem +2

    Safi sana Kamwe -- " Nitafurahi sana tukimnyoosha Jemedari na timu yake " kono la nyani tena " ili kufunga kinywa chake.

    • @peterkandaya565
      @peterkandaya565 Před měsícem

      Angalie na nyie maije mkapigwa 6 - 0 manake mlishawahi kuchezea halafu sio ya mchongo Kama ya kwenu ya kununua wachezaji😅😅😅😅😅

  • @PrinceYanga-pl6rm
    @PrinceYanga-pl6rm Před měsícem +2

    Nakukubali kakak

  • @SamsonDaniel-ch2jn
    @SamsonDaniel-ch2jn Před měsícem +1

    Ila jemedari saidi anazingua Sana

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Před měsícem +2

    Simba inacheza na Sevilla yeye haja zaliwa akaandike MABANGO ya MZEE MAGOMA 😅

  • @EliakimuBura
    @EliakimuBura Před měsícem +3

    Ahahahahahah ali kamwe we ni mwamb😊😊😊😊

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 Před měsícem

    Mwenyekiti 🙌🙌🫶🫶

  • @JoshuaKashongole
    @JoshuaKashongole Před měsícem +1

    Yani ni ham na huyo bin kazumar vbya mnooooo

  • @kigura_jr
    @kigura_jr Před měsícem +1

    Mwandishi anahisi kasikia vibaya 💛💚💛💚

  • @gharibbilal9180
    @gharibbilal9180 Před měsícem

    Ali Simba huyoo

  • @chuggamwachaa-kb7iv
    @chuggamwachaa-kb7iv Před měsícem +2

    Wewe nawasiwasi nawewe unaweza ukawa ubwabwa

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Před měsícem

    Kweri kafungiwa Koro cta moja na Tim ya chini Toka misr

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před měsícem +1

    Watakuwa wamecheza na mamaako

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c Před měsícem

    Simba ilicheza na Sevilla inayocheza na Madrid pia.watani Bado Hamna jipya SEMA mnajitafuta ongezeni bidii maana hata hiyo Augsburg inajitafuta pia.

    • @SalvatoryMbigili-m2f
      @SalvatoryMbigili-m2f Před měsícem

      Inategemeana sevilla walikuja wafanya usafi wa uwanja still wakawafunga😂😂😂😂😂😂😂

    • @Yuleyule-u6c
      @Yuleyule-u6c Před měsícem

      @@SalvatoryMbigili-m2f 😁hutaki kuamini kuwa Sevilla ilicheza na Simba na alikuwa nafasi ya nne La Liga Spain!! Mbona yanga itacheza na Augsburg ambayo ilikuwa nafasi ya11 bundesliga.

    • @Itselars77
      @Itselars77 Před měsícem

      ​@@Yuleyule-u6c😂😂 Sevilla walikuja kutalii ndo maan hata mechi wakatalii bado wakawakanda na mlivyo washamba mkaomba viatu 😂😂

  • @alitante4279
    @alitante4279 Před měsícem +1

    Magoma mmoja sawa na Utopolo wotee 🐸

  • @prince783
    @prince783 Před měsícem +1

    Kwaio nyie wakubwa kuliko ahly

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Před měsícem

    Subrini makoro ringi. I.anze.mtakoma Kono Ra nyani .Rina wausu

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Před měsícem +1

    😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉

  • @VeronicaEmmanuel-t2v
    @VeronicaEmmanuel-t2v Před měsícem +1

    Ila uyu mwamba eti kunawatu wanatumiwa Whatsapp maendeleo ya tmu zao hii imeenda na wamekula SITA

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Před měsícem

      Huyu dogo anamuudhi mpaka aliyetoa mkojo wake kumtengeneza

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem

    Kamwe hao wanawavizia wachezaji wetu. Tuwe makini.