ALLY KAMWE" WAMEFUNGWA NA TIMU YA DARAJA LA 6/YANGA NDIO TIMU TISHIO/WAJIANDAE KUPOKEA GOLI 10
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Leo July 17,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC.
Aidha Ally Kamwe amesema kikosi chao kimekamilika kwa Asilimia zote na kipo tayari kutoa ushindani mkubwa kwenye mashindano yote watakayoshiriki na watafanya vizuri
KIUKWELI Kabisa yaani APO KWENYE Thank you NIMEKUKUBALI SANA Positive
Mwaga makopa Ally Kamwe
💚💛
Safi sana Kamwe -- " Nitafurahi sana tukimnyoosha Jemedari na timu yake " kono la nyani tena " ili kufunga kinywa chake.
Angalie na nyie maije mkapigwa 6 - 0 manake mlishawahi kuchezea halafu sio ya mchongo Kama ya kwenu ya kununua wachezaji😅😅😅😅😅
Nakukubali kakak
Ila jemedari saidi anazingua Sana
Simba inacheza na Sevilla yeye haja zaliwa akaandike MABANGO ya MZEE MAGOMA 😅
Ahahahahahah ali kamwe we ni mwamb😊😊😊😊
Mwenyekiti 🙌🙌🫶🫶
Yani ni ham na huyo bin kazumar vbya mnooooo
Mwandishi anahisi kasikia vibaya 💛💚💛💚
Ali Simba huyoo
Wewe ndo simba😂😂
Wewe nawasiwasi nawewe unaweza ukawa ubwabwa
Na ww ni mchele mchele mxeew 😏
Kweri kafungiwa Koro cta moja na Tim ya chini Toka misr
Watakuwa wamecheza na mamaako
Inakuumaee. Nyooo. Koliii
Simba ilicheza na Sevilla inayocheza na Madrid pia.watani Bado Hamna jipya SEMA mnajitafuta ongezeni bidii maana hata hiyo Augsburg inajitafuta pia.
Inategemeana sevilla walikuja wafanya usafi wa uwanja still wakawafunga😂😂😂😂😂😂😂
@@SalvatoryMbigili-m2f 😁hutaki kuamini kuwa Sevilla ilicheza na Simba na alikuwa nafasi ya nne La Liga Spain!! Mbona yanga itacheza na Augsburg ambayo ilikuwa nafasi ya11 bundesliga.
@@Yuleyule-u6c😂😂 Sevilla walikuja kutalii ndo maan hata mechi wakatalii bado wakawakanda na mlivyo washamba mkaomba viatu 😂😂
Magoma mmoja sawa na Utopolo wotee 🐸
Kaa utulie kolo ww
Acheni kuteseka
Mangoma ni Kibaraka wenu, hamtafanikiwa!
Wewe Koro turia Tim yenu ya UNGA mwana Kono Ra nyani.tena
Kwaio nyie wakubwa kuliko ahly
Ndio
Sio ukubwa kucheza kibishana
Subrini makoro ringi. I.anze.mtakoma Kono Ra nyani .Rina wausu
😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉
Ila uyu mwamba eti kunawatu wanatumiwa Whatsapp maendeleo ya tmu zao hii imeenda na wamekula SITA
Huyu dogo anamuudhi mpaka aliyetoa mkojo wake kumtengeneza
Kamwe hao wanawavizia wachezaji wetu. Tuwe makini.